greenafya

greenafya

Share

Tunasaidia na Kushauri Kuhusu:
-Afya kiujumla
-Lishe
-Matumizi Yahihi Ya Vipodozi Na Virutubisho.

12/10/2021

HIFADHI hii Posti Itakusaidia baadae...!

Iko hivi...

Ikiwa unahisi kujikuna mara Kwa mara kwenye via vya Uzazi , kuna uwezekano una ugonjwa unakunyemelea .

Muwasho ni hali isiyofaa ambayo unaweza kuhisi kwenye sehemu zako za siri, au eneo lingine lolote la ngozi yako.

Ukweli ni kwamba kila mtu hujisikia kuwashwa katika sehemu zao za siri,

lakini ikiwa kuwashwa kunaingilia faragha ya maisha yako, basi unahitaji kufanya uchunguzi wa afya yako kwa Kina ili kupata matibabu.

Mambo ambayo husababisha kuwashwa kwa sehemu za siri kwa wanawake ni pamoja na:

Magonjwa ya zinaa.
Ukomaji wa hedhi

Wanawake wanapaswa kuchukua hatua zifuatazo kusaidia kuzuia sehemu za siri
kuwasha:

Baada ya kukojoa au haja kubwa, futa kutoka mbele kwenda nyuma ili kuzuia bakteria kutoka nyuma (re**um) kuingia kwenye Uke wako.

Epuka bidhaa za kemikali za usafi wa k**e, ambazo zinaweza kuzidisha usawa wa tindikali ya uke wako.

Epuka kiwewe kwa eneo hilo, k**a kunyoa kupita kiasi na kukwaruza.

Kula lishe bora ili kudumisha bakteria wenye afya katika uke.

Fika kituo Cha afya kwa Vipimo zaidi...

Like share na comment ....

Kwa huduma ya haraka piga
0685716621

Green afya

03/08/2021

Kushuka kwa kingamwili huongeza uwezekano wa kupata fangasi.

1. Mabadiliko ya homoni katika kipindi cha upevushwaji wa mayai.

2. Upungufu wa kinga mwilini: k**a wenye
kansa kisukari ukimwi nk.

3. vidonda sehemu za siri,

kujia pulizia marashi sehemu za siri

Kula vitu vyenye sukar kwa wingi

5. Mazingira ya joto au kuvaa nguo nyingi wakat wa joto

Jinsi ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya fangasi.

1.kula mlo kamili

2. Kunywa maji mengi angalau glasi nane kwa siku.

3. Epuka matumizi makali ya pombe nk.

5. Jitawaze kuanzia mbele kwenda nyuma.

6. Punguza kucha ndefu

8. Epuka kujipulizia pafyumu kwenye sehemu za siri

Tuna mengi ya kuji funza nawe endelea tembelea kurasa zetu like comment na share

Kwa msaada zaidi wasiliana kwa no 0685 716 621

Afya.

02/08/2021

FAHAMU: Tofauti Kati Ya Fangasi na PID

Fangasi ni ugonjwa unaosababishwa na jamii ya vimelea vinavyoitwa yeast vaginitis, Candidal vaginitis au Candidal vulvalvaginitis).

Maambukizi ya fangusi hutokea mara kwa mara ila kwasababu ya uimara wa selikinga mwili na bakteria rafiki wa mwili (normal flora) kua na nguvu,

Hakuna athari hutokea lakini, pindi tu kinga za mwili zanaposhuka au normal flora kupungua

Vimelea aina ya Candida hupata nguvu ya kuanza kushambulia kuta za mlango wa uzazi na kusababisha madhara.

Je, mtu atajuaje kua ana maambukizi ya fangasi?

Zifuatazo ni dalili za fangasi

1. Kukojoa mara kwa mara.

2. Mkojo kuwa na harufu kali.

3. Maumivu ya misuli na tumbo hasa chini ya kitovu.

4. Maumivu ya kiuno.

5. Kuwashwa sehemu za siri.

6. Kuhisi maumivu wakati wa kujamiiana.

7. Kupata vidonda vya ukeni.

8. Kuvimba na kuwa mwekundu kwa mdomo wa inje wa uke.

9. Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri baada ya tendo la ndoa.

10.Kutokwa na uchafu uso wa kawaida .n.k

Maambukizi ya fangasi yanapo zidi hupanada kwenye kizazi na kusababisha P.I.D

⚠Dalili au ushauri nilioandika ni wa ujumla zaidi, hivyo k**a unahisi una hali usio ielewa vizuri basi ni vyema kufika kituo cha afya kufanyiwa vipimo.

Tuna mengi ya kuji funza Endelea kutembelea kurasa zetu like comment na share

Kwa msaada zaidi wasiliana na mimi kwa namba 0685 716 621

Afya

02/08/2021

UTI sio PID

UTI ni kifupi cha maneno (urinary tract infection)

Yaani maambukizi kwenye njia za mkojo.

