Gigendental
Tunatoa huduma ya tiba kwa watu wanaosumbuliwa na matatizo ya Meno pamoja na Kinywa.
18/10/2022
TATIZO LA UVIMBE KWENYE ULIMI MA TIBA YAKE (FIBROMA)
Kuvimba kwa tezi za ulimi mfano kuvimba papilla za ulimi, kuna aina mbalimbali za papilla kwenye ambazo ni ulimicircumvallate (or vallate), fungiform, filiform na foliate. Papilla zote kwenye ulimi huwa na tezi za kuhisi radha ya chakula isipokuwa papilla za foliate.
1-Fibroma
2-Papilloma
3-Uvimbe maji wa lymphangioma
4-Ranula
5-Mucocele
6-Kuvimba kwa mishipa ya damu ya ulimi
7-Saratani
8-Lympangioma.
Uvimbe wa fibroma ni uvimbe usio saratani, hutokea sana na hutokana na mwitikio wa mwili dhidi ya uchokozi kwenye kinywa. Kwa jina jingine huitwa uvimbe wa majeraha, au polipu kwenye ulimi. Huweza kutokea kwenye ulimi/ kuta za ndani ya mashavu au kwenye fizi.
DALILI
A-Ulimi huwa na nyororo na mgumu k**a vile unavyohisi ukishika kilele cha pua
B-Huwa na rangi inayofanana na sehemu zingine za ulimi lakinipia huweza kuwa na rangi iliyopauka au rangi nyeusi
C-Kuta za kipele zinaweza kupata vidonda hvyo kupata makovu
D-Huweza kupata umbo k**a la kipele mshikizo au kuwa k**a kipele kilicho sehemu ya ulimi k**a inavyoonekana kwenye picha
E-Hutokea sana pembezoni mwa ulimi kwenye usawa ambapo meno ya chini na juu yanapokutana, maeneo mengine ni pamoja na ndani ya kuta za mashavu, kwenye fizi na mdomo wa chini
F-Huwa hazisababishi dalili zozote zile
Huweza kukua ndani ya wiki au miezi kadhaa ili kufikia ukubwa wa kipenyo cha sentimita 1, hata hivyo huweza kukuwa zaidi ya hapa
G-Uvimbe wa fibroma huwa haubadiliki kuwa saratani
Unashida yoyote ya kinywa k**a vile Harufu mbaya, meno kutoboka , meno kulegea na kuuma ama kupatwa na ganzi, fizi kuvimba ama kutoa damu.
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Call/WhatsApp
+255(625)183718
Follow
17/10/2022
Tatizo la mdomo kua mwekundu(MDOMO MYEKUNDU)
Tatizo la mdomo myekundu ni ishara ya maambukizi au majerah katika maeneo ya mdomo.
Pia inawezekana ni ishara nyingine la tatizo la kiafya.
Kwa upande mwingine maambukizi ya bacteria,fungusi au virusi inaweza tokea sehemu mbali mbali ya mdomo k**a ulimi,lips na fizi.
Pia inaweza tokana na magonjwa ya upungufu wa kinga mwilini k**a vile saratani ya Demu au HIV.
DALILI NYINGINE MAGONJWA YA KUAMBUKIZA NI AMBAYO YANAMBATANA NA MIDOMO KUWA MYEKUNDU.
-Mipasuko sehemu ya midomo
-Kua na midomo mikavu
-Kupungua kwa hamu ya kula
-Uchovu na kuhisi homa
-Vipere vyenye maumivu sehemu ya mdomo lips na mashavu.
-Maumivu k**a sindano.
Tiba ya tatizo hili lipo na ni uhakika.
15/10/2022
Jipu la jino ni mfuko wa usaha unaosababishwa na maambukizi ya bakteria. Jipu linaweza kutokea katika maeneo tofauti ya jino kwa sababu tofauti.
DALILI
Dalili na ishara za jipu la jino ni pamoja na:
1. Maumivu ya meno kali, ya kudumu, yanayopiga
2.maumivu kwa joto la joto na baridi
3.maumivu kwa shinikizo la kutafuna au kuuma
4. Homa
5.Kuvimba kwa uso au shavu
6.Tenda, Nodi za limfu zilizovimba chini ya taya yako au kwenye shingo yako
7. Kukimbia kwa ghafla kwa harufu mbaya na kuonja mchafu Majimaji mdomoni mwako na kutuliza maumivu ikiwa jipu litapasuka.
