Dr dayann

Dr dayann

Share

🌸 Afya ya Uzazi kwa Wanawake
Elimu, ushauri na suluhisho la changamoto za uzazi

25/07/2026
20/07/2026

UTI si tatizo la kupuuzwa! Watu wengi hutumia antibiotiki au sindano mara kwa mara bila kujua chanzo halisi cha tatizo. Matumizi ya antibiotiki yasiyo sahihi yanaweza kuleta changamoto k**a usugu wa dawa na usumbufu kwenye mwili. Ni muhimu kufanya uchunguzi sahihi, kutibu chanzo cha tatizo na kuupa mwili msaada unaohitaji kupitia lishe bora na virutubisho vinavyofaa kwa ushauri wa mtaalamu. Usisubiri tatizo liwe kubwa ndipo utafute msaada
Kwa ushauri zaidi wasiliana
DR Dayann 0744 265 618

16/07/2026

Uvimbe maji ni hali ambayo maji hukusanyika kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke, hasa kwenye mirija ya uzazi (hydrosalpinx) au wakati mwingine ndani ya mfuko wa uzazi.

Hutokea kwa sababu
01.Maambukizi ya muda mrefu ya njia ya uzazi (PID)
02.Magonjwa ya zinaa (k**a kisonono, klamidia)
03.Upasuaji wa awali wa tumbo/uzazi
04.Endometriosis
05.Kuziba kwa mirija ya uzazi

DALILI ZA UVIMBE
01.Maumivu ya tumbo la chini au kiuno
02.Tumbo kujaa au kuvimba
03.Maumivu wakati wa tendo la ndoa
04.Kupata shida ya kushika mimba
Wakati mwingine hakuna dalili kabisa (hugundulika kwa vipimo)

Na utatambua kwa vipimo maalumu k**a UltrasoundHSG (kipimo cha mirija ya uzazi)Wakati mwingine laparoscopy

Dr dayann ninasuluhisho la kumaliza na kuyeyusha tatizo la uvimbe maji ndani ya kizazi
0744 265 618




゚viralシ

01/07/2026

Afya yako ni thamani kuliko chochote. Usipuuzie dalili k**a PID, UTI, fangasi, homoni kutokuwa sawa, uvimbe au changamoto za uzazi. Kupata taarifa sahihi mapema kunaweza kukusaidia kufanya maamuzi bora kuhusu afya yako.
Karibu kwenye ukurasa huu kwa elimu ya afya, hamasa na mwongozo. Fuatilia ukurasa, like na share ili elimu hii iwafikie watu wengi zaidi.
DR DAYANN 0744 265 618

# Fibroids

29/06/2026

Unasumbuliwa na uchafu ukeni, fangasi, PID, kukosa ute au maumivu wakati wa tendo?
Usiteseke kimya kimya Suluhisho lipo.
Kwa mawasiliano na ushauri wasiliana nasi
📞 Dr Dayann
0744 265 618

https://whatsapp.com/channel/0029VbCPIlo47XeKRVdKRg3O

🚚 Mikoani natuma kwa uaminifu
゚viralシ

12/06/2026

Unasumbuliwa na uchafu ukeni, fangasi, PID, kukosa ute au maumivu wakati wa tendo?
Usiteseke kimya kimya Suluhisho lipo.
📞 Dr Dayann
0744 265 618
🚚 Mikoani natuma kwa uaminifu
゚viralシ

26/05/2026

Umekuwa ukitamani ujauzito kwa muda mrefu bila mafanikio? Umejaribu dawa mbalimbali lakini bado hujafanikiwa? Usikate tamaa… kuna mwanga mpya wa matumaini.
Hii ni huduma ya ushauri wa afya ya uzazi kwa wanawake, inayokusaidia kupata elimu, tathmini na mwongozo wa kitaalamu kulingana na hali yako.
Kwa mawasiliano na ushauri zaidi
Dr Dayann – 0744 265 618

゚viralシ

20/05/2026

HABARI NJEMA KWA AFYA YAKO!

Je, unateseka na changamoto zifuatazo?
✅ Maumivu ya tumbo la hedhi
✅ Uvimbe kwenye kizazi (Fibroids)
✅ UTI sugu / Fangasi / PID
✅ Homoni kutobalansi (Hormonal Imbalance)
✅ Kushindwa kubeba ujauzito / mimba kuharibika
✅ Vidonda vya tumbo au bawasiri
✅ Kizunguzungu na uchovu wa mara kwa mara?
✨ Tuna suluhisho salama kwa kutumia virutubisho vya (supplements) ambavyo havina madhara na vimesaidia wanawake wengi kupata tiba ya kudumu.

Huduma ya ushauri ni BURE kabisa!

📲 Nitafute sasa kupitia WhatsApp: 0744 265 618
Usikubali kuendelea kuteseka kimya kimya!

➡️ Afya yako ni msingi wa mafanikio yako!
゚viralシ

20/05/2026

Unasumbuliwa na uchafu ukeni, fangasi, PID, kukosa ute au maumivu wakati wa tendo? 🥺
Usiteseke kimya kimya mama Suluhisho lipo.
📞 Dr Dayann
0744 265 618
🚚 Mikoani natuma kwa uaminifu

Website