Jesca Afya
Jesca Afya tunahusika na usambazaji wa virutubisho lishe vinavyotatua changamoto mbalimbali za Afya.
17/10/2022
*Arthroextra (60 Tablets)*
Kirutubishilishi cha asili kwa ajili ya mifupa, maungio na gegedu.
*VIAMBATA*
👉🏾 *Glucosamine* hii ni Amino Acid ambayo hupatikana kwa sana kwenye maungio kwa ajili yakusaidia kurudisha gegedu.
👉🏾 *Chondroitin* hii ni component ya gegedu inayokuwepo kwenye gegedu kiasili ambayo kazi yake ni kudhibiti kiwango cha maji kwenye maungio nakuongeza unyonyaji wa virutubisho muhimu vya maungio.
*FAIDA ZA VIDONGE VYA ARTHROXTRA*
☑️Huyafanya maungio yenye nguvu na yenye afya
☑️Chondroitin husaidia kulainisha gegedu hivyo kukuuza ufanisi wa ufanyaji kazi wa maungio.
☑️Inaboresha na kuimarisha gegedu kwenye maungio
☑️Huondoa maumivu wa maungio
☑️Ni nzuri kwa waliovunjika mfupa
☑️Inarudisha ubora uliopotea wa gwegweju
☑️Ni nzuri kwa wanaougua baridi ya bisi
☑️Inaongeza uzito wa mifupa
☑️Huondoa maumivu ya maungio
*WALENGWA (WATUMIAJI)*
☑️Wenye matatizo ya maungio na mifupa
☑️Wanaofanya kazi za kutumia nguvu na wazee
☑️Watu Wanaofanya mazoezi magumu
*MATUMIZI*
👉🏾Itumike 2x2 kwa siku pamoja na chakula
👉🏾Matumizi ya mda mrefu husisitizwa (walau miezi 3)
Bidhaa hii imeandaliwa kitaalamu na teknolojia ya hali ya juu toka America na imethibitishwa.
*Mawasiliano*
Instagram
Facebook
Simu no 0784599287
14/10/2022
*FAIDA ZA PURE AND BROKEN*
Kiini Cha Uyoga Mwekundu ♥️♥️♥️💯✅
Baadhi za kazi zake ni zifuatazo👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼👇🏼
⏺ Hupandisha CD4 mwilini
⏺ Huongeza Kinga mwilini
⏺ Ni nzuri kwa walio ugua mda mrefu
⏺ Ni nzuri kwa wenye shida ya homa ya ini
⏺ Ni nzuri kwa waliokuwa na shida ya kutanuka kwa Moyo
⏺ Ni nzuri kwa waathilika wa VVU
⏺ Huongeza nguvu Mwilini
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya shinikizo la damu
⏺ Nzuri kwa wenye shida ya Kisukari
⏺ Huondoa Sumu mwilini
⏺ Huondoa uvimbe mwilini
⏺ Huondoa goita ikitumika na Zaminocal plus
⏺ Huondoa Maumivu makali wakati wa hedhi
⏺ Huondoa Maumivu makali ya viungo mwilini
⏺ Huongeza uwezo wa mwili kutengezeneza damu
⏺ Huimarisha seli za ubongo hivyo hudhibiti hali ya kusahau
⏺ Huimarisha macho
⏺ Huongeza nguvu za kiume
⏺ Huondoa vimelea vya Saratani
⏺ Huimarisha ngozi yako
⏺ Hutibu magonjwa katika mfumo wa upumuaji
⏺ Hutibu Ugumba
⏺ Huondoa changamoto ya kukosa hedhi
⏺ Huondoa hernia Aina zote ikiwa na Yunzhi pamoja na ( novel au Prostatrelax capsules) kulingana na eneo ilipo na kwa jinsia husika
⏺ Hujenga Kinga ya mwili dhidi ya magojwa mbalimbali
Uyoga mwekundu unakazi nyingi Sana kuziorodhesha zote hatutaweza kuzisoma zote
Kwa ubora wa afya na Kinga ya mwili tumia Uyoga mwekundu mara moja hata kwa miezi mitatu wewe Mwili wako utakuwa imara hii ni dawa iliyotengenezwa kwa ubora mkubwa zaidi na inakazi Kubwa kuliko vile tunavyoiona
Angalia kidogo hapa 👇
Pure ikiisha katika kuitengeneza mabaki ya Uyoga mwekundu ndo hutengenenezea baadhi ya dawa nyingine tena ndio maana huitwa *pure*
Unakosaje kuitumia pure K**a unauwezo nayo?
