Mwanga wa afya

Mwanga wa afya

Share

Kwa ushauri na matibabu ya mgonjwa mbalimbali piga simu 0672 394466

15/04/2026
23/03/2026

Je, unazijua dalili za ugonjwa wa ini? Usizipuuzie.
Dalili zake ni pamoja na

➡️Uchovu wa kupita kiasi
➡️Macho na ngozi kuwa ya njano
➡️Maumivu upande wa kulia wa tumbo
➡️Kichefuchefu na kupoteza hamu ya kula
Madhara yake yanaweza kuwa makubwa
k**a:
➡️Ini kushindwa kufanya kazi
➡️Saratani ya ini
➡️Hatari ya kupoteza maisha
Unapaswa kufanya nini?
➡️Nenda hospitali mapema kwa uchunguzi
➡️Epuka pombe kupita kiasi
➡️Kula lishe bora
➡️Fuata ushauri wa daktari
Linda afya yako mapema, usisubiri hadi hali iwe mbaya.
Kwa matibabu na ushauri piga simu 0672 394466 Tunapatikana Dar-es-salaam
wa afya

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Kimara Dar Es Salaam
Dar Es Salaam