Afya Yangu

Afya Yangu

Share

Hi!!karibu Tunatoa huduma ya kutoa sumu mwilini,pia tunatoa huduma ya vipimo vya mwili mzima

18/12/2025

๐ŸŒŸ GCAT HOSPITALโ€“ Center bora ya matibabu ya magonjwa yote sugu na madaktari bora waliobobea๐ŸŒŸ
Unasumbuliwa na magonjwa haya?
๐Ÿ”น Magonjwa ya Uzazi: Maambukizi ya njia ya uzazi, uvimbe kwenye kizazi (fibroids), kukosa hedhi, hedhi isiyo na mpangilio, ugumba (infertility), na mengineyo.
๐Ÿ”น Saratani: Saratani ya kizazi, matiti, tezi dume (prostate), ini, ngozi n.k
๐Ÿ”น Kisukari: Kisukari cha aina zote na madhara yake k**a vidonda visivyopona, ganzi miguu, na matatizo ya macho.
๐Ÿ”น Shinikizo la Damu (Pressure): High/low blood pressure, kizunguzungu, kuchoka sana n.k
๐Ÿ”น Magonjwa ya Ngozi: Upele, mba kichwani, chunusi, fangasi sugu, vipele vya moto, ukurutu (eczema), madoa usoni.
๐Ÿ”น Magonjwa ya Tumbo: Vidonda vya tumbo, gesi, kujaa, kukosa choo au kuharisha mara kwa mara, minyoo, na maambukizi ya bakteria tumboni.
๐Ÿ”น Uvimbe wa aina zote: Uvimbe tumboni, kwenye ngozi, viungo vya uzazi, tezi, kichwani n.k
๐Ÿ”น Magonjwa ya Mifupa na Viungo: Maumivu ya mgongo, kiuno, magoti, arthritis, baridi yabisi, mifupa iliyochoka n.k
๐Ÿ”น Magonjwa ya Mishipa na Ubongo: Ganzi mwilini, kufa ganzi miguu/mikono, degedege, kifafa, stroke, kupoteza kumbukumbu n.k
๐Ÿ”น Magonjwa ya Moyo, Figo, Ini, Mapafu, na Maambukizi Sugu ya Mwili.

๐Ÿงฌ Tunafanya vipimo kwa kutumia teknolojia ya kisasa kutoka India na China, pamoja na matibabu ya kibunifu kupitia Tibalishe โ€“ mchanganyiko wa lishe tiba na tiba asilia unaowezesha mwili kupona kwa ufanisi bila madhara ya kemikali.

โœ… Tunajivunia madaktari bingwa wenye uzoefu na huduma rafiki kwa kila mgonjwa.

๐Ÿ“ Tunapatikana:
Njia panda kigogo Dar es Salaam na mikoa mbalimbali Tanzania nzima ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ

๐Ÿ“ž Wasiliana Nasi Leo:
๐Ÿ“ฒ +255 618068878 on
Bofya kitufe cha whatsap kututumia ujumbe
๐Ÿ’ฌ Afya yako ni msingi wa maisha bora โ€“ GCAT Hospital tunakujali kwa moyo wote!

17/12/2025

JEE!!!!?
๐Ÿซ UNASUMBUKA NA HEDHI!?,
๐Ÿซ UNASUMBUKA NA PID!?.,
๐Ÿซ MIMBA ZINATOKA BILA MPANGILIO!?.
๐Ÿซ HUWEZI SHIRIKI TENDO NA MWENZI WAKO IPASAVYO!!?

๐Ÿ‘‰NJOO SASA TUKUHUDUMIE.,UFAHAMU CHANGAMOTO YAKO INAYOKUSUMBUA..EWE BABA EWE MAMA NJOO TUKUBADILISHE JINA UITWE MAMA AU BABA..

UTAPATA KIPIMO HIKI KWA SHILINGI ELFU30,000= NA UTAONANA NA DAKTARI BURE KABISAA.

TUNAPATIKA NJIA PANDA KIGOGO DAR ES SALAAM.KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE NAMBA 0618068878..

Karibuni saana,,Nyoote mnakaribishwaa

13/10/2025

TANGAZO TANGAZO TANGAZO

TAASISI YA ETERNAL INTERNATIONAL INAWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAZEE,VIJANA,WAKUBWA ,WATOTO,WANAUME NA WANAWAKE..

KUWA IMELETA OFFER YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA BEI NAFUU YA SHILINGI ELFU30,000/=TU.