Mwisho; Muone daktari wako wa meno mara moja ikiwa una dalili za jipu la jino.
Iwapo una Homa na uvimbe usoni.
Dalili hizi zinaweza kuonyesha kwamba maambukizi yameenea zaidi kwenye taya yako na tishu zinazozunguka au hata kwa maeneo mengine ya mwili wako.
Unashida yoyote ya kinywa k**a vile Harufu mbaya, meno kutoboka , meno kulegea na kuuma ama kupatwa na ganzi, fizi kuvimba ama kutoa damu.
Tiba tunayo,
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Call/WhatsApp
+255(625)183718
Follow
13/10/2022
Vidonda mdomoni ni tatizo kubwa linaloathiri watu wengi sana katika maisha ya kawaida.
Vidonda hivi vinaweza kutokea aneo lolote la mdomo, kwenye ukuta wa juu, chini ya ulimi, pembeni kwenye mashavu na hata kwenye ulimi wenyewe.
Unaweza pia kupata vidonda kwenye koo la chakula. Fahamu pia kwamba kwenye mdomo kuna bakteria wazuri na wabaya.
Bakteria wazuri ni kinga dhidi ya bakteria wabaya.
Vidonda vya mdomo kwa kiasi kikubwa siyo tatizo, maana vinatokea na kuisha vyenyewe ndani ya siku kadhaa.
Katika mazingira fulani vidonda vinaweza kuwa kiashiria cha tatizo kubwa mfano saratani ama maambukizi ya virusi au bakteria.
Changamoto zinazosababisha vidonda mdomoni.
Sababu a vidonda mdomoni inatofautiana kwa kila mtu. Baadhi ya sababu ni hizi.
kuacha kuvuta sigara.
Kuacha kula matunda yenye uchachu.
kun’gata ulimi kuvaa meno bandia au vyuma vya kupanga meno.
Msongo wa mawazo na wasiwasi.
Mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito, kubalehe na menopause.
Dawa za presha na za kutuliza maumivu.
kuugua magonjwa k**a kisukari na magonjwa ya tumbo.
Tiba ya vidonda mdomoni.
Kwa kiasi kikubwa vidonda vya mdomo huanza kupungua vyenyewe na kuisha ndani ya siku chache, bila hata ya kutumia dawa.
K**a vinaisha na kurudi basi unatakiwa kupata tiba Baraka.
Unashida yoyote ya kinywa k**a vile Harufu mbaya, meno kutoboka , meno kulegea na kuuma ama kupatwa na ganzi, fizi kuvimba ama kutoa damu.
Tiba tunayo,
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Call/WhatsApp
+255(625)183718
Follow
10/10/2022
Maonjwa ya fizi huathiri afya ya mwili kwa ujumla
Magonjwa ya fizi na meno ni chanzo kikuu cha kupoteza meno kwa watu wenye umri mkubwa/watu wazima, na pia magonjwa haya huhusishwa na magonjwa ya moyo na kiharusi (stroke).
Ikiwa magonjwa haya ya fizi yatatambuliwa mapema (gingivitis), yanatibika vizuri na kuepusha madhara zaidi.
Unashida yoyote ya kinywa k**a vile Harufu mbaya, meno kutoboka , meno kulegea ama kupatwa na ganzi, fizi kuvimba ama kutoa damu. Basi leo nakushirikisha tiba ya kinywa na meno yenye sifa kuu, kuwa ni aintibiotic ya kuua bacteria wabaya na kukinga kinywa kisipatwe na madhara kwa ujumla wake.
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Piga/call /WhatsApp
+255(625)183718
Follow
c
06/10/2022
Matatizo ya meno ni shida au magonjwa yanayohusiana na meno.
Karibu matatizo yote ya meno yanatokea baada ya bakteria na wadudu wengine kuwepo mdomoni,
Hii hufanya mtu kuwa na maumivu makali kwenye meno na mpaka kupelekea kutoa damu au halufu mbaya na kuathiri meno.
Matatizo mengi ya meno yanazuirika na hutibika.
