Health and Environmental Management Initiatives-hemi
Mazingira yetu Maisha yetu, Maisha yetu
Kwa kushirikiana na Taasisi ya KISIKI HAI tunaendesha mafunzo ya utunzaji wa Mazingira Ktk TARAFA ya Mpwayungu.
Kaulimbiu yetu"Kisiki kinaishi"
SHIRIKA LETU LA HEMI LINAENDESHA KAMPENI KABAMBE IJULIKANAYO KAMA"Elimu yangu Maisha yangu"Kwa lengo la kuhamasisha wazazi kuwapeleka shule watoto wote wenye umri wa kuanza Shule na waliofaulu kujiunga na kidato cha Kwanza 2023.
Tunamshukuru Mungu kwani Wazaz wamehamasika sana na kampeni hii.
PAMOJA TUNAWEZA.
HEMI tunawatakia Wakristu wote duniani Heri ya Xmas na Mwaka mpya wenye mafanikio.
"MAZINGIRA YETU MAISHA YETU "
12/06/2022
SHIRIKA LETU LINAUNGANA NA WATANZANIA KOTE NCHINI KUAZIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI,KILELE NI TAR.05.JUNI.2022
MAISHA YETU MAZINGIRA YETU
TAASIS YA HEMI INAWATAKIA WAFANYAKAZI WOTE DUNIANI SIKUKUU NJEMA
Aseti kwa taifa letu mbeleni
Karibu Ushiriki nasi ktk Shirika letu,linalojihusisha na mambo mbalimbali hususani Afya na Mazingira.
Kwa sasa tunatekeleza Mradi uitwao"Mazingira Yetu Maisha yetu."
Website yetu:- hemi.websites.co.in
Email yetu:- [email protected]
Whatsap No.0782896934
NYOTE MNAKARIBISHWA
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Dodoma
