AFYA Maridhawa
Tunatoa huduma ya matibabu ya chanagamoto mbalimbali zakiafya na kutoa ushauri nasaha bure.
29/01/2023
*DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI👇🏽👇🏽👇🏽*
1.Maumivu wakati wa tendo la ndoa
2.Ukavu ukeni
3.Uchovu wa mara kwa mara
4.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
5.Homa za usiku
6.Kukosa usingizi
7.Kuharibika kwa ngozi (chunusi au vipele)
8.Kupata hedhi wakati wa ujauzito
9.Maumivu ya kichwa mara kwa mara
10.Kutokupata Choo kwa wakati
11.Kusahau sahau sana
12.Kukosa hedhi kwa mda mrefu/mvurugiko wa tarehe zako za hedhi
13.Maumivu ya tumbo la hedhi
14.Kutokwa hedhi yenye mabonge/kutoona hedhi zako kabisa
15.Kutoona ute wa uzazi
16.Kuwa na hasira za mara kwa mara
17.Kunenepa na kupungua kusiko na sababu n. K
*MADHARA YAKE:*
👉🏾Endapo utaendelea kubaki na dalili tajwa hapo juu bila tiba ya uhakika madhara yake ni k**a; Kuziba kwa mirija ya uzazi Uvimbe (fibroids, cysts) Kutoshika ujauzito kwa mda mrefu/Ugumba Kushuka kwa kinga ya mwili/maabukizi ya mara kwa mara mf fungus,uti n.k Kuzeeka haraka Mimba Kuharibika mara kwa mara/kupata mtoto mwenye mapungufu kiafya n. K
TUPO KWA AJILI YAKO AMUA KUCHUKUA HATUA UPATE SULUHISHO.
Wasiliana nasi Kwa SIMU:-0622090616
WA/Me:-+255622090616
https://www.facebook.com/104867532363108
28/01/2023
JE HUYU NI WEWE AU NDUGU YAKO???
1. Unawahi kufika kileleni na unashindwa kurudia kwa wakati ?
2. Unapofanya tendo la ndoa uume unalegea na kushindwa kuendelea na tendo?
3. Una fanya tendo na unashindwa kufika kileleni?
4. Unapata hisia za tendo lakini ukitaka kufanya tendo uume hausimami?
5. Je unapata maumivu wakati wa kukojoa mkojo mdogo au mkubwa?
6. Je presha ya mkojo imepungua na mkojo unatoka kwa kukatika katika?
7. Je mjoko unatoka pande 2
8. Je unashindwa kuzuia mkojo na mda mwingine mkojo unatoka wenyewe?
Hizi sio dalili nzuri kwa mwanamme k**a una fanya haraka kupata tiba kwani ukichelewa itakuletea madhara makubwa sana mbeleni
Karibu bf suma watalamu wa tiba lishe tuna virutubisho lishe bora sana vya kuondoa changamoto ya nguvu za kiume au tezi dume bila upasuaji
Kampuni yetu imethibishwa na mamlaka zote za afya, lishe na ubora wa viwango kimataifa na hapa tz
Tupigie kwa ushauri na tiba:-
Wa/me:-0622090616
ULIPO TUPO KARIBU
17/01/2023
KUVURUGIKA KWA HOMONI (HORMONE IMBALANCE)
💬Homoni ni kemikali zenye nguvu ambazo huzalishwa na Matezi.
Kemikali hizi huamrisha viungo tofauti tofauti vya mwili vifanye kazi yake iliyo kusudiwa. mfano wa kazi ambazo Homoni inafanya
@..Humsaidia mwanaume awe na Tabia za kiume k**a vile Ndevu,Besi,Nguvu pamoja na Misuli.
@.. Hivyo Hivyo kwa Mwanamke Humsaidia Awe na Sauti Nyororo,ngozi laini,Nywele za kuvutia,na Kiuno Ndondora.
** DALILI ZA KUVURUGIKA KWA HOMONI ZINAZO WEZA KUMPATA MWANAUME AU MWANAMKE.
1.Kuongezeka uzito kupindukia
2.Kuchoka bila sababu
3.Misuli kuuma
4.kupungua au kuongezeka kwa mapigo ya moyo
5.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
6.Kutoshika mimba na kutokumpatia mimba Mwanamke.