Urinary tract infection ni mkusanyiko wa maambukizi yanayosababishwa na

Vimelea (bacteria) aina ya Escherichia coli (E. coli) .

Bacteria hawa hushambulia njia za mikojo k**a vile;

Figo zote mbili, mirija inayotoa mkojo kutoka kwenye figo hadi kwenye kibofu cha mkojo (ureter)

Na mrija wa kutoa mkojo nje kutoka kwenye kibofu kwenda nje ya mwili (urethra).

Bacteria aina ya
Escherichia coli (E. coli) , hulatikana kwa wingi katika utumbo mdogo.

Lakini wanapozidi hutolewa nje kupitia kinyesi. Hapa ndipo tatizo la UTI linapoanzia.

Wakati wa kwenda haja kubwa, bacteria holewa nje, endapo hautazingatiwa utaratibu wa kujisafisha.

Yaani k**a endapo kujisafisha kutaanza njia ya haja kubwa kisha ndio njia ya mkojo.

Basi bacteria watahamia njia ya mkojo na kuanza kushambulia njia ya mkojo.

Pamoja na hivyo, bacteria anapoingia kwenye njia ya mkojo na kuanza kushambulia, kinga za mwili huweza kudhibiti maambukizi haya.

Lakini endapo vimelea vitazidi au kinga za mwili zikawa dhaifu, hapo ndipo madhara huanza kuonekana.

Ngoja nidokeze kidogo dalili za ujumla za UTI;

↔Kupata maumivu makali wakati wa kukojoa

↔ Kujiskia hali ya kuchoma choma kwenye kibofu wakati wa kukojoa

↔Kujiskia kukojoa mara kwa mara,

↔Kujiskia na kupata mkojo mara kwa mara.

↔Maumivu ya misuli.

↔Maumivu ya tumbo la chini.

↔Kukojoa mkojo wa rangi nyekundu au wa pink nk.

↔Kokojoa mkojo wenye harufu kali,

↔Kupata maumivu ya nyonga.

↔Wakati mwingine kushindwa kujizuia mkojo kutoka

Je, kuna dalili za akiafya huzielewi?

Fika kituo cha afya ufanye uchunguzi wa kina.

Tuna mengi ya kuji funza nawe endelea tembelea kurasa zetu like comment na share

Kwa mawasiliano zaid piga 0685716621

afya

01/08/2021

TOFAUT YA PID NA UTI

UTI ni urinary tract infection.
Yani maambukizi kwenye Njia ya mkojo,

Maambukizi haya huathiri, figo, mirija ya mkojo kotoka kwenye figo kwenda kwenye kibofu (ureter), kivofu cha mkojo (bladder) na mirija ya kutoa mkojo nje ya kibofu (urethra).

Wakati, PID ni kirefu cha maneno pelvic inflammatory disease,

Maambukizi haya husababishwa na vimelea vinavyojulikana k**a Chlamydia trachomatis

Haya ni maambukizi kwenye Njia ya uzazi,

Ugonjwa huu huathiri, via vya uzazi, uterus, follopian tubes, mlango wa uzazi

Dalili za magonjwa haya yanatofautiana pia,

Hizi ni dalili kubwa za UTI

↔Kupata maumivu wakati wa kukojoa,

↔Kukojoa Mara kwa Mara

↔Kupata mkojo mdogo sana
Maumivu ya misuli

↔Maumivu ya tumbo la chini
Mkojo mwekundu au pink nk

Na hizi ni dalili kubwa za PID

↔Maumivu ya tumbo chini ya kitovu

↔Sehemu za uke kuwa na ulaini sana

↔Kupata maumivu wakati watendo la ndoa

↔Kuvuja damu wakati na baada ya tendo la ngono

↔kukosa hamu ya tendo la ndoa

↔Kuvurugika hedhi

↔Kutokwa na majimaji ukeni kusiko kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani

↔Maumivu wakati wa kukojoa

Tuna mengi ya kujifunza na wewe, endelea kutembelea kurasa zetu like comment na share

Au wasiliana nami kwa ushauri zaidi 0685716621

01/08/2021

USHAURI: Njia inayosaidia kutokomeza PID Isiweze Kujirudia.

Moja ya njia nimekuwa nikiitumia kuwasaidia watu wengi kuondokana na tatizo hili,

Ni namna sahihi ya kutumia lishe katika kujikinga na kujitibu ugonjwa huu.

Ili kutokomeza mambukizi katika mfumo wa uzazi na changamoto zote Zinazo husu mfumo huo.

Ngoja nikudokeze viinilishe muhumi vinavyopatikana katika utaratibu wa lishe ninaoandaa (rejuvenatal program).

