DICKY PA4H

DICKY PA4H

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from DICKY PA4H, Dodoma.

11/03/2020

PACKAGE ambayo ITAKUSAIDIA Sana kuimarisha utendaji kazi wa tezi dume

215 - FOREVER MULTI-MACA(1) TZS 73,000/=

65 - GARLIC-TYME(1) TZS 50,000/=

439 - FOREVER DAILY(1) TZS 54,000/=

15 - ALOE VERA GEL(1) TZS 70,000/=

376 - NEW ARCTIC SEA(1) TZS 82,000/=

Total Price = TZS329,000/=

11/03/2020

PACKAGE ambayo ITAKUSAIDIA Sana kuimarisha utendaji kazi wa tezi dume

215 - FOREVER MULTI-MACA(1) TZS 73,000/=

65 - GARLIC-TYME(1) TZS 50,000/=

439 - FOREVER DAILY(1) TZS 54,000/=

15 - ALOE VERA GEL(1) TZS 70,000/=

376 - NEW ARCTIC SEA(1) TZS 82,000/=

Total Price = TZS 329,000/=

10/03/2020

MATATIZO YA TEZI DUME, MIGUU KUWAKA MOTO, JOINTS, VIUNO

Je, Uko Tayari Kuungana Na Sisi Tuwasaidie Wazee Wetu..?

Tunatambua adha mbali mbali wanazokumbana nazo Wazee,hususani kuhusiana na Afya zao..
Wazee wetu, wamekuwa wakikabiliwa na wakati mgumu sana sana pindi wanapo ingia kwenye umri wa utu uzima kuanzia miaka 40+++

Wazee wetu wanapofikia umri huo wa utu uzima huwa kwenye hatari ya kukumbwa na magonjwa k**a;

-Saratani Ya Tezi Dume...
-Matatizo Viungo(Jionts),sambamba na miguu au mwili kuwaka moto, Kwa akina Mama na Wababa..
-Matatizo Ya Mifumo Mbali Mbali Mwilini, Mfumo Wa Upuaji Na Mfumo Wa Fahamu, ikiwemo kupooza kwa viungo vya Mwili...
-Mfumo Wa Mzunguko Wa Damu, Vikiambatana Na Matatizo Sugu Ya Moyo,Figo Na Kibofu Cha Mkojo.. Nk.
-Kuvurugika Kwa Mfumo Wa Ulaji(Mmeng'enyo Wa Chakula)..

Matatizo yote hayo nirahisi kukomeshwa Ikiwa mimi na wewe mapenzi na mfuatiliaji wa AfyanjemaTz tukiwa tayari kuhakikisha kuwa wazee wetu wanapata:
Chakula Bora
Wana Kunywa Maji Yakutosha
Wanafanya Mazoezi Kwa Kiasi..
Vile Vile,Kuwaonesha Fursa Ya Kutumia Virutubisho Kuajili Ya Kuimalisha Afya Zao Zaidi..

Tunaamini umezungukwa na ndugu na Jamaa, majirani na marafiki..
Sasa niwakati wako kuonesha kuwa unajali, hata kwa kuwapa taarifa ama kuwashauli chochote kutokana na mafundisho yetu ili kuokoa Afya za Wazee Wetu...

Kwa Msaada Na Ushauli Zaidi Wasiliana Nasi.

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda
Whatsapp 0762180872,,,,,,,au piga simu usaidiwe mapema.

10/03/2020

DALILI ZA CHANGAMOTO YA TEZI DUME
Uonapo dalili zifuatazo unaweza kuanza kuhisi una saratani ya tezi dume:
1. Kukojoa mara kwa mara hasa nyakati za usiku
2. Kushindwa kuzuia mkojo, yaani ukichelewa kidogo unaweza kukutoka bila breki
3.Kuwahi kufika kileleni mara kwa mara
4. Maumivu wakati unakojoa
5. Kuishiwa nguvu za kiume
6. Kupungua kwa uwingi wa mbegu (low s***m count)
7. Maumivu wakati unafika kileleni
8. Damu kutokea kwenye mkojo au kwenye mbegu za kiume
9. Maumivu nyuma ya mgongo au hata nyonga

K**a umeona mojawapo ya dalili hizo chukua tahadhali mapema kwa kutumia virutubisho asilia, formula ya matunda matatu na mazoezi matatu muhimu. kwani kinga ni bora kuliko tiba. Usisubiri uharibikiwe zaidi ya hapo.

