Afya Yangu
Hi!!karibu Tunatoa huduma ya kutoa sumu mwilini,pia tunatoa huduma ya vipimo vya mwili mzima
18/12/2025
๐ GCAT HOSPITALโ Center bora ya matibabu ya magonjwa yote sugu na madaktari bora waliobobea๐
Unasumbuliwa na magonjwa haya?
๐น Magonjwa ya Uzazi: Maambukizi ya njia ya uzazi, uvimbe kwenye kizazi (fibroids), kukosa hedhi, hedhi isiyo na mpangilio, ugumba (infertility), na mengineyo.
๐น Saratani: Saratani ya kizazi, matiti, tezi dume (prostate), ini, ngozi n.k
๐น Kisukari: Kisukari cha aina zote na madhara yake k**a vidonda visivyopona, ganzi miguu, na matatizo ya macho.
๐น Shinikizo la Damu (Pressure): High/low blood pressure, kizunguzungu, kuchoka sana n.k
๐น Magonjwa ya Ngozi: Upele, mba kichwani, chunusi, fangasi sugu, vipele vya moto, ukurutu (eczema), madoa usoni.
๐น Magonjwa ya Tumbo: Vidonda vya tumbo, gesi, kujaa, kukosa choo au kuharisha mara kwa mara, minyoo, na maambukizi ya bakteria tumboni.
๐น Uvimbe wa aina zote: Uvimbe tumboni, kwenye ngozi, viungo vya uzazi, tezi, kichwani n.k
๐น Magonjwa ya Mifupa na Viungo: Maumivu ya mgongo, kiuno, magoti, arthritis, baridi yabisi, mifupa iliyochoka n.k
๐น Magonjwa ya Mishipa na Ubongo: Ganzi mwilini, kufa ganzi miguu/mikono, degedege, kifafa, stroke, kupoteza kumbukumbu n.k
๐น Magonjwa ya Moyo, Figo, Ini, Mapafu, na Maambukizi Sugu ya Mwili.
๐งฌ Tunafanya vipimo kwa kutumia teknolojia ya kisasa kutoka India na China, pamoja na matibabu ya kibunifu kupitia Tibalishe โ mchanganyiko wa lishe tiba na tiba asilia unaowezesha mwili kupona kwa ufanisi bila madhara ya kemikali.
โ
Tunajivunia madaktari bingwa wenye uzoefu na huduma rafiki kwa kila mgonjwa.
๐ Tunapatikana:
Njia panda kigogo Dar es Salaam na mikoa mbalimbali Tanzania nzima ๐น๐ฟ
๐ Wasiliana Nasi Leo:
๐ฒ +255 618068878 on
Bofya kitufe cha whatsap kututumia ujumbe
๐ฌ Afya yako ni msingi wa maisha bora โ GCAT Hospital tunakujali kwa moyo wote!
17/12/2025
JEE!!!!?
๐ซ UNASUMBUKA NA HEDHI!?,
๐ซ UNASUMBUKA NA PID!?.,
๐ซ MIMBA ZINATOKA BILA MPANGILIO!?.
๐ซ HUWEZI SHIRIKI TENDO NA MWENZI WAKO IPASAVYO!!?
๐NJOO SASA TUKUHUDUMIE.,UFAHAMU CHANGAMOTO YAKO INAYOKUSUMBUA..EWE BABA EWE MAMA NJOO TUKUBADILISHE JINA UITWE MAMA AU BABA..
UTAPATA KIPIMO HIKI KWA SHILINGI ELFU30,000= NA UTAONANA NA DAKTARI BURE KABISAA.
TUNAPATIKA NJIA PANDA KIGOGO DAR ES SALAAM.KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE NAMBA 0618068878..
Karibuni saana,,Nyoote mnakaribishwaa
13/10/2025
TANGAZO TANGAZO TANGAZO
TAASISI YA ETERNAL INTERNATIONAL INAWATANGAZIA WATANZANIA WOTE WAZEE,VIJANA,WAKUBWA ,WATOTO,WANAUME NA WANAWAKE..
