Better Health
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Better Health, Health/Beauty, Arusha.
*Zinc* , a nutrient found throughout your body, helps your immune system and metabolism function. Zinc is also important to wound healing and your sense of taste and smell. With a varied diet, your body usually gets enough zinc. Food sources of zinc include chicken, red meat and fortified breakfast cereals.
. *calcium* to maintain strong bones and to carry out many important functions. Almost all calcium is stored in bones and teeth, where it supports their structure and hardness. The body also needs calcium for muscles to move and for nerves to carry messages between the brain and every body part.
02/01/2021
.
*Selenium* is a powerful mineral that is essential for the proper functioning of your body. It plays a critical role in metabolism and thyroid function and helps protect your body from damage caused by oxidative stress..
02/01/2021
*Magnesium* is a nutrient that the body needs to stay healthy. Magnesium is important for many processes in the body, including regulating muscle and nerve function, blood sugar levels, and blood pressure and making protein, bone, and DNA.
02/01/2021
I haven't posted in a while so here is something to warm our brains
NINI MAANA YA KUPUNGUA NGUVU ZA KIUME?
Unapopungua nguvu za kiume, k**a nilivyosema hapo awali, ina maana ndani ya mwili wako kuna baadhi ya vitu katika vitu nilivyovitaja hapo juu havifanyi kazi vizuri jinsi ipasavyo.
Yawezekana ni figo ndilo halifanyi kazi vizuri, au ini, au tezi dume, au neva ya parasympathetic, au moyo una tatizo au mishipa ya ateri, au misuli ya pelvic au homoni fulani iko juu sana au iko chini sana (hormonal imbalance), orodha ni ndefu sana.
Kitendo cha baadhi ya viungo hivyo kutofanya kazi vizuri basi hapo hutokea upungufu katika nguvu za kiume. Upungufu huo unaweza kuwa ni:
1. Kukosa hamu ya mapenzi; au
2. Uume kusimama kwa uregevu; au
3. Kuwahi kufika kileleni; au
4. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa); au
5. Kushindwa kurudia tendo la ndoa; au
6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo; au
7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji; au
8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu;
Ndugu msomaji, ili uelewe vizuri zaidi labda niseme kwamba, nguvu za kiume ni kiwanda; na ni zaidi ya kiwanda.
Tukichukulia mfano wa kiwanda, ni kwamba ndani ya kiwanda kuna umeme, maji, madawa, watu (wafanyakazi wa kila taaluma na fani), mashine, mitambo n.k.
Ikitokea kitu kimojawapo kukosekana, mathalani umeme, au wafanyakazi wakagoma, au kukakosekana madawa muhimu au maji na kadhaa wakadha, basi bidhaa inayotarajiwa kupatikana sokoni, kwa hakika haitapatikana.
Vivyo hivyo nguvu za kiume, mathalani, ikitokea tezidume kutofanya kazi vyema, basi hapo mwanaume hatoona nguvu za kiume, zitapungua au zitaisha kabisa!
Kwa hiyo upungufu wa nguvu za kiume ni upungufu au kasoro za kiutendaji wa viungo ndani ya mwili wa mwanaume.
Mwanaume yoyote anapaswa kutambua jambo hili, na siyo kukurupuka kubugia dawa tu.
Better Health Send a message to learn more
09/08/2020
UPATIKANAJI WA FANGASI SEHEMU ZA SIRI
Mtu anapokunywa dawa za kuu bacteria kutokana na ugonjwa mwingine bacteria k**a kuhara damu, husababisha bacteria walinzi wa mwili kufa, hivyo kuongeza hatari ya mwili kushambuliwa na ugonjwa wa fangasi.
Ikiwa kinga yako ta mwili itashuka kutokana na maradhi k**a VVU/UKIMWI au lishe duni pia mwili wako utakuwa katika hatari zaidi ya kupata maradhi ya fangasi.
Hata hivyo, maradhi ya fangasi yanaweza kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa kuchangia nguo au vifaa vya kuogea na kujamiana na mtu mwenye ugonjwa wa fangasi.
Wanaume wengi wanaosumbuliwa sehemu za siri huishi maeneo yenye joto sana k**a Pwani, Lindi, Mtwara, Tanga na Dar es salaam.
