JS Health care

JS Health care

Share

Suluhisho la matatizo mbalimbali ya kiafya

18/06/2025
12/06/2025

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO

Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na endelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vinadalili k**a;

Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula

Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo

Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa

Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu

Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu

Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito

Kushindwa kupumua vizuri

JINSI YA KUEPUKANA NA VIDONDA VYA TUMBO

Kunywa maji mengi

Punguza mawazo, fanya mazoezi yatakupunguza na mawazo

Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol)

Usivute sigara

Punguza au acha kunywa pombe

Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali

Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

Tatizo la Vidonda vya tumbo linatibika kufuatana na mda wa tatizo, mara nyingi wagonjwa wamekuwa wakizalau dalili za vidonda vya tumbo na kudhani kuwa hakuna madhara makubwa.

Karibu tukuhudumie kwa kutumia virutubisho lishe vitakavyoenda kumaliza tatizo lako.
BF Suma Probio 3, Constirelax na Antidiorrhea vikitumiwa kwa pamoja ni jawabu la tatizo lako...
Ili kupata elimu zaidi
0742924501

12/06/2025

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO

● Tumbo kuwaka moto sehemu ya juu kulia na endapo maumivu yakizidi husambaa hadi mgongoni.
●Njaa hasa nyakati za usiku majira ya Alfajiri saa kumi na moja asubuhi utasikia tumbo linawaka moto
●Tumbo kujaa gesi sana, Kutoa hewa kila baada ya mda kupitia mdomoni au njia ya aja kubwa
●Kichefu chefu au kutapika matapishi machungu na kuharisha kutokana na kubagua vyakula
●Inaweza kupelekea kutapika damu au kuishiwa damu
●Kutoa choo cheusi ni kiashiria damu kuvia sehemu ya juu ya tumbo Au kukosa choo kabisa kwa hata siku mbili
●Kushikwa Njaa ya Ghafla na kuhisi kutetemeka
Kuhisi Madhara ya tumbo kuuma unapotumia vyakula vyenye Acid k**a Soda ,Maharage ,Dagaa ....n.k

Uonapo Dalili hizi Wasiliana Nami Uanze tiba ya Uhakika ya kumaliza na kuponyesha Ugonjwa huu
Vidonda vya tumbo visipotibiwa haraka huendelea kutafuna kuta za Utumbo hadi kupelekea Saratani ya Utumbo ambayo ni hatari zaidi kutibiwa hadi upelekea Kifo

Piga/whatsup:
0742924501

12/06/2025

DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI

~ Kunywa maji mengi kuliko kawaida na kusikia kiu kila wakati…

~ Kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani….

~ Kuwa dhaifu, kukosa nguvu na kujisikia mchovu kila wakati….

~ Kupungua uzito au kukonda licha ya kula vizuri….

~ Kusikia njaa kila wakati na kula sana.

~ Wanawake kuwashwa ukeni.

~ Kutoona vizuri.

~ Kupungua nguvu za kiume au hamu ya kujamiiana kwa wanawake.

~ Ganzi, kuchomwachomwa au kutohisi unapoguswa sehemu za miguu, viganja na vidole.

~ Miguu kuoza na hata kupata gangrini.

~ Kukaukwa na ngozi na pia kupata
aina ya ngazi katika miguu.

~ Vidonda au majeraha sehemu yoyote ya mwili kutopona haraka.

~ Majipu mwilini.

UGONJWA WA KISUKARI UNAMADHARA MENGI SANA NA KIKUBWA ZAIDI UNAWEZA KUKUPELEKEA UKAFARIKI ENDAPO HUTOJITIBIA KWA WAKATI….!

Tumeandaa Program maalumu ambayo itakuwezesha Upone Kisukari kwa kutumia virutubisho lishe.

Program hii itaanza kukutibua kuanzia..
Chanzo cha Tatizo
Then Inatibu Tatizo Lenyewe
Na kikubwa zaidi inaimarisha Kinga Tatizo hilo lisije kujirudia TENA..!

Kujipatia program hio basi unaweza ukawasiliana nasi…

Kwa kupiga simu namba

Piga/WhatsApp +255 742924501

12/06/2025

𝐓𝐀𝐓𝐈𝐙𝐎 𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐈𝐊𝐈𝐎 𝐊𝐔𝐔𝐌𝐀 , 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐆𝐀 𝐊𝐄𝐋𝐄𝐋𝐄 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐎𝐊𝐔𝐒𝐈𝐊𝐈𝐀 𝐕𝐈𝐙𝐔𝐑𝐈

Sikio (Ear) limegawika katika sehemu tatu kuu. Sehemu ya nje ya sikio, sehemu ya kati ya sikio na sehemu ya ndani ya sikio.

