Afya kwanza

Afya kwanza

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Afya kwanza, Health/Beauty, Ubungo, Dar es Salaam.

31/03/2025

All the best
Afya kwanza EID MUBARAK

01/01/2025

"Afya Bora, Mwaka Mpya, Mabadiliko Bora
Mwaka uliopita uliweza kuleta changamoto, lakini pia ulitufundisha thamani ya afya yetu. Tufike mwaka huu tukiwa na lengo la kufanya mabadiliko bora kwa afya zetu. Hebu jiunge nasi kwa kuanzisha tabia nzuri za lishe, mazoezi, na ustawi wa akili. Jitunze na uwe na afya njema, kwa sababu afya ni utajiri mkubwa. Mwaka huu, tuchukue hatua za kumaliza kile tulichokianza, tukiwa na nguvu mpya na matumaini ya afya bora!"
Afya kwanza tz

10/12/2024
22/08/2024

Chakula hiki cha faa kwa afya zetu naomba comments zenu

21/08/2024

VIONDOA SUMU MWILINI

❎ Mwili huwa umetengenezwa uwezo wa Kuondoa Free radicals na kuufanya mwili usilemewe na Free radicals uwezo huo umetokana na kiwango kikubwa cha viondoa Free radicals viitwavyo ANT OXIDANTS.

           ☑️ Mfano: Mwili huwa una Kiondoa Sumu kiitwayo Glutathione Hiki ndio kiondoa sumu kikuu mwilini. Pia kuna Glutathione dismutase, super oxide dismutase (SOD), Carotenoids, Vitamin A ,C,D E na K2. Pia Ubiquinone (CoQ10), Zinc Selenium Magnesium.
✅ Endapo ukiwa uko kwenye Oxidative stress halafu ukapata maradhi Yoyote ambukizi yanawasha zaidi ule moto Uliokua unawaka ndani ya mwili wako. Kiasi kwamba Ukipima Maabara kishiria Sugu cha Mwili Kuumia na Kuvimba kwa ndani Low grade Chronic Inflammatory Markers k**a Interleukin 1, Interleukin 6, high sensitivity CRP nk vitaonesha Viko  juu na vinaweza kuashiria Hali ilivyo mwilini. Ndio maana Hata sababu kubwa inayo sababisha Kifo kwa kusababisha Moyo Figo Ubongo kuzima Gafla kwa wenye maambukizi Yaani Mwili unachemka Unaumizwa kupindukia na hali itakuwa mbaya zaidi.....
💎Wengi wanaojikinga na Maambukizi ya madogo madogo Wanakomaa bila kujari  na kutibu chanzo  KUNA VIPOZA MWILI MACHACHALI NA VYA MUHIMU ZAIDI Kwa sababu Kinga ni Bora Kuliko Tiba Nashauri Kila mmoja wetu Afanye uchunguzi ajigundue k**a Yuko kwenye Oxidative stress na Aanze Kuupoza Mwili mapma
💎Pia  haya masomo ukiyatekeleza  yamekua Yakilenga kwenye tatizo Yani presha  na  kumwondoa mgonjwa kwenye Msongo wa sumu yaani Oxidative stress hivyo Lazima nihakikishe nimepata jibu sahihi la damu hasa kipimo cha High sensitivity CRP halafu endapo kipo kuanzia 1 mg/L hadi 3 mg/L matibabu huanza na Endapo Kipo kati ya 3 mg/L hadi 10 matibabu huwa ni Makubwa zaidi na Endapo Jibu likiwa zaidi ya 10mg/L matibabu huwa MAKUBWA ZAIDI NA UMAKINI UNATAKIWA UWE MKUBWA maana anakuwa hatarini Mgonjwa kupatwa na Tukio Lolote Kubwa Kwenye Upumuaji, Ubongo na Shambulio la Moyo. Hali hii inawapata sana wagonjwa wenye Kisukari na  presha Wagonjwa waliokua hawajitambui k**a mwili unachemka kwa ndani na wako kwenye oxidative stress ndogo sasa akipata MAAMBUKIZI YOYOTE NI K**A ANACHOKOZA HALI INAKUWA MBAYA ZAIDI.

21/08/2024

FAIDA ZA MBEGU ZA
ALMOND

Almond ni Aina ya karanga ambazo zinavirutubisho vingi Sana Kwa kutibu magonjwa mengi Sana ya lishe ikiwemo kusafisha mishipa ya damu shinikizo la damu nk.....Kwa sababu zina kiwango kingi cha omega Jenga utafiki nazo utafurahi afya yako inavyoimalika...

21/08/2024

Cholesterol asilimia kubwa hutengenezwa na mwili wa binadamu na kwann hiyo hiyo inakuwa mbaya kwenye mwili wa binadamu ✍️

https://chat.whatsapp.com/K7uUwXHwF7hKzvNuMA8uwS

15/08/2024

𝗡𝗷𝗶𝗮 𝘀𝗮𝗹𝗮𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗼𝗻𝗱𝗼𝗮 𝘀𝘂𝗺𝘂 𝗺𝘄𝗶𝗹𝗶𝗻𝗶.

Hakuna dawa inayosaidia kuondoa sumu mwilini, bali mtu anaweza kutumia Vinasa Sumu na kusaidia kutoa sumu zilizopo mwilini.

Mwili unapojawa na sumu mwenendo wa mwili hubadilika na kusababisha:

💥Upungufu wa nguvu za kiume
💥Mzigo sugu au aleji ya fua makali
💥Maumivu ya mwili
💥 Miguu kuwaka moto nk

Sumu zinazojaa mwilini zinatokana na matumizi ya kupindukia ya ulaji wa vyakula vya sukari, unywaji wa pombe, vyakula vya kukaanga na uvutaji wa sigara. Lakini pia ulaji wa vyakula vya wanga k**a ugali, mihogo, viazi, wali, ndizi, chipsi havina uwezo wa kunasa sumu zilizopo mwilini.

Vinasa Sumu vinasaidia kunasa sumu na kuufanya mwili upoe ambavyo ni pamoja na Vitamin A, D, K na glutatheon. Mara nyingi vinasa sumu hivi vinapatikana katika vyakula k**a mayai, samaki, m oga za majani, matunda, dagaa, maziwa n.k

𝗝𝗲, 𝗰𝗵𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗸𝗼 𝗸𝗶𝗺𝗲𝘀𝗵𝗲𝗵𝗲𝗻𝗶 𝘃𝘆𝗮𝗸𝘂𝗹𝗮 𝘃𝘆𝗮 𝗮𝗶𝗻𝗮 𝗴𝗮𝗻𝗶??

Chakula bora ndio tiba ya kukusaidia kuondoa sumu mwilini. Kwahiyo kula vyakula vyenye viondoaj sumu ambavyo ukivitumia vitakusiaida kuondoa sumu mwilini.

𝐍𝐁:
nakukubusa kuendelea na mwongozo wa program zetu kiafya Ili kuepukana na magonjwa ya lishe

KWA USHAURI ZAIDI PIGA SIMU 0719255286

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Ubungo
Dar Es Salaam