Kuishi sehemu yenye joto pamoja na kuvaa nguo za kubana zisizo tengenezwa na pamba kwa asilimia 100 kunafanya sehemu za siri kuwa na unyevunyevu, hivyo kutengeneza mazingira mazuri kwa fangasi kuzaliana na kuongezeka.
DALILI ZA FANGASI SEHEMU ZA SIRI KWA MWANAUME
Sehemu za siri za mwanaume hata ndani ya uume, korodani, eneo katikati ya makalio na kuzunguka korodani hadi kwenye mapaja huathirika na ugonjwa wa fangasi.
Kichwa cha uume hubadirika na kuwa chekundu na kuwasha.
Ngozi inayozunguka sehemu za siri huwasha, kukak**aa na kutoa majimaji ambayo hutoa harufu mbaya.
MATIBABU YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI
Ikiwa una dalili za ugonjwa wa fangasi ni vyema tuwaeiliane ili uweze pata tiba ambayo ni sahihi na tatizo lako
Kwasababu ugonjwa usipopata tiba sahihi ugonjwa huwa sugu Sasa basi
Tiba kamili ya fangasi ni
1..Prost
2..micr
3..Anatc
FANGASI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAUME
FANGASI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAUME
Idadi kubwa ya watu husumbuliwa na tatizo la kuwashwa sehemu za siri bila kujari jinsia na umri.
Kuwashwa sehemu za siri kunaweza kuwa dalili ya maradhi mbalimbali ndani ya mwili wako pengine isiwe ni fangasi na ikawa ni mzio(allergy) tu.
Lakini watu wengi wanaamini kuwashwa sehemu za siri kunasababishwa na fangasi tu, sio kila muwasho ni fangasi
Mara nyingi muwasho sehemu za siri unaosababishwa na kitu huisha wenyewe kitu hicho kikiondolewa. Kuondolewa kwa kitu hicho kunatia ndani ya matibabu sahihi na kuendelea na njia bora za kujikinga kutopata mammbukizi tena. Vitu vingine vinavyosababisha muwasho huhitaji matibabu ya hali ya juu zaidi. Ikiwa unawashwa kwa muda mrefu ni vyema kuzungumza na daktari. Kukaa na ugonjwa kwa muda mrefu kunaweza sababisha ugonjwa kusambaa mwilini na kuongeza hatari ya kifo.
SABABU ZA MUWASHO SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAUME
Kuwashwa uume au sehemu zingine za mwanaume husababishwa na sababu zile zile zinazosababisha muwasho sehemu nyingine za mwili.
Maradhi ya fangasi husababisha muwasho kwa wanaume wengi sababu nyingine ni k**a ugonjwa wa upele (scabies), kuwepo kwa chawa, mzio na maabukizi mengine ya bacteria, maambukizi hasa ya magonjwa ya zinaa ndio chanzo kikuu cha kuwashwa uume.
FANGASI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAUME
Maradhi ya fangasi (candidiasis) husababishwa na vimelea viitwavyo candida albicans. Vimelea hivi hushambulia jinsia zote ingawa hushambulia sana jinsia ya k**e kutokana na maumbile yao ya sehemu za siri kuwa na unyevunyevu kitu kinasosababisha wao kuathiriwa zaidi.
Watu wengi wana vimelea hivi katika miili yao kwa kiwango kidogo sana. Kinga ya mwili ikisaidiwa na bacteria walinzi wa mwili huweza kupambana na vimelea hivi.
Better Health Send a message to learn more
Ukiachilia mbali dawa na upasuaji, kuna matibabu mengine ambayo yanatuliza dalili za arthritis.
Kulingana na tafiti mbalimbali inawezekana kupunguza maumivu ya viungo kwa kutumia tiba ya asili ya jamii ya China ijulikanayo k**a ‘acupuncture’.
Tiba hii huusisha kuingizwa kwa sindano maalum kwenye eneo lililoathirika ambapo hupunguza maumivu, kuimarisha mzunguko wa viungo na ubora wa maisha ya mgonjwa.
Pia baadhi ya virutubisho vyenye mchanganyiko wa madini ya ‘Chondroitin sulfate’ vinaweza kutumika kutibu arthritis.