Kuna aina mbili ya matatizo ya masikio nayo ni:

i.𝐎𝐭𝐢𝐭𝐢𝐬 𝐦𝐞𝐝𝐢𝐚.
ambayo hutokea katika sehemu ya kati ya sikio na mara nyingi huwatokea watoto wachanga na watoto wadogo.

1•𝐎𝐭𝐢𝐭𝐢𝐬 𝐞𝐱𝐭𝐞𝐫𝐧𝐚.
ambayo hutokea katika sehemu ya ndani ya sikio na mara nyingi huwatokea waogeleaji, na hutokea zaidi wakati wa baridi.

2•𝐈𝐬𝐡𝐚𝐫𝐚 𝐳𝐚 𝐌𝐚𝐭𝐚𝐭𝐢𝐳𝐨 𝐲𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐢𝐤𝐢𝐨 𝐤𝐰𝐚 𝐎𝐭𝐢𝐭𝐢𝐬 𝐦𝐞𝐝𝐢𝐚
i. Kuumwa na kuchomwa kwa sikio
ii. Kutokwa na uchafu ndani ya sikio
iii. Kutosikia kwa ghafla
iv. Homa

𝐒𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐳𝐚 𝐎𝐭𝐢𝐭𝐢𝐬 𝐦𝐞𝐝𝐢𝐚.
Sababu kubwa ya maradhi hayo ni kuziba kwa bomba la sikio(Eustachiantube), kutokana na baridi, allergy pamoja na kuingia takataka.
Hii inababisha maji maji ya sikio kujaa maji hayo nayo husababisha uvimbaji wa (ear drum) sikio.

𝐒𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐳𝐚 𝐎𝐭𝐢𝐭𝐢𝐬 𝐞𝐱𝐭𝐞𝐫𝐧𝐚.
Hii husababishwa na baketeria au fungi, maji maji yanayoingia ndani ya sikio ndio sababu kuu ya kufanya bakteria na fungi kuzaana pia Skin allegies husababisha maradhi hayo.
Na sababu nyengine ni ulaji mbovu wa chakula pamoja na upungufu wa usafi wa mwili.

𝐊𝐔𝐓𝐎𝐊𝐖𝐀 𝐍𝐀 𝐔𝐒𝐀𝐇𝐀 𝐒𝐈𝐊𝐈𝐎𝐍𝐈.
Ikiwa utaweka kitu k**a ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka.

Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo.
Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.

TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO
ni tiba asili inayo tibu maradhi yoote ya masikio,ni tiba inayotokana na virutubisho lishe asili kupitia mimea na matunda.

Suluhisho:ninatibu tatizo hili kwa dawa zilizotengenezwa kwa mitishamba ya asili na zimetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu,utakapotumia dawa hizi zitakusaidia utapona sababu Nina shuhuda za watu wengi niliotibu.

Piga/whatsup:
+255742924501

12/06/2025

*FAHAMU TATIZO LA UVIMBE KATIKA MAYAI YA MWANAMKE (OVARIAN CYST)*
Piga/WhatsApp
0742924501

🛑OVARIAN CYST NI NINI???
✍️Ni uvimbe unaotokea katika mayai ya mwanamke(ovarian)
✍️Uvimbe huo hutokana na mkusanyiko wa maji maji yanayozungukwa na kutu nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke
✍️Mara nyingi tatizo hili hutokea kwa wanawake wa rika tofauti na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofika umri wa kushika ujauzito, pia uvimbe huo huweza kuwa wa ukubwa wa cm3_cm30 na unaweza kujaza tumbo lote na kufanya uonekane mjamzito

🛑SABABU ZA UVIMBE
👉kuwa na mzunguko wa hedhi usioeleweka (IRREGULAR MENSTRUATION CYCLE)
👉kuwa na mafuta mengi tumboni
👉kukosekana kwa uwiano wa vichocheo mwilini (hormone imbalance)
👉kuvunja ungo mapema (katika umri wa miaka 11_kushuka chini)
👉kutumia dawa za matibabu ya saratani ya matiti (tamoxifen)
👉ugumba

DALILI NA VIASHIRIA VYA TATIZO HILI
👉kupata maumivu makali ambayo huchoma katika nyonga, uke, tumbo, mapajani, mgongoni NK
👉kuhisi tumbo kuwa zito limejaa au kuvimba
👉kupata maumivu katika matiti
👉kutopata hedhi katika mpangilio
👉kuvimbiwa mara kwa mara
👉kuongezeka uzito haraka
👉kupata maumivu katika mbavu
👉nywele kukua haraka kila wakati
👉kupata maumivu makali wakati wa hedhi
👉kuhisi kichefuchefu
👉kupata maumivu ya nyonga kila unapofanya mapenzi, mazoezi, Kazi ngumu
👉kuhisi uchovu kila wakati
👉kutokwa na matone ya damu
👉kutoshika mimba
👉mabadiliko katika upatikanaji wa haja. *Wasiliana nasi WhatsApp 0742924501

12/06/2025

TATIZO LA MASIKIO KUUMA,NA TIBA YAKE.
Sikio (Ear) limegawika katika sehemu tatu kuu. Sehemu ya nje ya sikio, sehemu ya kati ya sikio na sehemu ya ndani ya sikio.

