khajirath tiba lishe

khajirath tiba lishe

Share

tunatoa tiba kwa magonjwa km pid, fangasi, uti, nguvu za kiume, tezi dume, bawasili, vidonda vya tumb

17/06/2026

*FAIDA ZA KUTUMIA FEMICARE KWA MWANAMKE.*

FEMICARE HII:

✓inatibu U.T.I sugu za kujirudia rudia kwa mwanamke (dawa hii huondoa U.T.I SUGU)
✓ Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaochangia vyoo.
✓Inatibu Fangasi sugu ukeni
✓Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D ikitumika na Yunzi.
✓Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.
✓Inafanya Uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
✓Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika ikitumika na Yunzhi.
✓Inakaza misuli ya Uke uliolegea na kuwa tight.
✓Inaondoa maumivu ya Tumbo chini ya kitovu. (chango).
✓Inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.
`
Uke ni sehemu ya wazi yenye unyevu unyevu ni rahisi Kuvurugwa na kupata Maambukizi ya Mara kwa mara, Utibu na Utunze kwa kutumia Femicare feminine cleaner, Kiboko ya Maambukizi yote Ukeni na kwenye via vya Uzazi.

Khajirati_Tiba_lishe 0683096968

Bidhaa hii unaipata popote ulipo TANZANIA

16/06/2026

*FAIDA ZA KUTUMIA FEMICARE KWA MWANAMKE.*

FEMICARE HII:

✓inatibu U.T.I sugu za kujirudia rudia kwa mwanamke (dawa hii huondoa U.T.I SUGU)
✓ Huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaochangia vyoo.
✓Inatibu Fangasi sugu ukeni
✓Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D ikitumika na Yunzi.
✓Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika.
✓Inafanya Uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
✓Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika ikitumika na Yunzhi.
✓Inakaza misuli ya Uke uliolegea na kuwa tight.
✓Inaondoa maumivu ya Tumbo chini ya kitovu. (chango).
✓Inaondoa michubuko ukeni, vidonda na vijipele vyote.
`
Uke ni sehemu ya wazi yenye unyevu unyevu ni rahisi Kuvurugwa na kupata Maambukizi ya Mara kwa mara, Utibu na Utunze kwa kutumia Femicare feminine cleaner, Kiboko ya Maambukizi yote Ukeni na kwenye via vya Uzazi.
-
Bidhaa hii unaipata popote ulipo TANZANIA

31/05/2026

𝗞𝗔𝗭𝗜 𝗭𝗔 𝗙𝗘𝗠𝗜𝗖𝗔𝗥𝗘 (𝐅𝐞𝐦𝐢𝐧𝐢𝐧𝐞 𝐂𝐥𝐞𝐚𝐧𝐬𝐞𝐫)
👉 Hutibu UTI sugu
👉 Hutibu Fangasi sugu
👉 Inaondoa Miwasho ukeni
👉 Inaondoa Harufu mbaya ukeni
👉 Inaondoa Uchafu unatoka ukeni
👉 Inasafisha na kuzibua mirija ya uzazi
👉 Inakulinda usipate UTI na Fangasi
👉 Inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
👉 Inaongeza joto la uke
👉 Inabana Kuta za uke zilizo legea
👉 Inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi
👉 Inarudisha ute ute ukeni
👉 Inatibu PID ikitumika na 𝐑𝐞𝐟𝐢𝐧𝐞𝐝 𝐘𝐮𝐧𝐳𝐡𝐢 𝐄𝐬𝐬𝐞𝐧𝐜𝐞

𝗞𝗪𝗔 𝗧𝗜𝗕𝗔 𝗡𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨𝗥𝗜 𝗭𝗔𝗜𝗗𝗜
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️0683096968 khajirath Tiba lishe

27/05/2026

🌙 Khajirath_Tiba_Lishe 🌙
Inawatakia Waislamu wote kheri ya Sikukuu ya EID AL-ADHA 🤍🐐
Mwenyezi Mungu azijaalie siku hizi ziwe za furaha, amani na baraka tele.
🎉 OFa MAALUM YA EID 🎉
Pata PUNGUZO LA 20% kwa huduma zetu zote kwa siku 5 TU!
📅 Ofa inaanza leo tarehe 27/05/2026
⏳ Mwisho wa ofa ni tarehe 01/06/2026
Harakisha kupata huduma kabla ofa haijaisha!
Karibu sana Khajirath_Tiba_Lishe 💚

23/04/2026

*TATIZO LA TUMBO KUJAA GESI👇*
Tumbo kujaa gesi ni tatizo ambalo limekuwa sugu na kusababisha madhara makubwa kiafya kwa watu wengi. Na hii ni kutokana na wahanga kutokutumia tiba sahihi.

