holyster amani

holyster amani

Share

kamba finest

12/11/2023

𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒: ππ„π‚πŠπ˜ πŸπŸ‘π“π‡ ππŽπ•
Weka like tukisonga πŸ™πŸ™
𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏
Becky aliuliza Shan ,huyu mpoa wako mwenye anakublock,nitawai muona lini? Shan alimwambia usijali,very soon nitakuonyesha for now relax tu na pia akauliza Becky, umekua unawork kwa kina Junior k**a maid na sai washajua wewe ni baby mama watu wanafeel aje huko? Becky akamwambia sina na sijali k**a wananiona baby mama mimi bora nafanya kazi. Shan akamwambia acha uongo,najua ulirudi huko juu ya mtu mmoja,Junior na bado unampenda sindio? Becky akanyamaza ju ukweli wa mambo,she still loves junior πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°

Kwa kina junior wanajieleza na Trisha anamwambia k**a umechoka na mimi niambie tu kuliko unitreat hivi. Martha aliambia Junior mjibu,ameuliza k**a humtaki useme. Junior alimwambia of course nampenda but she need to trust me. Martha aliwaambia sikiza, marriage is not a bed of roses,kwanza sai mumesikia certificate ni 100k? You have to make this marriage work and for you Junior,huyu ni mke wako wa ndoa,make sure you value her venye inafaa. Mpende venye inafaa na sai chenye najaribu sitaki nitoke nje nisikie maneno kwa watu Trisha akiteseka,love Trisha venye inafaa and for you Junior,Becky is just a baby mama not wife,sawa! Iko sawa kisha Martha akarequest Junior aende ajisaidie anataka kuongea na Trisha kiasi.

Tito na Lexy wako huku nje,wanabarizi kiasi kiasi,huku life wanakula na adabu venye inafaa. They are happy,they are jovial hadi wanacheers chaiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Martha ashaongea na Junior na Trisha na akawaambia you have to promise me mtafanyia kazi hii ndoa yenu,tuko pamoja? Wakamwambia yes mum,we are together. Martha akamtuma Trisha aende kuita Tito na Lexy,Trisha kufika huku,akapata Lexy na Tito wanachapa story za jaba,wamecheka hadi wanajisahau na sasa Lexy haogopi Trisha sasaπŸ˜‚πŸ˜‚

Tito na Lexy waliitwa wakakuja wakaketi but Tito akabaki k**a amesimamisha,I mean kusimamisha miguu. Namaanisha miguu za kusimaa,shida yenu ni nini nyinyi? mchwee. Anyway, Lexy wameitwa ili Trisha awaombe msamaha and Trisha did exactly that kwa kuongelesha Tito na Lexy ati wanakula k**a wenye kwao nyama ni December to December,that was a very very bad word to utter but ashaomba msamaha mbona asisamehewe. Junior aliamka kuenda chumbani kudoz na hata Tito pia akaambia Martha,good night madhe acha niende nijiwekelee.

Tito alikuja kulala kwa matress ingine hajai lala,hadi akasema hii naona nikilala ndio nitakua na swet dreams lakini kiiiiiiidogo hivi,mlangoni kukabishwa,nani huyo? Trisha,makosa. Tito aliuliza Trisha unataka nini? Trisha alimwambia relax handsome,unajua sikua najua venye wewe ni mrembo hivi na wewe unadeserve dem mrembo k**a Becky. Tito alimwambia najua chenye unataka,unataka nitoe Becky mbele ya Junior. Trisha akawambia good boy,ukishamaliza na ukishafanya hivyo,nitaongea na Martha akupee ile compensation alafu cheki venye Trisha anashika ndevu zangu,yani zangu na za Tito ziko lakini punde si punde, Lexy akaingia na akawaona,mako...makosa.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐
Lexy aliwauliza ni nini inaendelea hapa? Trisha badala ya kumjibu,akaamua kumheart Lexy,akaambia Tito kwanza pole kwa kukugonga na gari alafu usisahau,wewe ni mhandsome na kisha Trisha akaenda. Lexy akauliza Tito,ni nini inaendelea hapa? Tito alimwambia cheza chini,huyu dem amekuja kuniomba favour but niko rada yake usijali. Kumbe Trisha hata hakuenda,alikuja akasimama kwa mlango kusikia venye Lexy atauliza,but Lexy hakuzusha ju bado hajafall in love na TitoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚opps before nisahau,hiyo scene imeisha Tito akiwa na Lexy kwa room peke yao. How you will use this infomation is all on you.

Siku iliyofuata, Martha ashamka mapema sana na kitu cha kwanza kutafuta k**a Lexy amelala poa lakini kufika kwa room yake,hakuna mtu akashindwa sana Lexy ako wapi. Akakuja kwa room ya Tito akawasha taa,akaita hakuona mtu akakuja akaamsha Tito,akamuuliza Lexy ako wapi? Tito akamwambia nilimuacha kwa room yake,uko sure hayuko huko? Martha ametoka huko hakuna mtu. Alikuja hadi jikoni akapata Lexy aliamka kitambo sana anaosha vyombo huku chini. Martha alimwambia umefanya karibu nidhani umenicha but Lexy akamwambia usingizi iliisha nikaona nikuje huku najaribu kuwasha hi Oven haiwaki. Martha akamsaidia kuwasha Oven ju si Lexy pekee hajui kuwasha Oven,kuna madhe fulani hapo Umoja pia hajui na alipewa tu mpyaπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’madhelesss.

Junior aliamua kupea Trisha silent treatment hadi Trisha akacomplain akamwambia babe,I promise I will change,usikatae kuniongelesha. Junior alimwambia Iam tired,wewe si wa kubadilika. Trisha alimwambia I promise this time round i will change and for our marriage to work,we need to work together,nakufenda babey. Junior alimsikia akaamka akaona aende but akamwambia ok, nakufenda pia na ujue leo usiku,nataka apologyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Martha alijumuika na Lexy kupika breko na hata time Becky kufika,ishaiva already. Cheki sasa madharau, Junior alikuja jikoni,akamsalimia mamake na Lexy akamlenga Becky,aah,makosa. Woi! Becky,utawezana?

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Thika?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Thika
47