GG Herbal Company

GG Herbal Company

Share

herbs cure

30/06/2026

Habari za siku wadau?
Leo namalizia kwa kuwaeleza dawa za asili nne ambazo unaweza zitumia na zikapunguza kabisa tatizo lako la shinikizo lako la damu (HBP)
1.Chai ya Hibiscus
Kwa tafiti zilizofanyika tayari, chai hii ina uwezo wa kupunguza shinikizo la damu bila ya kuleta athari yoyote mwilini
2.Chai ya hamdalasini
Chai hii inasaidia kupunguza msongo unaoletwa na HBP na ina viini lishe vinavyosaidia kutanua mishipa ya damu.
3.Chai ya mvumbashi (Ocimum Suave au holly basil kwa kingereza)
 Chai hii ina nyuzinyuzi nyingi na protini. Chai hii pia ina kemikali kiondoa sumu asilia mwilini inayoitwa eugenol (natural calcium channel blocker).
4.Kitunguu swaumu na Tangawizi
Kitunguu swaumu na tangawizi zilizokomaa vina uwezo mkubwa wa kupunguza shinikizo la damu (systolic na diastolic) kwa kuweka sawa mzunguko wa damu na kupunguza maumivu. Kitunguu swaumu ina kemikali inayoitwa allucin ambayo ina uwezo mkubwa sana wa kutanua mishipa ya damu
Dawa za asili hizi (Herbs) ukiambatanisha na mazoezi, chakula bora na tahadhali za mgonjwa wa shinikizo la damu, Mungu atakujalia na utaendelea kuishi kwa amani, furaha na afya tele.
Pia unakaribishwa kwa maswali, maoni na ushuhuda
ASANTENI

Je wajua unaweza shusha shinikizo la damu (HBP), kwa kufuata hatua zifuatazo:-
1.Kupunguza uzito wa ziada
Shinikizo la damu uongezeka iwapo uzito unaongezeka. Hali hii inaweza kusababisha kukosa hewa na kufanya upumuaji kuwa mgumu usingizini (Sleep apnea). Njia ya kupunguza uzito ni nzuri sana, hata ukiwa umepunguza kwa kwa kilo moja tu.
2.Mazoezi ya mara kwa mara
Mazoezi ya wazi na wa mara kwa mara inaweza kukupunguzia uzito hadi 5 to 8 mm Hg. Mazoezi yanaweza yakawa ni ya kutembea, kukimbia, kuogelea, muziki au viungo. Waweza fanya mazoezi angalau mara tatu kwa wiki ili kupunguza shinikizo la damu
3.Lishe bora
Zingatia lishe bora (Diet) ikiwa na pamoja ya kupunguza ulaji wa mafuta yanayoganda na matumizi mengi ya chumvi. Kuzingatia chakula bora inaweza kupunguza HBP mpaka 11mmHg
4.Kuacha au Kupunguza matumizi ya pombe na sigara
Kuacha au kupunguza matumizi ya sigara na pombe yaweza kupunguza shinikizo la damu mpaka 4mmHg
5.Kupata muda mzuri wa kupumzika usiku
Iwapo utapata muda zaidi ya masaa saba ya kulala usiku basi utakuwa na uwezo wa kupunguza hatari ya kupata shinikizo la damu. Hakikisha una ratiba isiyobadilika ya kulala na kuamka kila siku.
6.Punguza kuwa na msongo wa mawazo
Ondoa au kaa mbali na visababishi vya msongo wa mawazo mfano madeni yanayopitiliza, mapenzi yaliopitiliza n.k
7.Fanya vipimo vya mara kwa mara vya shinikizo la damu.
Hii itakusaidia kujua cha kufanya kabla ya shiniki la damu kuwa Dhalula.
Endelea kufuatilia ili uweze kujua madhara, na matibabu ya shinikizo la damu (HBP) kwa kutumia dawa asili 19/05/2026

HBP

Je wajua unaweza shusha shinikizo la damu (HBP), kwa kufuata hatua zifuatazo:- 1.Kupunguza uzito wa ziada Shinikizo la damu uongezeka iwapo uzito unaongezeka. Hali hii inaweza kusababisha kukosa hewa na kufanya upumuaji kuwa mgumu usingizini (Sleep apnea). Njia ya kupunguza uzito ni nzuri sana, hata ukiwa umepunguza kwa kwa kilo moja tu. 2.Mazoezi ya mara kwa mara Mazoezi ya wazi na wa mara kwa mara inaweza kukupunguzia uzito hadi 5 to 8 mm Hg. Mazoezi yanaweza yakawa ni ya kutembea, kukimbia, kuogelea, muziki au viungo. Waweza fanya mazoezi angalau mara tatu kwa wiki ili kupunguza shinikizo la damu 3.Lishe bora Zingatia lishe bora (Diet) ikiwa na pamoja ya kupunguza ulaji wa mafuta yanayoganda na matumizi mengi ya chumvi. Kuzingatia chakula bora inaweza kupunguza HBP mpaka 11mmHg 4.Kuacha au Kupunguza matumizi ya pombe na sigara Kuacha au kupunguza matumizi ya sigara na pombe yaweza kupunguza shinikizo la damu mpaka 4mmHg 5.Kupata muda mzuri wa kupumzika usiku Iwapo utapata muda zaidi ya masaa saba ya kulala usiku basi utakuwa na uwezo wa kupunguza hatari ya kupata shinikizo la damu. Hakikisha una ratiba isiyobadilika ya kulala na kuamka kila siku. 6.Punguza kuwa na msongo wa mawazo Ondoa au kaa mbali na visababishi vya msongo wa mawazo mfano madeni yanayopitiliza, mapenzi yaliopitiliza n.k 7.Fanya vipimo vya mara kwa mara vya shinikizo la damu. Hii itakusaidia kujua cha kufanya kabla ya shiniki la damu kuwa Dhalula. Endelea kufuatilia ili uweze kujua madhara, na matibabu ya shinikizo la damu (HBP) kwa kutumia dawa asili

