Bfsuma Arusha

Bfsuma Arusha

Share

Tunatoa ushauri wa afya na Tiba kwa kutumia virutubisho lishe ๐Ÿ“ž0695585552

26/01/2026

*๐Ÿ” ๐‰๐ž, ๐ฎ๐ง๐š๐ญ๐š๐ญ๐ข๐ณ๐ข๐ค๐š ๐ง๐š ๐Œ๐š๐จ๐ง๐จ ๐ฒ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐”๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ?*
*๐“๐ฎ๐ง๐š๐ฐ๐š๐ฅ๐ž๐ญ๐ž๐š ๐’๐ก๐š๐ซ๐ฉ๐•๐ข๐ฌ๐ข๐จ๐ง ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐›๐ซ๐ข๐ ๐ก๐ญ future ๐ฉ๐ก๐š๐ซ๐ฆ๐š๐œ๐ž๐ฎ๐ญ๐ข๐œ๐š๐ฅ๐ฌ! ๐Ÿ‘“*

โ†”๏ธIwapo umechoka kukodolea macho na kukaza macho ili kuona vizuri, nyongeza yetu ya kimapinduzi ya "SharpVision" iko hapa kukusaidia.
โ†”๏ธImeundwa kwa mchanganyiko wenye nguvu wa vitamini, madini, na antioxidants, SharpVision inasaidia maono yenye afya na kukuza macho zaidi.

*Faida kuu za Sharp Vision:-*
- ๐ŸŒฟ Hulinda dhidi ya kuzorota kwa seli za uzee
- ๐Ÿ”ฌ Huongeza usikivu wa utofautishaji na uwezo wa kuona usiku
- ๐Ÿ’ป Hupunguza mkazo wa macho kutoka kwenye screen.
- ๐Ÿง  Husaidia kazi ya utambuzi na umakini wa kiakili

โ†”๏ธImetengenezwa kwa viambato vilivyotolewa kwa uangalifu na vya hali ya juu, SharpVision ni njia salama na bora ya kulisha macho yako na kudumisha afya bora ya kuona.
โ†”๏ธUsiruhusu uoni hafifu kukuzuie tena. Pata uzoefu wa uwazi na ujasiri unaokuja na Sharp Vision. **
Wasiliana nasi 0695585552

26/01/2026
18/08/2025

*INI LIMEFELI, FIGO IMEFELI ,MOYO UMETANUKA BASI TUMIA BIDHAA HII UPONE NDANI YA SAA 24 TU.*

Ni Bidhaa yenye asili ya mafuta iliyotegenezwa kwa viambata asili kwa ajili ya kuboresha kinga ya mwili wako.

โ—Bidhaa hii inafanya kazi zifuatazo:

โ—Husaidia Kuboresha Afya ya Ini kwa kuponya ini lililofeli

โ— Husaidia Kuondoa uvimbe mbali mbali mwilini mfano uvimbe utokanao na kansa nk
โ—Husaidia Kuondoa sumu mwilini kwa kuboresha afya ya figo pia hutibu figo iliyofeli
โ— Husaidia Kuboresha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula
โ—Husaidia Kuondoa uchovu na kuboresha usingizi
โ—Husaidia kupunguza kasi ya ukuaji wa maradhi ya kansa
โ— Husaidia kuweka sawa kiasi cha mafuta mwilini
โ— Husaidia kuboresha mfumo wa mazunguuko wa Damu (cardiovascular health)
โ—Husaidia kuboresha Afya ya Kongosho na kuweka sawa kiasi cha sukari Mwilini.
โ—Husaidia kuboresha Afya ya ngozi Kuboresha muonekano

Ili kuipata bidhaa hii piga simu au tuma ujumbe kupitia namba hii 0695585552.

06/08/2025

๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—™๐—”๐—›๐—”๐— ๐—จ ๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” ๐—ญ๐—” ๐—™๐—˜๐— ๐—œ๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ช๐—˜๐—ช๐—˜ ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜

๐—™๐—˜๐— ๐—œ๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜ ni Dawa au Tiba ya Asili kutoka USA ambayo hutumiwa na Wanawake kwaajili ya kuondoa changamoto mbalimbali Ukeni. Imetengenezwa kiasili 100% haina kemikali mbaya.