UTAPATA FAIDA YA KUJUA AFYA YAKO UTAPATA FAIDA YAKUONANA NA MADAKTARI WABOBEZI LAKINI UTAPATA KUJUA NININI KINAKUSUMBUA

WAHU SASA UJE UJUE AFYA YAKO NA UJUE NINI KINAKUSUMBUA,TUNAPATIKA TANZANIA NZIMA KWA UPANDE WA DAR ES SALAAMA TUNAPATIKANA NJIA PANDA YAKIGOGO ,,KWA MAWASILIANO ZAIDI NIPIGIE NAMBA/WHATSUP NAMBA 0618068878

karibu tako
afya yako
afya yako
afya yako
na kukuthamini

19/07/2025

FIBROID(UVvimbe kwenye kizazi)

Ni hali ambapo kuna kuwa na tishu isiyo yakawaida ndani ya mji wa mimba au karibu kabisa na mji wa mimba(uterus)

โ˜†Uvimbe kwenye kizazi(fibroid) hii ndy aina maarufu ya uvimbe kwenye kizazi unaweza kuitwa pia
-MYOMA
-LEIOMYOMA

SIFA
-Ni vimbe zisizo na kansa
-Hutokana na ukuaji wa ukuta wa kizazi
-Ukubwa wake hutofautiana unaweza kuwa vidogo k**a maharage au ukubwa k**a ndimy
-Huweza kuotandani,nje au kwenye ukuta wa ndani unaobeba mimba

DALILI ZAKE
โ–ช๏ธŽKupata hedhi nzito na yamuda mrefu
โ–ช๏ธŽMaumivu kwenye kinena/maumivu wakati wa tendo
โ–ช๏ธŽKupata choo kigumu
โ–ช๏ธŽUgumu wakushika/kuharibika mimba
โ–ช๏ธŽkubanwa kwa kibofu cha mkojo/kukojoa mara kwa mara

SABABU
SAbabu za ugonjwa huu hazijajulikana kikamilifu,ila kuna baadhi ambazo zimegundulika ambazo ni
โ–ช๏ธŽHomoni(estrogen na progesterone inachangia ukuaji wa fibroid)
โ–ช๏ธŽkurithi
โ–ช๏ธŽUzito mkubwa
โ–ช๏ธŽUmri wa kuzaa

MADHARA
โ–ช๏ธŽUgumba
โ–ช๏ธŽkuchelewa kuzaa au ugumba
โ–ช๏ธŽKansa

NI WATU GANI AMBAO WAKO KWENYE HATARI YA KUPATA UGONJWA HUU!?
Wenye hatari zaidi yakupata ugonjwa huu ni
โ˜†Wanawake wenye umri kuanzia miaka30 hadi 45
โ˜†wenye historia na ugonjwa huu kwenye ukoo wao
โ˜†Uzito uliopitiliza

MATIBABU
Matibabu yake yanategemea na ukubwa,sehemu na dalili zake
-Kufanya vipimo mara kwa mara
-vidonge
-Operesheni
-Mionzi

Hivyo basi wanawake wengi wa kiafrika wannathirika zaidi na huu ugonjwa pasipo kupata matibabu stahiki,hivyo bhc taasisi ya ETERNAL INTERNATIONAL inakuletea ofa kabambe ya madaktari waliobobea waliofunzwa kutoka china pamoja na offer ya kipimo cha mwili mzima kwa bei nafuu kabisa

Unachelewa nini sasa wahi sasa uje ujue afya yako na uanze kujipatia matibabu yaliyo sahihi

Tupo kigogo njia panda,
mawasiliano zaidi tupigie namba 0740 068 897


kukuthamini
NYOTE MNAKARIBISHWAA...

12/07/2025

*โœจโœจ TANGAZO LA KUPIMA AFYA! โœจโœจ*
*ETERNAL INTERNATIONAL inakuambia...*
*๐Ÿ›‘ Usisubiri hadi hali iwe mbaya! Njoo upimwe mapema!*

*๐Ÿ“… TAREHE 20.05.2025 HADI TAREHE 15.06.2025
*โฐ MUDA: Kila siku asubuhi hadi jioni*
*๐Ÿ“ MAHALI: Popote ulipo, nchi nzima tunahudumia!*
*โ˜Ž๏ธ MAWASILIANO: 0740 068897

