Mwanga wa afya
Kwa ushauri na matibabu ya mgonjwa mbalimbali piga simu 0672 394466
Je, unazijua dalili za ugonjwa wa ini? Usizipuuzie.
Dalili zake ni pamoja na
➡️Uchovu wa kupita kiasi
➡️Macho na ngozi kuwa ya njano
➡️Maumivu upande wa kulia wa tumbo
➡️Kichefuchefu na kupoteza hamu ya kula
Madhara yake yanaweza kuwa makubwa
k**a:
➡️Ini kushindwa kufanya kazi
➡️Saratani ya ini
➡️Hatari ya kupoteza maisha
Unapaswa kufanya nini?
➡️Nenda hospitali mapema kwa uchunguzi
➡️Epuka pombe kupita kiasi
➡️Kula lishe bora
➡️Fuata ushauri wa daktari
Linda afya yako mapema, usisubiri hadi hali iwe mbaya.
Kwa matibabu na ushauri piga simu 0672 394466 Tunapatikana Dar-es-salaam
wa afya
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dar Es Salaam
