AFYA TIPS

AFYA TIPS

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AFYA TIPS, Health/Beauty, Dar es salaam, Arusha.

🎯 Mtaalam wa matatizo ya mmeng’enyo.
🔥 Acid Reflux | Gesi Tumboni | Koo | Vidonda Tumbo | Bawasili*
🥗 Lishe bora kwa afya njema*
*📲 WhatsApp kwa ushauri: +255742211518*

08/05/2026

K**A UNATESEKA SANA NA ACID REFLUX NITAFUTE NITAKUSAIDIA

07/05/2026

Je mpaka sasa bado unapata tu kiungulia!?

07/05/2026

Sasa tuanze leo mchana
Nitakuwa natoa plan ya chakula kwa ambae ataweza kufuata basi na afuate kwa ambae hatoweza basi na aache ntakuwa nawapostia plan ya chakula rahisi kabissa ili kupunguza ukubwa wa hizo dalili ambazo zinakusumbua huku ukijipanga ili kuanza dose
Natoa angalizo chakula sio dawa ya kukutibu kabissa ila itasaidia kupunguza dalili zinazokusumbua zaidi ili upone kabissa unahitaji kutumia dose kabissa....
Sihitaji malipo ya mtu ninachohitaji ni wewe kukusaidia urudi kwenye afya bora pengine utakujaga kuwasaidia na wengine huko mbeleni
So let's start today k**a nikisahau ntaomba mnikumbushe ikiwezekana nipigieni hadi sim

LEO MCHANA NUNUA KIPANDE KIDOGO CHA KUKU WA KUCHEMSHA
KIPANDE CHA TANGO
MBOGA KIDOGO YA MAJANI WEKA NA KAKAROTI KADOGO TU
UKIONA HUTASHIBA WEKA NA YAI MOJA LA KUCHEMSHA
UKIWEZA NIPE FEEDBACK 🙏
TUKUTANE JIONI

This is Hassan mansoor

05/05/2026

05/05/2026

Usifanye kosa hili tena

04/05/2026

. Usiku unapaswa kuwa wa mapumziko… lakini kwa mwenye Acid Reflux, ndio muda wa mateso kuanza 😩🔥
Ukilala tu, kifua kinawaka, koo linaungua…
👉 Je, unajua kwanini hali hii huongezeka zaidi usiku?
2. Mchana unajikaza… lakini usiku ndio ukweli unaonekana!
Acid Reflux inachukua nafasi yake mara tu unapolala 😓
🔥 Kiungulia
🔥 Kukohoa
🔥 Kukosa usingizi
Usipuuzie dalili hizi!
3. Wengi hudhani ni kawaida… lakini si kawaida!
K**a kila usiku unapambana na maumivu ya kifua na koo, huenda ni Acid Reflux inakusumbua 💔
⚠️ Usiku si wa mateso, tafuta suluhisho mapema!
4. (ya kuvutia zaidi – challenge style) Hebu niambie ukweli…
👉 Unapolala usiku, unahisi moto unapanda hadi kooni?
👉 Unashtuka usingizini kwa kiungulia?
Hiyo si bahati mbaya… ni Acid Reflux!
📩 �⁠Nicheki nikuelekeze njia sahihi ya kuondokana nayo.

02/05/2026

Wengi wanaweza wasinielewe na kuniamini ila sihitaji kueleweka na wengi wala kuaminiwa na wengi nahitaji nieleweke na kuaminiwa na watu wachache ambao wanaamini Afya zao ndio kipaumbele number moja kisha mambo mengine yatafuata.Ambao wanafaham ukubwa na madhara ya changamoto za tumbo na koo kwa ujumla ..... hawa ndio nataka waniamini na bahati nzuri Wote walioniamini wanazifurahia Afya zao ........
This is Hassan mansoor

02/05/2026

NDANI YA SIKU CHACHE TU 😳🔥
Watu wengi wanateseka na kiungulia na matatizo ya tumbo wakidhani ni hali ya kawaida… lakini ukweli ni kwamba kuna suluhisho sahihi.
Huyu ni mmoja wa wateja wangu 👆
Alianza dose siku chache tu zilizopita lakini tayari ameanza kuona mabadiliko makubwa sana!
✔️ Kiungulia kimepungua
✔️ Tumbo liko sawa
✔️ Anakula bila shida tena
Usisubiri hali iwe mbaya zaidi…
📩 Nicheki inbox nikuelekeze jinsi ya kuanza na wewe.

