Dr Asili
ASILI YA ULIMWENGU NI KUMNUFAISHA KILA KILA KIUMBE.
29/07/2026
FULL MOON KATIKA NYOTA YA NDOO
Kuanzia leo tarehe 29/7/2029 Saa 11:35 Jioni
Siku tatu zilizopita, Nodi za Mwezi ziliingia katika Nyota ya Samaki kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2009
Na tukio hili linamaana ya kuanzisha upya mwelekeo wa hatima ya maisha yako.
Mara ya mwisho kutokea kwa tukio k**a hili ilikuwa kati ya 19 Desemba 2007 hadi 21 Agosti 2009.
Hii inamaana kwamba full moon hii ni mwanzo mpya wa mabadiliko ya maisha yako k**a utachukua hatua nzuri za kujiunganisha na Ulimwengu kwa kufanya matambiko na madhihirisho bora yatakayokua yanaakisi mwanzo mpya wako
Nakuhakikishia k**a kuna kitu kimekusumbua kwa mda mrefu full moon hii inaweza kua solution ya matatizo yako. Kikubwa fata utaratibu k**a niliokua kielekeza katika madara yaliyopita...
Na chochote ambacho kimekua kikwazo cha ustawi wako wa kiuchumi au kimahusiano au kiafya hiki ni kipindi bora cha kuachilia k**a sehemu ya kuanza upya kwa maisha yako..
Ata k**a utadharau au kwa wale wasiojua kitu lazima wajue khatma yao inategemea zaidi Muundo na mabadiliko ya Ulimwengu kiasili hivyo bora zaidi kuendana na kusudi lako la kiasili
Chochote kilichobadilika katika maisha yako wakati huo kinamahusiano na mabadiliko ya Tabia za kiasili za kinyota
Zingatia
Hakikisha una kua safi na una dhibiti hisia zako kwani full moon kukukuta na Hali ya Hasira au huzuni kupita kiasi ni kawaida unatakiwa kudhibiti hali hiyo ili isikuletee athari na kushindwa kudhibiti kutaathiri mitetemo yako na kushindwa kunufaika na mabadiliko ya full moon hii..
Hali ya uchovu na kichwa kuuma isikuogopeshe amka na uachilie hali hiyo..
Soma masomo yaliyopita kupata elimu zaidi namna ya kufanya madhihirisho na kuachilia kupitia Dr Asili
Usisahau kufollow page ya Dr Asili kwa elimu zaidi
+255650146244
ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU
28/07/2026
Imezoeleka kwa watu wengi kutumia dawa ya mkunde pori na mzungwa kwa matatizo ya tumbo, ngiri na chango kwa akina Mama. Leo nataka niwape kitu kipya kupitia dawa hizi
K**a mtoto wako anaweweseka mda wa kulala
Au k**a wewe una homa zisizoeleweka, matatizo ya nuksi
Andaa dawa za mkunde pori na mzungwa kwa kuchemsha na kujifukiza k**a nyungu na nyingine uogee itakusaidia kuondoa matatizo hayo.
Najua hii ni rahisi fanya ukiwa nyumbani au msaidie mwanao au ndugu yako
Usisahau kufollow page ya Dr Asili kwa elimu zaidi
+255650146244
ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU
26/07/2026
TUMIA MAJI KUZIMA UCHAWI ULIO MWILINI MWAKO
Weka maji ktk glass... Weka chumvi ya mawe punje 7 au 14 ktk glass, Chukua mkaa mmoja wa moto weka ktk glass hiyo kwa manuizi ya kuzima na kuondosha ubaya uliomwilini mwako.
Kunywa maji hayo yote
Pia unaweza kutumia maji ya kisima ambacho hakifunikwi kile kinachopata mwanga wa jua.
Msaka uchawi. Chumvi ya mawe. Mchanga wa njia panda saba. Zimia makaa ya mawe 3 kwa manuizi ya kuondoa uchawi mwilini. Tumia kwa kuogea
Usisahau kufollow page ya Dr Asili Kwa Elimu zaidi
+255650146244
ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU
23/07/2026
Pendelea kuchoma Abdalasini ndani ya eneo lako k**a fusho
Pendelea kuogea na kupigia deki maji yenye karafuu, abdalasini tena ni vizuri ukazibambika usiku ili asubuhi ziwe tayari kwa matumizi
Weka chumvi asubuhi
Weka kifumbasi
Ogea maji hayo na mengine pigia deki ndani kwako au eneo la biashara yako
Utaziona baraka utaona matokeo ya utofauti wa kheri katika maisha yako. Anza sasa fanya kwa muendelezo
Usisahau kufollow page ya Dr Asili kwa elimu zaidi
+255650146244
ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU
23/07/2026
KULETA MVUTO NA BARAKA
Katika maisha jitahidi sana kujipambania katika kuboresha Maendeleo ya Aura yako.
Unatakiwa kujua Duniani haupo peke yako kuna waliochagua kua wapinzani wako pia kuna matatizo yakukumbana nayo njiani yanayoharibu ustawi wa Aura yako.
