Mussa consultant

Mussa consultant

Share

Karibu Musa Afya, nitakusaidia changamoto zote za kiafya kwa kutumia virutubisho lishe

16/06/2023

MIONGONI MWA KAZI ZA UTE UKENI.
♨️Kusafirisha mbegu za kiume kutoka ukeni hadi kwenye mirija ya uzazi ili kukutana na yai la k**e.
♨️Kuulinda Uke dhidi vimelea wabaya (fangasi, bacteria,virusi,hamira)
♨️Ni kilainishi kinachomkinga mwanaume na mwanamke dhidi ya maumivu wakat wa tendo na kuongeza ladha ya tendo.

MAMBO AMBAYO HUPELEKEA UTE KUTOWEKA UKENI.
👉Mvurugiko wa homoni,
👉Magonjwa ya zinaa k**a kaswende,gonorea n.k
👉UTI sugu
-Fangasi sugu ukeni
👉Uke mchafu,
👉Matumizi ya sabuni,manukato yenye kemikali kusafishia uke
👉Kuto zingatia MLO KAMILI

DALILI ZA KUKOSA UTE UKENI.
✍️Maumivu makali wakati wa tendo
✍️Kutokwa na damu wakati na baada ya tendo la ndoa
✍️Kukosa/kupungua kwa hamu ya tendo
✍️Maumivu chini ya kitovu wakati wa tendo
✍️Kutoshika ujauzito kirahisi,
✍️Tarehe za kubadlika kwa hedhi na kupata hedhi yenye changamoto k**a vile kupata hedhi chini ya siku tatu ama zaidi ya siku 7, ama kubleed mfululizo hedhi nzito au nyepes sana.
✍️Kutofurahia tendo la ndoa na kulichukia.

NOTE: Tatizo hili linatibika.call.0682783928

15/06/2023

UGONJWA WA KISUKARI

👉Ugonjwa kisukari au kitaalamu tunaita (diabete mellitus) ni tatizo linalosababishwa na ukosefu wa insulin ambayo hutoka katika kongosho

💫Kuna aina mbili za ugonjwa wa sukari
1️⃣ Kisukari type 1
2️⃣Kisukari type 2

📌 KISUKARI TYPE 1
👉 hii ni aina ya kisukari ambayo kitaalamu tunaiita JUVENILE DIABETES ambayo mara nyingi inawapata watoto wadogo mara nyingi ugonjwa huu huwa wa inheritance yani ni moja ya Magonjwa ya kurithi ugonjwa huu husababishwa pia na kuharibiwa kwa seli za kongosho hivyo kushindwa kutoa insulin ya kutosha

💫
DALILI ZA KISUKARI TYPE1
👉 Kuhisi kiu sana
👉 Mdomo kuwa mkavu sana
👉 Matatizo ya ngozi na njia za mkojo
👉 Kiungulia na kichefu chefu kikali
👉 Kukojoa mara kwa mara
👉 Kuhisi njaa kila wakati
👉 Mwili kukosa nguvu
👉 Jasho sana hasa nyakati za usiku
👉 Kushindwa kujiamini

2️⃣ DIABETES TYPE 2

💫hii ni aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ambayo huwapata watu wazima umri kuanzia miaka 45 plus hapa inaeeezekana insulin ipo ila haifanyi kazi kabisaa au hufanya kazi kwa kiasi kidog sana hivyo kushindwa kupambana na sukari

💫SABABU MBADALA ZINAZOSABABISHA UGONJWA WA SUKARI

↘️Ulevi hasa wa pombe kali
↘️Uvutaji wa sigara
↘️Matumizi ya madawa makali hasa antibiotic
↘️Ulaji mbovu hasa mafuta mengi na vyakula vya kiwandani vyenye kemikali

⚠️ MATATIZO MENGINE YANAYOSABABISHWA NA SUKARI

💫Magonjwa ya moyo
💫Kiharusi
💫Mishipa ya fahamu kushindwa kufanya kazi vzr
💫Figo kufeli n.k.

Wasiliana nasi kwa ushauru Zaidi na tiba.

