TIBA YANGU

TIBA YANGU

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from TIBA YANGU, Health/Beauty, Arusha.

17/04/2023

Uvimbe kwenye kizazi (Swelling in the cervix/Fibroids),Fibroids ni uvimbe unaojitokeza kwenye tumbo la kizazi,uvimbe huu unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta :,
-Aina za uvimbe ni k**a ;
i-Submucosal Fibroids (Ndani ya kizazi)
ii-Subserosal Fibroids(Nje ya kizazi)
iii-Intramural Fibroids (Ndani ya nyama ya kizazi)
€Baazi ya viashiria/Dalili za uvimbe kwenye kizazi ni k**a
1. Maumivu ya kiuno hasa wakati wa hedhi,ambao husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe
2.maumivu makali ya tumbo la chini ya kitovu (Lower abdomen pain)
3.Hedhi zisizokuwa na mpangirio
4.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
5.Kutokwa na uchafu wenye harufu ukeni n.k
...!!!! Ni vema kuchukua hatua,usichukulie kawaida pale uonapo dalili au viashiria k**a hivyo ni vema kukutana na wataramu wa afya au kituo cha afya cha karbu yako ili uweze pata ushauri zaidi na suruhu juu ya hiyo changamoto
[email protected]
lishe

Photos from TIBA YANGU's post 12/04/2023

TUFAHAMU KUHUSU TIBA ASILI 🥑🍇

Dawa hizi zimeandaliwa kwa mimea (miti shamba,matunda🥑 na mboga🥦) zisizo na kemikali yoyote na ni Bora katika afya ya mwili wa binadamu..,karbu tuone aina ya dawa na faida zake👉👉🥦🥦🥦

HERBAL TONIC
Ni dawa asili inayo tibu changamoto mbalimbali katika mfumo wa mwili k**a:
1.Kuyeyusha mgandamizo wa mafuta katika mishipa ya damu(Blood Cholesterol)
2.Shinikizo la juu la damu(Pressure)
3.Hudhibiti kiwango cha sukari mwilini(Diabetes)
4.Matatizo ya moyo,figo
5.Huyeyusha vimbe aina zote,ikiwa hata katika mfumo wa uzazi (Uterine fibroids)
6.Husaidia kupunguza unene wa mwili hasa kwa wenye miili mikubwa
7.U.T.I sugu
8.Tatizo la miguu Kufa ganzi na kuwa moto
9.watu walio pooza mwili N.k

BEI YAKE KWA KOPO MOJA NI TSH 20,000/=

DETOXIFIRE
Hutibu
1.Huondoa sumu mwilini
2.Vidonda vya tumbo
3.Matatizo ya viungo mgongo, kiuno,magoti n.k
4.Gaut
5.Baridi ya bisi (Rheumatism)
6.Maralia sugu,typhoid na Brucella
7.Matatizo kwa wanawake wasio ona siku zao(Menstruation cycle)
8.Hufungua choo,kwa watu wenye changamoto ya kosa choo au wanao pata choo kigumu(Constipation) na Bawasili

BEI YAKE KWA KOPO MOJA NI TSH 15,000/=

MPS HERBS
Dawa hii ni kwa ajili ya wanaume,Hutibu mapungufu ya uzazi kwa mwanaume yanayo sabishwa na:
1.Kutolingana kwa homoni za uzazi(Homone disorders)
2.Kuwahi kufika mshindo(Pre-matured ej*******on)
3.Upungufu wa idadi ya mbegu za kiume(Low s***m count)
4.Ngili,chango,Hernia
5.Tezi dume
6.shida ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kutungisha mimba(Infertility)
7.Shida ya uume kuwa legevu wakati wa tendo la ndoa(Electile dysfunction)N.k

BEI YAKE KWA KOPO MOJA TSH 20,000/=

LADY CURE
Dawa hii huwasaidia wanawake wenye changamoto katika mfumo wa uzazi k**a:
1.Homoni za uzazi kutolingana(Homone Imbalance)
2.Uvimbe kwenye kizazi(Uterine fibroids)
3.Kupevusha mayai ya uzazi
4.Uvimbe maji kwenye viwanda vya mayai (Ovarian cyst)
5.mirija ya uzazi iliyo ziba(clogged fallopianTubes)
6.Hutibu maambukizi ya bacteria k**a P.I.D,UTI na fangasi
7.Kutokwa na uchafu unao toa harufu ukeni
8. Huzuia mimba isiharibika(miscarriage)
9.hupunguza maumivu wakati wa hedhi
10.Husaidia mwanamke kushika mimba kwa wanawake wenye changamoto ya kushika mimba N.k

BEI YAKE KWA KOPO MOJA NI TSH 20,000/=

COUGH CURE
Hutibu,
1.Kikohozi
2.Mafua makali
3.Pumu
4.Tonses
5.Allergies

BEI YAKE KWA KOPO MOJA TSH 15,000/=

TUTAKUWA NA OFA PIA YA VIPIMO VYA MWILI MZIMA KWA TSH 15,000/= TU.(KWA WAKAZI WA ARUSHA NA TARIME)

"Tiba lishe" 🍏🍒🥑🍇
TUNAPATIKANA ARUSHA NA MIKOA MINGINE
Mawasilian:0743039436

Pure herbal products in God we trust!!!🥦🥦🍇🥑

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Arusha
00255