*โœ… Tunapima MWILI MZIMA kwa 30,000 tu!*
*Kwa bei hii nafuu, utapata uchunguzi wa kina kwa:*
*Shinikizo la damu โค๏ธ*
*Kisukari ๐Ÿฉธ*
*Figo na ini โš•๏ธ*
*Maumivu ya viungo ๐Ÿฆต*
*Matatizo ya tumbo ๐Ÿค•*
*Uzito na BMI โš–๏ธ*
*Na mengine mengi ya mwilini!*
*โš ๏ธ USIPUUZE dalili!*
*Maumivu madogo yanaweza kuwa ishara ya jambo kubwa.*
*๐Ÿงช PIMA, TIBIKA, NA ENDELEA KUISHI kwa amani.*

*ETERNAL INTERNATIONAL inakuletea huduma ya kisomi, ya kitaalamu, na ya kiroho, kwa kutumia* *virutubisho asilia kutoka China โ€“ bila sumu, bila maumivu!*

* *
* *
* *
* *
* *
* *
* *

KARIBUNI SANA!!!

Afya yako ni dhamana kwetu๐Ÿซต
,Tunakupenda...

17/05/2025

*โœจโœจ TANGAZO LA KUPIMA AFYA! โœจโœจ*
*ETERNAL INTERNATIONAL inakuambia...*
*๐Ÿ›‘ Usisubiri hadi hali iwe mbaya! Njoo upimwe mapema!*

*๐Ÿ“… TAREHE 20.05.2025 HADI TAREHE 15.06.2025
*โฐ MUDA: Kila siku asubuhi hadi jioni*
*๐Ÿ“ MAHALI: Popote ulipo, nchi nzima tunahudumia!*
*โ˜Ž๏ธ MAWASILIANO: 0740 068897

*โœ… Tunapima MWILI MZIMA kwa 20,000 tu!*
*Kwa bei hii nafuu, utapata uchunguzi wa kina kwa:*
*Shinikizo la damu โค๏ธ*
*Kisukari ๐Ÿฉธ*
*Figo na ini โš•๏ธ*
*Maumivu ya viungo ๐Ÿฆต*
*Matatizo ya tumbo ๐Ÿค•*
*Uzito na BMI โš–๏ธ*
*Na mengine mengi ya mwilini!*
*โš ๏ธ USIPUUZE dalili!*
*Maumivu madogo yanaweza kuwa ishara ya jambo kubwa.*
*๐Ÿงช PIMA, TIBIKA, NA ENDELEA KUISHI kwa amani.*

*ETERNAL INTERNATIONAL inakuletea huduma ya kisomi, ya kitaalamu, na ya kiroho, kwa kutumia* *virutubisho asilia kutoka China โ€“ bila sumu, bila maumivu!*

* *
* *
* *
* *
* *
* *
* *

KARIBUNI SANA!!!

Afya yako ni dhamana kwetu๐Ÿซต
,Tunakupenda...

01/05/2025

GCAT HEALTH CARE CLINIC KUTOKA CHINA.๐Ÿ‘‡
TUNAKULETEA WATAALAMU WA UPIMAJI WA MAGONJWA YOTE SUGU YASIYOAMBUKIZA K**A VILE
๐Ÿ‡ ๐—ž๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—ž๐—”๐—ฅ๐—œ
๐Ÿ‡ ๐—ฃ๐—ฅ๐—˜๐—ฆ๐—ฆ๐—จ๐—ฅ๐—˜
๐Ÿ‡ ๐—ฃ๐—จ๐— ๐—จ
๐Ÿ‡ ๐— ๐—œ๐—™๐—จ๐—ฃ๐—”
๐Ÿ‡ ๐— ๐—œ๐—ฆ๐—จ๐—Ÿ๐—œ
๐Ÿ‡ ๐— ๐—œ๐—ฆ๐—›๐—œ๐—ฃ๐—”
๐Ÿ‡ ๐— ๐—”๐—–๐—›๐—ข
๐Ÿ‡ ๐—ž๐—”๐—ก๐—ฆ๐—”
๐Ÿ‡ ๐—œ๐—ก๐—œ
๐Ÿ‡ ๐—ฃ.๐—œ.๐——
๐Ÿ‡๐—ง๐—˜๐—ญ๐—œ ๐——๐—จ๐— ๐—˜
๐Ÿ‡๐— ๐—”๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—ข๐—ฌ๐—ข
๐Ÿ‡๐— ๐—”๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—™๐—œ๐—š๐—ข
๐Ÿ‡๐— ๐—”๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—จ๐—ญ๐—”๐—ญ๐—œ
(wanaume, wanawake)
๐Ÿ‡๐—จ.๐—ง.๐—œ ๐—ฆ๐—จ๐—š๐—จ
๐Ÿ‡๐—™๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—ฆ๐—œ ๐—”๐—œ๐—ก๐—” ๐—ญ๐—ข๐—ง๐—˜
๐Ÿ‡๐—ฉ๐—œ๐——๐—ข๐—ก๐——๐—” ๐—ฉ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—จ๐— ๐—•๐—ข
๐Ÿ‡๐— ๐—”๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—ฌ๐—” ๐—ก๐—š๐—ข๐—ญ๐—œ
KIPIMO HIKI KITA SCAN MWILI WAKO WOTE KWANZIA KICHWANI HADI MIGUUNI,, HIVYO BASI HAKUNA UGONJWA WOWOTE UTAKAOJIFICHA
๐—จ๐—ฆ๐—œ๐—›๐—”๐—ก๐—š๐—”๐—œ๐—ž๐—˜ TENA
NJOO UPATE SULUHISHO LA AFYA YAKO,
KIPIMO HIKI SI CHA WAGONJWA TU BALI NI MTANZANIA YOYOTE ANAETAKA KUJUA UNDANI WA AFYA YAKE
๐—ง๐—จ๐—ก๐—”๐—ญ๐—ข ๐——๐—”๐—ช๐—” ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ฆ๐—›๐—” ZENYE UWEZO WA JUU SANA KUWEZA KUTATUA CHANGAMOTO YAKO YOYOTE