14/06/2023

UGONJWA WA KISUKARI

👉Ugonjwa kisukari au kitaalamu tunaita (diabete mellitus) ni tatizo linalosababishwa na ukosefu wa insulin ambayo hutoka katika kongosho

💫Kuna aina mbili za ugonjwa wa sukari
1️⃣ Kisukari type 1
2️⃣Kisukari type 2

📌 KISUKARI TYPE 1
👉 hii ni aina ya kisukari ambayo kitaalamu tunaiita JUVENILE DIABETES ambayo mara nyingi inawapata watoto wadogo mara nyingi ugonjwa huu huwa wa inheritance yani ni moja ya Magonjwa ya kurithi ugonjwa huu husababishwa pia na kuharibiwa kwa seli za kongosho hivyo kushindwa kutoa insulin ya kutosha

💫
DALILI ZA KISUKARI TYPE1
👉 Kuhisi kiu sana
👉 Mdomo kuwa mkavu sana
👉 Matatizo ya ngozi na njia za mkojo
👉 Kiungulia na kichefu chefu kikali
👉 Kukojoa mara kwa mara
👉 Kuhisi njaa kila wakati
👉 Mwili kukosa nguvu
👉 Jasho sana hasa nyakati za usiku
👉 Kushindwa kujiamini

2️⃣ DIABETES TYPE 2

💫hii ni aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ambayo huwapata watu wazima umri kuanzia miaka 45 plus hapa inaeeezekana insulin ipo ila haifanyi kazi kabisaa au hufanya kazi kwa kiasi kidog sana hivyo kushindwa kupambana na sukari

💫SABABU MBADALA ZINAZOSABABISHA UGONJWA WA SUKARI

↘️Ulevi hasa wa pombe kali
↘️Uvutaji wa sigara
↘️Matumizi ya madawa makali hasa antibiotic
↘️Ulaji mbovu hasa mafuta mengi na vyakula vya kiwandani vyenye kemikali

⚠️ MATATIZO MENGINE YANAYOSABABISHWA NA SUKARI

💫Magonjwa ya moyo
💫Kiharusi
💫Mishipa ya fahamu kushindwa kufanya kazi vzr
💫Figo kufeli n.k.

Wasiliana nasi kwa ushauru Zaidi na tiba.call 0682783928

14/06/2023

DermaEver imetengenezwa takriban na mimea asili 7 isiyo na kemikali na ni chakula Kwa ngozi.

Mimea hiyo inaifanya DERM EVER kuwa mafuta Bora ya mwili na uso na kukupa faida zifuatazo👇🏾👇🏾

🍒Inaongezwa unyevu kwenye ngozi, Kwa asilimia 53%

🍒Inarudisha uwezo wa ngozi kutanuka na Kusinyaa Hivyo huondoa makunyanzi kwenye ngozi.

🍒inaleta mng'ao wa ngozi Inamfanya mtumiaji kuwa na ngozi yenye rangi Moja mwili mzima.

🍒inasaidia kuondoa uchakavu wa ngozi kwa watu wote.

🍒inasaidia ngozi kujilinda na kujitibu na magonjwa ya ngozi, k**a vile mabalango.

🍒huondoa cell zilizokufa kwenye ngozi na kuchochea uzalishaji wa cell mpya kwenye ngozi.

🍒inarekebisha ngozi iloungua na cream zenye kemikali.. wasiliana kwa simu namba 0682783928

AFYA BORA KWA MAISHA BORA II 13/06/2023

*UGONJWA WA U.T.I (URINARY TRACT INFECTION) – CHANZO, DALILI & TIBA YA KUTOKOMEZA NA KINGA*

*U.T.I* ni maambukizi kwa njia ya mkojo na huathiri mfumo wa mkojo na mfumo wa uzazi ambao husababishwa na wadudu wanaoathiri sana kibofu na urethra. Jina U.T.I ni kifupi cha URINARY TRACT INFECTION (Neno la kingereza) watu wengi huzoea kuita hivyo wakijua ni jina la kiswahili, imeshazoeleka hivyo. Jinsia ya k**e wana hatari kubwa kuliko jinsia ya kiume. Maambukizi yakwenye kibofu huleta maumivu makali, madhara makubwa hutokea maambukizi yakifika mpaka kwenye figo. U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo.
*U.T.I huweza kuleta madhara makubwa sana isipotibika na huweza kuathiri mfumo wa uzazi, kibofu, na sehemu mbalimbali.* Tunashauri mtu mwenye U.T.I inatakiwa atumie tiba asiiache ikawa sugu.