KUWA IMELETA OFFER YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA BEI NAFUU YA SHILINGI ELFU30,000/=TU.
UTAPATA FAIDA YA KUJUA AFYA YAKO UTAPATA FAIDA YAKUONANA NA MADAKTARI WABOBEZI LAKINI UTAPATA KUJUA NININI KINAKUSUMBUA
WAHU SASA UJE UJUE AFYA YAKO NA UJUE NINI KINAKUSUMBUA,TUNAPATIKA TANZANIA NZIMA KWA UPANDE WA DAR ES SALAAMA TUNAPATIKANA NJIA PANDA YAKIGOGO ,,KWA MAWASILIANO ZAIDI NIPIGIE NAMBA/WHATSUP NAMBA 0618068878
karibu tako
afya yako
afya yako
afya yako
na kukuthamini
19/07/2025
FIBROID(UVvimbe kwenye kizazi)
Ni hali ambapo kuna kuwa na tishu isiyo yakawaida ndani ya mji wa mimba au karibu kabisa na mji wa mimba(uterus)
โUvimbe kwenye kizazi(fibroid) hii ndy aina maarufu ya uvimbe kwenye kizazi unaweza kuitwa pia
-MYOMA
-LEIOMYOMA
SIFA
-Ni vimbe zisizo na kansa
-Hutokana na ukuaji wa ukuta wa kizazi
-Ukubwa wake hutofautiana unaweza kuwa vidogo k**a maharage au ukubwa k**a ndimy
-Huweza kuotandani,nje au kwenye ukuta wa ndani unaobeba mimba
DALILI ZAKE
โช๏ธKupata hedhi nzito na yamuda mrefu
โช๏ธMaumivu kwenye kinena/maumivu wakati wa tendo
โช๏ธKupata choo kigumu
โช๏ธUgumu wakushika/kuharibika mimba
โช๏ธkubanwa kwa kibofu cha mkojo/kukojoa mara kwa mara
SABABU
SAbabu za ugonjwa huu hazijajulikana kikamilifu,ila kuna baadhi ambazo zimegundulika ambazo ni
โช๏ธHomoni(estrogen na progesterone inachangia ukuaji wa fibroid)
โช๏ธkurithi
โช๏ธUzito mkubwa
โช๏ธUmri wa kuzaa
MADHARA
โช๏ธUgumba
โช๏ธkuchelewa kuzaa au ugumba
โช๏ธKansa
NI WATU GANI AMBAO WAKO KWENYE HATARI YA KUPATA UGONJWA HUU!?
Wenye hatari zaidi yakupata ugonjwa huu ni
โWanawake wenye umri kuanzia miaka30 hadi 45
โwenye historia na ugonjwa huu kwenye ukoo wao
โUzito uliopitiliza
MATIBABU
Matibabu yake yanategemea na ukubwa,sehemu na dalili zake
-Kufanya vipimo mara kwa mara
-vidonge
-Operesheni
-Mionzi
Hivyo basi wanawake wengi wa kiafrika wannathirika zaidi na huu ugonjwa pasipo kupata matibabu stahiki,hivyo bhc taasisi ya ETERNAL INTERNATIONAL inakuletea ofa kabambe ya madaktari waliobobea waliofunzwa kutoka china pamoja na offer ya kipimo cha mwili mzima kwa bei nafuu kabisa
Unachelewa nini sasa wahi sasa uje ujue afya yako na uanze kujipatia matibabu yaliyo sahihi
Tupo kigogo njia panda,
mawasiliano zaidi tupigie namba 0740 068 897
kukuthamini
NYOTE MNAKARIBISHWAA...
