Saraah Functioning

Saraah Functioning

Share

�NAKUSHAURI KUHUSU AFYA YAKO
�JALI AFYA NA IMARISHA AFYA YAKO SASA
�PUNGUZA KITAMBI, UZITO NA

09/05/2022

Unajua nini kinatokea tumboni ukinywa FOREVER ALOEVERA GEL?

💥Uchafu na Mabaki ya chakula yaliyogandia kuta za utumbo zinatolewa Hii ina maana kuta hizo zitaweza kufyonza vizuri virutubisho na vitamins kutoka kwenye chakula unachokula

💥Unapata choo kirahisi k**a ulikua unasumbuka na constipation
Na k**a tumbo huwa linajaa gesi na linalia krrrr ukiwa mbele za watu hali hiyo inakwisha😀

💥wanaokunywa hiki kidumu vya kutosha (k**a tatu kwa mwezi) huwa wanaripoti ngozi zinabadilika mnooo zinakua nzuriii, na hakuna Tena matatizo ya tumbo

Kwa ushauri zaidi wasiliana nasi kwa namba 0717160021

09/05/2022

Karibu tukusaidie kupungua uzito Ndani ya siku 9 hadi 21 kwa njia salama kwa afya yako
Wasiliana nasi kwa namba 0717160021

09/05/2022

Karibu tukusaidie kupungua uzito
Wasiliana nasi kwa namba 0717160021

08/04/2022

Kumlea mtoto katika njia impasayao inagusa hata kwenye afya yake pia, ni huzuni sana kila siku unamlisha mtoto chips tena wa kiume na tayari unajua matokeo yake baadae akikua.
Kuna elimu ambayo tayari unaijua, na changamoto zilizopo kwenye jamii ni vema pia ukiwa mwalimu mzuri kwa watoto wako ili watakapo jitambua na kua watu wazima wasihangaike sana na changamoto zilizopo sasahivi.
Tukumbuke ulaji wa leo ndio matokeo ya miaka kadhaa mbele ya hali za afya zetu Unapenda kufaham zaidi kitu gani kuhusu afya za watoto wetu hasa hawa wa kiume?
KARIBU Tuma neno AFYA DIET whastapp 0717160021

30/03/2022

KUPUNGUA SIO KUACHA KULA😋
Njoo nikupe mbinu nzuri ili uweze kupungua vizuri na kufurahia matokeo yako
kuanzia siku 9 mpaka 24🔥🔥
Wasiliana nasi kwa namba 0717160021

Photos from Saraah Functioning's post 29/03/2022

LIJUE TATIZO LA PRESSURE KWA UNDANI VISABABISHI VYAKE NA TIBA YAKE

Matatizo mengi ya pressure na magonjwa ya moyo huanza taratibu na chanzo kikubwa ni mafuta ambayo huganda kwenye mishipa
ya damu na moyo. Mafuta haya hutokana na vyakula
tunavyokula kila siku ikiwemo, nyama, pombe n.k.
👉Baada ya muda mishipa ya damu hujaa mafuta na hivyo kushindwa kupitisha damu kwa kiwango kinachotakiwa. Hii hupelekea moyo kuanza kusukuma damu kwa nguvu ili kulazimisha damu ya kutosha iweze kuzunguka mwilini.

👉Hii Ndio hupelekea mtu kuanza kupata magonjwa ya pressure ya kupanda. Na kwakua moyo unatumia nguvu nyingi kusukuma damu, hupelekea moyo kutanuka na hivyo kupunguza ufanisi wake.

NINI KIFANYIKE

👉Kuepuka vyakula vya nyama hasa nyama nyekundu

👉Kuepuka mafuta mengi kwenye vyakula
👉Kupunguza pombe, nyama choma na misupu isiyo ya lazima.

👉Kuhakikisha unakua na kiwango sahihi cha cholesterol mwilini.

Kupata mlo wenye samaki na olive oil (mafuta ya mzeituni) kila siku. Kwasababu Somali K**a wa salmon fish pamoja na mafuta ya mizeituni huwezesha kuondoa mafuta mabaya via yaliyoganda kwenye mishipa ya damu na moyo.

Mafuta ya SAMAKI ni muhimu sana katika mwili wa bianadamu kiafya. Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa watu wanaoishi maeneo ya pembezoni mwa Bahari, maziwa, mito mikubwa wamekuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri, akili nyingi na wamekuwa wakiishi kwa muda mrefu kutokana na kutokuzeeka mapema kwa sababu ya utumiaji wa samaki mwenye mafuta yenye kiambata aina ya Omega3.

