Nicecare
NiceCare is a range of products formulated to care about your hair and scalp, we have shampoos, hairPomade Hair Conditioners
28/10/2025
Adhari za kauli ya Rais "SASA WAMEOTA MIKIA"
Hapo zamani, kulikuwa na mfalme aliyejaa kiburi na chuki. Siku moja, akiwa amekasirika kwa sababu ya migogoro fulani katika ufalme wake, alitoa kauli ya chuki dhidi ya jamii fulani au mtu fulani miongoni mwa raia wake. Alitamka hadharani kuwa jamii hiyo au mtu huyo ni adui wa UFALME wake na anastahili kuondokewa au kuuliwa
Mmoja wa raia wa mfalme huyo, askari, kiongozi au mtu wa kawaida aliyejaa hasira na aliyetawaliwa na hisia kali za uaminifu kwa mfalme, alichukulia kauli hiyo k**a amri ya moja kwa moja ya kutenda. Bila kufikiria mara mbili kuhusu haki, au uhalali wa kauli hiyo, alichukua hatua ya kumfuata mtu au lile kundi lililotajwa na mfalme na kuamua kumuua, akiamini kuwa anamfanyia mfalme wake na ufalme wake huduma ya haki.
Hata hivyo, baada ya tendo hilo, raia huyo alitambua kuwa kitendo chake kilikuwa na madhara makubwa zaidi kuliko alivyodhani. Uamuzi wake wa kuua haukuwa tu dhuluma kwa mhusika au jamii iliyolengwa, bali pia ulileta majonzi kwa familia, marafiki, watoto ndugu na jamaa na kusababisha machafuko zaidi katika UFALME huo. Raia huyo akaanza kugundua kuwa alifuata kauli yenye sumu ya chuki bila kutafakari athari zake za kimaadili na kibinadamu.
Hadithi k**a hii inaleta somo kuwa kauli za chuki zinaweza kugeuka kuwa silaha mbaya zinapotolewa au kupokelewa mikononi mwa watu wasio na busara au wanaofanya mambo kwa pupa. Inaonyesha pia jinsi watu wenye mamlaka wanavyopaswa kuwa makini na maneno yao, kwani yana uwezo wa kuvunja amani au kuleta ghasia.
Sisi viongozi Kabla ya kutoa kauli tufikirie mara mbili au tusome hotuba iliyoandaliwa na watu makini
17/03/2024
Kumbe yanga nao wanajua kulia... Poleni sana
Ukweli mchungu
1. Always people like good look not good thoughts
2. People always respect money not the person
3. When money write, no body checks for grammar
4. No body is really in this world, everybody has a dual face.
5. The person you love the most will hurt you the most
6. Two things will define you, your passion when you have nothing and your altitudes when you have everything
19/12/2022
K**a mass can neither be created nor destroyed
Carbondioxide inayoongezeka hapa Duniani na kuharibu tabia nchi inatoka wapi?
29/10/2022
Mpya Kuza Asili
Mafuta ya nywele yatakayokuza nywele zako na kuzirudishia rangi yake ya asili
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Address
Arusha
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 08:00 - 17:00 |
| Wednesday | 08:00 - 17:00 |
| Thursday | 08:09 - 18:30 |
| Friday | 08:30 - 17:00 |
| Saturday | 08:30 - 17:00 |