๐—ญ๐—œ๐—๐—จ๐—˜ ๐—™๐—”๐—œ๐——๐—” 9 ๐—ญ๐—” ๐—™๐—˜๐— ๐—œ๐—–๐—”๐—ฅ๐—˜

1. Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaochangia vyoo.

2. Inatibu Fangasi sugu ukeni na U.T.I sugu.

3. Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D ikitumika na Yunzi.

4. Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.

5. Inafanya Uke kuwa msafi na mkavu muda wote.

6. Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika ikitumika na Yunzhi.

7. Inakaza misuli ya Uke uliolegea na kuwa tight.

8. Inaondoa maumivu ya Tumbo chini ya kitovu. (chango).

9. Inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.
`
Uke ni sehemu ya wazi yenye unyevu unyevu ni rahisi Kuvurugwa na kupata Maambukizi ya Mara kwa mara, Utibu na Utunze kwa kutumia Femicare feminine cleaner, Kiboko ya Maambukizi yote Ukeni na kwenye via vya Uzazi.
-
Tunapatikana
Arusha
Dodoma
Mwanza
Dar es es salaam

Wasiliana nasi
0695585552.

11/07/2025

*DAWA ZA KUSAFISHA MFUMO MZIMA WA UZAZI*

Ni muhimu mno kwa kila mwanamke anayetafuta mimba kuipata, ni natural modified herbs special kwa shida ya uzazi.

1) Dawa zinatoa excess hormones mwilini (kwa wenye hormonal imbalance eg K**a una prolactin nyingi mwilini)

2) zinafanya mzunguko wa damu kwenye mfumo wa uzazi uwe vizuri kabisa (more blood, more health, more fertile) lakini maisha ya siku hizi vyakula vinavyoliwa sumu yaani Toxins zinajaa mwilini,detox ni muhimu Sana ili kurudisha Hali ya cells kwenye ufanyaji kazi Bora.

3) Mirija yenye infection, iliyojaa maji zinasaidia ku clear.

4) cyst au vimbe ndogo ndogo zinazosababishwa na infection au mvurugiko wa hormones

5) pH ya uke inakaa sawa na kurudisha wadudu walinzi wa ukeni

6) Zinasaidia kuivisha mayai na kupevusha.

K**a una shida ya uzazi yaani hupati mimba au unapata mimba zinatoka hii *MAMA FERTILITY CLEANSER KIT*
ni muhimu Sana ukaipata special kurudisha Hali nzima ya mfuko wa uzazi katika Hali nzuri zaidi.
Wasiliana nasi +255695585552 kwa ushauri zaidi.

08/07/2025

*MWANAUME RIJALI PACKAGE*

Ni tiba maalumu ya Upungufu Wa Nguvu Za Kiume.

*FAIDA ZAKE*

๐Ÿ‘‰๐Ÿป Huongeza Hamu TENDO hata k**a ilipo tea kabisa

๐Ÿ‘‰๐Ÿป Huongeza Wingi Wa Afya Wa Mbegu Za Kiume

๐Ÿ‘‰๐Ÿป Huondoa Tatizo la Maumivu ya Uume Ukiwa Umesimama

๐Ÿ‘‰๐Ÿป Humfanya Mwanaume Akae tendoni Muda Mrefu

๐Ÿ‘‰๐Ÿป Humfanya Mwanaume Arudie Tendo kwa haraka zaidi na Kwenye Ubora wa Hali ya juu

๐Ÿ‘‰๐Ÿป Huufanya Uume usimame k**a msumari

๐Ÿ‘‰๐Ÿป Huongeza ukubwa wa uume

We๐Ÿ‘‰๐Ÿป Huondoa Tatizo la Upungufu Wa Nguvu za kiume Na UGUMBA

Tiba Hii ni ya asili Haina Madhara yeyote kabisa Na inatibu tatizo mazima na Kuweka Kinga.

SASA INAPATIKANA TANZANIA NZIMA WASILIANA NASI KUPITIA WAHI KIPINDI ICHI CHA PUNGUZO LA GHARAMA..

