selitibatanzania
Siri Ya Afya Yako
Ni Muhimu Ukafahamu Ni Nini Kinaendelea Kuhusu Afya yako,maana Mtaji Wako Wa Kwanza.
15/04/2020
HAYA NDIYO MAMBO YALIYO NISHANGAZA KUHUSU MMEA WA MCHAICHAI !!!!!
Yanayoweza Pia Kuwashangaza Baadhi Ya Watu Miongoni Mwetu!!!!!!
Kuhusiana Na Mchaichai:
Miongoni mwetu tumezoelea kusikia kuhusu mchaichai,wengine tumekuwa tukiutumia na hata wengine miongoni mwetu tume uotesha mmea huu majumbani mwetu.
Hata hivyo kuna jambo la muhimu la kujifunza kuhusiana na mmea huu wa mchaichai.
Kujifunza kuta sababisha tunufaike na faida mbalimbali ambazo Watalaam mbalimbali wa Afya Ulimwenguni Kote, wamekuwa wakizigundua katika mmea huu kwa Manufaa yetu.
Japokuwa Watu wengi wamekuwa wakifurahia harufu nzuri na ladha ya mmea huu.
Lakini hata hivyo kipo kitu cha ziada zaidi tunacho kihitaji kukipata katika mmea huu wa mchaichai.
Mchaichai unazo faida nyingi za thamani na za muhimu sana, zinazo hitajika katika miili yetu.
Faida hizo tunazipata pale unapokuwa huo mchaichai umeandaliwa kwa usahihi.
Tangu kupandwa,kukuzwa,kuvunwa na kukaushwa.
Faida za mchaichai.
1. Mchaichai ni kinga dhidi ya saratani.
Kwenye kila gram 100 za mchaichai kuna viondoa sumu ambavyo vinaweza kuukinga mwili dhidi ya ugonjwa wa saratani, huo ni utafiti uliofanyika 2006 katika chuo kikuu cha Gurion Israel.
Waligundua mchaichai una uwezo wa kuua seli zinazo weza kusababisha kansa.
2. Husaidia kupunguza au kutowesha matatizo ya kuhara.
3.Hurahisisha mmeng’enyo wa chakula na husaidia kupunguza maumivu ya tumbo pamoja na tatizo la gesi kujaa tumboni.
4.Huondoa uchafu mwilini, mafuta mabaya mwilini na inasafisha figo.
5.Hupunguza matatizo wakati wa hedhi.
6.Husaidia kupunguza matatizo yatokanayo na vidonda vya tumbo.
7.Husaidia kuondoa matatizo ya ukosefu wa usingizi na magonjwa yanayo sababishwa na matumizi ya sufuria za aluminum na shinikizo la damu.
8.Endapo mwanamke atatumia majani ya mmea huu kwa muda mrefu,
atajiepusha na matatizo ya kujifungua kwa upasuaji,
kwani husaidia kulegeza nyonga kubana katika kipindi cha ujauzito,
nyonga kubana,katika kipindi cha ujauzito,
huifanya njia kuwa ndogo hivyo mtoto hawezi kupita ,
lakini ukiwa mtumiaji wa mchaichai kwa muda mrefu maana yake njia yako ya uzazi haitabana na itakuwa wazi, hivyo mtoto atatoka kwa urahisi.
9.Virutubisho mwilini kwa wagonjwa wa ukimwi, mchaichai unaelezwa kuwa huongeza CD4 na inashauriwa kwamba mgonjwa wa aina hiyo akapendelea zaidi kutumia mchaichai kuliko majani ya chai.
Nchi nyingi za ASIA na Ulaya wanautumia mmea huu kwa matibabu.
Hata hivyo matumizi ya mmea huu mara kwa mara kuboresha afya..
NAMNA YA KUPANDA.
Mchaichai k**a mimea mingine ili uweze kuwa na manufaa zaidi kwa mtumiaji,
Watafiti wake wameshauri upandwe kwa mbolea ya samadi..
UTUNZAJI WAKE.
Mara nyingi mmea huu si kawaida kuupuliza dawa kali zenye sumu maana:hauadhiriki kwa kiwango kikubwa na wadudu k**a mimea mingine.
Hivyo ni salama kwa Watumiaji wake.
Pia unapaswa kukaushwa kivulini ili kutuza virutubisho vyake, maana inapoanikwa juani virutubisho vyake hunyonywa na mionzi ya jua,
Hivyo mchaichai hupoteza uwezo wake wa kufanya kazi.