🌲DALILI KUU NA MADHARA YA TOKANAYO KWA KUVURUGIKA KWA HOMONI KWA WANAWAKE,
✅Kutoka Hedhi nzito,kukosa Hedhi,Hedhi kuruka,Kutoka Hedhi mfululizo.
✅Ngozi kuwa nyeusi hususani shingoni,chini ya mapaja.
✅Kuvimba kwa uke.
✅Maumivu wakati wa kufanya tendo la ndoa.
✅Kutoka jasho jingi usiku
✅Maumivu ya Kiuno,mgongo na tumbo chini ya kitovu.
🌲NINI VISABABISHI VYA MATATIZO YA KUVURUGIKA KWA HOMONI KWA WANAWAKE..
1️⃣Matumizi ya njia za Uzazi,sindano,Vidonge vya majira.
2️⃣Ulaji mbovu
3️⃣Kisukari
4️⃣ Stress (msongo wa mawazo)
5️⃣Ujauzito
6️⃣Kukoma kwa Hedhi.
7️⃣Goita
◼️ MADHARA YA KUVURUGIKA KWA HOMONI
(HARMONE IMBALANCE).HUPELEKEA VIFUATAVYO,
🔹Kutoshika mimba
🔹 Mimba kuchoropoka mara kwa mara
🔹Siku za Hedhi Kuvurugika
💠HIVYO BASI HUJACHELEWA MATIBABU YA KUTATUA TATIZO LA KUVURUGIKA KWA HOMONI (HORMONE IMBALANCE) YANAPATIKANA KUPITIA BIDHAA ZETU MURUA ZA BF SUMA, NIPAMOJA NA
〰️Ginseng coffee,Yunzhi:Ambazo zitakusaidia kurekebisha Homoni.
〰️Zaminocal:Pia Zitasaidia mayai ya Mwanamke (Mwanamke anayehitaji Uzazi/mtoto. Pamoja na Bidhaa nyingine kwa
Mawasiliano:-
Me/was::-0622090616
📢 📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢
FURSA FURSA FURSA FURSA 🇱🇷🇹🇿
ANZA LEO BIASHARA ITAKOYOBADILISHA MAISHA YAKO KWA MTAJI MDOGO WA 46,000/= TU
✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨✨
💵💵💵💵💵💵💵💵💵💵💵
NJOO NIKUFUNDISHE JINI YA KUINGIZA FAIDA YA SHS 100,000/= - 500,000/= KWA WIKI
📒🖋️💼
🏘️✈️🚘
Wasiliana nami sasa kupitia namba zifuatazo kwa maelekezo zaidi 👇
Was/me 0622 090 616
13/12/2022
DALILI ZA UVIMBE KATIKA KIZAZI (Fibroids)
☑️Kutokwa damu katikati ya mwezi.
☑️Kutokwa na uchafu mweupe wenye harufu mbaya
☑️Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
☑️Hedhi zisizokuwa na mpangilio
☑️Maumivu wakati wa tendo la ndoa
☑️Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☑️Maumivu makali wakati wa hedhi
☑️Kupungukiwa damu mwilini
☑️Kutokwa na damu nyingi kipindi cha hedhi
☑️Kupata hedhi zaidi ya wiki moja
☑️Maumivu makali ya nyonga
☑️Kukojoa mara kwa mara na kutokumaliza mkojo
☑️Kukosa choo
☑️Maumivu ya mgongo ama miguu
MADHARA YA FIBROIDS
☑️Mtoto Kushindwa Kukua Tumboni
☑️Kubanduka Kwa Kondo(Placental Abruption)
☑️Kuzaa Mtoto Kabla Ya Muda Wake
☑️Mimba Kuporomoka
☑️ Hupelekea ugumba
☑️Saratani
☑️Kufanyiwa upasuaji na baadae husababisha kansa
Msaada wa ushauri na tiba
Mawasilianoa
Instagram:
Facebook:AFYA MARIDHAWA
Simu:-0622090616
Wa/me+255622090616
Kwa asilimia kubwa wanawake wengi huzaliwa wakiwa hawana changamoto za uzazi, wengi hupata changamoto za uzazi baada ya kukutana na matukio mbalimbali k**a kuwa na matatizo katika mfumo wa homoni au vichocheo mbalimbali vya uzalishaji mayai, upevushaji mayai, mzunguko na kutumia dawa mbalimbali za uzazi bila kushauriwa na daktari.
