Bright Future Health Care
mshauri WA Afya kutoka BF SUMA Tz.
25/09/2024
ππππππ ππ ππ¨π©ππ ππ ππͺπ π§πππ ππ¨π π π
π Kukojoa Mara kwa mara.
π Kubakiza mkojo kwenye kibofu.
π Kukojoa sana hasa Nyakati za usiku.
π Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
π Kupungukiwa nguvu za kiume.
π UTI ya Mara kwa mara.
π Mawe kwenye kibofu kutokana na Mrundikaniko wa Mkojo.
π Figo kujaa maji.
π Kupoteza fahamu.
π Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
π Uume kushindwa kusimama vizuri.
π Kuwa na wakati mgumu wakati wa kukojoa na kuzuia mkojo.
ππ§πππ₯π ππ π§πππ ππ¨π π πππ π ππππ§ππͺπππ ππ¨π§ππππͺπ π
βοΈ Kushindwa kabisa kukojoa.
βοΈ Kupatwa na maambukizi ya UTI.
βοΈ Kupatwa na vijiwe kwenye kibofu.
βοΈ Uharibifu wa kibofu unaweza kutokea.
βοΈ Figo inaweza kuharibika.
βοΈ Saratani ya Tezi Dume (Prostate Cancer)
βοΈ Kifo π₯
ππͺπ π§πππ π‘π π¨π¦πππ¨π₯π πππππ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia
βοΈ +255657368259
24/09/2024
Hallooo Habari Ya Wakati Huu....
Ni Natumaini Tunaendelea Vizur Kabisaaa...
Hongereni Sana Kwa Kuwemo Dalasani na Kuendelea Kujifunza....
Nipo Ninasuluhisho bora na njia Sahihi Ya Lishe Kumaliza Tatizo Na *Changamoto YOYOTE YA MAUNGIO na MIFUPA*......
K**a unatatizo
πKwenye Uti Wa MGONGO
πKiuno
πMiguu Kuwaka Moto
πmagoti Kusagana.......
JIANDAE VIZUR KUINGIA KWENYE USIMAMIZI WANGU....
NIMEKUWA NA WATU WENGI SANA MATOKEO *WANAYAPATA NDANI YA SIKU 10 MPAKA 30*..... 0657 368 259
π€
23/09/2024
*NGUVU K**A NYATI*
ππ matumizi ya package hii yatarudisha nguvu zako za kiume na kuwa k**a za nyati, iatshughulikia vyanzo vya tatizo lako kikamilifu
*FAIDA ZA NYATI PACKAGE*
πΉhutibu neva za kwenye uume zilizochoka, kuharibika au kufa kwa sababu ya punyeto, kisukari, presha, sumu
πΉhutibu tatizo la homoni, huzipanga upya homoni za mapenzi na kuzipa uwiano unaotakiwa
πΉhufungua mishipa midogo midogo ya damu kwenye eneo la uume
πΉhutuliza shingo ya kibofu hivyo kuleta relaxition ya mishipa ya fahamu na hivyo uume kusimama kwa nguvu mno
πΉhupandisha kiwango cha nitric oxygen mwilini hii hupelekea damu isukumwe kwa kasi kuelekea kwenye uume na kuleta kusimamisha kusikosemekana
πΉhurekebisha umeme wa mwili hivyo kurudisha upya mfumo mzima unahusika katika tendo la ndoa
πΉpackage hii hufyonza mafuta yaliyojaa kwenye mishipa ya uume
πΉhufyonza sukari inayobaki kwenye mishipa na hivyo kuiwezesha mishipa ya damu na fahamu kusafirisha taarifa za tendo kwenda maeneo husika ili uume uweze kusimama
πΉhupandisha kiwango cha homoni ya testeorone ambayo ndio homoni inayosababisha mwanaume akiona mwanamke uchi asimamishe uume
ππ *matumizi ya package hii ndio maana halisi ya kutibu chanzo cha tatizo*
*Wasiliana nasi uweze kuipata package hii*
+255657368259
27/08/2024
ZIJUE FAIDA 9 ZA FEMICARE
1β£huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo
2β£inatibu Fangasi sugu ukeni, na U.T.I sugu
3β£Ni nzuri sana kwa wenye P.I.D
4β£huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika
5β£Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
6β£Inazibua Mirija ya Uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovurugika.
7β£Inakaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight.
8β£Inaondoa maumivu ya tumbo chini ya kitovu. (chango)
9β£ inaondoa michubuko ukeni,..Β±255657368259
27/08/2024
*JIPONYE NA MADHARA YA KUJICHUA/KUPIGA PUNYETO*
Kujichua au Kupiga punyeto husababisha misuli ya uume kuweza kulegea na kikubwa zaidi huadhiri homoni zinazozalisha vichocheo vya mapenzi ndani ya mwili wa mwanaume au mwanamke.
*Kwa nini wengi wenye tatizo hili huwa hawaponi?*
Wengi hukimbilia kutafuta dawa za kuufanya uume usimame bila kutibu kwanza chanzo cha tatizo. Kuongeza dawa za kuongeza ham ya tendo la ndoa hakuta saidia pia kutibu tatizo.
*Nini kifanyike?*
Ili kuondokana na madhara ya tatizo la kujichua/kupiga punyeto ni vyema ukashughulikia mfumo wa mzunguko hasa kwa mishipa inayopeleka damu kwenye uume. Pia ni vizuri kuhakikisha kuwa hali ya akili zinarudia hali yake ya awali kwa kuwezesha hormone za uzazi kuweza kuwa timilifu na kukufanya uwe mwanaume uliyekamilika.
