Mjamzito NA AFYA

Mjamzito NA AFYA

Share

in God we trust

22/04/2025

Kuvimba miguu n hatari Kwa mama mjamzito, hasa pale inapoambatana na kuvimba uso, mikono, kuumwa kichwa na pumzi kubana ,
Wahi hospital ukisikia dalili hizo

22/04/2025

Vyakula ambavyo mjamzito hapaswi kuvitumia hasa mimba ikiwa na wiki chache chini ya 34, ni pamoja na papai, nanasi, na mzabibu
Papai hujulikana kusababisha uchungu kuanza mapema, nanasi husababisha shingo y kizazi kulainika na kulegea hivo mimba kuporomoka

18/04/2025

ni sababu gani unaikumbuka iliyowahi kupelekea hali mbaya Kwa mtoto kabla hajazaliwa au wakati wa kuzaliwa?

18/04/2025

Karibu tuimarishe afya ya mjamzito Kwa pamoja

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Arusha
1111