1:: rejuvenating minerals

-Ni madini muhimu ambayo hupatikana kwenye kina kirefu cha bahari

2:: natural assential oil from plant

-Munganiko wa mafuta asili yanayo tokana na mimea.

3:: multiple vitamin

-Munganiko wa vitamin vinavyo tokana na aina 150 za mboga mboga

4.Anti-oxidant.

-mchanyiko wa aina mbli mbali za matunda

5: Amino acids

-Kiunganish cha organic food zote na kuzisambaz sehem mbli mbli

6:Uyoga.

-aina hii ya uyoga ime beba kitu kinaitwa polysaccharide (psk)

faida kuu (5) ya Rejuvenatal program

1:Hukinga na kutibu maambukizi kwenye mfumo wa uzazi (PID)

2:hupandisha kinga ya mwili na kuongeza ulinzi dhidi ya vimelea hatari

3:Huondoa vimbe ndogo ndogo kwenye kizazi na maumivu makali wakati wa hedhi

4:Hubalansi hormone na kuondoa acid

5:Husaidia kutibu UTI , fangasi, miwasho na harufu mbaya ukeni nk..

Program hii ni asili na nisalama kwa afya yako

Kwa maelezo zaidi kuhusu program hii basi tuma neno NAHITAJI kwenda 0685716621

Green Afya

01/08/2021

FAHAMU: Jinsi ya Kujikinga Na Maambukizi Ya PID.

Japo kuwepo na tiba za kujitibu lakini unashauriwa kinga ni bora kuliko tiba hivyo zingatia yafuatayo.

Hiki ni kidokezo cha kujinga dhidi ya PID;

-Epuka kuwa na wapenzi wengi

-Usifanye mapenzi mara tu baada ya kujifungua au mimba kutoka, subiri kwanza upone.

-Jijengee tabia ya kufanya vipimo mara kwa mara

-Zingatia usafi wa mwili na nguo zako za ndani, nakushauri ukifua basi anika juani zikauke au piga pasi.

-Epuka kushare nguo za ndani

Epuka kusafisha uke kwa vitu vyenye kemikali sabuni marashi....

Unapoenda hajakubwa basi anza kujisagisha njia ya hajandogo kisha umalizie na njia ya hajakubwa.

Tibu matatatizo yote ya mfumo wa uzazi wewe pamoja na mwenza wako.

Epuka kula vitu vyenye sukari kwa wingi

Kula mlo wenye lishe Bora ili Kinga ya mwili iwe juu

Tuna mengi ya kuji funza na wewe Endelea kutembelea kurasa zetu, like comment na share

Kwa msaada zaidi wasiliana kwa namba +255 685 716 621

GreenAfya

31/07/2021

PID ni ugonjwa unaohitaji daktari makini sana katika kuchunguza dalili zake.

Uchunguzi wake unahusisha dalili na vipimo vya kitalaamu kutoka kwa daktari mbobezi wa magonjwa ya zinaa (Gynaecoligist).

Daktari, atakuuliza maswali juu ya historia ya tatizo lako pamoja ushiriki wa tendo la ndoa.

Hatua inayofuata , Daktari atakufanyia uchunguzi katika mlango wa uzazi (physical examination) ili kujua k**a kuna uvimbe wowote au k**a kuna uchafu unaotoka.

Unaweza pata wakati mgumu kidogo katika uchunguzi huu ila vumilia tu.

Mara nyingi daktari huchukua sample ya uchafu unaotoka na kupeleka maabara kwaajili ya uchunguzi zaidi , kugundua aina ya bacteria na tabia zake.

Endapo k**a majibu yataonesha maambukizi ya magonjwa k**a ya kisonono (chlamydia & gonorrhoea)...
...majibu hayo yatakua yana inapa nguvu ile dhana ya kua mgonjwa yuko na PID.

Lakini watu wengi majibu huwa hayaaoneshi moja kwa moja maambukizi ya PID..
...hivyo majibu yanayotokana sample ya uchafu hayawezi kuhitimisha kua hauna maambukizi ya PID

Kwakua ni vigumu kugundua maambukizi ya PID,

Baadhi vipimo vya dalili zingine zaidi vinaweza hitajika ili kujua k**a kuna dalili za maambukizi mengine.

Vipimo hivyo ni k**a vile;

1. Vipimo vya damu kubwa (blood test),
2. Vipimo vya mkojo (urine test),
3. Vipimo vya mimba (pregnancy test)

Pia , inapobidi uchunguzi kupitia kipimo cha ultrasound vinaweza fanyika

Pia k**a hali itakua mbaya sana na dalili hazionekani, basi utafanyiwa operation ndogo (laporoscopy) ,....
... juu ya kinena , kisha Daktari ataingiza mrija wenye camera , ili kuchunguza kwa kina ndani

Pia anaweza chukua sample ya tissue kwaajili ya uchunguzi zaidi.