Uwe unaumwa au huumwi pure ni kitu sahihi na Ni mhimu kwako kuitumia nipigie no 0784599287
13/10/2022
*ZIJUE KIUNDANI DALILI ZA KUWA NA SUMU NYINGI MWILINI NA KWANINI UTUMIE DETOX*
Wasiliana nasi ujipatie Detox yako kwa bei ya offer.
1. Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi, vipele nk.
2. Kuwa na uzito wa kupindukia
3. Kutopata choo au kupata choo kigumu
4. Kukosa usingizi Na kujihisi mchovu kupitiliza
5. Kichwa kuuma kila mara
6. Kupata miwasho
7. Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti, nyonga
8. Kuwa na hasira mara kwa mara.
9. Tumbo kujaa gesi nk
MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa
2. Kupata maambukizi ya figo
3. Kupata maambukizi ya Ini
4. Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5. Husababisha uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke.
6. Hupelekea matatizo shinikizo la damu la juu (high blood pressure)
7. Mvurugiko wa homoni na kupelekea hedhi kuvurugika, maumivu ya hedhi na kukosa hedhi ikiwa si mjamzito.
8. Husababisha vimbe mbalimbali mwilini.
Detox ndio suluhisho
Zipo kwenye ofa siku leo.mbeyatangaarushamorogoromwanzadar es salaamdodoma
Wasiliana nasi. 0784599287
12/10/2022
NI NINI.
•Ni mchanganyiko wa virutubisho vyenye Antioxidant na Anti-aging
Mchanganyiko huo huo unaondoa mikunjo ya Ngozi (Makunyanzi)⁸
na kurudisha Ngozi katika hali ya ujana yenye mvuto zaidi.
↪️Antioxidant inaondoa sumu mwilini na kukuupatia mwili nguvu upya
na kinga dhidi ya magonjwa ya uzeeni.
Mchanganyiko wa resverantrol na NMN unarudisha umri nyuma kwa kuunda
upya speed ya NAD+ ambayo inazuia magonjwa yanaoletwa na uzee;
➡️ Sukari
➡️ Pressure
➡️ Kusahau
➡️ kuangamiza cells za saratani
➡️ Kuboresha afya ya moyo
1️⃣ Husaidia kukinzana na uzee
2️⃣ Husaidia kukinzana na Saratani yoyote ile
3️⃣ Husaidia kutengeneza DNA mpya
4️⃣ Ni nzuri sana katika kupambana na matatizo ya wanawake, Ngozi, Matatizo ya uzazi
5️⃣ Husaidia kuboresha mishipa ya damu na misuri
6️⃣ Kumbuka hii Bidhaa Inatumika Na Jinsia Yoyote tupigie no 0784599287
MATATIZO YANAYOWAKABILI WANAUME KATIKA MFUMO MZIMA WA UZAZI.
✍️ Wanaume wengi Sana wakati huu wanasumbuliwa na matatizo ya nguvu za kiume kutokana na sababu zituatazo
- Ulaji mbovu.
- msongo wa mawazo.
- magonjwa K**a presha , kisukari,
- unywaji wa pombe kupita kiasi.
- uvutaji wa sigara kupindukia.
- Matumizi ya madawa ya kulevya.
- kutokujishughulisha na mazoezi.
- kujichua/punyeto.
✔️ Kabla ya uume kusimama Ni Damu ndiyo inaingia ndani ya uume na kuufanya usimame ! K**a mishipa ni imara uume utasimama Kwa muda mrefu bila kusinyaa!
✔️ Uume Kusinyaa ni damu imetoka kwenye uume na kupelekwa sehemu nyingine za mwili !
K**a mishipa ina shida uume utasimama ukiwa lege lege ,ni ishara damu haingii ya kutosha ikajaza uume vizuri .Kwa sababu uume ni k**a bomba la maji, Husinyaa na kutanuka! .
✔️ Mwanaume akitazama sana Picha za ngono kwa muda mrefu ubongo unashindwa kutuma taarifa kwenye uume ili moyo upampu Damu ya kutosha kwenda kwenye uume ! Ndiyo maana wengi wanashindwa kusimamisha kabisa ! Mfano Mwanaume akimuona Mwanamke akiwa uchi ,ni macho yameona ubongo ukatafsiri taarifa zinatumwa kwenye uume hatimaye ngoma inadinda !
Sasa akili ya mwanaume ikizoea Picha za x inaathirika ! .
