Aliaza Kassimu
Pata Ushauri wa Kiafya wa
Mifupa na Maungio
Afya kwa Watoto
Mfumo wa Chakula
Mfumo wa Uzazi
Kinga Y
26/06/2023
3. DALILI ZA HORMONE IMBALANCE
Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mili yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele.
Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
- Ukavu ukeni
- Maumivu wakati wa tendo la ndoa
- Kutoa jasho usiku
- Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
- Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa
- Mabadiliko ya siku za hedhi
- kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)
- Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
- Uchovu wa mara kwa mara
- Hasira za mara kwa mara
- Kukosa usingizi
- Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara
- Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula
- Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe
- Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele… n.k)
- Maumivu ya viungo
- Upungufu wa nywele kichwani
- Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
- Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)
- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
- Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi
- Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini
- Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango
- Maumivu ya kichwa mara kwa mara
- Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)
- Kutokupata choo kwa wakati
- Misuli hudondoka
4. MADHARA YA MVURUGIKO WA HOMONl
Pamoja na dalili nyingi tulizoziona tungependa wanawake waelewe vitu vifuatavyo hutokea iwapo atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango.
Njia hizo husababisha saratani ya kizazi, CD4 kushuka, sehemu ya uke kuwa baridi, huchangia kwa 50% kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua,
huathiri mtoto atakayezaliwa,
huathri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria),
kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara.
Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi kikubwa na kusababisha madhara mengi k**a yafuatayo:
•Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
•Mimba kuharibika mara kwa mara;
•Kukosa mtoto au Ugumba
•Maumivu wakati wa tendo la ndoa
•Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
•UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
•Kuzeeka mapema
•Kuziba kwa mirija ya uzazi
•Saratani
•Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (Fibroids and Cysts)
5. SULUHISHO
1. Suluhisho Linalopendwa
Wanawake wengi baada ya kujifahamu kuwa homoni zao haziko sawa huenda mahospitalini ambako hupewa madawa (bioidentical or synthetic hormones) na wengine hufanyiwa hormone replaceme
Sumu zikizidi mwilini mwanamke huzeeka kabla ya wakati na kupatwa na changamoto mbalimbali za kiafya ikiwemo: vimbe zinazo jipachika kwenye uzazi wa mwanamke, vidonda vya tumbo, … n.k.
Suluisho la kudumu linapatikana
Tupigie au tutafute kwa ushauri zaidi na tiba (Tunatumia bidhaa za asili zisizo na madhara yeyote kuondoa hiyo changamoto)
Afya yako Furaha yetu
26/06/2023
UGONJWA WA FANGASI ZA UKENI / SEHEMU ZA SIRI NA TIBA YAKE
(Vaginal Thrush)
ndugu Zangu Naomba Nielezee Kuhusu Mwanamke Na Uke,kwa Maana Ya
Uke Ni Kiungo Cha Uzazi Wa Mwanamke, Ambapo Ndani Yake Kuna Lactobacillus Bacteria Na Fangasi Wazuri Ambao Wako Katika Kiwango Kinacho Lingana/a Balanced Mix. Bacteria Hawa Na Fangasi Hizi Husaidia Sana Kuulinda Uke Na Maradhi Mbalimbali Endapo Uwiano Wake Hauta Bughuziwa. Lactobacillus Bakteria Hutoa Acid Ambazo Huzuia Fangasi Kukuwa Au Kuwa Wengi Zaidi.
ugonjwa Wa Fangasi Za Ukeni Ni Ugonjwa Anaoupata Mwanamke Endapo Fangasi Watakuwa Wengi Zaidi Ya Bacteria Wazuri Waliopo Ukeni Au K**a Ph Ya Ukeni Imezidi Kiwango Cha Kawaida Kinachopaswa(Ph 3.5-4.5 Ndio Kiwango Kizuri Kiafya).
fangasi Za Ukeni Mara Nyingi Husababishwa Na Fangasi Waitwao Candida Albicans, Lakini Wakati Mwingine Ni Aina Nyingine Za Fangasi Na Hizi Ni Vigumu Sana Kutibika
vitu Vinavyoweza Kusababisha Ugonjwa Wa Fangasi Za Ukeni.