Changamoto za uzazi zinahusisha mwanamke kushindwa kabisa kushika ujauzito au kushika ujauzito ambao unaishia kuharibika.
Dunia ya leo moja ya changamoto kubwa kwenye ndoa nyingi ni ishu ya uzazi, wanawake wengi wana changamoto hii na k**a nilivyosema sio kwamba walizaliwa na changamoto hii bali wameipata baada ya kuzaliwa.
Wanawake Wengine wanaachika kwenye ndoa na wengine wanaishi kwenye ndoa huku wakinyanyasika changamoto kubwa ikiwa ni Uzazi, ni tatizo kubwa sana kwenye ndoa nyingi za leo.
KUNA TIBA? Kuna wanawake wachache ambao wenye matatizo ya uzazi yenye ugumba usiotibika lakini kwa kiasi kikubwa matatizo mengi ya uzazi yanatibika isipokua changamoto ni kumpata mtaalamu wa kweli ambae analifahamu vizuri tatizo la uzazi na anaweza kulitibu.
KUNA MATAPELI? Ndio kuna watu ambao hujifanya wamebobea kutibu tatizo hili lakini mwisho wa siku huishia kula pesa za watu na hata kuwaongezea matatizo wagonjwa wao kwa kuwapatia dawa zinazowaongezea matatizo.
SASA MTAALAMU WA KWELI NI NANI? Ni ‘bf sumandani ya miaka 5 iliyopita wamewasaidia zaidi ya wanawake 500 kuondokana kabisa na changamoto za uzazi.
HAO BFSUMA NI UHAKIKA? Ndio tumekuandalia somo la Bure Kabisa Jinsi ya kuondokana na changamoto zinazoweza kukupekea wewe kutokushika mimba k**a U.T.I sugu, Kutokwa uchafu sehemu za siri , uvimbe katika mirija ya uzazi, kuondokana na chango, kizazi kiko mbali , kurekebisha homoni na k**a siku zako huzioni utaaanda kuziona baada ya somo hili
Njoo whatsapp 0622090616 uweze kuona ushuhuda wa wanawake ambao wamesaidiwa na BFSUMA Kumaliza kabisa tatizo la uzazi.
HAO BFSUMA WANATIBU KWA VIDONGE? Hapana, hawa BFSUMA wanatibu kwa mimea ya asili, mazoezi, chakula na ushauri mpaka tatizo lako la uzazi linaisha, hawauzi vidonge wala hakuchomi sindano.
NAWEZA KUWATAFUTA HAO BFSUMA SAHIZI? Ndio wanafahamu kwamba watu k**a wewe mmeteseka sana Ivo waweza kuwasiliana nasi kwa,,,,
SIMU NAMBA:-0622090616
Wa/me+255622090616
! *tz
22/11/2022
KUTOKWA NA KIJINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA
( HEMORRHOIDS)
MIWASHO, MAUMIVU NA VIMBE KATIKA TUNDU LA HAJA KUBWA
Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya tundu la haja kubwa na hupelekea wakati mwingine kutoa damu wakati wa kutoa haja kubwa.
Ugonjwa huu unasababisha muwasho na maumivu makali katika tundu la haja kubwa.
Ila kwasasa ugonjwa huu unawaathiri mpaka watoto wa umri wa chini kabisa:
CHANZO CHA UGONJWA WA BAWASIRI.
Bawasiri ni tatizo linaloanzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula. Huu mfumo ukishakua mbovu hupelekea kutokupata choo vizuri(Haja kubwa)
Mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula unasababisha chakula kisimeng'enywe vizuri kwenye utumbo mdogo na hivyo kupelekea chakula kupiliza kwenda moja kwa moja k**a kilivyo kwenda kwenye utumbo mkubwa ambapo maji maji kutoka kwenye chakula hufyonzwa na kuacha chakula kikiwa kikavu.Inapofikia wakati wa kupata choo; choo kinakua kikavu hivyo unatumia nguvu nyingi kukisukuma choo kitoke.
