AFYA YANGU
👉 Health/Wellness
👉Ushauri
👉 Huduma ya Virutubisho ( Suppliments)
👉Hatutoi DAWA, virutubisho ni asilimia sio kemikali. KUMBUKA; unakuwa kile unachokula.
kula kwa afya
Whatspp: 0750044103
Omega 3, FAIDA YA mafuta ya samaki.
Boni Moshi BM Elimu Ya Afya
Boni Moshi BM
02/01/2026
‎ALOE VERA GEL. Ni juice iliyotengenezwa kutokana na mmea wa Aloe vera Aloe vera bora duniani,ina vitamini A B C E &B12 madini, calcium,sodium,potassium,Iron, magnesium,copper,zinc,Amino acid na folic acid. FAIDA ZA KUNYWA ALOE VERA GEL.
1. Husaidia kusafisha mwili kuondoa taka mwili tunazozipata kupitia vyakula,dawa,vinywaji na hewa chafu tunayovuta.
2 kuboresha na kuimarisha Afya ya mfumo was mmeng'enyo wa chakula na
‎KUSAIDIA KWA WENYE CHANGAMOTO YA KUPATA CHOO.
3. Husaidia uzalishaji wa chembe hai nyeupe kwa kuimarisha kinga ya mwili
4.Huzuia vimbe na kuondosha tumboni,au kwenye kizazi.
5.upunguza vyanzo au madhara ya aleji mwilini.
6.Usaidia ufanyaji kazi mzuri wa Figo,INI, Tezi dune,misuli,mifupa, na kung'arisha ngozi.
7. Husaidia kuupa mwili nguvu na
‎KUONDOA UCHOVU WA KILA WAKATI.
‎Siyo DAWA NI BIDHAA ASILI YENYE VIINI LISHE VYA KULISHA NA KUBORESHA CELL.
‎
‎@0750044103
‎ALOE VERA GEL. Ni juice iliyotengenezwa kutokana na mmea wa Aloe vera Aloe vera bora duniani,ina vitamini A B C E &B12 madini, calcium,sodium,potassium,Iron, magnesium,copper,zinc,Amino acid na folic acid. FAIDA ZA KUNYWA ALOE VERA GEL.
1. Husaidia kusafisha mwili kuondoa taka mwili tunazozipata kupitia vyakula,dawa,vinywaji na hewa chafu tunayovuta. Pia HARUFU MBAYA YA KINYWA.
2 kuboresha na kuimarisha Afya ya mfumo was mmeng'enyo wa chakula na
‎KUSAIDIA KWA WENYE CHANGAMOTO YA KUPATA CHOO.
3. Husaidia uzalishaji wa chembe hai nyeupe kwa kuimarisha kinga ya mwili
4.Huzuia vimbe na kuondosha tumboni,au kwenye kizazi.
5.upunguza vyanzo au madhara ya aleji mwilini.
6.Usaidia ufanyaji kazi mzuri wa Figo,INI, Tezi dune,misuli,mifupa, na kung'arisha ngozi.
7. Husaidia kuupa mwili nguvu na
‎KUONDOA UCHOVU WA KILA WAKATI.
‎Siyo DAWA NI BIDHAA ASILI YENYE VIINI LISHE VYA KULISHA NA KUBORESHA CELL.
‎@0750044103
‎
‎ALOE VERA GEL. Ni juice iliyotengenezwa kutokana na mmea wa Aloe vera Aloe vera bora duniani,ina vitamini A B C E &B12 madini, calcium,sodium,potassium,Iron, magnesium,copper,zinc,Amino acid na folic acid.
FAIDA ZA KUNYWA ALOE VERA GEL.
1. Husaidia kusafisha mwili kuondoa taka mwili tunazozipata kupitia vyakula, vinywaji, hewa chafu tunayovuta na HARUFU KINYWANI.
2 .kuboresha na kuimarisha Afya ya mfumo was mmeng'enyo wa chakula na
‎KUSAIDIA KWA WENYE CHANGAMOTO YA KUPATA CHOO.
3. Husaidia uzalishaji wa chembe hai nyeupe kwa kuimarisha kinga ya mwili
4.Huzuia vimbe na kuondosha tumboni,au kwenye kizazi.
5.upunguza vyanzo au madhara ya aleji mwilini.
6.Usaidia ufanyaji kazi mzuri wa Figo,INI, Tezi dune,misuli,mifupa, na kung'arisha ngozi.