WAHI SASA NDANI YA MWEZI HUU KWA SIKU 15 TU

HII OFA ISIKUPITE PIGA SIMU/TUMA SMS AU WHATSAPP KWA NAMBA 0740 068 897

24/04/2025

HORMONAL IMBALANCE

HORMONES ni kemikali zinazounganisha kazi mbalimbali katika mwili kwakusambaza taarifa kupitia damu kwenda kwenye organs,ngozi,misuli na tissue.ambazo huziamuru nini kifanye nanini kinatokea.

๐Ÿ‘‰HORMONAL IMBALANCE hutokea kuzidi kupita kiasi au kungua kwa homon8

SABABU ZINAZOPELEKEA HORMONAL IMBALANCE
๐ŸŒฟHedhi isiyo nampangilio
๐ŸŒฟUtasa
๐ŸŒฟChunusi
๐ŸŒฟUzito kupitiliza
๐ŸŒฟKisukari

DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE ZINAZOATHIRI UFANYAJI KAZI WA MWILI
๐ŸŒฟKupungua au kwenda mbio kwa mapigo ya moyo
๐ŸŒฟkupungua kwa uzito/kuongezeka
๐ŸŒฟUchovu
๐ŸŒฟChoo kuwa kikavu
๐ŸŒฟkuharisha au kuunguruma kwatumbo kupita kiasi
๐ŸŒฟkukaza kwa mikono
๐ŸŒฟKupanda kwa Cholesterol
๐ŸŒฟHofu
๐ŸŒฟkushindwa kuvumilia joto au baridi
๐ŸŒฟNgozi kuwa kavu
๐ŸŒฟKukojoa mara kwamara

DALILI KWA MWANAMKE
๐Ÿ‘ฑโ€โ™€๏ธChunusi kutokea kwenye sura,kifua na mgongoni
๐Ÿ‘ฑโ€โ™€๏ธKukosa nywele
๐Ÿ‘ฑโ€โ™€๏ธkutokwa nadamu nzito ya hedhi
๐Ÿ‘ฑโ€โ™€๏ธkuzidi kwa vinyweleo
๐Ÿ‘ฑโ€โ™€๏ธUtasa
๐Ÿ‘ฑโ€โ™€๏ธHedhi isiyokuwa na mpangilio
๐Ÿ‘ฑโ€โ™€๏ธKukosa hamu yatendo landoa
๐Ÿ‘ฑโ€โ™€๏ธkukosa ute ukeni

DALILI KWA MWANAUME
๐Ÿ™Žkupungua kwa vinyweleo
๐Ÿ™Žkushindwa kusimamisha
๐Ÿ™Žkuongezeka kwa maziwa
๐Ÿ™Žutasa
๐Ÿ™ŽKukosa hamu yatendo la ndoa
๐Ÿ™Žkupungua kwa misuli

SABABU
๐Ÿ‘‰Umaskini
๐Ÿ‘‰Ujauzito
๐Ÿ‘‰kukoma
๐Ÿ‘‰Mawazo
๐Ÿ‘‰Matumizi ya sindano za uzazi wa mpango
๐Ÿ‘‰Matumizi ya madawa

NOTE;UKOMAVU/USUGU WA HORMONAL IMBALANCE UNAWEZA SABABISHA UVIMBE,KUHARIBIKA KWA TEZI NA MATATIZO YA KINGA ZA MWILI.