*โจโจ TANGAZO LA KUPIMA AFYA! โจโจ*
*ETERNAL INTERNATIONAL inakuambia...*
*๐ Usisubiri hadi hali iwe mbaya! Njoo upimwe mapema!*
*๐
TAREHE 20.05.2025 HADI TAREHE 15.06.2025
*โฐ MUDA: Kila siku asubuhi hadi jioni*
*๐ MAHALI: Popote ulipo, nchi nzima tunahudumia!*
*โ๏ธ MAWASILIANO: 0740 068897
*โ
Tunapima MWILI MZIMA kwa 30,000 tu!*
*Kwa bei hii nafuu, utapata uchunguzi wa kina kwa:*
*Shinikizo la damu โค๏ธ*
*Kisukari ๐ฉธ*
*Figo na ini โ๏ธ*
*Maumivu ya viungo ๐ฆต*
*Matatizo ya tumbo ๐ค*
*Uzito na BMI โ๏ธ*
*Na mengine mengi ya mwilini!*
*โ ๏ธ USIPUUZE dalili!*
*Maumivu madogo yanaweza kuwa ishara ya jambo kubwa.*
*๐งช PIMA, TIBIKA, NA ENDELEA KUISHI kwa amani.*
*ETERNAL INTERNATIONAL inakuletea huduma ya kisomi, ya kitaalamu, na ya kiroho, kwa kutumia* *virutubisho asilia kutoka China โ bila sumu, bila maumivu!*
* *
* *
* *
* *
* *
* *
* *
KARIBUNI SANA!!!
Afya yako ni dhamana kwetu๐ซต
,Tunakupenda...
17/05/2025
*โจโจ TANGAZO LA KUPIMA AFYA! โจโจ*
*ETERNAL INTERNATIONAL inakuambia...*
*๐ Usisubiri hadi hali iwe mbaya! Njoo upimwe mapema!*
*๐
TAREHE 20.05.2025 HADI TAREHE 15.06.2025
*โฐ MUDA: Kila siku asubuhi hadi jioni*
*๐ MAHALI: Popote ulipo, nchi nzima tunahudumia!*
*โ๏ธ MAWASILIANO: 0740 068897
*โ
Tunapima MWILI MZIMA kwa 20,000 tu!*
*Kwa bei hii nafuu, utapata uchunguzi wa kina kwa:*
*Shinikizo la damu โค๏ธ*
*Kisukari ๐ฉธ*
*Figo na ini โ๏ธ*
*Maumivu ya viungo ๐ฆต*
*Matatizo ya tumbo ๐ค*
*Uzito na BMI โ๏ธ*
*Na mengine mengi ya mwilini!*
*โ ๏ธ USIPUUZE dalili!*
*Maumivu madogo yanaweza kuwa ishara ya jambo kubwa.*
*๐งช PIMA, TIBIKA, NA ENDELEA KUISHI kwa amani.*
*ETERNAL INTERNATIONAL inakuletea huduma ya kisomi, ya kitaalamu, na ya kiroho, kwa kutumia* *virutubisho asilia kutoka China โ bila sumu, bila maumivu!*
* *
* *
* *
* *
* *
* *
* *
KARIBUNI SANA!!!
Afya yako ni dhamana kwetu๐ซต
,Tunakupenda...