Hali hii hupelekea misuli ya haja kubwa kutanuka na kupelekea kukwanguliwa na choo kigumu na hivyo kinyama kuanza kujitengeneza, Hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani, na mara nyingine kupata choo chenye damu.
Hivyo basi kadri unavyoendelea kupata choo kigumu misuli ya tundu la haja kubwa huendelea kuathirika zaidi k mpaka kinatokeza.
Mtu mwenye afya nzuri anapata choo kulingana na milo aliopata kwa siku. K**a unauwezo wakupata milo mitatu kwa siku, unasitahili kupata choo mara tatu kwa siku, tena choo chako kitoke na urefu sawa wa ndizi mbivu, bila kujikatakata k**a kile cha mbuzi.
Bawasiri pia huweza kusababishwa na:
-Kufanya mapenzi kinyume na maumbile,
- Ujauzito
- kuhara kwa mda mrefu
-Kutopata choo kwa mda mrefu
DALILI ZA UGONJWA WA BAWASIRI
- Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa. Huu muasho unakuja kwa kujirudia mara kwa mara baada ya muda furani.
- Kukatishwa kwa haja kubwa na kurudi ndani wakati wa kujisaidia. Kitendo hiki huongeza msuguano katika mishipa ya ndani ya tundu la haja kubwa.
- Kujitokeza kwa uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa. Uvimbe huu unaanza kuota k**a upele na huambatana na miwasho na maumivu makali.
- Kujitokezea kwa kijinyama katika tundu la haja kubwa. Kinyama hiki kinaanzia ndani ya tundu la haja kubwa na kutokea nje ya Tundu la haja kubwa. Hatua hii huashiria tatizo limesha kuwa kubwa na una hili tatizo la bawasili kwa muda mrefu, na linaweza kusababisha vifo vya gafla kwa sababu mishipa inayosafirisha damu ndio inakwanguliwa na mwishowe kuathirika.
Chukua tahadhari mapema kabla hujaathirika sana au upoteze maisha; kwasababu hiki ni chanzo cha kupatwa na magonjwa mengine mengi ya kiafya.
- Kujisaidia kinyesi chenye damu na kunuka kwa harufu mbaya sana
- Kupumua na kushindwa kuzuia kinyesi wakati ukipumua(kujamba na kutoa haja kubwa)
MADHARA YA UGONJWA WA BAWASIRI
Upungufu wa damu mwilini
Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa.
Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
Kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote. Yaani Mwanamke na Mwanaume.
Kuathirika kisaikolojia na hupelekea kuptojiamini katika hadhara ya watu hasa pale miwasho inapoanza.
Kuvuja damu, maumivu ya mda mrefu na hupelekea kushindwa kukaa.
Maumivu ya mgongo ya mara kwa mara na kiuno.
Kwa msaada, ushauri na tiba wasiliana nami moja kwa moja
WhatsApp
https://wa.me/255622090616
Call and text
+255 622 090 616
Prepared JIMMYMEDICS
🔰Ijali afya yako.
22/11/2022
Kwa asilimia kubwa wanawake wengi huzaliwa wakiwa hawana changamoto za uzazi, wengi hupata changamoto za uzazi baada ya kukutana na matukio mbalimbali k**a kuwa na matatizo katika mfumo wa homoni au vichocheo mbalimbali vya uzalishaji mayai, upevushaji mayai, mzunguko na kutumia dawa mbalimbali za uzazi bila kushauriwa na daktari.
Changamoto za uzazi zinahusisha mwanamke kushindwa kabisa kushika ujauzito au kushika ujauzito ambao unaishia kuharibika.
Dunia ya leo moja ya changamoto kubwa kwenye ndoa nyingi ni ishu ya uzazi, wanawake wengi wana changamoto hii na k**a nilivyosema sio kwamba walizaliwa na changamoto hii bali wameipata baada ya kuzaliwa.
Wanawake Wengine wanaachika kwenye ndoa na wengine wanaishi kwenye ndoa huku wakinyanyasika changamoto kubwa ikiwa ni Uzazi, ni tatizo kubwa sana kwenye ndoa nyingi za leo.
