Ben_Venture
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Ben_Venture, Tunduma, Southern.
24/03/2026
Je?, ulikuwa unafaham ukweli huu ya huyu mbwa mwitu na hawa watoto kwenye nembo ya team ya A.S. ROMA NUOTO.
hawa watoto unao waona (pichani), ni watoto wa binadam kabisa waliozaliwa katika familia ya kifalme. kutokana na hofu ya wazazi kopoteza madaraka waamua kuwatupa jiran na mto mmoja ulikuwa ikiitwa tiber.
Watoto hao walinusurika kufa, walipewa msaada na mbwa mwitu wa k**e aliowalea kwa kuwa nyonyesha watoto hao k**a watoto wake.
Baadaye, mchungaji mmoja akawaona na kuwaleta nyumbani kwake.
Walipokua wa kubwa , ndugu hawa walikua na nguvu, wakaanza kujenga mji juu ya kile kilichokuwa Kisiwa cha Palatine, kando ya mto Tiber.
Hata hivyo, waligombana kuhusu ni nani atakayekuwa kiongozi wa mji huo wa rome.
Hii ghasia ilikuwa kubwa sana ilisababisha Romulus kumua Remus, kisha akawa mtawala wa kwanza wa Roma.
Romulus akaamua kuumpa mji jina lake la Roma, Alianzisha mfumo wa sheria na kuanzisha seneti ya awali ya Warumi.
Pia aliunda kundi la wanajeshi na wakazi wa awali, pia akakaribisha watu wa makabila tofauti kuishi katika mji wake, hivyo kuanza utamaduni wa Warumi
hivyo roma itali unayoiona leo ilianzishwa na hao machalii hapo chini kwenye picha wakinyonyeshwa na mbwa mwitu.
Katika hadithi ya kuanzishwa kwa Roma, mbwa mwitu alilea ndugu Romulus na Remus.
Kwa hiyo, nembo ya AS Roma inahimiza mizizi ya kitamaduni ya mji, ikichanganya nguvu ya simba na historia ya mbwa mwitu.
ni hayo tu kwa leo.
tumepewa nguvu kubwa sana na hawa jamaa DPS Cosmetics s
21/03/2026
Ix ya leo vs everton
21/03/2026
k**a umeisikiliza vizuri nyimbo ya dizasta vina tukusa utakuwa umesikia neno level zangu ni ๐๐๐ซ๐ข๐๐จ ๐ฐ๐๐ฌ๐ญ Sio IKANGA-LOMBO, basi huyu ๐๐๐ซ๐ข๐๐จ ๐ฐ๐๐ฌ๐ญ K**a ulikuwa humfaham Ni mchezaji wa zamani wa mpira wa miguu kutoka Nigeria, alicheza k**a beki (defender).
Hapa kuna mambo muhimu kumhusu:
๐ข Alizaliwa mwaka 1974 nchini Nigeria
โฝ Alikuwa maarufu sana miaka ya 1990 hadi mapema 2000
๐ Aliiwakilisha timu ya taifa ya Nigeria (Super Eagles)
๐ Alishinda medali ya dhahabu kwenye Olimpiki ya 1996 huko Atlanta
๐๏ธ Alichezea vilabu vikubwa Ulaya k**a:
โ
Inter Milan
โ
AC Milan
โ
Derby County
Kitu kilichomtofautisha pia ni muonekano wake โ alikuwa na nywele za rasta zilizofungwa kwa mitindo ya kipekee sana ๐.
hata hivyo kwasasa ni mchunguaji wa kanisa fulani huko kwao.
imeandaliwa na mimi Ben_Venture kwa udhamini wa DPS Cosmetics.
05/01/2026
K**a huwezi kuongoza akili na mwili wako, huwezi kumuongoza mwanamke wako
14/12/2025
k**a mkizitaka mali mtazipata shamban
napoli win or drawโ napol to scoreโ
mhindi ni nani?๐
14/12/2025
matapeli hawa
26/11/2025
The Beast๐ฝ
Yule dada mrembo unae muogopa unasema sio level yako, hana hata mia naniii๐
AMadi kibindoni ..... malizieni hapo
25/10/2025
PEDRO soares Gonรงalves Ni nani?.
pedro ametbulishwa rasmi k**a kocha mkuu wa Young Africans Sports Club , na ni raia wa portugal amezaliwa mwaka 1976 na hizi ndiyo team ambazo ameshazifundisha:-
1. amora fc (youth coach tangu 1996-1997)
2.cova piedade (youth coatch1997-2000)
3.spoting cp (youth coach 2000-2015)
4. 1ยด de agosto (youth coatch2015~2018)
5. angola U20( as manager 2018-2019)
6. angola U 17 (as manager 20/04/2018-5/11/2019)
7.Angola national team (as manager 2019~2025).
mfumo anao pendelea ni 4-3-3
kwahiyo kwenye ngazi ya vilabu hana uzoefu, kwahiyo tuseme mwanetu hajawahi fundisha wala kushiliki club bingwa africa. yanga hapa nik**a wamezingua fulani hivi. huyu january hafiki๐
Click here to claim your Sponsored Listing.
Website
Address
Southern
