Mjukuu wa Mfalme

Mjukuu wa Mfalme

Share

I HAVE DECIDED TO START A NEW PAGE

06/02/2026

Laitinesi alex

07/08/2025

Love

29/12/2024

ubaya ubwela

21/09/2024

Hey check out the bet I just placed on Sportybet!
http://www.sportybet.com/tz/?shareCode=544504

24/08/2024

REST IN PEACE AZAM FC🤣🤣😂😂

30/07/2024

Pamoja na ubovu tuliyokuwa nao ila huyu refa ana uyanga sana ...hilo halikwepeki na angalia mechi zote za muhimu lazima uto wambebe.mechi za Azam na yanga ,mechi za Simba na yanga na mechi yoyote ngumu uto watashinda hata k**a wamezidiwa siku hiyo ilimradi arajiga yupo

Kwani hamkuona jinsi Azam wakivyonyongwa juzi Zanzibar fainali ya FA?

Anachofanya arajiga ukichezewa faulu anajifanya anatumia busana hakupi faulu na akikupa faulu hatatoa kadi na wakati mwingine ukifanyiwa faulu atajifanya hajaona......ila sasa mfanyie uto ndio utamjua arajiga ni nani.uto atapewa Kila kitu na ukicheza hata penalty apewe

Mara ngapi mechi za Simba na yanga mchezaji wa Simba anafanyiwa rafu ndani ya boksi na hakuna penalty ?

Alichotakiwa afanye arajiga ni kumpa diara red alafu atoe faulu kwa Simba.....sasa alichofanya arajiga ni kuwapa Simba faulu tu ya kawaida na diara akaendelea kudunda uwanjani

Mfano halisi mechi tuyofungwa Tano na uto......angalia faulu aliyofanyiwa kibu na diara .......kwanza diara hakugusa mpira na alikuwa mtu wa mwisho.

Madhara kwa Simba mchezaji muhimu ameumizwa kwa makusudi kabisa na refa yupo anaangalia .......kuanzia hapo kibu alivyotoka ndio Tano zilipoanza kujitengeneza..... Kibu ndio alikuwa anawafanya uto wasipande na wakioanda walikuwa wanapanda kwa uogoa.

Sasa hapo utasema arajiga Yuko sawa?

Kwani hukuona Ile faulu aliyowapa penalty uto yanga wakafunga goli la Tano k**a ilikuwa ya kawaida sana?unafikiri ingekuwa mchezaji wa Simba angepewa penalty

Sawa uto mwaka Jana walikuwa vizuri ndio ila arajiga aliwasaidia sana kwenye mechi muhimu

Mechi ya nusu fainal ya fa ihefu na yanga uliiona?

Kwani hujui kuwa arajiga ndio ametoka kwenye adhabu ya kufungiwa? Inamaana alipendelea timu sio?

Kwenye ukweli tuseme ingawa pia na timu yetu haikuwa vizuri ila na arajiga ana misimu mitatu hivi uto wanamtumia......mechi hata iwe ngumu kiasi gani nikishamuona arajiga Yuko kati lazima uto ashinde

Arajiga ni wakupinga kabisa.....hafai kabisa....achezeshe mechi zingine lakini mechi zinazomuhusu Simba Yanga na Azam asipewe

Utaratbu ufatwe2 kuandikwe barua ykumkataa refa

Simba SC Tanzania Shadrack Simbeye Simba Sc Umoja Wetu Ahmed Ally

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Arusha