AFYA BORA NA ERICK

AFYA BORA NA ERICK

Share

"Afya na usafi kwa maisha bora 🌿 – LifeHealth_TZ"

04/08/2025

Je, unajua Tezi Dume ni nini na madhara yake? 😟
Wanaume wengi wanateseka kimya kimya bila kujua chanzo. Dalili k**a kukojoa mara kwa mara usiku au maumivu wakati wa kukojoa zinaweza kuwa ishara ya tatizo la tezi dume.

🧠 Elimu ni tiba ya kwanza!
👉 Soma kwa makini ujumbe huu muhimu, kisha share ili kuokoa afya ya mwanaume mmoja.

Wanaume wengi wanateseka kimya kimya bila kujua chanzo. Dalili k**a kukojoa mara kwa mara usiku au maumivu wakati wa kukojoa zinaweza kuwa ishara ya tatizo la tezi dume.

🧠 Elimu ni tiba ya kwanza!
👉 Soma kwa makini ujumbe huu muhimu, kisha share ili kuokoa afya ya mwanaume mmoja.
Tezi dume inaweza kupata matatizo kwa sababu zifuatazo:
• 🔸 Kuongezeka kwa umri – Hali inayoitwa Benign Prostatic Hyperplasia (BPH), ambapo tezi dume hukua bila kuwa kansa
• 🔸 Maambukizi ya bakteria – Husababisha Prostatitis
• 🔸 Kansa ya tezi dume (Prostate cancer)
• 🔸 Historia ya familia – Urithi wa tatizo
• 🔸 Magonjwa sugu k**a kisukari na shinikizo la damu
• 🔸 Lishe duni na kutokufanya mazoezi



✅ 3. Dalili za Tezi Dume Kuvimba au Kuwa na Tatizo
• 🚽 Kukojoa mara kwa mara, hasa usiku
• ⛔ Kukojoa kwa shida au mkojo kutoka kwa nguvu ndogo
• 💧 Mkojo kudondoka au kutokamilika
• 🔥 Maumivu au moto wakati wa kukojoa
• 💀 Maumivu ya mgongo au nyonga
• 🩸 Mkojo au shahawa kuwa na damu
• 😫 Kuhisi kibofu hakijakamilika baada ya kukojoa



✅ 4. Madhara ya Tatizo la Tezi Dume (Lisipotibiwa)
• ❌ Kushindwa kukojoa kabisa (Urinary retention)
• ❌ Maambukizi ya njia ya mkojo
• ❌ Mawe kwenye kibofu
• ❌ Uharibifu wa figo
• ❌ Kupungua kwa nguvu za kiume
• ❌ Msongo wa mawazo kutokana na maumivu na hali hiyo.
KWA MSAADA ZAIDI 👇👇👇
wasiliana kupitia /255742829214

01/08/2025

Nguvu ya asili katika kila kipande! 💚
🧼 Anatic Herbal Essence Soap – kwa ngozi laini isiyo na mabaka, muwasho wala chunusi.
🛒 Follow kwa order 📲 +255742829214

29/07/2025

"Afya na usafi kwa maisha bora 🌿 – LifeHealth_TZ"

Photos from AFYA BORA NA ERICK's post 26/02/2025

Wasiliana na mimi kupata tiba sahihi na kwa haraka kwa WhatsApp/ call 0742829214

08/01/2025

TEZI DUME BILA UPASUAJI INATIBIKA. CALL/ WhatsApp 0742829214

08/01/2025

KWA WANAWAKE WANAOTAFUTA WATOTO TUMIA
ZAMINOCAL NA REFINED YUNZHI ESSENCE
Namba 0742829214

08/01/2025

JINO LAKO USILING'OE TUMIA DR TS LITAPONA NA KUFANYA MENO MENGINE YOTE YAWE SALAMA NA MEUPE.

DAWA YA DR TS:

✓Hung'arisha meno.
✓Huimarisha meno na fizi
✓Huondoa tatizo la kutokwa damu wakati wa kufanya usafi wa kinywa.
✓Huwafaa watu wanaosumbuliwa na meno
✓Huondoa tatizo la kutokwa damu kwenye fizi na meno
✓Hutibu tatizo la meno kumeguka meguka
✓Huondoa tatizo la meno kutingishika mara kwa mara
✓Huondoa bacteria hatarishi katika kinywa
✓Hulinda kinywa kisipatwe na magonjwa hatarishi

Kuipata dawa hii piga simu au tuma ujumbe kupitia namba hii 0742829214

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address

Arusha