Kuna aina mbili ya matatizo ya masikio nayo ni:
i. Otitis media :
ambayo hutokea katika sehemu ya kati ya sikio na mara nyingi huwatokea watoto wachanga na watoto wadogo.

ii. Otitis externa:
ambayo hutokea katika sehemu ya ndani ya sikio na mara nyingi huwatokea waogeleaji, na hutokea zaidi wakati wa baridi.

Ishara za Matatizo ya masikio kwa Otitis media:
i. Kuumwa na kuchomwa kwa sikio
ii. Kutokwa na uchafu ndani ya sikio
iii. Kutosikia kwa ghafla
iv. Homa

Sababu za Otitis media:
Sababu kubwa ya maradhi hayo ni kuziba kwa bomba la sikio(Eustachiantube), kutokana na baridi, allergy pamoja na kuingia takataka.
Hii inababisha maji maji ya sikio kujaa maji hayo nayo husababisha uvimbaji wa (ear drum) sikio.

Sababu za Otitis externa:
Hii husababishwa na baketeria au fungi, maji maji yanayoingia ndani ya sikio ndio sababu kuu ya kufanya bakteria na fungi kuzaana pia Skin allegies husababisha maradhi hayo.
Na sababu nyengine ni ulaji mbovu wa chakula pamoja na upungufu wa usafi wa mwili.

KUTOKWA NA USAHA SIKIONI:
Ikiwa utaweka kitu k**a ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka.

Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo.
Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.

TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO
Cerebrain ni tiba asili inayo tibu maradhi yoote ya masikio,ni tiba inayotokana na virutubisho lishe asili kupitia mimea na matunda.

SIFA ZA CEREBRAIN
*Masikio kuuma
*Masikio kupiga kelele
*Hukausha usaha masikioni kwa mtu aliye na jeraha sikioni
*Huongeza msukumo wa damu kwenye ubongo
*Huzuia kuchoka sana
*Huzuia maumivu ya kichwa ya mara kwa mara
*Huondoa matatizo ya kupoteza kumbu kumbu kwa wazee(AIZHEIMERS DISEASE)
*Huifanya mishipa ya damu ipate utulivu
*Huzuia magonjwa ya moyo

Kwa tiba na Ushauri wasiliana nasi what's up/SMS/ CALL NO:0742924501

12/06/2025

*Miguu kuwaka moto ni hali inayoweza kusababishwa na mambo mbalimbali, yakiwemo:*

1. Shida za Neva (Neuropathy)

Neuropathy ya kisukari – Kisukari sugu huathiri neva na kusababisha hisia za kuwaka moto, kufa ganzi, au kuchoma kwenye miguu.

Neuropathy ya pombe – Unywaji wa pombe kupita kiasi unaweza kuharibu neva.

Upungufu wa vitamini – Vitamini B12, B6, na B1 ni muhimu kwa afya ya neva. Upungufu wake unaweza kusababisha miguu kuwaka moto.

2. Mzunguko Mbaya wa Damu

Shinikizo la damu na magonjwa ya moyo – Mzunguko wa damu usio mzuri unaweza kusababisha miguu kuwa na hisia za joto au kuwaka moto.

Varicose veins – Mishipa ya damu inayovimba inaweza kusababisha maumivu na moto kwenye miguu.

3. Maambukizi na Magonjwa ya Ngozi

Mguu wa Mwanariadha (Athlete's foot) – Maambukizi ya fangasi yanaweza kusababisha kuwashwa na kuwaka moto.

Ugonjwa wa Guillain-Barré – Huu ni ugonjwa wa kinga ya mwili kushambulia neva, na dalili zake ni pamoja na miguu kuwaka moto.

4. Mzio na Madhara ya Dawa

Baadhi ya dawa, hasa zile za shinikizo la damu, kifafa, na kemikali za kutibu saratani, zinaweza kusababisha hali hii k**a madhara ya dawa.

5. Msongo wa Mawazo na Mfadhaiko

Wasiwasi na mfadhaiko vinaweza kusababisha mwili kutoa homoni zinazoathiri neva na mzunguko wa damu, na kusababisha miguu kuhisi moto.

Nini cha Kufanya?

Ikiwa hali inaendelea kwa muda mrefu, ni vizuri kumuona daktari kwa uchunguzi.

Epuka pombe na sigara.

Hakikisha unapata virutubisho vya kutosha, hasa vitamini B.

Fanya mazoezi ili kuboresha mzunguko wa damu.

Vaa viatu vizuri na epuka soksi zinazobana sana.
0742924501

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Address

Kaloleni-Arusha
Arusha