7. Husaidia kuupa mwili nguvu na
‎KUONDOA UCHOVU WA KILA WAKATI.
‎Siyo DAWA NI BIDHAA ASILI YENYE VIINI LISHE VYA KULISHA NA KUBORESHA CELL.
‎
‎
23/12/2025
FAIDA YA MAZOEZI ZA👇
Unatafuta bidhaa ya natural kwa afya yako? 🌿
Aloe Vera Gel ni chaguo linalotumika na watu wengi kwa:
✔️ Kulainisha ngozi
✔️ Hair care
✔️ Kuacha ngozi ikiwa smooth & fresh
✔️ Harufu nzuri ya kinywa
✔️Choo bila shida
✔️ Kusaidia mmeng'enyo wa chakula
BASI ipo aloevera jel nzuri kwajili ya kuimarisha afya yako.
03/12/2025
Mafuta ya mkia wa kondoo
TIBA YA JOINTS, MGONGO n.k
Na hii ndio jambo la muhimu zaidi kupunguza maumivu ya viungo yaani k**a una changamoto ya maumivu ya joints; mifupa kusagana, Ute Ute umeisha kwenye joints, mgongo kuuma. Basi mafuta ya kondoo ni mazuri sana.
Mafuta hata yanaponywewa kila asubuhi kabla ya kula chochote husaidia kuponesha viungo na kuupa mwili Afya.
🔕Angalizo; unywaji wake husababisha mzigo wa kuharisha au kutapika. Utumie kwa uangalifu.
Karibu tuna virutubisho vizuri vya kusaidia kuondoa changamoto ya Maumivu ya joints, kulainisha JOINTS, MGONGO, MAGOTI.
Tucheki whtsp 👇
@0750044103
Boni Moshi BM Forever Living Products International AFYA YANGU Health Bongo5.com JamiiForums 0615 884 517
28/11/2025
*FAIDA ZA MAFUTA YA SAMAKI KWA MWANAUME*
*1. Huimarisha afya ya moyo*
Mafuta ya samaki yana Omega-3 (EPA & DHA) ambayo hupunguza mafuta mabaya , kupunguza shinikizo la damu na kulinda mishipa ya damu.
*2. Huongeza nguvu za mwili na stamina*
Omega-3 husaidia kupunguza uchovu, kuboresha mzunguko wa damu na kuongeza nguvu wakati wa kazi au mazoezi.
*3. Kuboresha uwezo wa uzazi (fertility)*
Kwa wanaume, mafuta ya samaki yanaweza:
Kuongeza ubora wa mbegu (motility)
Kuongeza idadi ya mbegu
Kupunguza uharibifu wa mbegu kutokana na oxidative stress
*4. Huimarisha ubongo na kumbukumbu*
Yanasaidia kuimarisha focus, kupunguza stress na kuboresha uwezo wa kufikiri.
*5. Kupunguza maumivu ya viungo*
Omega-3 hupunguza uvimbe kwenye viungo, hivyo husaidia sana kwa wanaume wenye maumivu ya mgongo, magoti, mabega n.k.
Naamini umepata somo zuri sana na umeelewa,
JE UNGEPENDA KUJUA NAMNA YA KUTUMIA MAFUTA YA SAMAKI?
Boni Moshi BM AFYA YANGU 0615 884 517
22/11/2025
*SASA NDUGU ZANGU NIMEONA TUSILALE BILA KUIPATA HII ELIMU YA TUNDA LA PARACHICHI,,,,*
Parachichi husaidia libido kwa njia hizi:
âś” Huongeza virutubisho vinavyoimarisha homoni za nguvu za kiume
Lina vitamin E, healthy fats na potassium zote hizi huongeza mtiririko wa damu na kusapoti testosterone.
âś” Huongeza nguvu za mwili kwa ujumla
Hufanya mwili uwe na stamina zaidi wakati wa tendo.
âś” Hupunguza msongo wa mawazo (stress)
Stress ikipungua, libido huongezeka.
âś” Huboresha afya ya moyo
Moyo ukiwa vizuri, mzunguko wa damu unakuwa bora er****on imara.
*Zingatia:*
Kwa matokeo mazuri:
Kula parachichi 2–3 kwa wiki ukiwa na mlo wenye protini na maji ya kutosha.
Naamini nmeeleweka vizuri
Share elimu hii na watu wengine
*KARIBU INBOX KWA MASWALI NA UPATE USHAURI WA ZIADA*
0615884517
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Website
Address
Arusha
