Health and Environmental Management Initiatives-hemi

Health and Environmental Management Initiatives-hemi

Share

Mazingira yetu Maisha yetu, Maisha yetu

07/07/2023

Kwa kushirikiana na Taasisi ya KISIKI HAI tunaendesha mafunzo ya utunzaji wa Mazingira Ktk TARAFA ya Mpwayungu.
Kaulimbiu yetu"Kisiki kinaishi"

09/02/2023

SHIRIKA LETU LA HEMI LINAENDESHA KAMPENI KABAMBE IJULIKANAYO KAMA"Elimu yangu Maisha yangu"Kwa lengo la kuhamasisha wazazi kuwapeleka shule watoto wote wenye umri wa kuanza Shule na waliofaulu kujiunga na kidato cha Kwanza 2023.
Tunamshukuru Mungu kwani Wazaz wamehamasika sana na kampeni hii.
PAMOJA TUNAWEZA.

25/12/2022

HEMI tunawatakia Wakristu wote duniani Heri ya Xmas na Mwaka mpya wenye mafanikio.
"MAZINGIRA YETU MAISHA YETU "

12/06/2022
03/06/2022

SHIRIKA LETU LINAUNGANA NA WATANZANIA KOTE NCHINI KUAZIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI,KILELE NI TAR.05.JUNI.2022

MAISHA YETU MAZINGIRA YETU

01/05/2022

TAASIS YA HEMI INAWATAKIA WAFANYAKAZI WOTE DUNIANI SIKUKUU NJEMA

14/04/2022

Aseti kwa taifa letu mbeleni

26/03/2022

Karibu Ushiriki nasi ktk Shirika letu,linalojihusisha na mambo mbalimbali hususani Afya na Mazingira.
Kwa sasa tunatekeleza Mradi uitwao"Mazingira Yetu Maisha yetu."
Website yetu:- hemi.websites.co.in
Email yetu:- [email protected]
Whatsap No.0782896934

NYOTE MNAKARIBISHWA

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address

P. O. BOX 2167
Dodoma