*VITU VINAVYOSABABISHA TUMBO KUJAA GESI👇*
👉 Aina ya vyakula, hii hujumuisha hasa vyakula vyenye mafuta ambavyo hupelekea kuta za tumbo/utumbo kujaa mafuta.
👉 Matumizi ya vilevi na vinywaji vingine vyenye kemikali ambayo huweza kuathiri tumbo.
👉 Maambukizi ya mfumo wa chakula
👉 Mtindo wa maisha n.k

*ATHARI/MADHARA YA TUMBO KUJAA GESI👉*
✅ Hupelekea tatizo la vidonda vya tumbo
✅ Maumivu ya mgongo
✅ Kukosa hamu ya kula
✅ Kupungua kwa uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa wanaume. Na wanawake pia hupoteza hamu ya kufanya tendo la ndoa
✅ Kiungulia kikali
✅ Figo kushindwa kufanya kazi kwa ufasaha ambayo hupelekea maumivu makali ya kiuno na figo kuharibika
✅ Choo kusumbua/ kupata shida wakati wa kujisaidia
✅ Maumivu makali chini ya tumbo

Kwa ushauri/ elimu zaidi na matibabu 📞0683096968

21/04/2026

Kutumia mate (saliva) k**a kilainishi wakati wa tendo la ndoa kunaweza kuonekana rahisi, lakini kuna madhara kadhaa ya kiafya ambayo ni muhimu kuyajua:
1. Maambukizi ya bakteria na fangasi
Mate yana bakteria wa mdomoni ambao si salama kwa uke. Hii inaweza kusababisha:
🟤Maambukizi ya uke (k**a fangasi)
🟤Harufu mbaya ukeni
🟤Kuwashwa au muwasho
2. Hatari ya magonjwa ya zinaa (STIs)
K**a mtu ana maambukizi mdomoni (k**a vidonda au herpes), anaweza kumuambukiza mwenza kupitia mate.
3. Kukosa ulinzi wa kutosha
Mate hukauka haraka, hivyo:
usababisha maumivu au michubuko ukeni
4. Kuvuruga mazingira ya uke
Uke una mfumo wake wa asili wa kujilinda (pH maalum). Mate yanaweza kubadilisha hali hiyo na kuongeza uwezekano wa maambukizi.
Nini cha kufanya badala yake?

Hakikisha unapata msisimko wa kutosha kabla ya tendo (foreplay)
Epuka kutumia vitu visivyo salama k**a mate, sabuni, au mafuta n.k

20/04/2026

_Acha kuchukulia poa uvimbe wowote mwilini mwako hasa ukiwa katika tundu la haja kubwa_

_Bawasiri inaumiza kimya kimya,kuwa muwazi kusema tukusaidie na matibabu yapo ya uhakika ya bila upasuaji
☎️✅0683096968

20/04/2026

Kuziba kwa mirija ya uzazi (fallopian tubes) ni moja ya sababu kubwa ya mwanamke kushindwa kupata ujauzito. Hizi hapa ni sababu kuu zinazopelekea hali hiyo:
1. Maambukizi ya via vya uzazi (PID)
Hii ndiyo sababu kubwa zaidi. Maambukizi k**a:
Klamidia
Gonorea
Yanapochelewa kutibiwa huleta uvimbe na makovu kwenye mirija na kusababisha kuziba.
2. Historia ya mimba kutoka nje ya mfuko wa uzazi
Mimba nje ya mfuko wa uzazi
Inaweza kuharibu mirija na kuacha makovu yanayoziba njia.
3. Upasuaji wa tumbo au uzazi
Upasuaji k**a:
Kuondoa uvimbe (fibroids)
Upasuaji wa uzazi
Unaweza kusababisha kovu (adhesions) linaloziba mirija.
4. Endometriosis
Endometriosis
Hali hii husababisha tishu za ndani ya mfuko wa uzazi kukua nje yake na inaweza kuathiri mirija na kuiziba.
5. Maambukizi baada ya kujifungua au kutoa mimba
Maambukizi yasipotibiwa vizuri yanaweza kusababisha uharibifu wa mirija.
6. Kifua kikuu cha uzazi
Kifua kikuu
K**a kikiathiri mfumo wa uzazi, kinaweza kusababisha mirija kuziba.
7. Uchafu au usaha kwenye mirija (Hydrosalpinx)
Hali ambapo mirija inajaa maji au usaha na kushindwa kufanya kazi vizuri.
Dalili (wakati mwingine hazionekani mapema)
Kushindwa kupata ujauzito
Maumivu ya tumbo la chini
Maumivu wakati wa tendo la ndoa
Hedhi zisizo za kawaida (kwa baadhi ya watu)
Ushauri wa Tiba Lishe & Afya
Epuka ngono zembe (tumia kinga)
Tibu maambukizi mapema
Kula vyakula vya kuongeza kinga ya mwili (mboga za majani, matunda, karanga)
Epuka kujitibu bila ushauri wa daktari