Fanya hivi kuimarisha Aura Yako
Andaa n**i
Toboa n**i hiyo katika jicho moja kati ya macho matatu ya n**i.
Kata kucha zako, mate yako, mchanga wa kivuli chako, Nywele zako kidogo.
Uweke ndani ya n**i hiyo na uzibe n**i hiyo kwa ntaa au kitu cheupe.
Kisha ifukize n**i hiyo kwa ubani wa uvumba au ubani mweupe na utamke maneno ya kukuondolea laana za vifungo na matatizo mbalimbali.
Mfano
Ewe Mungu wa Ulimwengu wewe ndie ulieumba n**i hii na wewe ndie mwenye kujua siri ya kilichondani ya n**i hii, Alie niroga simjui k**a ambavyo sijui kilichondani ya n**i hii, kwako sio siri unamjua alienikusudia ubaya, nimrunganisha asili yangu ndani ya n**i hii nakuomba nifungue kutoka kwenye kila tatizo la uchawi wa vifungo na uchawi wa nuksi na mikosi nitakapofanikiwa kuipasua n**i hii kisibaki kizuizi kwangu pia Nakuomba Mungu wa Ulimwengu nibainishie kupitia uvunjikaji wa n**i hii k**a ishara ya kukubalika kwa tambiko langu hili kwa kufunuku vifuu vya n**i hii.
Unaweza kuvunja n**i hiyo sehemu yenye njia panda 4.
Ukimaliza zoezi hili tafuta dawa hizi
Mfunguo
Habat nuksi
Karafuu
Nyota
Mwinula
Chumvi ya mawe
Uwe unaogea Asubuhi na jioni kwa siku 7 mfululizo asubuhi na jioni
Usiogee chooni na usiogee na sabuni
Maji ya kuogea uanzie kichwani na ujisugue kuanzia chini kwenda juu...
Utafutahia Ulimwengu kwa kubadilisha maisha yako kutoka katika laana kwenda kwenye baraka ๐๐
Usisahau kufollow page ya Dr Asili kwa elimu zaidi
+255650146244
ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU
21/07/2026
Unatakiwa kujua kwamba unapooga dawa kwa ajiri ya kujitibia kwa kuondoa uchawi na mabaya mengine.
Dawa za kuondolea uchawi huwa dawa zenye sifa inayofanana na kile unachokiondoa hivyo
Masharti yake hua sio magumu sana
Mfano dawa nyingi za kuondoa uchawi zinaruhusiwa kuogea mahali popote k**a bufuni chooni labda k**a dawa hiyo itakua na sharti maalumu la kukufanya utumie sehemu fulani mfano unapoambiwa dawa hii ogea katika kizingiti cha mlango au sehemu fulani basi utalazimika kufanya hivyo ila k**a hujaambiwa unaweza kunufaika kwa kuogea popote..
Pia dawa za kuondoa uchawi mara nyingi unapopaka au kuoga jitahidi ujisugue kutokea juu kwenda chini
Mfano unapojisugua au kupaka katika mguu anzia kwenye paja kushuka kwenye unyayo..
Usisahau ni muhimu sana kutamka maneno yanayoendana na tambiko utakalokua unafanya k**a una uondoa uchawi mwilini basi Usisahau kutamka maneno yananyoendana na ibada yako..
K**a utakua unatumia dawa safi za kujitibu kwa kusafisha nyota, kupandisha nyota, kuvutia baraka
Dawa za namna hii hazipaswi kuogea mahali ambapo si pasafi au panapotumika kwa mambo yasiyosafi.
Mfano usiogee chooni usiogee jalalani,
Pia kujisafisha kwake kwa kujisugua au kujipaka ni vizuri kuanzia chini kwenda juu mfano anzia katika unyayo kuelekea magotini hadi kichwani..
Na ni wajibu kutamka maneno yenye kuendana na kusudio lako unalofanya..
Epuka kuhusisha maneno mabaya katika tambiko zuri...
Sharti la ujumla dawa zote haziogewi kwa Sabuni.
Usisahau kufollow page ya Dr Asili kwa elimu zaidi
+255650146244
ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU
21/07/2026
K**A HUJALIPA LIPA LEO KABLA YA SAA 10...MAFUNZO YATATOLEWA KWA NJIA YA WHATSAPP GROUP... ADA 15000 KUPITIA +255650146244
19/07/2026
๐๐Usilale ukiwa huna nguo (Uchi)
Usingizi ni ibada na ndani ya ibada ya usingizi ndipo roho zetu hupata nafasi ya kuungana na Ulimwengu wa dimension ya 4 na wew kupata taarifa sahihi kuhusu maisha yako na jamii yako ata kwa matukio yaliyombali.
