Tz mand jastine

Tz mand jastine

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tz mand jastine, Health/Beauty, Mabanda.

20/06/2026

aosiobwana nanimkali dukuta coment like share follow tx 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

01/06/2026

Wapenz wasingeli Leo nimekuja kua uliza hii bit tupit nao ama tuiache comment search tukutane follow me buck my frends

30/05/2026

💔💔💔Wakati mwingine, chini ya tabasamu lako, kuna machozi ambayo hakuna anayeelewa?
Mahitaji ya kila siku ya maisha, ugumu wa kazi, na mizigo ya familia mara nyingi hutuacha tukiwa tumechoka, tumepotea, na wasiwasi...
📖Biblia inasema, “Tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.” (Yohana 8:32).
📖 Maneno ya Mwenyezi Mungu yanasema, """"Muumba pekee ndiye aliye na upole kwa wanadamu hawa. Muumba pekee ndiye anayemuonesha mwanadamu huyu rehema na upendo. Muumba pekee ndiye anayeshikilia upendo wa kweli, usiovunjika kwa mwanadamu huyu. Vilevile, Muumba pekee ndiye anayeweza kumpa rehema mwanadamu huyu na kuvihurumia viumbe vyake vyote. Moyo wake hudunda na kuumia kwa ajili ya kila tendo la mwanadamu: Ameghadhibishwa, amesumbuliwa, na kuhuzunishwa juu ya maovu na kupotoka kwa binadamu; Amependezwa, amefurahia, amekuwa mwenye kusamehe na mwenye kushangilia kutokana na kutubu na kuamini kwa binadamu; kila mojawapo ya fikra na mawazo Yake vyote vipo juu ya mwanadamu na kumzunguka mwanadamu; kile Alicho na anacho vyote vinaonyeshwa kwa ajili ya maslahi/minajili ya mwanadamu;Hisia Zake zote zimefungamana na uwepo wa mwanadamu. Kwa minajili ya mwanadamu, Anasafiri na kuzungukazunguka; Anatoa kila sehemu ya maisha Yake kimya kimya; Anajitolea kila dakika na sekunde ya maisha Yake…. Hajawahi kujua namna ya kuyathamini/ kuyatunza maisha Yake, bado siku zote Amekuwa Akimhurumia mwanadamu ambaye Yeye Mwenyewe alimuumba…. Anatoa kila kitu Alichonacho kwa ubinadamu huu…. Yeye anatoa huruma na uvumilivu Wake bila masharti na bila matarajio ya kufidiwa. Anafanya hivi tu ili mwanadamu aweze kuendelea kuwepo mbele ya macho Yake, kupokea toleo Lake la maisha; Anafanya hivi tu ili mwanadamu siku moja aweze kunyenyekea mbele Yake na kutambua kwamba Yeye ni yule anayetosheleza kuwepo kwa binadamu na kuruzuku maisha ya viumbe vyote.”
💫Mungu Yuko upande wetu siku zote. Ikiwa unahitaji msaada Wake, tafadhali bofya kitufe cha WhatsApp ili kujiunga na somo letu la Biblia. Acha maneno ya Mungu yaangaze mbele ya njia mbele, yakileta amani na nguvu. Amina!✨“
"AI🧎‍♀️🧎‍♀️🧎‍♀️ +30/05/2026

27/05/2026
Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Mabanda?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Mabanda