01/05/2025
GCAT HEALTH CARE CLINIC KUTOKA CHINA.๐
TUNAKULETEA WATAALAMU WA UPIMAJI WA MAGONJWA YOTE SUGU YASIYOAMBUKIZA K**A VILE
๐ ๐๐๐ฆ๐จ๐๐๐ฅ๐
๐ ๐ฃ๐ฅ๐๐ฆ๐ฆ๐จ๐ฅ๐
๐ ๐ฃ๐จ๐ ๐จ
๐ ๐ ๐๐๐จ๐ฃ๐
๐ ๐ ๐๐ฆ๐จ๐๐
๐ ๐ ๐๐ฆ๐๐๐ฃ๐
๐ ๐ ๐๐๐๐ข
๐ ๐๐๐ก๐ฆ๐
๐ ๐๐ก๐
๐ ๐ฃ.๐.๐
๐๐ง๐๐ญ๐ ๐๐จ๐ ๐
๐๐ ๐๐ง๐๐ง๐๐ญ๐ข ๐ฌ๐ ๐ ๐ข๐ฌ๐ข
๐๐ ๐๐ง๐๐ง๐๐ญ๐ข ๐ฌ๐ ๐๐๐๐ข
๐๐ ๐๐ง๐๐ง๐๐ญ๐ข ๐ฌ๐ ๐จ๐ญ๐๐ญ๐
(wanaume, wanawake)
๐๐จ.๐ง.๐ ๐ฆ๐จ๐๐จ
๐๐๐๐ก๐๐๐ฆ๐ ๐๐๐ก๐ ๐ญ๐ข๐ง๐
๐๐ฉ๐๐๐ข๐ก๐๐ ๐ฉ๐ฌ๐ ๐ง๐จ๐ ๐๐ข
๐๐ ๐๐ง๐๐ง๐๐ญ๐ข ๐ฌ๐ ๐ก๐๐ข๐ญ๐
KIPIMO HIKI KITA SCAN MWILI WAKO WOTE KWANZIA KICHWANI HADI MIGUUNI,, HIVYO BASI HAKUNA UGONJWA WOWOTE UTAKAOJIFICHA
๐จ๐ฆ๐๐๐๐ก๐๐๐๐๐ TENA
NJOO UPATE SULUHISHO LA AFYA YAKO,
KIPIMO HIKI SI CHA WAGONJWA TU BALI NI MTANZANIA YOYOTE ANAETAKA KUJUA UNDANI WA AFYA YAKE
๐ง๐จ๐ก๐๐ญ๐ข ๐๐๐ช๐ ๐ญ๐ ๐๐จ๐ง๐ข๐ฆ๐๐ ZENYE UWEZO WA JUU SANA KUWEZA KUTATUA CHANGAMOTO YAKO YOYOTE
WAHI SASA NDANI YA MWEZI HUU KWA SIKU 15 TU
HII OFA ISIKUPITE PIGA SIMU/TUMA SMS AU WHATSAPP KWA NAMBA 0740 068 897
24/04/2025
HORMONAL IMBALANCE
HORMONES ni kemikali zinazounganisha kazi mbalimbali katika mwili kwakusambaza taarifa kupitia damu kwenda kwenye organs,ngozi,misuli na tissue.ambazo huziamuru nini kifanye nanini kinatokea.
๐HORMONAL IMBALANCE hutokea kuzidi kupita kiasi au kungua kwa homon8
SABABU ZINAZOPELEKEA HORMONAL IMBALANCE
๐ฟHedhi isiyo nampangilio
๐ฟUtasa
๐ฟChunusi
๐ฟUzito kupitiliza
๐ฟKisukari
DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE ZINAZOATHIRI UFANYAJI KAZI WA MWILI
๐ฟKupungua au kwenda mbio kwa mapigo ya moyo
๐ฟkupungua kwa uzito/kuongezeka
๐ฟUchovu
๐ฟChoo kuwa kikavu
๐ฟkuharisha au kuunguruma kwatumbo kupita kiasi
๐ฟkukaza kwa mikono
๐ฟKupanda kwa Cholesterol
๐ฟHofu
๐ฟkushindwa kuvumilia joto au baridi
๐ฟNgozi kuwa kavu
๐ฟKukojoa mara kwamara
DALILI KWA MWANAMKE
๐ฑโโ๏ธChunusi kutokea kwenye sura,kifua na mgongoni
๐ฑโโ๏ธKukosa nywele
๐ฑโโ๏ธkutokwa nadamu nzito ya hedhi
๐ฑโโ๏ธkuzidi kwa vinyweleo
๐ฑโโ๏ธUtasa
๐ฑโโ๏ธHedhi isiyokuwa na mpangilio
๐ฑโโ๏ธKukosa hamu yatendo landoa
๐ฑโโ๏ธkukosa ute ukeni
DALILI KWA MWANAUME
๐kupungua kwa vinyweleo
๐kushindwa kusimamisha
๐kuongezeka kwa maziwa
๐utasa
๐Kukosa hamu yatendo la ndoa
๐kupungua kwa misuli
SABABU
๐Umaskini
๐Ujauzito
๐kukoma
๐Mawazo
๐Matumizi ya sindano za uzazi wa mpango
๐Matumizi ya madawa
NOTE;UKOMAVU/USUGU WA HORMONAL IMBALANCE UNAWEZA SABABISHA UVIMBE,KUHARIBIKA KWA TEZI NA MATATIZO YA KINGA ZA MWILI.
