Gerwalda wellness

Gerwalda wellness

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Gerwalda wellness, Health/Beauty, uhindini Street, Dodoma.

Tuwasaidia watu kuondoka na changamoto ya mfumo ya mmeng'enyo wa chakula k**a; (gesi na acid nyingi tumboni, kiungulia, vidonda vya tumbo na bawasiri ) na mfumo wa uzazi hususani nguvu za kiume.

11/11/2021

Je wewe mwanaume umekuwa ukisumbuliwa na tatizo lolote kwenye suala zima la afya ya uzazi na hujua njia ya kutatua tatizo hilo??

Zipo changamoto nyingi zinazowapata wanaume kwenye mfumo mzima wa afya ya uzazi k**a vile

# Uume kuwa legelege(kukosa nguvu)

# Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

# Upungufu wa nguvu za kiume.

# kKukosa hamu na nguvu ya kuendelea na tendo la ndoa

# Mbegu kutokuwa imara.

# Kuwa na msongo wa mawazo.

Hizo ni baadhi ya changamoto zinazowakumba wanaume wengi kwenye mfumo wa uzazi.

Hivyo basi vipo virutubisho vitakavyokusaidia kuondokana na changamoto hizo.

Kwa mawasiliano zaidi usisite kupiga simu au whatsapp no+255747623805.

08/11/2021

JE WAJUA CHANZO CHA BAWASIRI NA MADHARA YAKE?

Bawasiri chanzo chake ni mishipa ya vein inayozunguka sehemu ya haja kubwa kuvutika kutokana na msukumo na hatimaye kuvimba
Bawasiri huendelea kukua sehemu ya kutolea haja kubwa.

Baadhi ya sababu zinazosababisha bawasiri ni;
# Msukumo mkubwa wakati wa kutoa haja kubwa.

# Kuwa na uzito mkubwa.

# Mimba.

# kuharisha au tatizo la kukosa choo.

# Kutumia muda mrefu chooni wakati wa kujisaidia haja kubwa.

ZIFUATAZO NI BAADHI YA ATHARI ZITOKANAZO NA BAWASIRI
# Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

# upungufu wa nguvu za kiume.

# Upungufu wa damu mwilini(anemia).

# Kutokwa na kinyesi bila kujitambua.

# Kupata tatizo la kisaikolojia

# upungufu wa nguvu za kufanya kazi kutokana na maumivu.

HIVYO BASI USIIENDELEE KUBAKI NA CHANGAMOTO BAWASIRI INATIBIKA.

Kwa maelezo zaidi piga simu au whatsapp no +255747623805.

05/11/2021

Changamoto ya misuli kulegea limekua likiongezeka kwa kaso na kushindwa kupaform vizuri wawapo uwanjani had kupelekea kua na woga wa kuomba mechi.

Ipo program iliyowasaidia wanaume wengi kuimarisha misuli ya jogoo kuwika vizuri na wote kuwa na furaha zaidi.

Kwa maelezo zaidi piga simu +255747623805.

Au fuata link hii https:/wa.me/255747623805.

04/11/2021

Usikubali ndoa yako ivunjike,usikubali mahusiano yako yaporomoke ikiwa unapitia changamoto ya mfumo wa uzazi kwa mwanaume au mwanamke

Package hii itakudaidia kwenda kumaliza changamoto zako zote zinazohusiana na mfumo wa uzazi

Kwa maelezo zaidi usisite kupiga simu au whatsapp no +255747623805.

03/11/2021

Watu wengi wamekua wakisumbuliwa na maumivu ya kiuno,mgongo na na miguu hata wakiwa watoto wadogo

Kupitia package hii itakusaidia kuondoa maumivu yote na kurdisha uteute kwenye joints na kukupa nguvu zaidi

Kwa maelezo zaidi usisite kupiga simu au whatsapp no +255747623805

03/11/2021

Usikubali kubaki na changamoto hii

30/10/2021
30/10/2021

JE WAJUA UNENE(KUWA NA UZITO MKUBWA) IMEKUWA NI TATIZO AMBALO KATIKA KARNE HII UNENE UMEPELEKEA MAGONJWA MENGI KWENYE MWILI WA BINADAMU.

Watu wengi hawajui hasara za kuwa na uzito mkubwa ndio sababu bado watu wengi hutumia milo ili kushiba na sio kujenga mwili

ZIFUATAZO NI BAADHI YA SABABU ZINAZOPELEKEA MTU KUWA NA UZITO MKUBWA(UNENE)

# Kula vyakula vilivyozidi wanga,sukari na mafuta kwa wingi.

# Kutokufanya mazoezi mara kwa mara hasa baada ya kula

# kutojishughulisha na kazi mbalimbali hivyo kufanya mwili kujitengenezea mafuta muda wote

HIZI NI BAADHI YA SABABU LAKINI ZIPO BAADHI HASARA(MAGONJWA )YATOKANAYO NA UZITO MKUBWA

# Shinikizo la damu.

# Ugonjwa wa kisukari.

# Maradhi ya moyo.

# Maradhi ya presha ya kupanda

# Shida ya kupumua

# Matatizo ya uti wa mgongo na viungo vya miguu.

Kutokana na changamoto hizi kuwatesa watu wengi na wao kutojua watafanya nin ili waondokane na uzito mkubwa hivyo ipo program ambayo itakusaidia wewe mwenye changamoto hii kupitia program hii watu wengi wameweza kupunguza uzito mpaka kgs 30 ndani ya siku chache

Kwa maelezo zaid piga simu no au Whatsapp no:+255747623805.

29/10/2021

VIASHIRIA GANI VITAKUONESHA KUWA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA UNA TATIZO.

Watu wengi wamekua wakipitia changamoto ya mfumo wa mmeng'enyo wa chakula bila wao kujua mpaka atakapoanza kuona tatizo limetokeza na kusababisha baadhi ya mifumo ya mwili kushindwa kufanya kazi kwa kiwango kinachotakiwa .

Vifuatavyo ni baadhi ya viashiria vitakavyo kuonesha kuwa una changamoto kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula.

# Tumbo kujaa gesi na kunguruma.

# Kuwa na hisia ( mood )mbaya au isiyoeleweka k**a hasira.

# Kichwa kuuma mara kwa mara

# Kutokupata choo na kigumu (constipation)kutokana na milo mtu anayokula.

# Mwili kuchokachoka, kuwaka moto na kusahausahau.

# Kuwa muonekano mbaya wa ngozi (ngozi kukosa mvuto na mng'ao wake) na kupa allergy mbalimbali

NINI CHA KUFANYA ILI KUONDOKANA HALI HII.

Zipo njia nyingi za kuondokana na hali hii ikiwemo kuboresha mfumo wa maisha ya mtu hususani ulaji unao endana na mahitaji ya mwili na siyo kula ili kushiba tu.
Njia hii nyingine imekuwa msaada hasa kwa watu ambao changamoto hii imekuwa sugu.

Kufahamu zaidi juu ya kuondokana na hali hii piga au WhatsApp +255747623805.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

Uhindini Street
Dodoma