Kwa majibu zaidi fika kituo cha afya , uweze kupata vipimo na majibu sahihi juu ya afya yako.

Endelea kufuatilia zaidi ukurasa huu uzidi kujifunza.

Kwa maswali, maoni au maalezo zaidi piga simu

0685817621

31/07/2021

EPUKA: Athari Za PID.

Endapo k**a hazitachukuliwa tahadhari za mapema kujitibu ugonjwa huu, athari yake ni kubwa sana kiafya.

Zifuatazo ni athari za PID k**a haitatibika mapema.

↔Maumivu ya tumbo au nyonga ya mara kwa mara mara .

↔Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa hupelekea mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa

↔Mirija ya uzazi kuharika na kuziba

↔Mimba kutunga nje ya kizazi (ectopic pregnancy)

↔Ugumba kwasababu mbegu mwanaume hushindwa kufika kurutubisha yai.

↔Vimbe ndogo ndogo ambazo zina weza kusababisha saratani.

***

Tuna mengi ya kuji funza Endelea kutembelea kurasa zetu like comment na share

Au wasiliana nami kwa ushauri zaidi piga simu 0685716621

Green Afya

31/07/2021

FAHAMU: Dalili Za PID

Dalili za PID zinatofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine.

Kwa baadhi dalili hujionesha mapema na lakini pia dalili zinaweza zisijioneshe mapema.

Mgonjwa anaweza kua na ugonjwa kwa muda mrefu bila kujua kutokana na kuchanganya dalili na magonjwa mengine.

Hivyo njia sahihi ni kufanya uchunguzi wa afya yako kwa vipimo vya kitalamu.

Zifuatazo ni dalili zinazojotokeza zaidi kwa wanawake wengi.

↔Maumivu ya tumbo chini ya kitovu ambayo yanaweza kuwa upande mmmoja au pande zote kulia na kushoto.

↔Sehemu za uke kuwa na ulaini sana

↔Kupata maumivu wakati watendo la ndoa

↔Kuvuja damu wakati na baada ya tendo la ngono

↔kukosa hamu ya tendo la ndoa

↔Kuvurugika hedhi

↔Kutokwa na majimaji ukeni kusiko kawaida hasa yenye rangi ya njano na kijani

↔Maumivu wakati wa kukojoa

↔Kupata dalili za homa k**a kizunguzungu,

↔Mwili kukosa nguvu, kukosa hamu ya kula na uchovu mwingi.
***

Tuna mengi ya kujifunza na wewe, endelea kutembelea kurasa zetu like comment na share

Au wasiliana nami kwa ushauri zaidi 0685716621

Afya

30/07/2021

FAHAMU!: Ugonjwa Wa PID.

Neno PID ni kifupi cha neno Pelvic Inflammatory Disease.

Haya ni maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke...
.viungo hivyo ni mirija ya uzazi (Fallopian tubes)...
...via vya mayai (ovaries), mlango wa njia ya uzazi (cervics) na kuta za mfumo wa uzazi (uterus).

Maambukizi haya husababishwa na aina mbalimbali za bacteria sawa na wale wanaosababisha magonjwa ya kisonono na kaswende.

Utofauti wake ni kwamba, maambukizi haya ya magonjwa ya ngono yanapozidi kua sugu.....
huhamia katika viungo vya ndani kabisa vya uzazi (pelvis) na hatimae huhamia katika damu.

Ugonjwa huu ni hatari kwa afya, hivyo ukijihisi uko na dalili wahi hospitali ukafanyiwe uchunguzi mapema.

Athari za ugonjwa huu usipodhibitiwa mapema ni hizi;

↔Kushindwa kushika mimba (infertilty),

↔Mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi (ectopic pregnancy).

↔Maumivu makali ya tumbo.

Maambukizi huenezwa kwa njia ya tendo la ndoa,

Mambo ya kuzingatia katika kujikinga dhidi ya ugonjwa huu,;

↔Epuka kushiriki tendo la ndoa na mtu usiemjua bila kujikinga,

↔Epuka kua na washirika wawili katika mahusiano yako ya kimapenzi.

↔Tumia njia salama ya uzazi chini ya ushauri wa daktari.

↔Ukienda hajakubwa, anza kujisafisha njia ya mkojo kisha umalizie na njia ya hajakubwa.

↔Fanya vipimo na jitibu dalili zote za magonjwa ya ngono ili kuepuka maambukizi zaidi.

***
Tuna mengi ya kujifunza na wewe endelea kufuatilia ukurasa wetu, like, share na comment.

Kwa ushauri zaidi piga simu namba 0685716621

©Greenafya

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Arusha
23301