Pure life
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Pure life, Health/Beauty, kikuyu kino, Jamhuri Park.
17/05/2022
*ARTHROXTRA:*
Hii imetengenezwa kwa viambata ambavyo vipo kwenye gluzojoint vyote na wakaongeeza na vingine. imetengenezwa kwa:
➡️Glucosamine Hydrochloride pamoja na Glucosamine chondritin na Sodium. Hutokana na samaki sana aina ya shark / papa.
Kazi za ArthroXtra.
-Huwafaa watu wenye matatizo ya pingili.
-Watu wenye mifupa milaini.
-Baridi yabisi.
-Mifupa iliyosagana.
-Aliyepata ajali mfupa Ukachelewa kuunga.
-Ni nzuri sana kwa wazee watu wazima.
- Huwafaa pia wale wanaopenda kufanya mazoezi mara kwa mara.
-Mifupa iliyoharibika.
Dose : 2 mara 1 Pamoja na chakula.
16/05/2022
Feminine clean ni heshima kwa mama na Dada
Je.......unapitia haya karibu nikusadie
01/02/2022
Pata suluhisho la bawasili
01/02/2022
UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)
+255(0)718566798
Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono. Ugonjwa huu husababisha na bakteria na huathiri sehemu za mirija ya mkojo (urthra) puru ama koo.
DALILI ZA UGONJWA WA GONORIA (GONORRHEA)
Kwa wanaume
1.Maumivu wakati wa kukojoa
2.Kutokwa na usaha kwenye kichwa cha uume
3.Maumivu ama kuvimba kwa korodani moja
Kwa wanawake
1.kutokwa na uchavu ukeni
2.Maumivu wakat wa kukojoa
3.Kutokwa na damu wakati wa hedhi isiyokuwa ya hedhi ama baada ya kukutana kimwili
4.Maumivu ya tumbo
5.Maumivu ya nyonga
Kwa Changamoto Zote Za Mfumo wa Uzazi na Mkojo kwa Wanawake na Wanaume pia Usisite kunitafuta kwa Namba hizi:-
+255(0)718566798
14/03/2021
Habari ya jion. Karibu. Kujipatia viruthubishi lishe.
0718566798
0686608433
PID ( PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)
Wanawake wengi sana wanasumbuliwa na ugonjwa hatarishi wa PID bila kufahamu kwani Mara nyingi wakienda hospitali wataaambiwa wana U. T.I na fungasi
Ukweli ni kwamba ni P.I.D ambayo ni maaambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke..kirefu chake ni PELVIC INFLAMATORY DISEASE..viashiria vya ugonjwa huu ni?
👉Uchafu unatoka sehemu za siri k**a mtindi,mweupe,cream,njano,kijani au brown,na wakati mwingine unachanganyika na damu
👉kuwashwa ukeni
👉uke kutoa harufu mbaya
👉kupata maumivu chini ya kitovu wakati wotee
👉kupata maumivu makali wakaati wa tendo la ndoa
Madhara ya ugonjwa huu ukikaa mda mrefu ni
👉kushindwa kupata ujauzito
👉kupata saratani ya CERVIX shingo ya kizazi
👉mirija ya uzazi kuziba
👉mirija ya uzazi kujaa maji
👉mirija yako kuharibika kabisa
👉kupata tatizo la hormone inbalance..
👉kuwa mkavu Ukeni ambapo inakusababishia maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa
N.B na k**a pia unasumbuliwa na
1. Tatizo la uvimbe kwenye kizazi ( fibroids)
2. Cancer ya shingo ya kizazi ( cervicitis)
3. Tatizo la kukosa hedhi , hedhi kubadilika badilika ( hormonal inbalance)
4.kukosa ujauzito kwa mda mrefu
5.. U.T.I Mara kwa Mara , fungus ukeni , miwasho ukeni , uchafu wenye harufu , kupata maumivu wakati wa tendo la ndoa..