KUNA TIBA? Kuna wanawake wachache ambao wenye matatizo ya uzazi yenye ugumba usiotibika lakini kwa kiasi kikubwa matatizo mengi ya uzazi yanatibika isipokua changamoto ni kumpata mtaalamu wa kweli ambae analifahamu vizuri tatizo la uzazi na anaweza kulitibu.
KUNA MATAPELI? Ndio kuna watu ambao hujifanya wamebobea kutibu tatizo hili lakini mwisho wa siku huishia kula pesa za watu na hata kuwaongezea matatizo wagonjwa wao kwa kuwapatia dawa zinazowaongezea matatizo.
SASA MTAALAMU WA KWELI NI NANI? Ni ‘bf sumandani ya miaka 5 iliyopita wamewasaidia zaidi ya wanawake 500 kuondokana kabisa na changamoto za uzazi.
HAO BFSUMA NI UHAKIKA? Ndio tumekuandalia somo la Bure Kabisa Jinsi ya kuondokana na changamoto zinazoweza kukupekea wewe kutokushika mimba k**a U.T.I sugu, Kutokwa uchafu sehemu za siri , uvimbe katika mirija ya uzazi, kuondokana na chango, kizazi kiko mbali , kurekebisha homoni na k**a siku zako huzioni utaaanda kuziona baada ya somo hili
Njoo whatsapp 0622090616 uweze kuona ushuhuda wa wanawake ambao wamesaidiwa na BFSUMA Kumaliza kabisa tatizo la uzazi.
HAO BFSUMA WANATIBU KWA VIDONGE? Hapana, hawa BFSUMA wanatibu kwa mimea ya asili, mazoezi, chakula na ushauri mpaka tatizo lako la uzazi linaisha, hawauzi vidonge wala hakuchomi sindano.
NAWEZA KUWATAFUTA HAO BFSUMA SAHIZI? Ndio wanafahamu kwamba watu k**a wewe mmeteseka sana na tatizo hili hivyo wametoa ruhusa uwatafute muda wowote.
+255 622 090 616
MHMH NITAPONA KWELI? Utapona na utakuja kutushukuru hapa kwa kukufanya uwafahamu , Utarudisha Tabasamu Lililopotea.
Tutafute whatsApp
+2556 22090616 au wapigie simu kwa maelezo zaidi.
19/11/2022
SABABU ZA MAUMIVU MAKALI CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE NA TIBA YAKE*
✍🏻Tatazo la maumivu chini ya kitovu huwakumba wanawake wengi sana katika jamii yetu wengi wao hawafahamu k**a hali hiyo ni kiashiria cha matatizo Fulani ya kiafya.
✍🏻Kwakua wengi huwa wanachukulia kawaida basi hali hiyo hupelekea wanawake wengi kupata matatizo makubwa ya kiafya baadae.
*Dalili za Tatizo*
✍🏻Dalili za tatizo hili huambatana na kusikia maumivu ya chini ya kitovu wakati wa kuinama, kunyanyua vitu vizito, maumivu katika siku za hedhi tatizo ambalo kitaalamu huitwa Dysmenorrhea au menstrual cramps.
✍🏻Maumivu katika kibofu cha mkojo, wakati wa kucheka, wakati wa Kulala kifudifudi, na wengine huisi maumivu katika tendo la ndoa
✍🏻Maumivu chini ya kitovu yapo ya aina mbali mbali k**a zifuatazo:
➡️Kuna maumivu chini ya kitovu katikati.
➡️Kuna maumivu chini ya kitovu upande wa kulia au kushoto au pande zote mbili.
➡️Kuna maumivu chini ya kitovu yanakua k**a kichomi na yanasambaa kwa marefu.
➡️Yapo maumivu chini ya kitovu ambayo huwapasa wanawake kwa wakati fulani tu na si muda wote k**a; wakati wa kushiriki tendo la ndoa, wakati wakuinama, kuinua vitu vizito, kucheka au kuimba.
Maumivu Chini ya Kitovu Huashiria Nini?
➡️Mirija ya uzazi kujaa maji uchafu ambao huzuia yai lisitembee vizuri na kupelekea maumivu makali sana chini ya kitovu pembeni. Mara nyingi tatizo hili huambatana na utokwaji wa maji machafu yenye harufu.
