AFYA TIPS
tonatoa dondoo za afya bure ukihitaji msaada wa kiafya au ushauri usisite kututafuta
19/04/2022
*NMN Capsules*
Nini maana ya *NMN ?*
Hiki ni kifupisho cha maneno haya *NI****NE MONONUCLEOTIDE*
*NI****NE MONONUCLEOTIDE* Ni aina mojawapo ya vitamin *B3* inayojulikana kwa jina *NIACIN* ambayo kazi yake ni kuamusha utendaji kazi wa *jeni* zinazohusika na uzeekaji wa seli ambazo huitwa *(sirtuin gene 1-7)*
*NMN* Ina uwezo mkubwa wa kuamusha kiwango kikubwa cha *NAD+* (Nicotinamide Adenine Dinucleotide) hii huitwa *( Coenzyme A)* , Coenzyme ni molecule ndogo mhimu kwa utendaji kazi wa vimeng'enya yaani enzyme
Kwa kifupi tumeona NMN ni kitu gani sasa tuendelee kutambua kazi zake mhimu
_*KAZI MHIMUZA NMN CAPSULES*_
●Hupunguza kasi ya kuzeeka haraka
●Huimarisha na kuunganisha sehemu ya DNA( kinasaba) iliyoharibiwa
●Inasaidia jeni ( gene) kufanya kazi kwa mda mrefu kwa kuipa nguvu , longevity gene ( sirtuin gene)
● Husaidia kuvunja chakula mwilini hasa sukari na kuwa nishati
● Inazuia na kuondoa kisukari
● Huongeza kinga mwilini
● Huzuia na kuondoa ugonjwa wa akili (dementia)
● Huimarisha utendaji kazi wa moyo
● Huimarisha mishipa ya damu
● Huimarisha misuli aina zote katika mwili wa binadamu
●Huondoa hali ya kuchoka kwa misuli kwani inauwezo wa kusaidia mwili kuunguza na kutoa nishati ya kutosha katika mwili
● Huboresha muonekano wa ngozi
● Huwasaidia watu wenye matatizo katika mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kwani inamsaada kwenye vimeng'enya (enzyme)
*KWANINI NMN CAPSULES*
●Kidonge kimoja kina 150mg ya NMN
●Ni salama kwa afya yako kwani imepitia na kupitishwa na *GRAS* ya *FDA*
● Imeandaliwa kwa teknolojia kubwa (enzymatic technology)
● Ni mhimu kwa watu wanaojali afya zao na muonekano mzuri wa ngozi zao
● Imefanyiwa majaribio ya kikemikali na kuonekana hakuna madhara kutoka kuzalishwa mpaka kutumiwa
● Imepitia katika majaribio na mazingira mbali mbali na ubora wake ukaendelea kuonekana katika jotoridi sio chini ya 40°C
● Marighafi za kuzalishuia ziko salama na zinaubora
Ipate kwa sh 200000 tuu
Kwa mahitaji piga 0767477033
Au njoo wasap moja kwa moja bonyeza hapa chini
http://wa.me/+255767477033
𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗩𝗜𝗠𝗕𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗘𝗭𝗜 𝗗𝗨𝗠𝗘;
✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa sana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji, hii Ni kwasababu mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✔Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.
✓Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
K**a una tatizo la tezi dume au unataka kujikinga tuna dawa nzuri za kukabiliana na tatizo la tezi dume
Kwa mawasilano na tiba
𝐂𝐀𝐋𝐋 0767477033
𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏 bonyeza hapa http://wa.me/+255767477033
05/04/2022
FEMICARE HUFANYA KAZI ZIFUATAZO:
💦Inatibu fangasi sugu na UTI sugu.
💦Inatibu PID ikichanganywa na yunzhi.
💦Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa, na kurejesha ute ute unaotakiwa
💦Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote
💦Inazibua mirija ya uzazi iliyoziba.
💦Inarekebisha hedhi iliyo vurugika.
💦Inakaza misuli ya uke iliyegea na kufanya kuwa tight.
💦Inaondoa michubuko ukeni
💦Inatibu chango
💦Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo. 💦Ni nzur kuitumia mwanamke anapomaliza period yake kwa ajili yakujisafisha ni 35000 tu
WhatsApp number 0757138602
Au wasapu http://wa.me/+255767477033
03/04/2022
TATUA NA JIKINGE NA TATIZO LA BAWASILI BILA KUFANYIWA UPASUAJI
IJUE BAWASIRI NA TIBA YAKE
_Bawasiri ni hali Kupasuka kwa mishipa sehemu ya haja kubwa, damu kuganda na kujitokeza vinyama katika Maeneo hayo.
AINA ZA BAWASIRI
1_Bawasiri ya ndani
2_Bawasiri ya nje.