*TIBA NI PRODUCT ZIFUATAZO*
1 Refined Yunhzi
2 FemiCare
3 Zaminocal na coffee yeyotete kati ya ginseng, resh na codricepts.
_*Uhusiano wa tezi dume na nguvu za kiume*_
*Tezi Dume (Prostate gland)*
*Tezi dume* ni sehemu mojawapo ya mfumo wa uzazi wa kiume. Inaundwa na sehemu mbili, lobes, ambazo zimeunganishwa na kufunikwa kwa nje kwa utando wa tishu. Tezi hii ipo mbele kidogo ya puru (re**um) na na chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Tezi dume inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na uume (urethra). Mojawapo ya kazi za tezi dume ni kutoa majimaji yanayochanganyika na mbegu za kiume (sperms) wakati wa kilele cha tendo la ngono. Mchanganyiko huu wa mbegu pamoja na majimaji hayo hufanya shahawa (semen). Aidha majimaji hayo husaidia kuzipa mbegu za kiume nguvu ya kusafiri kwenye uke mpaka kufikia kwenye mirija ya fallopian tayari kwa utungisho na yai la k**e. Vilevile husaidia kupunguza hali ya kitindikali iliyopo katika uke, ambayo k**a isiporekebishwa, huweza kuua mbegu nyingi za kiume na kufanya utungisho kuwa wa tabu.
Kuvimba Tezi Dume (BPH)
Kwa kadiri mwanaume anavyozeeka, ni jambo la kawaida pia kwa tezi dume kuongezeka ukubwa na kuvimba. Hali hii kitabibu huitwa Benign Prostate Hyperplasia au wengine hupenda kutumia maneno Benign Prostate Hypertrophy kwa kifupi BPH. Kwenye makala hii tutautumia sana ufupisho huu wa BPH ili kurahisisha mambo.
Ukuaji wa tezi dume hupitia hatua kuu mbili. Hatua ya kwanza hutokea kipindi cha balehe wakati tezi dume linapoongezeka ukubwa na kuwa mara mbili ya lilivyokuwa hapo awali. Baada ya hapo ukuaji husimama kwa muda mpaka kijana anapofikisha miaka 25 hadi 30 ndipo hatua ya pili ya ukuaji huanza tena. Ukuaji huendelea kwa viwango na kasi tofauti kati ya mtu na mtu na hatimaye kusababisha
BPH katika umri wa utu uzima.
Wakati tezi dume linapokua na kutanuka, utando wa tishu unaozulizunguka hutanuka pia. Hata hivyo ingawa tezi dume huendelea kukua, hufikia wakati utando wake huacha kutanuka na kufanya tezi dume kubana mrija wa kutolea mkojo kutoka kwenye kibofu. Hali hii husababisha kibofu cha mkojo kuwa na ngozi ngumu. Hali hii hufanya kibofu cha mkojo kuhisi kutaka kutoa mkojo nje hata k**a kiasi cha mkojo ndani yake ni kidogo sana. Hufikia wakati, kibofu huwa dhaifu na kupoteza uwezo wake wa kuhisi kutoa mkojo na hivyo
*DALILI*
1. Kupata shida wakati wa kukojoa
2. Kutiririkwa mkojo wakati na baada ya kukojoa
3. Kukojoa mkojo wenye mtiririko dhaifu
4. Kukojoa mara Kwa mara hasa usiku
5. Kujikamua wakati wa kukojoa na kushindwa kumaliza mkojo wote
Endapo tezi dume itatibiwa kwa haraka, utakuwa umejiaepusha na magonjwa makubwa k**a vile saratani ya tezi dume.
*TIBA YA TEZI DUME*
1 ProstatRelax
2 ZaminoCal
3 Xpower man Capsules/Coffee pamoja na coffee yeyote kat ya ginseng, resh na ginseng.
*Vilevile ni vizuri k**a itatumiwa Kwa wenye umri kuanzia miaka 45, Ikiwa ni pamoja na kujikinga usipate shida ya tezi Kwa miaka ya baadae.*
ni BFSUMA PEKEE TUNAOTIBU
TEZI DUME bila upasuaji.