01/05/2026
25/04/2026

Heavy duty

10/03/2026

Huu mti unaitwa cinchona au mquinine. Ni mzuri sana kwa kutibu
1. Malaria sugu 2. Kunguza uzito 3. Kupunguza mapigo ya moyo (Cardiac arrhythmisis)
Je kwenu unaitwaje.
Kwa maahitaji ya dawa asili wasiliana nasi kwa ujumbe mfupi. Whatsup 0626959531

24/02/2026

Maumimivu yakizidi wasiliana au muone daktari

Fahamu kuhusu Vindonda Vya Tumbo (Ulcers)

Vidonda vya tumbo ni nini?
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcer) ni majeraha au vidonda vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa utumbo au sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo (duodenum).

Sababu za vidonda vya tumbo
Maambukizi ya Bakteria: Sababu kuu ni maambukizi ya bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori). Bakteria hawa huishi kwenye utando wa utumbo.
Matumizi ya Dawa za Maumivu (NSAIDs): k**a vile aspirini na ibuprofen yanaweza kuharibu utando wa tumbo na kusababisha vidonda.
Mambo Mengine: Vyakula vyenye viungo vingi, vikavu,visivyo na nyuzinyuzi, msongo wa mawazo, na unywaji wa pombe kupita kiasi havisababishi moja kwa moja vidonda, lakini vinaweza kuzidisha dalili.

Dalili za vidonda vya tumbo
Maumivu makali, yanayowaka, au ya kuuma katikati ya tumbo
Kichefuchefu na kutapika.
Kupoteza hamu ya kula au kupungua uzito bila sababu.
Kutokwa na damu kwenye kinyesi, ambacho kinaweza kuonekana cheusi.
Kuhisi tumbo kujaa gesi au kujaa haraka baada ya kula kidogo.

Tiba ya vidonda vya tumbo
Dawa: Dawa za kuua bakteria (antibiotics) hutumika kutibu maambukizi ya H. pylori. Pia, dawa zinazopunguza uzalishaji wa asidi ya tumbo, k**a vile PPIs (Proton Pump Inhibitors), hutumika kusaidia vidonda kupona na
Tiba asili. Mfano mzalianyuma, mziwaziwa, aloevera,majani ya mbuyu na muarobaini inasaidia kuondokana na vidonda vya tumbo
Mabadiliko ya Lishe na Maisha: Kuepuka vyakula vinavyochochea dalili, kupunguza matumizi ya pombe, na kuacha kuvuta sigara kunaweza kusaidia katika uponyaji.
Upasuaji: Katika hali mbaya, hasa pale kunapotokea kutokwa na damu au kutoboka kwa tumbo, upasuaji unaweza kuhitajika.

Kwa ushauri na matibabu ya vidonda vya tumbo wasiliana nasi kwa whatsup au sms 0714369531

24/02/2026

Fahamu kuhusu Vindonda Vya Tumbo (Ulcers)

Vidonda vya tumbo ni nini?
Vidonda vya tumbo (Peptic Ulcer) ni majeraha au vidonda vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa utumbo au sehemu ya kwanza ya utumbo mdogo (duodenum).

Sababu za vidonda vya tumbo
Maambukizi ya Bakteria: Sababu kuu ni maambukizi ya bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori). Bakteria hawa huishi kwenye utando wa utumbo.
Matumizi ya Dawa za Maumivu (NSAIDs): k**a vile aspirini na ibuprofen yanaweza kuharibu utando wa tumbo na kusababisha vidonda.
Mambo Mengine: Vyakula vyenye viungo vingi, vikavu,visivyo na nyuzinyuzi, msongo wa mawazo, na unywaji wa pombe kupita kiasi havisababishi moja kwa moja vidonda, lakini vinaweza kuzidisha dalili.

Dalili za vidonda vya tumbo
Maumivu makali, yanayowaka, au ya kuuma katikati ya tumbo
Kichefuchefu na kutapika.
Kupoteza hamu ya kula au kupungua uzito bila sababu.
Kutokwa na damu kwenye kinyesi, ambacho kinaweza kuonekana cheusi.
Kuhisi tumbo kujaa gesi au kujaa haraka baada ya kula kidogo.

Tiba ya vidonda vya tumbo
Dawa: Dawa za kuua bakteria (antibiotics) hutumika kutibu maambukizi ya H. pylori. Pia, dawa zinazopunguza uzalishaji wa asidi ya tumbo, k**a vile PPIs (Proton Pump Inhibitors), hutumika kusaidia vidonda kupona na
Tiba asili. Mfano mzalianyuma, mziwaziwa, aloevera,majani ya mbuyu na muarobaini inasaidia kuondokana na vidonda vya tumbo
Mabadiliko ya Lishe na Maisha: Kuepuka vyakula vinavyochochea dalili, kupunguza matumizi ya pombe, na kuacha kuvuta sigara kunaweza kusaidia katika uponyaji.
Upasuaji: Katika hali mbaya, hasa pale kunapotokea kutokwa na damu au kutoboka kwa tumbo, upasuaji unaweza kuhitajika.

Kwa ushauri na matibabu ya vidonda vya tumbo wasiliana nasi kwa whatsup au sms 0714369531

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Tanga?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address

Sahare
Tanga