Vile vile Utafiti ulifanywa kwanini WAJAPANI hawaugui magonjwa ya KANSA, KISUKARI na MAGONJWA YA MOYO... ikaonekana kwamba wajapani wanatumia sana vyakula vya baharini, ukilinganisha na watu wa magharibi wanaotumia mafuta ya wanyama!

K**a unatatizo la mafuta mengi kwenye moyo na mishipa ya moyo usisite kuwasiliana nasi
Kwa 0717160021

28/03/2022

ZINGATIA LISHE NZURI ITAKUSAIDIA KUBORESHA AFYA YA UZAZI NA KUBEBA UJAUZITO KWA URAHISI.

1: pendelea kutumia chai ya tangawizi, mchai chai, Mdarasini na weka Asali.

2:kwenye mlo wako Punguza zaidi wanga, mafuta, mboga za majani zakutosha, samaki,dagaa, soya, K**a ugali Dona.

3: Tumia zaidi karanga, unga wambegu za maboga kwenye mboga zako.

4:Matunda muhimu zaidi, tumia maparachichi, ndizi zakuiva, tikiti maji la kutosha.

5:Juice ya mboga mboga za majani nzuri pia.

🔸Epuka: kutumia vinywaji vya viwandani, pombe Kali,
🔸Pia epuka kutumia Madawa makali holela, Epuka matumizi ya uzazi wa mpango kiholela, bila ushauri.

🔸NB:Hakikisha maradhi yanayoshambulia mfumo wako wa uzazi unajitibia kwa kupata Tiba sahihi kwa wakati ili kupata matokeo ya Haraka zaidi,

🔸Ukiwa natatizo lolote la uzazi linakusumbua tuwasiliane DM/ inbox Whatsapp 0717160021

25/03/2022

AFYA YAKO NI MUHIMU KWANZA👇🏽👇🏽
🥑🥬🍉🥦🍍🥒🍓🍌
zingatia chakula unachotumia, ni muhimu pia kutumia virutubisho kwa sababu vyakula pekee havitoshi kutupa virutubisho vyote ambavyo mwili unahitaji, Products zetu ni nzuri na salama katika kukuongezea virutubisho muhimu na kusaidia kuboost mifumo ya utendaji kazi katika mwili wako. Nakushauri utumie hizi products utanishukuru badae. Sio mpaka uumwe au upelekwe hospitali ndio utambue umuhimu wa kujali afya yako, ni bora kujali afya yako mapema kabla haijawa too late.✊
Kwa ushauri zaidi wa afya wasiliana nasi kwa namba 0717160021

25/03/2022

DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI NI PAMOJA NA:

📌Kukojoa mara kwa mara.
📌Kuhisi kiu sana.
📌Kuhisi njaa sana.
📌Kuhisi uchovu wa mwili na kukosa nguvu bila ya kufanya kazi.

📌Kupungua kwa uzito wa mwili, na kuwa mdhaifu.

📌Kutoona vizuri na Kuhisi kizunguzungu.

📌Kuwa na maambukizi ya ngozi na vidonda visivyopona haraka.

📌Baadhi ya viungo vya mwili k**a vidole vya miguu na mikono kufa ganzi.
👉Ni muhimu kumwezesha mgonjwa kuwa mhimili mkuu katika kumudu ugonjwa wa kisukari ili awe tayari kutafuta ushauri wa kitaalamu na asikubali kupewa taarifa potofu na watu wasiokuwa na uelewa wa kutosha.

MARA TU UONAPO DALILI HIZO WAHI KUTIBU TATIZO LAKO MAPEMA

Kwa ushauri wa afya zaidi wasiliana nasi kwa namba hii 0717160021

25/03/2022

YES INAWEZEKANA kupungua tumbo tuu bila kuharibu sehemu yoyote ya MWILI
Wasiliana nasi kwa namba 0717160021

Photos from Saraah Functioning's post 24/03/2022

KWA USHAURI WA KIAFYA ZAIDI
Wasiliana nasi kwa namba
0717160021

23/03/2022

KWAHIYO ILI USIWE NA UZITO MKUBWA wala mdogo ni lazima kiwango cha nishati kinachoingia mwilini kilingane na mahitaji ya mwili wako hivyo basi uzito mkubwa hutokana na kula kiwango kikubwa cha nishati ikiwa matumizi ya nishati hiyo mwilini ni kidogo.
Kwa maelekezo zaidi wasiliana nasi kwa namba hii
0717160021

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Njiro
Arusha