Lemay's supplements
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Lemay's supplements, Health/Beauty, Arusha.
Lemayโs Supplements ๐๐ฟ
Suluhisho la matatizo ya afya ๐ช
Virutubisho HALISI vya BF Suma Tanzania ๐น๐ฟ
๐ฆด Mifupa & viungo | ๐ฉบ Afya kwa ujumla
๐ฆ Huduma ya haraka
๐ Wasiliana: 0628 062 258
anakumbana na usumbufu wa kwenda chooni mara kwa mara, kuamka usiku au maumivu yanayohusiana na tezi dume (prostate), huu ni wakati wako ๐ฟ
ProstanRelax Capsules zimetengenezwa kusaidia afya ya prostate kwa njia salama na ya asili. Habari njema zaidi ni kwamba kuna OFA MAALUM kwa sasa! ๐ฅ
๐ Punguza usumbufu
๐ Lala kwa amani bila kuamka mara kwa mara
๐ Jali afya yako mapema
Usisubiri hali iwe mbaya. Chukua hatua leo kwa afya yako ya baadaye.
๐ฉ Wasiliana nasi sasa upate punguzo hili kabla halijaisha!
18/04/2025
JUICE YENYE MCHANGANYIKO WA PAPAI, CHUNGWA, EMBE, NA MAJI YA N**I INA FAIDA NYINGI SANA.
Mchanganyiko wa papa (papai), chungwa, embe, na maji ya n**i una faida nyingi mwilini:
Huimarisha kinga ya mwili โ Chungwa, embe na papai vina vitamini C nyingi.
Huboresha usagaji wa chakula โ Papai lina enzyme ya papain inayosaidia kumengโenya chakula.
Huondoa sumu mwilini (detox) โ Maji ya n**i husafisha figo na kusaidia mwili kutoa sumu.
Huongeza maji mwilini (hydration) โ Maji ya n**i na matunda yana maji mengi yanayozuia upungufu wa maji.
Hulinda ngozi na macho โ Embe na papai vina vitamini A na antioxidants kwa ajili ya ngozi na macho.
Husaidia mfumo wa mmengโenyo โ Nyuzinyuzi kutoka kwa matunda haya huboresha choo na kumengโenya vizuri chakula.
Kwa ushauri zaidi juu ya lishe mbalimbali wasiliana nasi kwa simu 0747622258
Ni mchanganyiko bora kwa afya ya kila siku. Unataka nitengeneze juisi au smoothie recipe ya haya?
31/01/2025
Celebrating my 1st year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. ๐๐ค๐
19/11/2024
Magonjwa ya mifupa na maungio yana sababishwa na vitu vingi sana ikiwemo
Ajali
Aina za ukaaji hasa ofisin
Kuumia kwa namna moja ama nyingine na mda mwingine unaweza usijue
Mazoezi mazito
Ulaji mbaya wenye kuleta mkusanyiko wa uric acid na kupunguza uzalishaji wa ute ute kwenye joints
Kuendesha gari masafa marefu mara kw maara
Zipo athari nyingi mtu anapata akiwa na matatizo ya mifupa na maungio k**a
Ganzi
Misuli kuwaka moto
Uchovu
Kudhoofika kw mifumo mingine km upungufu wa nguvu za kiume na hormone imbalance, macho, nk
Sasa basi acha kuendelea kuteseka matatizo yote ya mifupa na maungio yanatibika na virutubisho lishe bora kutoka marekani
Wasiliana nami mr moh mriri mtalamu wa afya na tiba lishe
call 0628 062 258
Click here to claim your Sponsored Listing.