Wachawi, wanga na majini wabaya humuingia kirahisi alie uchi kwamaana mavazi nayo ni kinga. Usiruhusu udhaifu unaoweza kukuathiri maisha yako. Vaa nguo nyepesi au boksa kisha ulale
๐๐ Usijichue (punyeto)
Kujichua kwa mwanaume na mwanamke ni hatari sana kwani kufanya kitendo hichi hakuathiri nguvu zako na saikolojia yako tu bali kunakupa udhaifu na kuingiliwa na jini Ashki (jini mahaba) kwa urahisi mno hivyo kuingiliwa na jini huyu kunaweza kua na hatari zaidi ya kupoteza nguvu za kiume au k**e. Kwamaana unaenda kuathiri mfumo wa maisha yako kiuchumi, kimahusiano pia. Acha kujichua acha acha.
๐๐Usiiruhusu khofu ikutawale
Kuiruhusu khofu kunaenda kukuathiri maisha yako kwani khofu inakufanya kua dhaifu na kukupelekea kufanya makosa mengi zaidi na kupoteza vingi. Pia viumbe vibaya k**a wachawi wanga na majini waovu wanapata urahisi wa kumuathiri aliebeba khofu kuliko moyoni mwake..
๐๐Usifanye ngono kwa starehe tu fanya mapenzi k**a ibada ya kimwili inayoweza kuinua nguvu zenu za asili pia kuongeza ufahamu na kufungua vifungo vyenu. Kufanya ngono bila kujua kusudio kamili la ibada hiyo ni kupoteza nguvu zako na kuathiri maisha yako. Na kufanya ngono kiholela kunakufanya uwe dhaifu na kuathiriwa kiurahisi na viumbe vibaya k**a wanga, wachawi na majini waovu..
๐๐Usipende kujiangalia kwa kioo mda mrefu na kulala ktk chumba chenye kioo bila kukifunika. Pia usitumie kioo kilichopasuka kujitizamia.
Wachawi hutumia taswira yako pale unapolala na mwili wako kuonekana katika kioo ni rahisi kutumia muonekano wako kwenye kazi zao hivyo unaweza kuhisiwa mwanga.
Pia majini waovu hupenda kukaa ktk kioo kilichopasuka na kukuletea shida unaetumia kwa kuathiri maisha yako.
๐๐Usipende kujishusha wala usipende kujikweza kwani tabia hizo ni adui wa maisha yako. Tabia hizi zinaathiri ukuaji wako wa kiroho pia zinaweza kua kifungo cha maisha yako.
Zingatia
Elimu ya kiroho inajenga ustawi wa maisha ya kila kiumbe. Acha kuishi kwa mazoea mabaya ulimwengu ni wako utumie kwa ustawi mzuri.
Usisahau kufollow page yetu ya Dr Asili kwa elimu zaidi
+255650146244
ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU
18/07/2026
ZIMEBAKI SIKU 3 TUANZE DARASA
LUPIA ADA YAKO MAPEMA KUJIHAKIKISHIA NAFASI YA KUA MNUFAIKA WA ELIMU HII
LIPIA 15000 KUPITIA +255650146244
18/07/2026
Umegombana na Rafiki yako au mumeo na hutaki urafiki/undugu/mahusiano yenu yavunjike.. Fanya hivi
Shika mwiko unaotumia kupikia kumuelekezea alipo kisha tamka maneno ya kurejesha mahusiano yenu..
Mfano
Fulani bin Fulani kinyongo kilicho moyoni mwako kiondoke na urafiki kati yetu urudi na unipende bila kua chuki na mimi.. Unaweza kutamka maneno zaidi...
K**a Ni mumeo au mkeo unaweza kumfanyia k**a maelekezo ya apo juu nilivyoelekeza au unaweza kusubiri mda ambao amelala kisha shika mwiko na umuelekezee na umwambie kwa kumurisha katika amani unayotaka ilejee kwenu...
K**a mumeo au mkeo mmegombana na hayupo kabisa nyumbani unaweza kushika mwiko na kuelekezea kitandani ila kiwe kitanda ambacho mliwahi kukutumia wote na utamke
Fulani bin/bint fulani k**a uliwahi kutumia kitanda hiki na mimi fulani bint/bin, fulani na k**a uliwahi kuridhishwa haja zako na mimi fulani bin/bint fulani nakuamuru popote ulipo ukiwa mashariki au magharibi ya Ulimwengu huu kinyongo chako hasira, chuki, uliyobeba dhidi yangu itamatike na unitafute kwa mapenzi na kuanzia sasa Amani na mapenzi yarejee kwetu na urudi katika kitanda hiki katika maisha ya mapenzi na mimi k**a tulivyokua tukikitumia apo awali...
Zingatia
Tambiko hili ni la kujenga na kuimatisha Amani Usalama katika mahusiano ya kindugu au kimapenzi usifanye tambiko hili kwa mtu usiempenda, usifanye tambiko hili kwa mume au mke wa mtu.. Usifanye tambiko hili kwa kujaribu..
Usisahau kufollow page ya Dr Asili kwa elimu zaidi
+255650146244
ASILI INAPONYA ASILI INA NGUVU
Click here to claim your Sponsored Listing.
