Mjamzito NA AFYA
in God we trust
Kuvimba miguu n hatari Kwa mama mjamzito, hasa pale inapoambatana na kuvimba uso, mikono, kuumwa kichwa na pumzi kubana ,
Wahi hospital ukisikia dalili hizo
Vyakula ambavyo mjamzito hapaswi kuvitumia hasa mimba ikiwa na wiki chache chini ya 34, ni pamoja na papai, nanasi, na mzabibu
Papai hujulikana kusababisha uchungu kuanza mapema, nanasi husababisha shingo y kizazi kulainika na kulegea hivo mimba kuporomoka
ni sababu gani unaikumbuka iliyowahi kupelekea hali mbaya Kwa mtoto kabla hajazaliwa au wakati wa kuzaliwa?
Karibu tuimarishe afya ya mjamzito Kwa pamoja
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
1111