NAMNA YA KUZUIA
-DUMISHA KUFANYA MAZOEZI
-KULA MLO KAMILI
-PUNGUZA MAWAZO
-PATA MUDA MWINGI WA KULALA
-ACHA MATUMIZI YA TO***CO

Unaweza kudhibiti hili tatizo k**a bado hujachelewa au halijakushambulia hivyo unaweza kulidhibiti kwa hizo njia hapo juu,na k**a unaona dalili mojawapo unatakiwa umuone daktari kwa ushauri na tiba inapohitajika.

Njoo tukuhudumie na ufurahie maisha yako,tunapatikana mikoa yote ya Tanzania na kwa upande wa Dsm tunapatikana njia panda yakigogo

Kwa mawasiliano zaidi tupigie namba 0740 068 897

KARIBUNI SAANAA!!

21/04/2025

Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na Matibabu

Shirika la Afya kutoka CHINA/ ETERNAL HOSPITAL, Imeanza kutoa Ofa kwa wagonjwa wote wanao fika katika vituo vyake vyote, na Ofa hii niya๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
โ–ช๏ธ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
โ–ช๏ธ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
๐Ÿš‘ ๐Ÿ”นPresha, ๐Ÿ”นMatatizo ya Moyo na INI
๐Ÿ”นKansa, ๐Ÿ”นVidonda vya Tumbo,
๐Ÿ”นKisukari ๐Ÿ”นPumu
๐Ÿ”นStroku. ๐Ÿ”นMatatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
๐Ÿ”นMatatizo ya mifupa, ๐Ÿ”นMatatizo ya miguu
๐Ÿ”นNgozi, ๐Ÿ”นFigo, ๐Ÿ”นFangasi sugu
๐Ÿ”นKupunguza unene, uzito, na matumbo
๐Ÿ”นKuongeza kinga mwilini(CD4)
๐Ÿ”นU.T.I sugu, ๐Ÿ”นGesi
๐Ÿ”นBawasiri, ๐Ÿ”นTenzi dume
๐Ÿ”นHeshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
๐Ÿ‘‰ Kuosha
๐Ÿ‘‰ Kulinda/ Kukinga
๐Ÿ‘‰ Kujenga
๐Ÿ‘‰ Kutibu

Karibu sana Upate huduma yetu msimu huu wa Ofa. Tupo Dar es salaam njia panda ya kigogo na Mikoani pia tunapatikana

Wasiliana nasi kwa simu namba 0740 068 897

02/04/2025

VIPIMO VYA MFUMO WA UZAZI

OFA YA MWEZI HUU: Tsh 30,000 PEKEE!
๐Ÿ”ธ Kumwona Daktari BURE!

---

USITUMIE DAWA BILA VIPIMO!

Kumekuwa na ongezeko la matumizi ya dawa kiholela bila vipimo, jambo linalosababisha:
โœ… Usugu wa magonjwa
โœ… Kansa ya shingo ya kizazi
โœ… Hali mbaya zaidi: Kutolewa kizazi!

---

DALILI ZA CHANGAMOTO ZA MFUMO WA UZAZI:

โฉ Maumivu makali chini ya kitovu au upande wa kulia/kushoto.
โฉ Kutokwa na uchafu mzito wenye harufu mbaya.
โฉ Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
โฉ Mimba kuharibika.
โฉ Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
โฉ Na dalili zinginezo...

---

USHAURI WETU:

โ›” Usitumie dawa yoyote bila vipimo na ushauri wa daktari.
๐Ÿ‘‰ Ikiwa umeshatumia dawa na hali haijabadilika au inazidi kuwa mbaya, NJOO UFANYE VIPIMO na upate tiba sahihi!

---

WASILIANE NASI:

๐Ÿ“ž Simu/WhatsApp: 0740 068 897

๐Ÿ“ Tupo Dar es Salaam na Mikoani.

---
TUNAKUPENDA, KUKUJALI NA KUKUTHAMINI
AFYA YAKO NI DHAMANA KWETU

Fanya vipimo mapema na epuka madhara makubwa.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Kigogo Round About
Dar Es Salaam