01/02/2021
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
Col/ Whatsup no 0762511406/0679611406
Tukisema pungufu wa nguvu za kiume sio ugonjwa, ila ni k**a indicator inayoonesha kwamba kuna baadhi ya viungo ndani ya mwili wa binadamua ambavyo vinahu sika na suala zima la nguvu za kiume havifanyi kazi vizuri. Baadhi ya hivyo viungo vinavyo husika na nguvu za kiume ni: Moyo, Ini, Figo, Ubongo, Mishipa, Tezi dume, Misuli, .. … … n.k. Kunapokuwa na hitilafu kwenye viungo hivi ndiyo vinapelekea moja kwa moja mtu kupata tatizo la upungufu wa nguvu za kiume.
TUANGALIE KWA UCHACHE
VISABABISHI:
- Uvutaji wa sigara, na utumiaji wa dawa za kulevya
- Pombe (aina yeyote).
- Ma********on (Kujichua, au kupiga punyeto)
- Kula vyakula venye kuharibu mfumo wetu wa mmeng’enyo wa chakula (Digestive System). Huu mfumo ukiharibika unasababisha damu kutosafirishwa vizuri.
- Tatizo la Kutokupata choo vizuri (Constipation)
- Tatizo la Tezi dume.
- Kisukari (Diabetes)
- Stress, Pressure, Cholesterol
- Hormone imbalance. NK
JE NI DALILI GANI AMBAZO UNAWEZA KUJUA K**A UTATATIZO HILO
- kukosa hamu ya tendo la ndoa
- Kukosa pumzi
- Uwezo wa kushindwa kurudia tendo la ndoa
- Uume kusimama kwa ulegevu
- Kuwahi kufika kieleni
- Kuchelewa sana kufika kileleni: ukizidi kuchelewa.
- Kuchoka sana baada ya tendo au kujisikia kichefuchefu, wakati mwingine wengi hua wanajihiisi kutapika.
NI MADHARA GANI UNAWEZA KUYAPATA?
Dharau
- Kushindwa kumridhisha mwanamke. Hili tatizo linampelekea kutoka nje ya ndoa na baadae kuachika.
- Kushindwa kupata mototo
- Kushindwa kupata ladha kamili la tendo la ndoa
- Kuchoka haraka wakati wa tendo la ndoa
- Uume kusimama kwa ulegevu
- Uume kusinyaa na kupoteza ubora na ukak**avu.
29/01/2021
*MISS SUNSHINE NAPKIN AND FEMICARE*
https://chat.whatsapp.
0718566798
0686608433
*FEMICARE Kazi zake ni hizi hapa👇🏼👇🏼*
*FEMININE VARGINAL CLEANSER*
- *Huondoa harufu mbaya ukeni*
*-Huondoa bacteria wabaya na kuzuia* **U.T.I*
- *Huondoa fangasi na miwasho ukeni*
- *Hurudisha size nzuri ya uke hasa* *wenye shida ya uke ulioregea*
- *Huondoa maji maji yatokayo ukeni* *yenye Harufu mbaya**
*-Huondoa maumivu wakati wa tendo la* *ndoa*
*-Hufanya mwanamke kujiamini muda* *wote*
*-Huzibua mirija ya uzazi hivyo kusaidia* *wenye shida ya kutoshika* *mimba*
- *Humkinga mwanamke na maambukizi mabaya hasa u.t.i kwenye* *vyoo,kemikali za swimming* *pool, maambukizi Mabaya kutoka kwa* *mwanaume.n.k*
*Mwisho kabisa napenda kushauri* *wanawake wote uwe unaumwa au* *huumwi hii supplement ni vizuri kuwa* *nayo ndani itakusaidia*
*MISS SUNSHINE SANITARY NAPKIN*
inamchango mkubwa kwa mwanamke
kwa kufanya hedhi yake iwe salama sasa na badae. Wanawake wengi wamekuwa wakipata maambukizi
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Jamhuri Park