MATUMIZI SAHIHI.
Ni vizuri ukachemsha maji kwanza baada ya kuchemka ndipo ukaweka kwenye maji ya moto. Ichemke Humo kwa dakika 8 au 10 tu,Kisha Epua na uichuje tayari kwa matumizi.
Japokuwa baadhi yetu hujipandia mmea huu katika baadhi ya maeneo ya nyumba zetu.
Hata hivyo kuna wengine miongoni mwa jamii zetu kutokana na majukumu ya hapa na pale ya kikazi au vinginevyo wamejikut wakiwa hawana ukaribu zaidi na mmea huu wenye faida lukuki katika kuimarisha afya zetu.
Na kwa sababu hiyo
Endapo huna mazingira ya kuupata mmea huu wa mchaichai kwa haraka.
kwa haraka na kwa urahisi.
Tunao ambao tumekuandalia kwa kuukausha na kuusaga ili iwe rahisi kwako kuubeba hata unapokuwa safarini katika majukumu yako ya kila siku.
Huu mchaichai tuliouvuna shambani kwetu.
Tumeukausha kivulini [kwa ushauri tuliopewa na Watalaamu] kwa lengo la kutunza virutubisho vyake.
Pia tumeusaga tayari kwa matumizi.
Unapatikana Dodoma Mjini, Sh*tindi Super Market Inayo Tazamana na Muna Phamacy iliyopo Barabara iitwayo Hatibu [Sh*tindi Super Market ipo jirani sana na makutano ya barabara ya 9 na Hatibu road]
Offer:Mchaichai huu,badala ya kuuziwa Tshs 15,000,utaupata kwa Tshs 10,000 tu.hii ni offer kwa Wale watakao inunua ndani ya wiki hii tu.
Pia tunao shambani kwa wanao utaka kwa bei ya Jumla,Unapatikana kwa Order maalum,Utatumiwa popote ulipo ndani au nje ya nchi.
Wasiliana katika WhatsApp namba +255 789 788 617
au
email:[email protected]
Tunao Mchache sana ,weka order yako.
[3/17, 16:59] +255 712 778 076: BEIJING (XINHUA) - Chinese researchers are studying the use of stem cell technology in the treatment of people critically ill with the coronavirus, the Science and Technology Daily reported.
Four Covid-19 patients who received stem cell treatment while in a serious condition have been discharged from hospital after recovering, and the clinical trial of the therapy will be further expanded, Vice-Minister of Science and Technology Xu Nanping, was cited by the paper as saying.
Stem cells can self-renew or multiply while maintaining the potential to develop into other types of cells. They can become cells of the blood, heart, lungs or other body parts.
Stem cells also have a strong secretory function, promoting the formation of new blood vessels, cell proliferation and differentiation, and inhibiting inflammatory response, experts say.
Stem cell therapy has also been used in treating H7N9 avian flu and showed good results.
According to the Ministry of Science and Technology, the Chine
*LAZIMA USOME MAHALI HAPA👇👇👇👇👇👇
* Kwanini Tiba ya seli ya Shina ni nzuri kwako *
Sachet moja inaweza kuamsha asilimia 80 ya seli za shina kwenye mwili wako.
⏩ Kila sehemu au chombo chochote cha mwili wako kina seli za shina, ambazo huitwa seli za shina zenye kutofautishwa zina maana zina jukumu fulani katika mwili wako n.k. Seli za shina la ngozi, zina jukumu la kutengeneza ngozi yako wakati wowote imeharibiwa, nk
⏩ Kutoka miaka 25 na zaidi, utengenezaji wa seli za shina hupungua kwa hivyo hitaji la kuzaliwa tena kwa hivyo kuusaidia kuzidisha na kusaidia mwili kupona haraka.
