Afyaguide

Afyaguide

Share

Nasaidia Na Kutoa Ushauri Kuhusu
�| Afya,
�| Lishe,
�| Na Matumizi Sahihi Ya Virutubisho,
?

05/10/2022
11/04/2022

Furaha ya mwanamke

11/04/2022

MKOMBOZI WA MWANAMKE.

Photos from Afyaguide's post 01/01/2022
28/11/2021

Afya ya mifupa ni muhimu sana.Utatupata kwa namba 0754 939142.

14/09/2021

Tengeneza mfumo wako wa chakula ukawe sawa kuepuka vidonda vya tumbo,bawasili na mengine.

09/09/2021

*FAHAMU ZAIDI KUHUSU SARATANI YA MATITI (Breast Cancer)*

*➡️ Saratani ni aina ya ugonjwa unaosababisha ukuaji wa seli za mwili kubadilika na kukua bila mpangilio maalum.*

Saratani ya mat**i hutokea kwenye t**i ambalo kwa kawaida lina sehemu ya kutengeneza maziwa ijulikanayo k**a lobules na aina fulani ya mishipa inayounganisha hizi lobules na chuchu za t**i. Sehemu kubwa iliyobakia ya mat**i inajumuisha mafuta na tishu ambazo kitaalamu tunazoita connective and lymphatic tissue. Saratani ya mat**i inayotokea kwenye lobules huitwa lobular carcinoma na ile inayotokea kwenye ducts huitwa ductal carcinoma.

Baadhi ya saratani ya mat**i zinaongeza ukubwa kutokana na kuwa na vishikizi aina ya receptors zinazojulikana k**a estrogen receptors kwenye seli zao ambazo husababisha ukuaji wa saratani ya mat**i.

*➡️Vihatarishi vya Saratani*

Kuna mambo kadhaa ambayo yameonekana kuwa na uhusiano, ama wa moja kwa moja au kwa kupitia vitu vingine, wa kusababisha saratani ya mat**i, au kumfanya mtu au kundi la watu kuwa katika hatari ya kupata ugonjwa huu kuliko wengine. Mambo hayo ni pamoja na

1️⃣ *Jinsia:*
Ingawa, saratani ya mat**i huweza kutokea kwa wote wanawake na wanaume, imeonekana kuwa wanawake ni waathirika wakubwa zaidi wa saratani hii ikilinganishwa na wanaume.
2️⃣ *Umri:* Uwezekano wa kupata saratani hii huendana na umri wa mtu. Kadiri umri wa mtu unavyoongezeka ndivyo pia uwezekano wa kupata saratani hii unavyozidi kuwa mkubwa.

3️⃣ *Uzazi:* Wanawake ambao hawajazaa au kunyonyesha wapo kwenye hatari kubwa ya kupata saratani ya mat**i. Wanawake wanaopata ujauzito kwa mara ya kwanza baada ya miaka 30 nao pia wapo kwenye hatari kubwa ya kupata saratani hii.

4️⃣ *Historia ya ugonjwa huu katika familia:* Wanawake walio katika familia zenye historia ya ugonjwa huu wana uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya mat**i ukilinganisha na wale ambao hawana historia ya ugonjwa huu katika familia zao.

5️⃣ *Umri wa kuvunja ungo:* Wanawake wanaovunja ungo (kupata hedhi) kabla ya

20/07/2021

Hello, habari za kari!

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Kaloleni
Arusha