PIGA/SMS/WHATSAPP 0695585552.

20/06/2025

*FAIDA UTAKAZO ZIPATA MWILINI UKITUMIA NMN DUO RELEASE*



๐ŸŸขInasaidia kutatua na changamoto za mifupa k**a vile osteoporosis
๐ŸŸขInasaidia kuboresha ngozi kutokana na colagen iliyopo
๐ŸŸขInatibu na kuzuia changamoto ya kisukari
๐ŸŸขinatatua changamoto za mabadiliko ya hormone
๐ŸŸขInasaidia kutibu kipanda uso
๐ŸŸขInasaidia kurekebisha DNA zilizoharibika
๐ŸŸขINATIBU magonjwa ya akili
๐ŸŸขInaboresha na kurudisha kumbukumbu hasa kwa wazee
๐ŸŸขINATIBU vimbe kwa figo
๐ŸŸขInaondoa vimelea vya saratani
๐ŸŸขNi Ant aging ambayo itakufanya uwe na mwonekano mzuri kila wakati.
๐ŸŸขINATIBU changamoto za macho k**a vile fresha ya macho na ukungu.
๐ŸŸขInazuia magonjwa yatokanayo na umri/ maradhi ya uzeeni

NMN DUO RELEASE -ni tiba lishe Ambayo imetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu sana kwa kutumia technology kubwa iitwayo *CUTTING EDGE TECHNOLOGY* Ambayo inaifanya bidhaa hii kuweza kuleta matokeo ndani ya dakika 30,kutokana na ilivyotengenezwa kwa matabaka mawili .

โ€ข NMN 100mg/kwa kila kidonge.
Hii inasaidia kuongeza uwezo wa NAD+ ili kuzalisha nguvu kwa haraka zaidi ndani ya dakika 30 mpaka kupata matokeo.
โ€ข NMN 200mg/kwa kila kidonge kimoja.
Hili ni tabaka ambalo limebeba 200mg za nmn na inachukua zaidi ya masaa 24 kwenye kuongeza NAD+ kwa Ajili ya kuboresha seli za viungo vya ndani visishambuliwe na maradhi nyemelezi na kuzeeka haraka.k**a vile moyo,figo,ini,kongosho nk.

NMN DUO RELEASE imetengenezwa na viambata hai vifuatavyo.
โ€ขNMN
โ€ขhydroxypropyl methylcellulose
โ€ขsilicon dioxide
โ€ขmagnesium stearate
โ€ขsunset yellow (E110)etc

NMN DUO RELEASE kwenye chupa 1 ina vidonge 30 na inatumia kwa muda wa mwezi 1
Wazee wanashauri kutumia mpaka chupa 3,.
Wasiliana nasi kwa Huduma bora +255695585552

20/06/2025

**๐Ÿ”ฅ DKT. RENNIEHEALTHSOLUTION โ€“ SULUHISHO LA NGUVU ZA KIUME! ๐Ÿ”ฅ**

๐Ÿ›‘ **Je, unakabiliwa na upungufu wa nguvu za kiume?**
โณ Unahisi kupungua kwa hamu, stamina, au uwezo wako wa kudhibiti mambo kitandani?

**SULUHISHO LIPO โ€“ NA NI LA UHAKIKA!**

๐Ÿ“ข **Zaidi ya asilimia 90 ya wanaume waliotumia huduma zetu wameona mabadiliko makubwa!**

๐Ÿ’ช **Rudisha nguvu zako kwa njia salama, ya asili, na yenye matokeo ya kudumu!**

# # # **โœ… FAIDA ZA HUDUMA YETU**
โœ”๏ธ **Tiba lishe maalum kwa kuongeza nguvu**
โœ”๏ธ **Ushauri wa kitaalamu na mafanikio yaliyothibitishwa**
โœ”๏ธ **Mbinu za asili zisizo na madhara kwa mwili**
โœ”๏ธ **Matibabu sahihi yanayokufaa kulingana na hali yako**
โœ”๏ธ **Matokeo ya haraka, salama na ya kudumu!**

**๐ŸŒŸ HATUA MOJA TU KUELEKEA MAFANIKIO!**

๐Ÿ“ž **Wasiliana nami Dkt. :** **+255 695 585 552 **
๐Ÿ“ **Huduma zetu zinapatikana kwa urahisi โ€“ Popote ulipo!**

โณ **Usikubali matatizo ya nguvu za kiume yakupunguzie ujasiri wako! Chukua hatua sasa na ufurahie maisha kwa nguvu mpya!** ๐Ÿ’ช.