▪️.matatizo Ya Homoni(Homoni Za Kubadilika/kuwanyingi Sana Au Kushuka Sana) Hii Inaweza Kusahabishwa Na; Ukomo Wa Hedhi,ujauzito, (Mp)kuwa Katika Siku Za Mwezi, Matumizi Ya Dawa Za Kuongeza Kiwango Cha Hormon Za K**e
▪️ Matumizi Ya Antibiotics Hizi Huuwa Bacteria Wazuri Na Kubadiri Ph Ya Uke
▪️.kufanya Mapenzi Na Mtu Aliye Na Ugonjwa Wa Fangasi Za Sehemu Za Siri Bila Kinga
▪️.kushuka Kwa Kinga Ya Mwili Hii Inaweza Kusababishwa Na Magonjwa Mbalimbali K**a Ukimwi, Kisukari, Upungufu Wa Madini,vitamini Na Virutubishi Mbalimbali Vya Mwili.
▪️.ulaji Mbaya Hasa Kupendelea Vyakula Vyenye Sukari Kwa Wingi (Sukari Ni Chakula Kwa Fangas Hivyo Huongezeka).
▪️.kukosa Usingizi Na Msongo Wa Mawazo .
DALILI ZA FANGASI UKENI.
kuna Dalili Nyingi Sana K**a Zifuatavyo;
~▪️muwasho Sehemu Za Siri
~▪️vipele Vidogo Vidogo Ukeni
~▪️kutokwa Uchafu Mweupe Au Wa Rangi Ya Kijivu Ukeni Wenye Harufu Mbaya
~▪️vidonda Au Michubuko Ukeni
~▪️kutokwa Na Harufu Mbaya Ukeni
~▪️kupatwa Na Maumivu Makali Wakati Wa Tendo La Ndoa
~▪️kuvimba Na Kuwa Mwekundu Katika Mdomo Wa Nje Wa Uke
~▪️kuwaka Moto Ndani Na Nje Ya Uke
MADHARA YA FANGASI
•Hommon kutokua balance
•Mvugugiko wa hedhi
•Mimba kuharibika
•Kuchelewa kushika ujauzito au kutobeba kabisa
Tatizo hili linatibika bila shida yeyote ila unapo endelea kukaa nalo mda mrefu huleta madhara makubwa mno
Kwa ushauri zaid wasilianasi
wa.me/0746969605
26/06/2023
Pata Ushauri na Tiba Ya Magonjwa Mbali mbali
Bonyeza Link apo Chini kusoma Zaidi
👇👇👇👇
https://micogozablon.blogspot.com/search?updated-max=2023-05-02T02:49:00-07:00&max-results=7&m=1
wa.me/255710163943
Tupigie 0765163943 Kwa Ushauri na Tiba
27/04/2022
IJUE PID NI NINI DALILI MADHARA NA TIBA YAKE
PID inatibika bila shida
P I D (Pelvic Inflammatory Diseases)Ni Maambukizi katika via Vya uzazi ambayo husabishwa na Magonjwa k**a Uti rudizi ,fangasi ,Gonorea,Kisonono ,Kutoa Mimba ,Matumizi Ya madawa ,Uzazi wa mpango na nk
Dalili za PID zinatofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine.
Kwa baadhi ya wanawake dalili huwa mbaya na kwa wengine dalili huwa za kawaida, wakati mwingine wanawake hukaa na ugonjwa kwa muda mrefu bila kujua kutokana na kuchanganya dalili na magonjwa mengine.
DALILI ZA PID
1.Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo yanaweza kuwa upande mmmoja au pande zote kulia na kushoto
2.Sehemu za uke kuwa na ulaini sana
3.Kupata maumivu wakati watendo la ndoa wakati mwingine kupeleekea kuvuja damu wakati na baada ya tendo la ndoa na hivo kukosa tena hamu ya tendo la ndoa
4.Kuvurugika kwa hedhi
5.Kutokwa na majimaji ukeni kusiko kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani
6.Maumivu wakati wa kukojoa
Kupata maumivu wakati wa choo
7.Kupata damu Mara baada ye tendon au wakati wa tendo
8.Homa kichefu chefu na nk
MADAHRA YA PID
Maambukizi kwenye njia ya uzazi husababisha athari kubwa sana kwa mwanamke,
1.k**a tulivoona pale juu PID inaweza kusababisha ugumba na mimba kujishikiza mahali pasipo sahihi(ectopic pregnancy) tofauti na mfuko wa mimba.
Kadiri unavoumwa zaidi PID ndivyo hatari ya kupata ugumba inavoongezeka.
Mimba kutokea nje ya mfuko wa mimba ni ishu kubwa ya kiafya na inahitaji uangalizi mkubwa wa kidactari ili kuzuia kuvuja kwa damu na hatimae kupelekea kifo kwa mama. Madhara mengine ya PID ni
2.Kupata majeraha kwenye mirija ya uzazi, majeraha yanaweza kutokea nje ama ndani,
tatizo hili linaweza kuwa gumu kutibika na hutokea tu pale ambapo maambukizi hayakutibiwa kwa muda mrefu zaidi
3.Kuziba na kujaa maji kwa mrija ya uzazi(hydrosalpinx kutokana na majeraha ya tishu zake
4.Maumivu ya tumbo ya muda mrefu husababisha maumivu wakati wa tendo la ndoa na mwanamke kutofurahisa unyumba.