*MGAWANYO WA U.T.I;*
Kuna mgawanyo wa *aina mbili za U.T.I;*

*1.Maambukizi ya Upande wa juu* – Hii hujumuisha Figo na Ureta

*2.Maambukizi ya Upande wa chini* – Hii hujumuisha Kibofu na Urethra

*CHANZO CHA MAAMBUKIZI YA U.T.I;*
U.T.I husababishwa na wadudu wadogo sana ambao ni bakteria waitwao Escherichia coli (E. coli), wanapoingia mwilini na kuenda kuathiri mfumo wa mkojo.
Vitu vifuatavyo vinaweza kukuingiza kwenye hatari ya kupata U.T.I;

1.Kinga ya mwili kuto kuwa imara

2.Kutumia Vifaa au Dawa za kuzuia mimba

3.Kwa wa k**e; Kupungua kwa homoni ya ostrogeni

4. Mtu mwenye kisukari

5. Kutumia choo kichafu haswa vyoo vya kutumia idadi kubwa ya watu.

6.Kuwa na tatizo la mmeng’enyo na tatizo la choo

7. Kukaa kwa mda mrefu bila kutembeatembea.

*DALILI ZA MTU MWENYE U.T.I;*

Dalili za mtu mwenye tatizo la U.T.I hutokea tofauti kulingana na umri, jinsia na sehemu iliyoathiriwa. Hizo dalili ni k**a;

1. Kujihisi mchovu na kutokujisikia vizuri
2. Kukojoa kwa shida na kujilazimisha
3. Maumivu wakati wa kukojoa
4. Kukojoa kiasi kidogo na mara kwa mara

5. Mkojo kutoa harufu kali
6. Mkojo kuwa na rangi tofauti zisizo za kawaida kwa mfano wekundu kiasi
7. Kichefuchefu au kutapika
8. Maumivu ya tumbo, au pande za mwili karibu na tumbo mpaka sehemu za misuli.
9. Joto laweza kuongezeka

*TIBA YA UGONJWA WA U.T.I.*

U.T.I hutibika kwa kuwaondoa bakteria na fangasi sehemu zilizoathirika kwa kutumia na sio kituliza tu. Watu wengi Leo WAMEKUWA wakihudhuria kila mara lakin hakuna matokeo ya kuridhisha.

Mtu mwenye U.T.I hupata shida sana na mpaka humpelekea kutokuwa na raha. Mtu mwenye U.T.I asipoitibu husababisha vimelea kuzaliana na kuwa vingi hii huitwa U.T.I sugu yuko hatarini kuwa na tatizo kubwa na pia hukaribisha magonjwa mengi k**a P.I.D.

Tuna dawa ya kutibu na kutokomeza kabsa tatizo la U.T.I sugu ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa na kuweka kinga. Tiba hii huondoa tatizo na halirudi tena maana huondoa chanzo pamoja na ugonjwa sio kituliza ugonjwa tu. ukianza kutumia baada ya siku 2 huonesha mabadiliko makubwa sana. Fika ofisini kwetu maana kila mkoa tuna ofisi zetu au
Wasiliana nasi kupitia 0682783928

AFYA BORA KWA MAISHA BORA II WhatsApp Group Invite

13/06/2023

*UJUE UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO*

Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus. Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.

Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa. Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a kansa, amoeba (amiba), homa, kupungua uzito.

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO

Kuna aina zipatazo mbili za Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers)
1.Vidonda vya tumbo kubwa (Gastric ulcers) – Hivi ni vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani kwenye tumbo kubwa

2. Vidonda vya utumbo mdogo (Duodenal ulcers)
– Hivi ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)

CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO

Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ili vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;

Bakteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)

Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)

Kuwa na mawazo mengi

Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi

Kunywa pombe na vinywaji vikali

Uvutaji wa sigara

Kuto kula mlo kwa mpangilio

DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO

Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na endelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vinadalili k**a;

Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula

Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo

Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa

Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu

Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu

Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito

Kushindwa kupumua vizuri

JINSI YA KUEPUKANA NA VIDONDA VYA TUMBO

Kunywa maji mengi

Punguza mawazo.call 0682783928

09/06/2023

.*FAHAMU**MTINDO MBOVU WA MAISHA NA UGUMBA*
Mtindo wa maisha unaweza kuathiri uzazi wa mwanamke na mwanamume na kusababisha ugumba. Hapa chini ni baadhi ya mifano ya jinsi mtindo wa maisha unavyoweza kusababisha ugumba:

1. Lishe mbaya: Kula lishe mbaya na yenye kiwango cha chini cha virutubisho kunaweza kusababisha ugumba kwa wanawake na wanaume. Lishe duni inaweza kuathiri uzalishaji wa homoni na kuathiri ubora wa mayai ya mwanamke na manii ya mwanamume.Mfano kula vyakula vya wanga na sukari kupitia kiasi wali, pilau,biriyani,ugali sembe, chapati,keki soda , energy drink n.k. kula vyakula vya protein k**a ndizi,nyama,samaki ,mayai,Matunda na mboga mboga

2. Unene kupita kiasi: Unene kupita kiasi kunaweza kusababisha ugumba kwa wanawake na wanaume. Unene kupita kiasi huongeza hatari ya magonjwa yanayohusiana na uzazi k**a vile ugonjwa wa kisukari na shinikizo la damu, ambayo yanaweza kuathiri uzazi.

3. Uvutaji wa sigara: Uvutaji wa sigara inaweza kupunguza uzalishaji wa homoni ya k**e na kusababisha uharibifu wa mayai ya mwanamke na ubora wa manii ya mwanamume. Inaweza pia kusababisha matatizo ya kiafya k**a vile ugonjwa wa mapafu na magonjwa mengine yanayoweza kusababisha ugumba.

4. Matumizi ya pombe na dawa za kulevya: Matumizi ya pombe na dawa za kulevya kunaweza kuathiri uzazi kwa wanawake na wanaume. Matumizi ya pombe na dawa za kulevya zinaweza kupunguza uzalishaji wa homoni na kuathiri kazi ya viungo vya uzazi.

5. Stress: Stress inaweza kuathiri uzazi kwa wanawake na wanaume. Stress inaweza kupunguza uzalishaji wa homoni za uzazi na kusababisha matatizo ya kiafya ambayo yanaweza kuathiri uzazi.

6. Kutumia dawa: Baadhi ya dawa zinaweza kuathiri uzazi kwa wanawake na wanaume.Uzazi wa mpango na Dawa za kuzuia mimba K**a P2 ni hatari. Kwa mfano, baadhi ya dawa za kulevya za kisasa mfano mzuri ni sh**ha zinaweza kusababisha upungufu wa uzalishaji wa homoni na kuathiri ubora wa mayai ya mwanamke na manii ya mwanamume.

Kwa hiyo, mtindo wa maisha unaweza kuathiri uzazi wa mwanamke na mwanamume. Ni muhimu kuwa na mtindo wa maisha wenye afya, kula lishe bora, kuepuka uvutaji wa sigara na matumizi ya pombe na dawa za kulevya, kupunguza stress, na kushauriana na daktari kabla ya kutumia dawa yoyote. Kufanya hivyo kunaweza kusaidia kupunguza hatari ya ugumba na kukuza uzazi wa afya.

31/05/2023

P2 ni emergency contraceptive,inazuia mtu asipate Mimba kwenye mazingira ambayo umefanya s*x pasipo Kupanga na upo siku za hatari,au umelazimishwa kufanya s*x au Umebakwa, ili kuzuia

Mimba zisizotarajiwa unalazima Kunywa hizi DAWA. Ni Dawa imetangenezwa kutumiwa MARA CHACHE,inapokulazimu.

Sio Dawa unayotakiwa kutumia k**a Njia ya UZAZI WA Mpango ya muda mrefu,kuna wanawake KILA MWEZI P2 inaingizwa Mwilin(HAITAKIWI),standard hutakiw Meza zaid ya mara 3 kwa MWAKA,Kuendekeza kila mwezi kunywa

Hizi P2 sio sahihi,Unatakiwa uje hospitali UPATE NJIA SAHIHI ya uzazi wa mpango ya muda mrefu.

Baadhi ya Side effects/madhara ni Haya Hapa👇👇

1.Unaeza jisikia kichefuchefu au kutapika baada ya kumeza,

2.Tumbo kuuma

3.matiti kuuma na kujaa

4.Pia hedhi zako zinavofuata zinaweza zikawahi au zikachelewa au zikatoka nyingi sanaaa( ukiona zimezidi siku 8 fika muone daktari) au ukawa unapata hedhi nyepesi sana au Ukawa haupat hedhi(amenorhoea)

5.kichwa kuuma na kizunguzungu

6.Mabadiliko ya Ute uken(change in cer

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Kaloleni
Arusha