Katika maeneo mengi watu wengi wanatatizo la meno ila wanatofautiana wengine wanatatizo dogo wengine pia wanatatizo kubwa.
Tunawasauri watu wawe na tabia ya kuchunguza meno yao ili kujilinda na matatizo ya meno.
Tibu tatizo mapema ili usikuze tatizo, usipotibu tatizo basi meno yataendelea kualibika na mtu anaweza kuwa kibogoyo.
Unashida yoyote ya kinywa,k**a vile Harufu mbaya, meno kutoboka , meno kulegea na kuuma ama kupatwa na ganzi, fizi kuvimba ama kutoa damu.
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Piga/sms +255625183718
Follow
03/10/2022
KUOZA KWA JINO.
Hii ni hali ya sehemu ya juu na ndani ya jino kutoboka.
Hii inatokana na ulaji Wa vyakula vya sukari kwa wingi pia vyenye tindi Kali.
Vijidudu vya bacteria wanaoishi kinywani humeng'enya mabaki ya chakula na kutoa tindikali ambayo inadhoofisha sehem ya nje na ndani ya jino hivyo kusababisha Jino kutoboka.
Pia sehemu ya jino inayokua imetoboka uwa inategemea kidonda ambacho hufanya sehemu ya taya na sehemu ya jino kuanza kuuma.
Dalili za Jino kutoboka..
1.Alama nyeus sehemu za pemben za jino na za kutafunia.
2.Uwepo Wa shimo katika jino.
3.Maumivu katika jino.
4.Kuvimba sehemu ya fizi au shavu upande jino linapauma.
Unashida yoyote ya kinywa k**a vile Harufu mbaya, meno kutoboka , meno kulegea ama kupatwa na ganzi, fizi kuvimba ama kutoa damu.
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Piga/sms
📞+255625183718
Follow
otball
02/10/2022
Vidonda mdomoni ni tatizo kubwa linaloathiri watu wengi sana katika maisha ya kawaida.
Vidonda hivi vinaweza kutokea aneo lolote la mdomo, kwenye ukuta wa juu, chini ya ulimi, pembeni kwenye mashavu na hata kwenye ulimi wenyewe.
Unaweza pia kupata vidonda kwenye koo la chakula. Fahamu pia kwamba kwenye mdomo kuna bakteria wazuri na wabaya.
Bakteria wazuri ni kinga dhidi ya bakteria wabaya.
Vidonda vya mdomo kwa kiasi kikubwa siyo tatizo, maana vinatokea na kuisha vyenyewe ndani ya siku kadhaa.
Katika mazingira fulani vidonda vinaweza kuwa kiashiria cha tatizo kubwa mfano saratani ama maambukizi ya virusi au bakteria.
Changamoto zinazosababisha vidonda mdomoni.
Sababu a vidonda mdomoni inatofautiana kwa kila mtu. Baadhi ya sababu ni hizi.
kuacha kuvuta sigara.
Kuacha kula matunda yenye uchachu.
kun’gata ulimi kuvaa meno bandia au vyuma vya kupanga meno.
Msongo wa mawazo na wasiwasi.
Mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito, kubalehe na menopause.
Dawa za presha na za kutuliza maumivu.
kuugua magonjwa k**a kisukari na magonjwa ya tumbo.
Tiba ya vidonda mdomoni.
Kwa kiasi kikubwa vidonda vya mdomo huanza kupungua vyenyewe na kuisha ndani ya siku chache, bila hata ya kutumia dawa.
Unashida yoyote ya kinywa k**a vile Harufu mbaya, meno kutoboka , meno kulegea na kuuma ama kupatwa na ganzi, fizi kuvimba ama kutoa damu.
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Piga/sms/WhatsApp
📞 +255625183718
Follow
01/10/2022
Uchunguzi wa kinywa na kusafisha meno kitaalamu ni tiba muhimu zaidi.
Ni wangapi kati yetu wenye desturi ya kumwona daktari wa meno walau mara mbili kwa mwaka (walau kila baada ya miezi sita)?
Mara nyingi wengi wetu huhangaika na foleni za kumwona daktari wa meno pale tu tunaposumbuliwa na maumivu ama ya jino ama kidonda kinywani ama kwa sababi ya hali zinginezo zinatotulazimisha kumwona daktari wa meno.