NAMNA YA KUZUIA
-DUMISHA KUFANYA MAZOEZI
-KULA MLO KAMILI
-PUNGUZA MAWAZO
-PATA MUDA MWINGI WA KULALA
-ACHA MATUMIZI YA TO***CO
Unaweza kudhibiti hili tatizo k**a bado hujachelewa au halijakushambulia hivyo unaweza kulidhibiti kwa hizo njia hapo juu,na k**a unaona dalili mojawapo unatakiwa umuone daktari kwa ushauri na tiba inapohitajika.
Njoo tukuhudumie na ufurahie maisha yako,tunapatikana mikoa yote ya Tanzania na kwa upande wa Dsm tunapatikana njia panda yakigogo
Kwa mawasiliano zaidi tupigie namba 0740 068 897
KARIBUNI SAANAA!!
21/04/2025
Kwa watu wote wenye changamoto mbalimbali kiafya tutakuwa na Ofa ya Vipimo na Matibabu
Shirika la Afya kutoka CHINA/ ETERNAL HOSPITAL, Imeanza kutoa Ofa kwa wagonjwa wote wanao fika katika vituo vyake vyote, na Ofa hii niya๐๐
โช๏ธ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni Tshs 20,000/= tu
โช๏ธ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )
Magonjwa tunayo tibu ni;
๐ ๐นPresha, ๐นMatatizo ya Moyo na INI
๐นKansa, ๐นVidonda vya Tumbo,
๐นKisukari ๐นPumu
๐นStroku. ๐นMatatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
๐นMatatizo ya mifupa, ๐นMatatizo ya miguu
๐นNgozi, ๐นFigo, ๐นFangasi sugu
๐นKupunguza unene, uzito, na matumbo
๐นKuongeza kinga mwilini(CD4)
๐นU.T.I sugu, ๐นGesi
๐นBawasiri, ๐นTenzi dume
๐นHeshima ya ndoa kwa kina baba. N.k
TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
๐ Kuosha
๐ Kulinda/ Kukinga
๐ Kujenga
๐ Kutibu
Karibu sana Upate huduma yetu msimu huu wa Ofa. Tupo Dar es salaam njia panda ya kigogo na Mikoani pia tunapatikana
Wasiliana nasi kwa simu namba 0740 068 897
02/04/2025
VIPIMO VYA MFUMO WA UZAZI
OFA YA MWEZI HUU: Tsh 30,000 PEKEE!
๐ธ Kumwona Daktari BURE!
---
USITUMIE DAWA BILA VIPIMO!
Kumekuwa na ongezeko la matumizi ya dawa kiholela bila vipimo, jambo linalosababisha:
โ
Usugu wa magonjwa
โ
Kansa ya shingo ya kizazi
โ
Hali mbaya zaidi: Kutolewa kizazi!
---
DALILI ZA CHANGAMOTO ZA MFUMO WA UZAZI:
โฉ Maumivu makali chini ya kitovu au upande wa kulia/kushoto.
โฉ Kutokwa na uchafu mzito wenye harufu mbaya.
โฉ Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
โฉ Mimba kuharibika.
โฉ Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
โฉ Na dalili zinginezo...
---
USHAURI WETU:
โ Usitumie dawa yoyote bila vipimo na ushauri wa daktari.
๐ Ikiwa umeshatumia dawa na hali haijabadilika au inazidi kuwa mbaya, NJOO UFANYE VIPIMO na upate tiba sahihi!
---
WASILIANE NASI:
๐ Simu/WhatsApp: 0740 068 897
๐ Tupo Dar es Salaam na Mikoani.
---
TUNAKUPENDA, KUKUJALI NA KUKUTHAMINI
AFYA YAKO NI DHAMANA KWETU
Fanya vipimo mapema na epuka madhara makubwa.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Dar Es Salaam