13/06/2025

*MATUNDA YANAYOFAA NA YASIOFAA KWA MTU MWENYE SUKARI*

Mtu mwenye ugonjwa wa kisukari (sukari) anaweza kula matunda, lakini kwa kiasi na kwa uangalifu mkubwa ili kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu. Matunda yana sukari asilia (fructose), lakini pia yana nyuzinyuzi (fiber), vitamini na madini muhimu kwa afya. Hapa chini ni baadhi ya matunda bora kwa mtu mwenye kisukari pamoja na maelezo mafupi:

โœ… Matunda Salama kwa Mgonjwa wa Kisukari

1. Parachichi (Avocado)

โ–ก Haina sukari nyingi
โ–ก Ina mafuta mazuri na nyuzinyuzi nyingi
โ–ก Husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye damu

2. Ndimu na Limao (Lemon/Lime)

โ–ก Zina sukari kidogo
โ–ก Tajiri kwa vitamini C
โ–ก Husaidia usagaji wa chakula

3. Matunda ya Blueberries, Strawberries na Raspberries

โ–ก Zina viwango vya chini vya sukari
โ–ก Zina antioxidants na nyuzinyuzi nyingi

4. Papai (Pawpaw)

โ–ก Kiasi kidogo kinaweza kusaidia mmeng'enyo wa chakula
โ–ก Kimejaa vitamini A na C
โ–ก Kula kipande kidogo tu

5. Peasi (Pear)

โ–ก Zina nyuzinyuzi nyingi
โ–ก Kiasi cha wastani kinaweza kusaidia kupunguza spikes za sukari

6. Apples (Tofaa)

โ–ก Kula pamoja na ganda (skin) kwa nyuzinyuzi
โ–ก Kiasi kidogo hakileti madhara
โ–ก Epuka juisi ya apple โ€“ haina nyuzinyuzi

7. Chungwa (Orange)

โ–ก Mojawapo ya vyanzo vizuri vya vitamini C
โ–กKiasi kidogo (k**a moja kwa siku) kinaweza kuwa salama
โ–ก Epuka juisi โ€“ sukari yake ni nyingi

โŒ Matunda ya Kuepuka au Kula kwa Tahadhari

1. Tufaha tamu sana (Red delicious apples)

2. Ndizi kubwa sana (Banana โ€“ hasa zilizoiva sana)

3. Zabibu (Grapes) โ€“ zina sukari nyingi sana kwa kiasi kidogo

4. Embe (Mango) โ€“ tamu sana, sukari yake hupanda haraka

5. Mananasi (Pineapple) โ€“ kiwango cha sukari ni juu

6. Tikiti maji (Watermelon) Ina index ya juu ya glycemic (huongeza sukari haraka)

โ— VIDOKEZO VYA JUMLA

โ–  Kula matunda safi badala ya juisi.
โ–  Kula kwa kipimo โ€“ usizidishe.
โ–  Weka matunda k**a sehemu ya mlo kamili, si vitafunwa tu.

NOTE .
Fuatilia sukari yako ya damu mara kwa mara kujua matunda yanayoathiri kiwango chako.

12/06/2025

BAWASIRI INATIBIKA BILA UPASUAJI

๐Ÿ“ž0695585552 /0746566886

BAWASIRI NI NINI?
- Ni ile hali ya mishipa ya vein iliyopo katika njia ya haja kubwa kutanuka na kujaa damu na kupelekea kupasuka na kusababisha kuvimba vinyama sehemu ya haja kubwa.
Bawasili ni ugonjwa mojawapo ambao unamfanya muathilika kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba.

