AFYA BORA
Inawez
Nani Mwingine Angependa Kujipatia Ofa Ya Upimaji Mwili Mzima Na Kuhudumiwa Kwa Haraka...
K**a una changamoto ya kiafya unahitaji sehemu inayotoa uhakika wa matibabu na kukuhudumia kwa haraka.
02/06/2022
Piga 0765519657
14/05/2022
K**a una changamoto ya kiafya unahitaji sehemu inayotoa uhakika wa matibabu na kukuhudumia kwa haraka.
Karibu Katika kituo cha afya cha Eternal Health,
Tuna huduma ya upimaji mwili mzima kwa sh 20,000 tu na kuhudumiwa kwa haraka!
Utafanyiwa Upimaji Katika Mifumo Yote Ya Mwili Katika:
✳Mifupa.
✳Mmeng'enyo wa chakula.
✳Uzazi kwa kina mama.
✳Uzazi kwa kina baba.
✳Fahamu.
✳Ngozi.
✳Upumuaji.
✳Macho.
✳Masikio.
Pia matibabu na tiba za magonjwa na maradhi mbalimbali zinapatikana k**a Kisukari, Saratani, Presha, Bawasiri, Vidonda vya tumbo, Tezi dume, Ngiri, Moyo kutanuka, Matatizo ya kibofu na mkojo, Maumivu makali ya nyonga, miguu, mgongo, mifupa, Miguu kuwaka moto na kuvimba, Uvimbe, Aleji, Bandama, Pumu, Matatizo ya kupooza ,Uzazi, Figo, Macho, Meno, Homa ya ini. Uzito na Unene. Tupo Arusha, Dar ,Moshi mwanza , dodoma morogoro tanga na Zanzibar tupigie 0765519657
15/04/2022
*USIHANGAIKE KUTAFUTA MIMBA K**A MZUNGUKO WAKO WA HEDHI HAUPO SAWA *
SOMA MAKALA HII FUPI 👇👇👇👇👇👇👇
Mzunguko wa kawaida kwa mwanamke huchukua siku 28 ukianzia kuhesabau siku ya kwanza kupata hedhi katika mwezi husika mpaka siku ya kwanza kupata hedhi kwa mwezi unaofuata, lakini mizunguko inatofautiana kwa kila mwanamke. Pale ambapo mzunguko wako wa hedhi unachukua zaidi ya siku 35 hapo tunasema hedhi imevurugika.
``````NINI KISABABISHI CHA HEDHI KUVURUGIKA````
❤️Mchango wa homoni kuvurugika:
Homoni au vichocheo vikuu zinazoratibu mpangilio wa hedhi yako ni estrogen na progesterone, inaweza kuchukua miaka mingi kwa homoni hizi kuwa na uwiano sahihi. Vihatarishi ambavyo vinapelekea kuvurugika kwa homoni na hatimaye hedhi kuvurugika ni pamoja na
⏩Matumizi ya uzazi wa mpango wa kisasa k**a sindano, vidonge na njiti
⏩Uzito mkubwa kupita kiasi, kitambi au Kupungua uzito kupita kiasi
⏩Msongo wa mawazo
Changamoto za kushindwa kula vizuri na hivo kukosa virutibishi muhimu
⏩Mazoezi makali mfano riadha
⏩Kuugua maambukizi kwenye kizazi(PID) kwa muda mrefu: endapo maambukizi haya yasipotibiwa mapema yanaweza kuathiri mirija ya uzazi pamoja na kizazi kwa ujumla na hivo kuvuruga mpangilio wa hedhi.
⏩Uvimbe kwenye mayai(polycstic ovarian syndrome);mfuko wa mayai kwa mwanamake huitwa o***y na mifuko hii huwa miwili kushoto na kulia. Kila mwezi mwanamke hutoa yai moja kwenye kikonyo chake katika upande mmoja ili liweze kurutubishwa, inapotokea mayai kugoma kutoka kwenye mfuko ndipo uanageuka kuwa vimbe zenye maji (cyst) zikiwa nyingi huitwa polycyst. Changmoto hii ndio chanzo kikuu cha mwanamke kuvurugikiwa hedhi.
⏩Saratani kwenye kizazi inaweza kusababisha mwanamke kupata hedhi nzito sana ama hedhi katikati ya mzunguko wake
⏩Matatizo ya tezi ya shingoni (thyroid gland), tezi hii ndio inayoratibu utolewaji wa homoni za estrogen na progesterone, tezi ikipata hitilafu inapelekea kuvurugika kwa homoni na hivo hedhi pia kuvurugika.
Kuvimba kwa kiazi(endometriosis): hali hii hutokea pale seli za ndani ya ya mfuko wa mimba zinapota na kutoka nje ya mfuko wa mimba, hali hii hisababisha maumivu makali wakati wa hedhi lakini pia yaweza kusababisha mabaki ya hedhi kwenye kizazi.
🥦CHANGAMOTO hii imefanya watu wengi wanahangaika kupata mimba, na k**a hutaweka mfumo wako wa hedhi sawa, basi huwezi pata mimba kamwe...
🌎Sasa Nini cha kufanya ili mzunguko wako u kae sawa.??
🏃♀️Wahi mapema kwenye CLINIC ZETU zilizopo mikoa mbalimbali Tanzania
🩺Ushauri wa kitaalamu
💊Matibabu ya uhakika ya tatizo lako.
📲KWA MAWASILIANO
📞PIGA 0765519657 Au bonyeza hii link kuja WhatsApp https://chat.whatsapp.com/H2hbMXk2cA738sukt5s63L
07/04/2022
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Arusha