➡️Kuvimba kwa shingo ya kizazi, kuta za mji wa mimba, kuta za mirija ya uzazi na kuvimba vifuko vya mayai ya uzazi kwa wakati mmoja (PID), mwanamke mwenye matatizo haya hupata maumivu makali sana chini ya kitovu yakimbatana na utokwaji wa maji maji mazito k**a maziwa ya mgando yenye harufu kali.
➡️Maambukizi katika njia ya mkojo (UTI) mwanamke mwenye tatizo hili atapata maumivu makali wakati wa kukojoa, kwenga haja ndogo mara kwa mara, haja ndogo yenye harufu kali, hali ya homa, haja ndogo yenye rangi isiyo ya kawaida na inayotoka kilegevu.
➡️Vimbe kwenye mfumo wa uzazi k**a fibroids (vimbe kwenye mji wa mimba) au ovarian cyst (kuvimba kwa vifuko vya mayai ya uzazi). Matizo haya pia hupelekea maumivu makali sana chini ya kitovu na kuvurugika kwa hedhi.
Matatizo Ambayo Hupelekea Mwanamke Kupata Maumivu Makali sana Chini ya Kitovu kwa Wanawake.
➡️Pia husababishwa na afya mbovu ya kibofu (bladder) cha mkojo. K**a kusumburiwa na magonjwa ya UTI (urinary tract infection) ambapo bacteria wajulikanao k**a E coli hushamburia kibofu cha mkojo na kuzaliana.
➡️Pia husababishwa na kutokomaa kwa mayai ya uzazi jambo ambalo husababishwa na kuvimba kwa vifuko vya mayai (ovaritis) na kufanya maumivu mithili ya kichomi.
MATIBABU
👉🏿Tumia UZAZI PACKAGE kuondoa tatizo hili
Chaguo lako ni Uzazi package hii ni tiba maridadi kabisa kwaajili ya uzazi na mfumo mzima wa afya kwa upande wa uzazi
-inaondoa maumivu makali chini ya kitovu
-inaondoa fungus sugu
-inaondoa U.T.I
-inaondoa P.I.D
-inasawazisha mfumo wa hormone
-inaondoa masundo sundo
-inaondoa uvimbe ndani na nje ya uzazi
-inatibu saratani za uzazi
-inazibua mirija ya uzazi
-inarutubisha mayai
-inaondoa maumivu katika mfumo wa uzazi
-inakufanya uwe huru tena
Tiba hii ya uzazi package inasaidia wengi na kuponya wengi wenye matatizo ya uzazi k**a yako...matokeo kwa mda mfupi sana.. furaha yako na uponyaji wako mikononi mwako. I
Wa/me:-255622090616
25
18/11/2022
UKE MKAVU
LIJUE TATIZO LA UKE MKAVU
UKE MKAVU :Ni tatizo ambalo huwa kumba wa kina wakina mama wengi husababishwa na upungufu/uwiano mbaya wa homoni za uzazi.
-Ni tatizo ambalo mwanamke hukosa ute kbs hasa wakat wa tendo uke huwa mkavu kbs haijalishi ameandaliwa kwa muda gan na mwenza wake.
VISABABISHI VYA UKE MKAVU
-Hormône imbalance
-Magonjwa ya zinaa k**a kaswende,gonorea n.k
-U.T.I sugu
-Fangasi sugu ukeni
-Uke mchafu
-Matumizi ya sabuni za ant biotics kusafishia uke
-Kuto zingatia MLO KAMILI
DALILI ZA UKE MKAVU
-maumivu makali wakat wa tendo
-kutokwa na damu wakat na baada ya tendo
-kukosa/kupungua kwa hamu ya tendo
-maumivu chini ya kitovu wakat wa tendo
-kuto shika mimba
-maumivu ya viungo na mifupa
-siku za hedhi kuto kuwa na mpangjlio maalumu
-kuto furahia tendo,, Hivyo usiendelee kuteseka wakati suluhisho la tatizo lako lipo piga.........
SIMU:-Wa/me+255622090616
Tanzania
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Arusha
