Uzazi tips

Uzazi tips

Share

afya ya uzazi kwa wanawake

16/09/2022

♓ MVURUGIKO WA HOMONI (HORMONE IMBALANCE):-

🔵 Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapopata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya %80.

VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI:-
â­•Uwepo wa sumu mwilini,
â­•Mfumo Mbovu wa maisha,
â­•Umri kuenda sana, kukoma kwa hedhi,
â­•Uzito mkubwa,
â­•Mabadiliko ya mazingira,
â­•Msongo wa mawazo,
â­•Upungufu wa lishe bora mwilini,
â­•Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango,
â­• Utoaji wa mimba kiholela,
â­•Ongezeko la homoni ya Androgen hupelekea mwanamke [kuota ndevu, base voice]

DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI:-
🔵Uke kuwa mkavu,
🔵Maumivu wakati wa tendo la ndoa,
🔵Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi,
🔵Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa,
🔵Mabadiliko ya siku za hedhi mfano kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7 na hutoka mabonge ya dam au dam nyingi zaid kuliko kawaida.
Kwa ushauri na tiba sahihi +255688343605

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Website

Address


Kaloleni
Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00