Maneno ya busara

Maneno ya busara

Share

Slow me to use our national language nawapa mafundisho kwa wale walioanguka kwa wokovu na wale walijitunza na kunilinda Imani yao

08/02/2022

Haleluya,licha ya kudharauliwa na kutukanwa na walionna uwezo wa kipato mungu Yuko hatakuacha kamwe tulia na umsubiri

16/01/2022

Neno la mungu kwa injili ya yohana kumi na Tano msitari wa saba 15 :7 linatuambia tukae ndani mwake na maneno yake yakikaa ndani mwetu na tuombe lolote tutakalo kwa jina lake tutapewa Leo hii watu wametamani kuonekana na kukaa nnje ya yesu kwa mawazo na maneno matupu eti wajulikane Duni kote kuwa ni watumishi w mungu na hawajakaa ndani mwake ,utakuwaje mtumishi wake na hukai ndani mwake naye hayuko ndani mwake Wala maneno yake hayamo ndani mwake utamtumikiaje hallo Wacha papara na elimu nyingi ya uongo na ujanja na mafundisho ya kibinadamu ninaonywa na mungu Sana kupita maandiko,wakolosai 2:8 jisomee na ubarikiwe

14/01/2022

Wakristo iweni makini Sana Hasan hunmsimu wa siasa msipoteze kito Cha Dhani mlicho nacho kwa sababu ya Dunia na mbio za siasa jitunzeni muwe wataratibu na wenye kuogopa maovu na midomo isitoe ubaya mungu awabariki

08/01/2022

Nenilo la bwana ni uzima wangu na usalama wangu Mimi daima

28/12/2021

Hallo wapendwa nawasalimu nyote katika jina la yesu kristo bwana na mwokozi wetu.... Nakupa neno la mzingi wewe uliyeokoka na kumcuata yesu. Jihadhari na makanisa ya kufanya miujiza soma maandiko matakatifu uelewe na kutambua ukweli wa kristo na kuwa mtaratibu kwa mambo yote Ila usikubali kumwagiwa maji na kupakwa mafuta achana na hizo kabisa ukinisikia nisikie epuka kugota epuka kuashiria Alana za vidole tafadhali wewe unayesoma ujumbe hu usipuuze K**a huamini tafuta page ya paschal Cassian kutoka tanzania na ufuatilie zote kwa makini mungu akubariki

18/12/2021

Lakini Nina neno ju yako umeuacha upendo wako wa kwanza wengi tu wakristo by upendo wao ulikwisha na bado wao ni wakristo ..... Hmm lakini Nina neno ju yako yatengeneze matendo yako ya kwanza nisija nikakiondoa kinara Chalo mahali pale ufunuo 2:4

06/12/2021

Pokeeni utakaso wa roho mtakatifu kwa jina la yesu kristo

06/12/2021

Nawasalimu wapendwa wanaonisaidia kimawazo.ila nakupa ushauri kwamba usije ukakata tamaa maishani mwako kwa sababu eti maisha nimagumu,.....maisha ni mtihani mkubwa na ikiwa makini utafaulu kwa utaratibu wa moyo wako nawala usichukuwe kisicho kuhuwa Cha kwako maana kitatoweka lakini chako kitadumu milele

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Nandi?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Henry Kosgei
Nandi