5.Kuongezeka kwa hatari ya kupata matatizo mengine wakati wa ujauzito na kujifungua.
K**a tulivokwisha kusoma kwamba PID huletekezwa kwa kiasi kikubwa na magonjwa ya zinaa ambayo hayakutibiwa vizuri (sexual transmitted diseases).
Kwa hivo basi ni muhimu kufahamu dalili za magonjwa ya zinaa ambayo ni common sana kwenye jamii yetu k**a gonorrhea(kisonono) na chlamydia.
Ugonjwa wa Chylamidia ni ugonjwa wa zinaa unaowaathiri wake kwa wanaume na husambazwa kupitia uke, njia ya haja kubwa na pia ngono ya midomo
Kwa Ushauri zaidi na jinis ya kutibu
Wasiliana nasi
wa.me/255746969605
23/03/2022
Description
IMBALANCE
Tatizo LA hormone imbalance limekua kubwa sasa ,na limeleta madhara makubwa k**a tajwa apa chini
Zipo zitu vinavyo sababisha kivurugika kwa hormone k**a
1.Magonjwa Uti/Pid/Fangasi na nk
2.Matumizi ya Madawa kiholela
3.Ulaji mbovu
4.Uzazi wa Mpango
5.Madhingira na nk
Hizi ni baadhi ya Dalili za hormone imbalance hasa kwa wanawake
1.ukavu uken
2.Maumivu wakat wa tendo
3.Maumivu chini ya kitovu
4.Mabadiliko ya siku za hedhi
5.kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku sab au kujaza pedi moja kwa saa moja)
6.Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
7.Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
8.Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
Usipuuuze sio lazima uwe na dalili zote wai mapema kuepuka madhara makubwa na gharama ya matibabu
MADHARA YA HORMONE IMBALANCE
1.•Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
2•Mimba kuharibika mara kwa mara;
3•Kukosa mtoto au Ugumba
4•Maumivu wakati wa tendo la ndoa
5•Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
6•UTI na PID za mara kwa mara au rudizi
7•Kuzeeka mapema
8•Kuziba kwa mirija ya uzazi
9•Saratani
10•Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (Fibroids and Cysts)
SULUISHO LA HORMONE IMBALANCE
Tume wasaidia wengi sana wenye changamoto k**a hiyo na wamepona kabisa kwa kutumia Virutubisho lishe
Wasiliana nasi kwa msaada zaidi ushauri na tiba
Tupo
Arusha
Dodoma
Mwanza na nk
23/03/2022
Description
IMBALANCE
Tatizo LA hormone imbalance limekua kubwa sasa ,na limeleta madhara makubwa k**a tajwa apa chini
Zipo zitu vinavyo sababisha kivurugika kwa hormone k**a
1.Magonjwa Uti/Pid/Fangasi na nk
2.Matumizi ya Madawa kiholela
3.Ulaji mbovu
4.Uzazi wa Mpango
5.Madhingira na nk
Hizi ni baadhi ya Dalili za hormone imbalance hasa kwa wanawake
1.ukavu uken
2.Maumivu wakat wa tendo
3.Maumivu chini ya kitovu
4.Mabadiliko ya siku za hedhi
5.kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku sab au kujaza pedi moja kwa saa moja)
6.Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi
7.Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea
8.Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)
Usipuuuze sio lazima uwe na dalili zote wai mapema kuepuka madhara makubwa na gharama ya matibabu
MADHARA YA HORMONE IMBALANCE
1.•Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
2•Mimba kuharibika mara kwa mara;
3•Kukosa mtoto au Ugumba
4•Maumivu wakati wa tendo la ndoa
5•Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
6•UTI na PID za mara kwa mara au rudizi
7•Kuzeeka mapema
8•Kuziba kwa mirija ya uzazi
9•Saratani
10•Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (Fibroids and Cysts)
SULUISHO LA HORMONE IMBALANCE
Tume wasaidia wengi sana wenye changamoto k**a hiyo na wamepona kabisa kwa kutumia Virutubisho lishe
Wasiliana nasi kwa msaada zaidi ushauri na tiba
Tupo
Arusha
Dodoma
Mwanza na nk
1.uk may be for sale - PerfectDomain.com Checkout the full domain details of 1.uk. Click Buy Now to instantly start the transaction or Make an offer to the seller!
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Website
Address
Arusha