*Vyakula*
Tumia vyakula vya nafaka zisizokobolewa, matunda yenye nyuzinyuzi k**a machungwa. Tengeneza juice ya mapera halisi unywe angalau glass moja kila asubuhi.
*Food suppliment*
Tunakupatia X-powerMen inayoshughulika na chanzo cha tatizo na hautohitaji tena kutumia dawa za kuamsha popo kila unapotaka kukutana na mwenza wako.
*MELEZO YA TIBA*
X power Man ya Vidonge na unga (Kahawa) zimetengenezwa kwa ustadi mkubwa sana
kuwezesha kusaidi homoni ya Testosterone inayoratibu shughuli muhimu za mfumo wa uzazi wa mwanaume ilii kuweza kurejea katika uwezo wake wa kufanya kazi vizuri.
πͺX Power Man Capsules na X-power coffee (Nguvu zaidi kwa Wanaume).
Ni bidhaa yenye mchanganyiko wa virutubisho vinavyoboresha Afya ya Uzazi kwa Mwanaume
*FAIDA ZAKE*
1. Ina Mchanganyiko wa kipekee wa vyakula vya asili vinavyoongeza ufanisi katika tendo la ndoa
2. Inamuongezea Mwanaume uwezo wa kufanya mapenzi bila madhara
3. Kuongeza wingi na ubora wa manii (s***m)
4. Inasaidia kumuongezea mwanaume hari ya kujiamini
5. Inaondoa Uchovu na msongo wa mawazo
6. Inaoboresha mzunguko wa damu kwenye uume hari inayosaidia uume kusimama vizuri.
πͺ *Zaminocal capsule*+255657368259
27/08/2024
*UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS) NA SULUHISHO LAKE*
*FIBROID NI NINI?*
Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi (ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama
ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi.
*Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids:*
1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi)
2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi)
3. Subserosal(nje ya kizaz)
*Watu wafuatao wako hatarini kupatwa na ugonjwa huu fibroids*
1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa
2.miaka kuanzia kubarehe mpaka hedhi kukoma
3.kurithi
4.unene
5.kuingia hedhi mapema
Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubarehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwaga unaongezeka
kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto. Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids.
*Dalili za fibroids*
1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi.
2.kutokwa na uchafu wenye kiaharufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe.
3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa
hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana.
4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu.
5.hedhi zisizokuwa na mpangilio
6.maumivu wakati wa tendo la ndoa
7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
8.maumivu makali wakati wa hedhi
*Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo*
1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo
2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha
mkojo
3.Haja kuwa ngumu
4.miguu kuvimba
5.kupungukiwa damu
Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto:
1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza
mishipa ya kupitisha mayai kutoka
kwenye mfiko wa mayai yaani ovari
2.Uvimbe pia unazuia yai
lililorutubishwa kujishikiza kwenye
kizazi..hasa submucosal fibroids
3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai.
*MATIBABU*
1.Wanawake wengi wanafibroids ndogo ndogo lakini kwa sababu hazina dalili hahawezi kwenda hospitali na hawa ndo siku wakibeba ujauzito uvimbe unaongezeka kwa sababu ya vichocheo kuongezeka hivyo hawa watu Wanabainika wanapofanyiwa ultrasoudi ndipo wanakutwa navyo.lakini kitaamu
hospitali hawatibu uvimbe wa namna hii
2.Uvimbe ambao ni mkubwa(k**a inavyoonekana kwenye picha hapo) wenyewe
hutibiwa kwa namna zifuatazo (hospital)
A.Dawa ambazo ni gharama sana mfano donazol wengi masikini hawawezi kumdu kununua
B.Vidonge vya maumivu
C.Vidonge vya kuzuia damu k**a
tranexamic acid na dawa za uzazi wa mpango(COCs)
2.Njia ya pili ni operation nazo zipo
operation aina nyingi inategemea na uvimbe ukubwa na wingi wake.
1.Myomectomy hii ni operation ya
kuondoa uvimbe mmoja mmoja bila
kuondoa kizazi kwa wale wenye uvimbe mmoja uko sehemu nzuri
2.Total abdominal hysterectomy. Hii
operation unaondoa kizazi chote k**a uvimbe umekaa vibaya na viko vingi.
Hebu jiulize kwa nini mpaka upate
dalili ndo uanze kushughulikia au kutafuta Matibabu ? Kwa nini ubebe ujauzito huku una uvimbe kisa bado mdogo? Au kwa nini ukae na uvimbe kisa bado mdogo?
tambua uvimbe huu sio kansa hvyo
ondoa hofu. Mbali na donazole ambayo ni ya gharama na haishauliwi itumiwe kwa mda mrefu ina sababisha mwanamke anakua na sifa za kiume.
*UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA.*
Sasa suluhisho lako lipo tuna dawa
ambao imetengenezwa kitalamu katika mfumo wa vidonge na vimetengenezwa kwa mimea baada ya utafiti na majaribio ya kutosha na viwanda vya madawa vikubwa hapa duniani. Utapata suluhisho lako bila madhara kwani ni 100% naturally mimea ambayo
imefanyiwa research.
Hii dawa inaondoa uvimbe bila UPASUAJI na bila madhara k**a donazol. K**a una ndugu au rafiki mwambie suluhisho lipo
na mshilikishe kuokoa afya yake.
πKwa MAWASILIANO zaid njoo inbox +255657368259
25/08/2024
Tunatoa ELIMU NA USHAURI Wa AFYA : watu wenyechangamoto zozote zile za kiafya kuanzia mfumo WA Uzazi WA MWANAMKE NA MWANAUME! Tunavirutubisho lishe visivyokuwa na madharaπ{Chemicals}
Note: TUNAPATIKANA TANZANIA NZIMA karibunisana π
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Dodoma