_Bawasiri ya nje hutokea mwisho wa mfereji wa haja kubwa Mishipa ya damu (vena) hupasuka na damu kuganda, ikiambatana na maumivu makali
_Bawasiri ya ndan hutokea ndan ya mfereji wa haja kubwa, hii haiambatan na maumivu. hapa wengi huwa hawajijui
DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI
_Kuota vinyama sehemu ya haja kubwa
_miwasho na maumivu sehemu ya haja kubwa
_kinyesi kuvuja
_kinyesi kutoka kuchanganyika na damu chenye harufu mbaya.
CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI
_kukaa kitako au kusimama kwa muda mrefu
_kufanya mazoez magumu yanayokaza misuli ya haja kubwa
_Uzito kupitiliza
_Mapenz kinyume na maumbile
_tatizo la kutokupata choo
TIBA YAKE_Mara nyingi watu wenye tatizo hili tiba yake ni kufanyiwa upasuaji, hata hivyo wengi ilirudi baada ya kufanyiwa upasuaji.
_Sasa unaweza kutibu tatizo hili kwa kutumia virutubisho kutoka USA vilivyotengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu ambavyo havina kemikali 100%
KAZI YAKE.
_Huondoa miwasho na maumivu
_huweka sawa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kuanzia mdomon hadi sehemu ya haja kubwa
_huondoa Bawasiri bila upasuaji.
_kulainisha choo.
NI VYEMA KUWAHI KUPATA TIBA MAPEMA KABLA YA KUBADILIKA NA KUWA CANCER.. TUWASILIANE KWENYE
Kwa mahitaji ya tiba piga 0767477033
Au jiunge na grup letu hapa chini kupata dondoo za afya kila siku bure
https://chat.whatsapp.com/EhwXvKRkoab6uHyiixSPF2
02/04/2022
*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*
*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*CHANZO CHA BAWASIRI*
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito
*DALILI ZA BAWASIRI*
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
➖ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
➖ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
➖ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)
*MADHARA YA BAWASIRI*
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika
Call➖text&sms➖whatsapp👇
0767477033
SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏
PID__ Ni maambukizi kwenye via vya uzazi kwa mwanamke (Ni tofauti na U.T.I)Yani maambukizi haya yanaanzia kwenye Via vya uzazi wa mwanamke Sehemu za uke na sio njia ya mkojo ,inapanda juu kwenye mlango wa kizazi ,mfuko wa kizazi mpaka kwenye mirija ya uzazi
*Dalili Za PID*
PID inaweza isilete _dalili zo zote mbaya na ndogo zikitokea zinaweza_ kuwa ngumu kuzigundua. Baadhi ya wanawake hawapati dalili zo zote. Pale zinapojitokeza, zinaweza kuwa:
❗Maumivu – yanaweza kuwa madogo au makali – maeneo ya chini ya tumbo au nyonga
❗Uchafu usio wa kawaida au mzito ambao unaweza kuwa na harufu mbaya
❗ Kutokwa damu kusiko kwa kawaida, hasa wakati wa tendo la ndoa, au katikati ya siku
❗Maumivu wakati wa kujamiiana
❗Homa, wakati mwingine kusikia baridi
❗ Maumivu wakati wa haja ndogo, haja ndogo ya mara kwa mara au haja ndogo kutoka kwa shida.
❗Miwasho ukeni
❗kuharibika kwa ujauzito
❗kushindwa kubeba ujauzito
📌Endapo pid haitatibiwa mapema uharibu mirija ya uzazi (mirija kujaa maji na hivyo hushindwa kubeba ujauzito ,ujauzito kutunga nje ya kizazi ,ujauzito kuharibika
K**a Una Shida Au Tatizo moja Kati Ya Hayo Hapo Juu
Usisite Kuwasiliana Nami kwa Suluhisho la tatizo hili la
P.I.D
Wasiliana nasi 0757138602
13/02/2021
JE UNATHAMINI UKE WAKO TWENDE PAMOJA
Kitu cha thamani kwa mwanamke ni uke wake jee unathamini vip uke wako?
Je unajua unajua thaman ya uke wako?
Je unajua unatakiwa uhudumie uke wako Mwanamke mwenzangu usisubir hadi uke wako ushambuliwe na maradhi ambayo hayana msingi k**a UTI na fangasi
.....jifunze kuweka bajeti ya uke wako usione kwa sababu ni sehemu za Siri Basi haitakiwi kuwekewa bajeti
...jithamin mwanamke uke wako ndio kitu cha thaman katika mwili wako
Je unajua kwanin unakatazwa kuosha uke na sabuni yoyote???
Bfsuma tumekuletea product ambayo itakuweka huru itakuondolea matatizo mbalimbali FEMICARE ni bidhaa inayofaa kuoshea uke wako jaribu uone. ndani ya mwenzi mmoja tenga bajeti kwa ajili ya uke wako
Kwamawasiliano zaid nipigie au nitumie sms WhatsApp kwa no 0757138602
FEMICARE ni mkombozi wako sh 35000 tu
Au jiunge katika grupu letu upate dondoo nyingi za kiafya kuhusiana na maradhi mbali mbali bonyeza apa chini
https://chat.whatsapp.com/GgnyKXfGq1IIpZZ7ndgj9i
Click here to claim your Sponsored Listing.