✔️ Kujichua ,Mishipa inakosa kipenyo cha kubeba damu ya kutosha ,pia mishipa ya Vein Inakufa valvu ,Valvu zikifa Damu inaingia na kutoka kwenye uume muda huo huo ! Ni k**a valvu ya Tairi la Baiskeli ambalo Valvu yake ni mbovu ,ukijaza upepo unatoka muda huo huo !
Kumbuka:Mishipa ya vein Ina valvu Ila Ateri Hazina valvu na ndiyo zinatoa damu kwenye moyo na kusambaza sehemu mbalimba mwilini ! Alafu Vein Zinarudisha Damu kwenye mapafu inapashwa joto then inapelekwa kwenye moyo, moyo unapampu Artery zinasambaza mwili mzima ! .
✔️ Kitu kingine kinachoharibu mishipa ya Damu ni Unene ambayo unajaza mafuta kwenye mishipa hatimaye Damu inashindwa kupita !
ONDOA AIBU YA KUSHINDWA KUFANYA TENDO LA NDOA KWA UFANISI NA KUSHINDWA KUMRIDHISHA MKE WAKO.
Kwa wenye Matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kwa ushauri na matibabu kwa Kutumia virutubisho lishe tuwasiliane.
Call\Whatsapp +255784599287
05/10/2022
Tuwasiliane kupitia namba zifuatazo
+255784599287
04/10/2022
*HARUFU MBAYA UKENI NI CHANZO CHA KUTOJIAMINI MBELE YA MWENZI WAKO* 😌
KABLA HAUJANZA TIBA KUTOKA KWANGU FANYA HAYA YAFUATAYO YATAKUSAIDIA
🔷Epuka kusafisha uke kwa kuingiza kidole ukeni-Uke usafishwe kwa maji ya vuguvugu na sabuni ya kawaida ya kuogea (sio medicated soap), bila kuingiza kidole au kitu chochote ndani ya uke.
🔷Epuka matumizi ya madawa ya antibiotics kwa muda mrefu bila ya kuambiwa na daktari-kwani dawa hizi zikitumika kwa muda mrefu na bila ushauri wa daktari husababisha mabadiliko katika bakteria wa kwenye uke na kupelekea magonjwa na harufu mbaya.
🔷Vaa nguo za ndani za cotton(PAMBA)
🔷Epuka nguo za kubana sana mwili.
🔷Nguo ya ndani ianikwe nje; sehemu ambayo itapigwa na jua (na sio ndani ya chumba); au nguo za ndani zipigwe pasi kabla ya kuvaliwa.
🔷Unapokuwa kwenye siku zako zingatia usafi na kubadilisha pedi k**a inavyotakiwa(mara 2-3 kwa siku)
🔷Epuka kutumia vyoo vya umma ambavyo ni vya kukaa,
🔷Jikinge na magonjwa ya zinaa.
🔷Epuka kuvaa nguo nyingi na/au nzito wakati wa kulala; vaa nguo nyepesi ambayo itaruhusu uke kupata hewa ya kutosha.
🔷Jisafishe vizuri kila baada ya kumaliza haja ndogo.
N.B. *NAJUA UNAWEZA KUWA UMEKATA TAMAA LKN TIBA IPO NA HAUTOJUTA UKE KUTOA HARUFU MBAYA HASA WAKATI WA TENDO LA NDOA NI FEDHEHA SANA KWA MWANAMKE* 😓WASILIANA NASI No 0784599287
♓ MVURUGIKO WA HOMONI (HORMONE IMBALANCE):-
🔵 Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichochezi katika mwili wa mwanamke pale anapopata hedhi, hivyo kufanya mwili kubadilika. Mvurugiko huo huathiri kila mwanamke kwa zaidi ya %80.
VYANZO VYA MVURUGIKO WA HOMONI:-
⭕Uwepo wa sumu mwilini,
⭕Mfumo Mbovu wa maisha,
⭕Umri kuenda sana, kukoma kwa hedhi,
⭕Uzito mkubwa,
⭕Mabadiliko ya mazingira,
⭕Msongo wa mawazo,
⭕Upungufu wa lishe bora mwilini,
⭕Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango,
⭕ Utoaji wa mimba kiholela,
⭕Ongezeko la homoni ya Androgen hupelekea mwanamke [kuota ndevu, base voice]
DALILI ZA MVURUGIKO WA HOMONI:-
🔵Uke kuwa mkavu,
🔵Maumivu wakati wa tendo la ndoa,
🔵Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi,
🔵Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa,
🔵Mabadiliko ya siku za hedhi mfano kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7 na hutoka mabonge ya dam au dam nyingi zaid kuliko kawaida.nipigie Kwa no 0784599287
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Kaloleni
Arusha
