IJUE AFYA YAKO

IJUE AFYA YAKO

Share

Consulting

17/06/2022

Hebu tuangazie mambo ambayo yanapelekea Mwanamke Asiweze kunasa Ujauzito kwa mara ya kwanza au kwa mara nyingine.
Umeenda Hospitali umeambiwa hauna tatizo au ubatizo lakini fahamu haya

Hizi ni sababu kubwa

1. Vimbe kwenye kizazi (Fibroids) vijipele na Mirija ya uzazi kuziba

2. Homon Imbalance (Kuvurugika kwa vichocheo)

3. UTI, FANGAS NA PID(Maambukizi kwenye via vya uzazi)

4. Mbegu hafifu za Mwanaume (hapa wengi hawajui)

Usijali Nitaelezea juu ya haya yote tuyajue

Juu ya TIBA hata hupaswi kuogopa. Tunatoa Tiba kwa Changamoto za uzazi aina zote.

14/06/2022

NI NINI.

•Ni mchanganyiko wa virutubisho vyenye Antioxidant na Anti-aging

Mchanganyiko huo huo unaondoa mikunjo ya Ngozi (Makunyanzi)⁸
na kurudisha Ngozi katika hali ya ujana yenye mvuto zaidi.

↪️Antioxidant inaondoa sumu mwilini na kukuupatia mwili nguvu upya
na kinga dhidi ya magonjwa ya uzeeni.

Mchanganyiko wa resverantrol na NMN unarudisha umri nyuma kwa kuunda
upya speed ya NAD+ ambayo inazuia magonjwa yanaoletwa na uzee;

➡️ Sukari

➡️ Pressure

➡️ Kusahau

➡️ kuangamiza cells za saratani

➡️ Kuboresha afya ya moyo



1️⃣ Husaidia kukinzana na uzee

2️⃣ Husaidia kukinzana na Saratani yoyote ile

3️⃣ Husaidia kutengeneza DNA mpya

4️⃣ Ni nzuri sana katika kupambana na matatizo ya wanawake, Ngozi, Matatizo ya uzazi. K**a Homon Imbalance kwa wanawake

5️⃣ Husaidia kuboresha mishipa ya damu na misuri

6️⃣ Kumbuka hii Bidhaa Inatumika Na Jinsia Yoyote

Karibu sana

11/06/2022
10/06/2022

*JE KUNA MADHARA YA KUTOA MIMBA⁉️*

Kabla hujafiria kutoa mimba, ni muhimu kufahamu matokeo mabaya kiafya yanayoweza kujitokeza siku za mbele baada ya kufanya kitendo hichi, hasa kwenye swala zima la uzazi.

*NINI KINATOKEA BAADA YA KUTOA MIMBA?*

Wanawake wengi hupata dalili hizi siku chache baada ya kutoa mimba, dalili ambazo zinaweza kuchukua mpaka siku 21 kuisha

1. ```kutokwa damu kwa week 2 mpaka 4
2.muumivu ya nyonga
3.mwili kukosa nguvu na kusinzia ovyo
4.kutapika na kizunguzungu```

*MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUJITOKEZA BAADA YA KUTOA MIMBA NI PAMOJA NA:*

🔆 ```majeraha kwenye mlango wa kizazi na kizazi
🔆kutokwa damu kupita kiasi mpaka kuishiwa damu
🔆mimba kushindwa kutoka yote(incomplete abortion) na hivo kuhitaji upasuaji mwingine
🔆maambukizi sugu kwenye via vya uzazi(PID)
🔆makovu kwenye tumbo la uzazi
🔆kufanyika kwa mashimo ndani ya kizazi
-mgonjwa kufariki```

*MADHARA YA MUDA MREFU BAADA YA KUTOA MIMBA*

🔆 ```kujifungua mtoto kabla ya muda wake kutimia(pre-term deliveries
🔆kutoa mimba husababisha kulegea kwa mlango wa kizazi na hivo kuongeza hatari ya mimba zijazo kutoka ama kujifungua kabla ya wakati yaani chini ya week 37.
endapo mtoto atazaliwa chini ya muda wa week 37 anaweza kupata madhara ya kiafya k**a matatizo ya ubongo.
🔆saratani ya matiti: Tafiti zinasema kwamba kutoa mimba kunaongeza hatari ya mwanamke kupata saratani ya matiti.
kuugua magonjwa sugu k**a chlamydia na PID

🔆kupata magonjwa ya akili:
tafiti zinasema kwamba waawake wengi hupata matatizo ya akili baada ya kutoa mimba na dalili k**a
kujutia kutoa mimba
sonona na msongo mkubwa wa mawazo
kupata wasiwasi k**a je watashika tena ujauzito mwingine
kuona aibu na kujihisi wakosaji
kupata mawazo ya kujiua
K**a ulitoa mimba na unaanza kupata dalili hizi hapa juu, chukua hatua mapema, onana na mtaalamu wa afya ya akili kupata ushauri wa kina.````

*KUSHINDWA KUSHIKA UJAUZITO KWA SIKU ZA BAADAE BAADA YA KUTOA MIMBA*

1.Kutokana na athari ya magonjwa k**a PID kwenye kizazi na m

09/06/2022

X POWER MAN COFFEE

Hii ni kahawa iliyotengenezwa Kwa mchanganyiko Wa vitu Zaidi ya vinne yani;

1. Fresh maca
2. Ginseng powder
3. Tongkat ali
4. Epimedium
Viambata hivi vimetoka nchi za
KOREA,CHINA,USA,INDIA,PERU

INAHUSU
•Kuimarisha misuli ya uume kuwa bora zaidi na Nguvu mara dufu wakati Wa tendo.
•Kuupa mwili Nguvu zaidi
•Kusaidia kurudia tendo la ndoa mara nyingi zaidi yani ukimaliza mshindo Wa kwanza unauwezo Wa kuendelea zaidi.
•Kumpa mtu hamu ya tendo la ndoa hata k**a iliisha kabisa.
•Kuondoa uchovu na stress,kuzuia hatari ya kupata Magonjwa ya moyo.
•Kuilinda na kuipa afya tezi ya mwanaume
•Kuufanya uume kusimama vizuri.
•Kusafisha mishipa ya damu
•Kuongeza ubora Wa mbegu za mwanaume na kuzifanya ziwe na kasi zaidi

MATUMIZI
•Changanya kwenye kikombe sanchet Moja (inaweza kutumika kwa maji ya moto au barafu)

TAHADHARI
•Usitumie zaidi ya sachets 3kwa siku moja

UTUNZAJI
•weka mbali na watoto na utunze sehemu kavu.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Sakina
Arusha
HTTPS://WA.ME/MESSAGE/GYQNLNMRKLUMA1