01/05/2026

ACID REFLUX NI TATIZO LINALOTOKEA KUTOKANA NA ACID KUZALISHWA KWA WINGI TUMBONI NA KUPANDA KUTOKA TUMBONI IKIWA NA CHAKULA MBAKA KWENYE KOO LA CHAKULA (OSEPHAGUS)
esop

*Sababu ya Acid Reflux
• Uvutaji wa sigara kwa wingi
• Kunywa pombe kupita kiasi
• Vidonda vya tumbo (HPYLORI)
• kuzidi kwa acid ya tumbo
• Kutokula kwa wakati
• Kula chakula cha kukaanga na viungo mara kwa mara
• Matatizo katika utendaji wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula tumboni
• Kukaa na njaa kwa muda mrefu au kuto kula chakula cha Asubuhi
• Kula vyakula vingi vya mafuta, k**a chocolates
• kuwa na Mimba kunasababisha acid pia.
• kuzeeka
• Muafaka wa chakula tabia
• kuwa na hisia mbaya
• Udhaifu wa mishipa ya mwiliniMawazo/stress

*Dalili ya Acid Reflux
• Mchomo au maumivu katika tumbo, 1-4 masaa baada ya mlo
• maumivu ya kifua
• Kiungulia cha Muda mrefu
• Uvimbe katika kifua
• Kuhisi njaa mara kwa mara
• Daima maumivu katika tumbo la juu
• Kucheua
• Kichefuchefu
• Kuona Uchungu ladha katika kinywa
• Kupoteza hamu ya kula
• Kutapika
• Kukohoa
• Sauti ya mabadiliko na malezi ya kidonda katika umio (tube ya kuunganisha kinywa na tumbo)
• Maumivu ya sehemu za misuli ya mwili
• Maumivu katika masikio Maumivu ya chembe ya moyo

Mgonjwa anae sumbuliwa na ACID mara kwa mara unakuta sphincter imedhuhurika Sana kiasi kwamba inaruhusu acid kupanda juu wakati usioruhusiwa

*Madhara ya acid*
📌Kupata maumivu ya chembe ya moyo
📌Kupumua Kwa shida
📌Kutokea Kwa maumivu ya ULIMI
,📌 VIDONDA mdomoni
📌Mwili kuishiwa nguvu
📌 Maumivu ya mikono hususani MKONO WA kushoto
📌Kupata SARATANI YA koo
📌Sauti kubadilika kuwa k**a mkwaruzo
📌Masikio kuuma
📌Kubeuwa mara kwa mara ACID kali Sana k**a inaunguza
📌 Kiungulia cha mara kww mara
📌KIFUA kuuma/kuwaka moto
📌Maumivu ya mgongo na KIUNO
📌Kuishiwa Nguvu kwenye joint na mwili kudhoofika
📌Maumivu ya kichwa ya mara kwa mara

NB: Binadamu ni lazima uwe na acid Tumboni kwani acid ndio inatusaidia kumeng'enya chakula ivyo mtu akikosa acid yupo hatarini kupoteza maisha pia kwani acid isipo kuwepo chakula akiwezi kumeng'enywa lakini acid inapo zidi na kuunguza Sphincter mara kwa mara hapo ndipo huleta madhara mwilini

UGONJWA WA ACID REFLUX unatokea tumboni na inaathiri kooni ivyo mtu yoyote anae sumbuliwa na ACID REFLUX ajue kuwa ana tatizo tumboni 0742211518

UGONJWA huu unatibika na kupona kabisa ila baada ya kutambua chanzo cha tatizo lako.
0742211518....


k**a unapitia changamoto ya acid reflux karibu tuwasiliane Kwa TIBA na USHAURI

30/04/2026

Tofauti kati ya stress na mawazo

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Website

Address


Dar Es Salaam
Arusha

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00