HII NDIO TIBA SAHIHI YA HUU UNGONJWA BILA YA UPASUAJI WALA SINDANO.
Tumia tiba ya Virutubisho ambavyo vinaenda kwenye chanzo Cha tatizo ambavyo ni
1.Arthrox
2.Micr
3.Zamin
4.Nove
Na unatakiwa utumie siku 45 bila kuacha
Ukitumia kwa umakini basi hautakuwa na changamoto za huu ungonjwa.
Better Health Send a message to learn more
03/08/2020
Pia baadhi ya kazi zinaweza kuwa kichocheo kwa mtu kupata maumivu hasa ya magotini.
Kwa kazi ambazo mtu anatumia muda mwingi kuinama, kuchuchumaa na kusimama, hii zaidi huwapata wafanyakazi wote wa viwandani na bustani.
Hata hivyo, hakuna jambo la kufanya litakalo kulinda dhidi ya arthritis kwa asilimia 100, japokuwa zipo hatua unazoweza kutumia kila siku kupunguza hatari ya kupata maumivu kwenye maungio.
Jiepushe na uzito uliopitiliza, kuvuta sigara na kula mlo kamili unaozingatia afya ya mwili.
K**a unapenda kufanya mazoezi, chagua vifaa vitakavyokukinga na majeraha.
Hakikisha unatembea kwa uangalifu na ikitokea umepata jeraha kwenye maungio pata muda wa kumpuzika ili kurejea katika hali ya kawaida.
Isipokuwa daktari amekuambia vinginevyo, ni vizuri kufanya mazoezi hata k**a una arthritis.
Mazoezi yatasaidia kupunguza maumivu, kuongeza nguvu na viungo kuimarika.
Zingatia aina ya zoezi unayofanya ili kujiweka katika tahadhari ya kiafya.
Dalili nyingine ambayo inaweza kumpata mtu ni kuchoka kusiko kwa kawaida ambako kunaambatana na maumivu yasiyo ya kawaida na wakati mwingine kupoteza fahamu. Ikitokea hali hiyo ni vema kumuona daktari.
Ili ujigundue haraka kuwa una arthritis ni kujitokeza kwa uvimbe wa duara kwenye vidole vya miguu, mikono na kiwiko cha mkono.
Bahati mbaya, Hospital wanasema hakuna dawa ya uhakika ya kutibu arthritis, lakini daktari akikutibu anakupa dawa ya kutuliza maumivu na kuvimba ili kupunguza athari na kukurejesha katika hali ya kawaida.
Ikiwa dawa hazijamaliza tatizo, mgonjwa anaweza kufanyiwa upasuaji hasa kwenye kiuno, nyonga au kubadilisha kisigino cha mguu.
Hata hivyo, upasuaji sio njia sahihi kwasababu wataalamu wanasema hupunguza utendaji wa viungo husika baada ya upasuaji.
02/08/2020
Osteoarthritis mara nyingi huwapata watu walio na umri zaidi ya miaka 50 au wakimbiaji wa mbio ndefu, hii ni kulingana na taasisi ya Osteoarthritis Research Society International.
Rheumatoid arthritis ni jamii ya maumivu ya viungo ambayo huusisha kuvimba na kubadilika rangi kwa viungo zaidi ya kimoja kwa wakati mmoja.
Mikono, kiuno na magoti ndio huathirika zaidi. Huwapata watu wenye umri kati ya miaka 40 na 60.
Licha ya arthritis kuhusishwa na umri, kuna sababu zingine hatarishi ambazo zina mahusiano ya karibu na maradhi hayo ikiwemo jinsia.
Kwa mujibu wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha nchini Marekani kinaeleza kuwa asilimia 52 ya watu wazima wanaopatwa na arthritis ni wanawake.
Wanawake wako katika hatari zaidi ya kupatwa na maradhi hayo kuliko wanaume.
Sababu nyingine ni uzito kupita kiasi.
Watu wenye uzito kupita kiasi wako hatarini kupata maumivu kwenye maungio hasa magotini.
Waatalamu wa afya wanaeleza kuwa miguu huelemewa na uzito wa mwili wakati wa kutembea ambapo mifupa husigana na ngozi kuvimba.
Click here to claim your Sponsored Listing.
