Mjukuu wa Mfalme
I HAVE DECIDED TO START A NEW PAGE
Laitinesi alex
Love
ubaya ubwela
21/09/2024
Hey check out the bet I just placed on Sportybet!
http://www.sportybet.com/tz/?shareCode=544504
REST IN PEACE AZAM FC🤣🤣😂😂
Pamoja na ubovu tuliyokuwa nao ila huyu refa ana uyanga sana ...hilo halikwepeki na angalia mechi zote za muhimu lazima uto wambebe.mechi za Azam na yanga ,mechi za Simba na yanga na mechi yoyote ngumu uto watashinda hata k**a wamezidiwa siku hiyo ilimradi arajiga yupo
Kwani hamkuona jinsi Azam wakivyonyongwa juzi Zanzibar fainali ya FA?
Anachofanya arajiga ukichezewa faulu anajifanya anatumia busana hakupi faulu na akikupa faulu hatatoa kadi na wakati mwingine ukifanyiwa faulu atajifanya hajaona......ila sasa mfanyie uto ndio utamjua arajiga ni nani.uto atapewa Kila kitu na ukicheza hata penalty apewe
Mara ngapi mechi za Simba na yanga mchezaji wa Simba anafanyiwa rafu ndani ya boksi na hakuna penalty ?
Alichotakiwa afanye arajiga ni kumpa diara red alafu atoe faulu kwa Simba.....sasa alichofanya arajiga ni kuwapa Simba faulu tu ya kawaida na diara akaendelea kudunda uwanjani
Mfano halisi mechi tuyofungwa Tano na uto......angalia faulu aliyofanyiwa kibu na diara .......kwanza diara hakugusa mpira na alikuwa mtu wa mwisho.
Madhara kwa Simba mchezaji muhimu ameumizwa kwa makusudi kabisa na refa yupo anaangalia .......kuanzia hapo kibu alivyotoka ndio Tano zilipoanza kujitengeneza..... Kibu ndio alikuwa anawafanya uto wasipande na wakioanda walikuwa wanapanda kwa uogoa.
Sasa hapo utasema arajiga Yuko sawa?
Kwani hukuona Ile faulu aliyowapa penalty uto yanga wakafunga goli la Tano k**a ilikuwa ya kawaida sana?unafikiri ingekuwa mchezaji wa Simba angepewa penalty
Sawa uto mwaka Jana walikuwa vizuri ndio ila arajiga aliwasaidia sana kwenye mechi muhimu
Mechi ya nusu fainal ya fa ihefu na yanga uliiona?
Kwani hujui kuwa arajiga ndio ametoka kwenye adhabu ya kufungiwa? Inamaana alipendelea timu sio?
Kwenye ukweli tuseme ingawa pia na timu yetu haikuwa vizuri ila na arajiga ana misimu mitatu hivi uto wanamtumia......mechi hata iwe ngumu kiasi gani nikishamuona arajiga Yuko kati lazima uto ashinde
Arajiga ni wakupinga kabisa.....hafai kabisa....achezeshe mechi zingine lakini mechi zinazomuhusu Simba Yanga na Azam asipewe
Utaratbu ufatwe2 kuandikwe barua ykumkataa refa
Simba SC Tanzania Shadrack Simbeye Simba Sc Umoja Wetu Ahmed Ally
Click here to claim your Sponsored Listing.