Kumbuka zaidi seli za shina zinaimarisha mwili na kwa hivyo uponyaji wepesi zaidi ... Viwango vya chini vya shina hupunguza mwili. Mbali na uponyaji wa hali maalum au hali inayojulikana, seli za shina zitakusaidia kukuzuia magonjwa k**a. Results Matokeo ya haraka kwa hali yoyote, wengi wameona mabadiliko makubwa katika siku chini ya siku 30 yaani wagonjwa wa saratani hata katika hatua ya 4, wagonjwa wa kishujaa, wagonjwa wenye ugonjwa wa arthritis, wenye shida za kibofu nk
♻ Inashughulikia hali hiyo kwa kiwango cha seli uponyaji kamili wa magonjwa ukiacha hakuna nafasi ya kujirudia. Inaweza kuponya hali nyingi mara moja mfano una saratani na ugonjwa wa sukari badala ya kuzingatia saratani tu, huponya hali zote mbili mara moja. Sanduku la * Double Stem Cell * linaweza kushughulikia hali zifuatazo na wengine wengi mara moja:
⏩ Kuunga mkono kinga ya afya
⏩ Shida ya moyo na mishipa
⏩ Kuboresha mtiririko wa damu infections Ugonjwa wa ngozi
⏩ Shida za ini
⏩ Shida ya kukinga
Problems Shida za jicho problems Matatizo ya Pamoja
⏩ Mgongo
⏩ Hypertension
⏩ Osteoarthritis problems Matatizo ya ini disorders Matatizo ya njia ya utumbo ⏩ Ugonjwa wa figo
⏩ Ugonjwa wa kuzeeka
⏩ Burns (kuungua)
⏩ Ugonjwa wa kisukari
⏩Ugonjwa wa moyo
⏩ Stroke
⏩Jeraha la mgongo gen Kuzunguka kwa misuli.
⏩Shida za Prostate
⏩ Aina zote za saratani (hata katika hatua ya 4)
Tatizo la kumbukumbu
⏩ N.k
Karibu kusikiliza Ushuhuda wa Mwanamke aliye pona ugonjwa wa Asthma ambao umemtesa ndani ya kipindi cha miaka thelathini
29/11/2019
CHANZO CHA UGONJWA WA KANSA
Ugonjwa wa kansa ni kati ya magonjwa hatarishi katika jamii,
Hata hivyo Wataalamu wa afya wamejitahidi kutafuta njia mbalimbali angalau kupunguza au k**aliza kabisa tatizo hili
Hata hivyo wengi wao wamejaribu kulipunguza kwa kiasi kidogo sana,
Chanzo cha Ugonjwa wa Kansa (Saratani)
Katika mwili wa binadamu kuna chembe chembe hai (seli)zinazo tenda kazi ili kusababisha afya katika mwili wa binadamu
Sasa hizi seli zinapo badilika katika mfumo wa mwili wa binadamu na kuwa seli ambazo mfumo wa mwili unashindwa kuzitambua,
Zinakuwa ni seli za ajabu zisizo tambulika katika mfumo wa mwili
Linakuwa ni kundi la seli ambalo hali hitajiki tena katika mfumo wa mwili wa binadamu,
Sasa seli hizi zisizo tambulika huwa sababu ya uvimbe katika eneo lolote la mwili na huo uvimbe ambao waweza pasuka na kuwa kidonda wakati mwingine huitwa kansa,
Katika tafiti mbalimbali zilizo fanyika kuhusu ugonjwa wa kansa
Kuna tafiti ya selishina ambayo ndio imeonyesha uwezo wake wa uhakika katika kutatua tatizo la ugonjwa wa Kansa
Selishina ni nini?
Selishina ni seli katika mwili wa binadamu ambayo ina uwezo wa:
Kukarabati seli zilizo haribika katika mwili au kugeuka na kuwa seli za ajabu k**a hizo zinazo sababisha Kansa,
Ina weza kuua zile zilizo geuka na Kuto kutakiwa katika mfumo wa mwili,
Inaweza kuzalisha seli nyingine mpya na kuzizidisha kuwa mbadala wa seli zilizo kufa mwilini hivyo kuurejeshea mwili afya na nguvu,
Huweza kuziongezea nguvu na kuzifanya changamfu seli zinazo tenda kazi katika mfumo wa mwili wa binadamu,
Hii Selishina ni seli Mama na seli ambayo inazalisha chochote kinacho hitajika kuwepo katika mwili wa binadamu,
Selishina unapo pandikizwa katika mwili wa binadamu ,
Husababisha mwili wa binadamu kurejea katika afya yake kamilifu
Seli hii husababisha vijidudu vyote vya maradhi katika mwili wa binadamu kufa kabisa,
Selishina ni seli kuu inayo utengeneza mwili wa binadamu,
Kwa maoni ,Simu +255 789788617
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Arusha