Suluhisho; Tuma ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp 0762180872 au piga simu usaidiwe mapema.

10/03/2020
10/03/2020

KWA NINI UTUMIE MULTI-MACA? ANAELEZA:
MULTI-MACA (100% NATURAL) NI KIRUTUBISHO MUHIMU NA MAALUM KWA WANAUME NA WANAWAKE.💥
0762180872

HUSAIDIA:
1. Kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume bila kuchoka
2. Ku-balance homoni
3. Kuboresha msukumo wa damu ambayo ni muhimu kwenye nguvu za kiume
4. Kupunguza madhara ya menopause (kukoma kwa hedhi)
5. Kuzuia ukuaji wa tezi dume
6. Kuongeza stamina pamoja na nguvu za kiume
7. Kuongeza idadi, kasi na ubora wa mbegu
8. Kutatua tatizo la vaginal dryness kwa kumuwezesha mwanamke kuwa mnyevu wakati wote wa tendo la ndoa na kulifurahia bila kuwa na mawazo ya michubuko na maambukizi ya magonjwa ya zinaa
9. Kupunguza athari za msongo wa mawazo kwenye mwili
10. Inarutubisha mayai na kuweka sawa afya ya uzazi kiujumla
Tuma ujumbe neno MACA kwenda whatsapp namba 0762180872au piga simu usaidiwe mapema.

NI BIDHAA SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI, ZIMETHIBITISHWA NA MASHIRIKA MAKUBWA YA VYAKULA NA LISHE DUNIANI

10/03/2020

FAHAMU VIZURI UMUHIMU WA KUTUMIA KIRUTUBISHO ASILIA CHA MULTIMACA.

MULTIMACA.BIDHAA Code NAMBA 215.
Inatokana na mmea uitwao maca au Lepidium Meyinii kutoka nchini peru wenye historia zaid ya miaka 2000 kuongeza stamina ya mwilini.Haina madhara na ina faida kubwa sana kwa wanaume na wanawake.Wanawake wa Peru wanatumia maca kuanzia wakiwa na umri wa miaka mitatu ili wawe na nguvu,hamu ya tendo la ndoa na uwezo wa kuzaa.Ina protein nyingi katika mfumo wa amino acids na virutubisho muhimu vinavyosaidia kazi ya kuamsha ishara za hamu ya tendo la ndoa.
Ina mchanganyiko wa L-arginine 150mg,Co-enzyme Q 10mg,soy extract 10mg,Maca(root) 500mg,carbohydrates,amino acids,minerals k**a Mg,Ca,Zn,P,Fe,Vitamins B1,B2,B12

FAIDA ZA FOREVER MULTIMACA.
1.Aphrodiasiac activity-inaongeza HAMU YA MAPENZI kwa akina mama na kina baba kwa ASILIMIA KUBWA, STAMINA NA NGUVU WAKATI WA TENDO LA NDOA
2.Inasaidia kuondoa depression(msongo wa mawazo)
3.Inasaidia kuondoa madhara ya kukoma hedhi MENOPAUSE(Hormoni na kusikia joto kali)
4.Inarutubisha mayai
5.Inaongeza idadi ya mbegu za kiume(s***m count kwa asilimia kubwa) na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri(mobility)
6.Inabalance kiwango cha chuma mwilini
7.Inaongeza NGUVU ZA KIUME
8.inaongeza kumbukumbu na uwezo wa akili (brightness and focus)
9.inabalance mfumo wa homoni hivyo kuondoa matatizo ya hedhi k**a maumivu.Bidhaa zina GUARANTEE ya siku 60. Ubora wake umethibitishwa na shirika la viwango la kimataifa la INTERNATIONAL ALOE SCIENCE COUNCIL SEAL OF APPROVAL. Pia kwa Tanzania zimethibitishwa na TFDA Na bidhaa hizi bora zinatumika nchi zaidi ya 160 duniani kote.

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0,,,,,,,,,,,,au piga simu usaidiwe mapema

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dodoma?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Culinary Team

Attire

Telephone

Website

Address

Dodoma