20/04/2026

Ukiwa kwenye ovulation (kipindi cha yai kutoka kwenye ovari) mwili wako huonyesha ishara mbalimbali. Hizi ni muhimu sana kwa mtu anayefuatilia uzazi au anataka kushika mimba:
Ishara kuu za ovulation:
♦️Ute wa ukeni kubadilika
Unakuwa mwingi, laini na k**a ute wa yai bichi (utelezi na kuvutika)
♦️Maumivu madogo chini ya tumbo
♦️Mara nyingi upande mmoja (kulia au kushoto)
♦️Kuongezeka kwa hamu ya tendo la ndoa
♦️Homoni huongezeka hivyo libido inapanda
Joto la mwili kupanda kidogo
☑️Baada ya ovulation, joto huongezeka kwa kiwango kidogo
♦️Matiti kuwa na maumivu au kuwa laini
♦️Kutokana na mabadiliko ya homoni
♦️Kuhisi uchovu au mabadiliko ya hisia
♦️Baadhi ya wanawake huhisi mabadiliko ya mood
Shingo ya kizazi kuwa laini na kufunguka kidogo
Hii mara nyingi huonekana kwa uchunguzi wa karibu zaidi
Kwa ufupi:
👉 Ute mwingi unaovutika + hamu ya tendo + maumivu madogo ya tumbo = dalili kubwa za ovulation

20/04/2026

Kupata choo kigumu (constipation) kunaweza kusababishwa na mambo mbalimbali yanayohusiana na lishe, mtindo wa maisha, au hata afya ya ndani ya mwili. Hizi ndizo sababu kuu:
1. Lishe isiyo na nyuzinyuzi (fiber)
•Kula vyakula vichache k**a mboga, matunda, nafaka zisizokobolewa
•Fiber husaidia kulainisha choo na kurahisisha kutoka
2. Kunywa maji kidogo
•Mwili ukikosa maji ya kutosha, choo hukauka na kuwa kigumu
3. Kukosa kufanya mazoezi
•Mwili usipotembea sana, utumbo nao unakuwa “mvivu”
4. Kujizuia kwenda chooni
•Ukijizuia mara kwa mara, mwili unapoteza hisia ya kawaida ya haja
5. Mabadiliko ya homoni
•Kwa wanawake, wakati wa hedhi au ujauzito inaweza kusababisha choo kigumu
6. Matumizi ya baadhi ya dawa
•Dawa k**a za maumivu, chuma (iron), au baadhi ya dawa za presha zinaweza kusababisha tatizo hili
7. Msongo wa mawazo (stress)
•Mfumo wa mmeng’enyo wa chakula huathirika
8. Magonjwa fulani
Mfano: matatizo ya utumbo, tezi (thyroid), au bawasiri
Dalili zinazoambatana
•Kujikaza sana ukienda chooni
•Choo kutoka kwa shida au kidogo kidogo
•Maumivu ya tumbo au kujaa gesi
Ufanye nini kusaidia?
👉Kunywa maji mengi (angalau lita 1.5–2 kwa siku)
👉Kula mboga na matunda kwa wingi
👉Fanya mazoezi (hata kutembea tu)
👉Usijizuie kwenda chooni
👉Tumia vyakula vya asili k**a papai, ndizi mbivu, au uji wa dona

K**a hali inaendelea kwa muda mrefu au unaona damu kwenye choo, ni muhimu kumuona daktari mapema.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Mwenge
Dar Es Salaam
255