Kusubiri mpaka tusukumwe na maumivu ya meno/kidonda kinywani ama ajali yoyote kunatunyima fursa bora zaidi ya kuchunguzwa afya ya kinywa na meno na kusafishwa meno ili kuepusha madhara ya magonjwa ya kinywa na meno kabla hayajatokea ama kukomaa.
Unashida yoyote ya kinywa k**a vile Harufu mbaya, meno kutoboka , meno kulegea ama kupatwa na ganzi, fizi kuvimba ama kutoa damu. Basi leo nakushirikisha tiba ya kinywa na meno yenye sifa kuu, kuwa ni aintibiotic ya kuua bacteria wabaya na kukinga kinywa kisipatwe na madhara kwa ujumla wake.
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Piga/call
📞 +255625183718
Follow
26/09/2022
Njia ya kwanza ya kukabiliana na harufu mbaya ni kuweka kinywa chako safi kwa kupiga mswaki mara kwa mara baada ya kula na wakati wa kulala.
Ikiwa hauna brashi, hautaweza kupiga mswaki au kupiga mswaki kila wakati unakula, kwa mujibu wa madaktari.
Nenda kwa daktari wako wa meno mara kwa mara ili kujua ikiwa kuna meno yoyote yameharibika na yanaweza kusababisha harufu mbaya ya kinywa. Kumuona daktari wa meno mara mbili kwa mwaka inatosha.
Ni vyema kuosha kinywa chako na maji ya vuguvugu na chumvi kwani inaua vijidudu mdomoni mwako ambavyo vinaweza kusababisha harufu mbaya ya kinywa.
Chukua tahadhari kwa kuondoa chakula kutoka kinywani mwako.
Linapokuja suala la kupiga mswaki, safisha ulimi pia.
Epuka kuruhusu kinywa kukauke. Kunywa maji mengi hupunguza homa hata ikiwa haujala chochote wakati wa mchana.
Epuka kuvuta sigara au vileo vingine.
Kula bigijii haswa p**i zisizo na sukari
Ikiwa mtu amejaribu hatua hizi zote nyumbani na mdomo hauachi kunuka basi kuna haja ya kuonana na daktari, haishangazi kuna meno ya kuoza ambayo yanahitaji kutibiwa.
Tuna dawa,hii hupatikana kwa gharama ya sh. elfu ishirini (20000) tuu.
Dawa hizi hazipatikani dukani,supermarkets wala pharmacy, Hunapatikana kwetu na hutolewa kwa taratibu za Kiofisi.
Kwa mikoani utapata huduma.
tunatuma kwa bus au waweza tuunganisha na ndugu au rafiki na wakaweza kukusaidia kuipata kutoka ofisini.
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Call/WhatsApp/Dm
📞+255625183718
Follow
# simbasc
# dental
# rayvany
# wemasepetu
# kondegang
25/09/2022
Watu wengi hutumia vijiti vya kuchokoa meno maarufu k**a ‘toothpick’ ikiwa k**a njia nyepesi zaidi ya kuondoa mabaki ya vyakula mbalimbali kwenye meno.
Ingawa kuna baadhi ya watu ambao hutumia vijiti hivi hata k**a wamekwishaondoa mabaki ya vyakula kwenye meno, huku wakiona k**a ni fashion au raha kutembea huku wakikitafuna kijiti hicho.
Lakini ni wazi kuwa kunaathari nyingi za kutumia vijiti hivyo ambazo miongoni mwa hasara hizo ni pamoja na kusababisha fizi kutanuka hivyo kuwa hifadhi ya mabaki ya chakula ambayo yakioza huwa chanzo cha kuharibu meno, lakini pia huharibu nafasi ya kati ya jino na jino.
Aidha, mtu anayetumia toothpick mara kwa mara hupata vidonda mdomoni kutokana na mikwaruzo na mara nyingi, mtumiaji anaweza asihisi k**a amepata jeraha, lakini baadaye ndio unanza kuhisi amepata vidonda na kumbe vimesababishwa na toothpick na vidonda hivyo huweza kukua hasa pale bakteria wanapoingia kupitia uchafu ule ule ulio katika meno.
Kwa msaada zaidi wa tiba na ushauri wasiliana nasi kwa namba.
Call/WhatsApp/Dm
+255625183718
Follow
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Address
Arusha