KUNA AINA MBILI ZA BAWASIRI

1.BAWASIRI YA NJE:

hii ni bawasili ambayo hutokeza nje ya eneo la haja kubwa yaan kinyama kuvimba katika eneo la haja kubwa

2.BAWASIRI YA NDANI:

hii ni bawasili ambayo haionekani nje lakini hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na kuweza kutoka ukiwa unajisaidia na kurudi baada ya kumaliza au kutoka ukiwa unajisaidia na hairudi mpaka uirudishe kwa mkono.

SABABU ZA BAWASIRI

-Kukosa choo kwa muda mrefu na kupata choo kigumu
-Kuharisha muda mrefu
-Kufanya kazi ngumu
-Kuwa na uzito mkubwa
-Kuwa mjamzito
-Umri mkubwa
-Mmen'genyo wa chakula kutokuwa mzuri

DALILI ZA BAWASIRI

1;kinyesi kuchanganyika na damu
2;kuota vinyama njia ya haja kubwa
3;kupata miwasho sehemu ya haja kubwa
4;kutoka vinyama wakati wa kujisaidia

MADHARA YA BAWASIRI

:upungufu wa damu mwilini
:kupata kansa ya utumbo
:kinyesi kutoka bila kujitambua
:kuathirika kisaikolojia na kukosa raha
:kukosa hamu ya tendo
:kupungukiwa nguvu za kiyume
:mwanamke kushindwa kujifungua salama (mjamzito). Tumia dawa HEBRONE huponya daima ndani ya majuma mawili iwe ya kinyama au muwasho. Watu wengi wamerejesha matumaini Yao baadae ya kupona kabisa na haitajirudia.

Ili kupata SULUHISHO piga simu au tuma ujumbe kupitia namba hii 0695585552.
BFSuma arushatanzania ttarime bukobasimsimiyunsongwektiktokmbia bawasili manyara tibaasili

Photos from Bfsuma Arusha's post 04/06/2025

FEMICALCIUM D3 SASA INA

PATIKANA MADUKANI!

Kinga ya maisha ya Mama pamoja na mtoto alietumboni

Tunayo furaha kuwajulisha kuwa bidhaa mpya ya FemiCalcium D3, sasa inapatikana. Hii ni bidhaa lishe ya kisayansi iliyotengenezwa mahsusi kwa ajili ya wanawake wajawazito katika hatua zote tatu za ujauzito pamoja na wakati wa kunyonyesha.

Faida Kubwa za FemiCalcium D3

Ina 210mg za Calcium Citrate- Hufyonzwa haraka, haina madhara tumboni, hupunguza kuvimbiwa

100IU Vitamin D3 kwa kila kidonge - Husaidia mwili kufyonza calcium kwa ufanisi

Msaada wa hatua zote Tatu za wakati wa ujauzito. Inafaa kabla ya ujauzito, wakati wa ujauzito, na kunyonyesha

Laini kwa tumbo, salama na yenye matokeo ya haraka.

Je, Unajua?

Zaidi ya asilimia 55 ya mama wajawazito katika jamii zetu hukabiliwa na upungufu wa calcium

Hali hii husababisha matatizo k**a vile shinikizo la juu la damu, maumivu ya mgongo na miguu, uchovu, na matatizo ya ukuaji wa mifupa kwa mtoto

FemiCalcium D3 husaidia kuzuia matatizo haya na kuimarisha afya ya mama na mtoto

Faida Nyingine:

Huzuia kuchoka na kukosa usingizi

Hupunguza maumivu ya mgongo na miguu

Huimarisha meno, kucha, na mifupa

Husaidia uponaji baada ya kujifungua

Rahisi kumeng'enywa tumboni na haina madhara

Maelekezo ya Matumizi

Dozi: Vidonge 3 kwa siku, inywewe na maji

Ujazo: Vidonge 120 kwa chupa

Chagua Afya. Chagua Utulivu. Chagua FemiCalcium D3.

USIKOSE - AFYA YAKO NA YA MTOTO WAKO NI MUHIMU!

CALL US!!! 0695585552.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Arusha