Jessy Beauty
We offer a convenient, hassle-free for everyday smart looking for products that are on-trend or out
hii ni fursa kwako wewe unaye waza utaanza kufanya biashara gani kwa mtaji mdogo tumekuletea chupi kwa bei nzuri na yakukupatia na wewe faida nzuri
chupi 10 sh. 20,000
chupi 30 sh. 60,000
chupi 50 sh. 100,000
call no 0719975087
tunatuma mizigo mikoa yote kwa uwaminifu kabisa
Tunapatikana Arusha
24/07/2023
Moroccan argan oil
Yanaondoa weusi
Yanaondoa wekundu ulio tokana na cream kari
Yanaondoa sugu
Yanaondoa chunusi na mabaka yote
Yanakupa rangi moja mwili mzima
Kwa wale wanaopenda kubaki na rangi za asili tumia aya mafuta
Tunapatikana Arusha
Call no 0719975087
Tunatuma mikoa yate kwa uwaminifu kabisa
Bidhaa zetu ni original kabisa
Tunauza jumla 10,000 na rejareja 18,000 pia
TUNA : Detox tea body slim chai
:Slim patch ya kubandika
: Vidonge vya kunywa
: Mafuta ya kuondoa kitambi na manyama uzembe
Zitakusaidia katika safari ya kupunguza au kuondoa mafuta mwilini.
MADHARA YA UZITO MKUBWA.
👌Matitizo ya figo
👌Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👌Kuharibu mfumo mzima wa upumuaji
👌Kuharibu ini
👌Hupelekea uwezekano wa kupata kisukari
👌Hupelekea kupata presha
👌Hupelekea changamoto kwenye mfumo wa moyo
👌Hupelekea kuleta shida mfumo wa ubongo
👌Huleta shida kwenye mmeng'enyo wa chakula
👌Maumivu kwenye viungo k**a vile magoti,kiuno nk
👌Kuongeza kiwango cha mafuta mwilini.
Tuna njia 3 za kumaliza UNENE.
🌱mwili mzima
🌱 Kuondoa manyama uzembe
🌱Kuondoa tumbo tu
*Faida za Detox tea body slim*
✔️ Inaondoa sumu mwilini
✔️ Inaondoa Gesi tumboni
✔️ Inaondoa Mafuta mwilini
✔️ Inaondoa bacteria Wabaya Tumboni na kusaidia kukua kwa bacteria wazuri kwa ajili ya mmeng'enyo wa chakula
✔️ Husaidia Kupunguza Mwili, kuondoa Vitambi, Manyama uzembe
✔️ Husaidia wenye matatizo ya choo kigumu.
Badilisha muonekano wako sasa
Tunapatikana Arusha
WhatsApp +255 719975087
Call +255 719975087
10/03/2023
Jessybeautystore
Inaoenda kuwakaribisha wateja wake wote kwenye group la WhatsApp kwa wewe utakaye penda ili kuona vitu vipya na vizuri tofauti tofauti na kwa bei ya chini kabisa tunauza kwa jumla na reja
jessybeautystore 💄 WhatsApp Group Invite
28/02/2023
CeraVe product 236 mls zipo
📌 CeraVe product ni nzuri sana yakupaka usoni na mwilini, na hii inawafaa wenye ngozi zote za mafuta na kavu sana wale wenye ngozi kafu ambayo inapauka kila wakati.
📌Inafanya uwe na ngozi safi na yenye utelezi. 📌Inatakatisha na siyo kuchubua.
📌Inakupa kutereza mwili mzima
📌Inaondoa kabisa madoa yoyote mwilini or sugu or weusi
📌Inafanya ngozi ing’ae na kuwa nyororo 📌Inaondoa rough and dry skin .
📌 CeraVe product zina rudisha ngozi ziliyochoka na mikorogo.
📌Ngozi kavu sana zile ambazo zinasinyaa CeraVe cream or lotion zitafanya ngozi iwe sawa kwa mda mfupi ata wale wenye ngozi za mafuta zitawapa muonekano nzuri wa haraka 💥
Cleanser 236 mls tsh. 40,000
Lotion 236 mls tsh. 50,000
Cream 236 mls tsh. 50,000
WhatsApp 0719975087
Tunapatikana Arusha tunatuma mizigo ndani na nje ya Tanzania Kwa uwaminifu kabisa
Karibuni jessybeauty store kwa vipodozi original kabisa kutoka UK na korea
10/11/2022
TUNA : Detox tea body slim chai
:Slim patch ya kubandika
: Vidonge vya kunywa
: Mafuta ya kuondoa kitambi na manyama uzembe
Zitakusaidia katika safari ya kupunguza au kuondoa mafuta mwilini.
MADHARA YA UZITO MKUBWA.
👌Matitizo ya figo
👌Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👌Kuharibu mfumo mzima wa upumuaji
👌Kuharibu ini
👌Hupelekea uwezekano wa kupata kisukari
👌Hupelekea kupata presha
👌Hupelekea changamoto kwenye mfumo wa moyo
👌Hupelekea kuleta shida mfumo wa ubongo
👌Huleta shida kwenye mmeng'enyo wa chakula
👌Maumivu kwenye viungo k**a vile magoti,kiuno nk
👌Kuongeza kiwango cha mafuta mwilini.
Tuna njia 3 za kumaliza UNENE.
🌱mwili mzima
🌱 Kuondoa manyama uzembe
🌱Kuondoa tumbo tu
*Faida za Detox tea body slim*
✔️ Inaondoa sumu mwilini
✔️ Inaondoa Gesi tumboni
✔️ Inaondoa Mafuta mwilini
✔️ Inaondoa bacteria Wabaya Tumboni na kusaidia kukua kwa bacteria wazuri kwa ajili ya mmeng'enyo wa chakula
✔️ Husaidia Kupunguza Mwili, kuondoa Vitambi, Manyama uzembe
✔️ Husaidia wenye matatizo ya choo kigumu.
Badilisha muonekano wako sasa
Tunapatikana Arusha
WhatsApp +255 719975087
Call +255 719975087
22/10/2022
PORTIA
💥Sunscreen
✨Sunscreen; Ni Aina ya cream or lotion ambayo imeekwa ingredient's maalum zinazozuia ngoz isiharibiwe na jua .
✨jua Linatoa mionzi tofauti ya mwanga ambayo baadhi hua Ni mikali Sana na yanaharib mno ngoz.
✨mionzi inayoadhiri ngoz imegawika sehem mbili
💥Ultraviolet A (UVA)
💥 Ultraviolet B(UVB)
UVB;Aina hii ya mionzi haiwezi kuingia ndan kwenye ngoz inabak kwenye layer ya nje na Mara nyingi inaunguza uso na kusababisha sunburn, sun spot pamoja na hyperpigmentation
💥UVA;hii Ni mionzi ambayo Ina uezo wa kupenya ndan ya ngoz
Hii Mara nyingi husababisha ngoz kuzeeka na kukunjana .
Jee nin kinasaidia kuzuia hii miozni isiharibu ngoz?
Matumiz ya SUNSCREN yenye sunprotection hulinda ngoz isiharibiwe na mionzi ya jua
Sunscreen sku zote imeekwa kitu kinachoitwa protection factor ambacho ndio kiini Cha ulinzi wa ngoz yako
🌞 protection factor; spf
Huu Ni uezo ambao sunscreen unatoa katika ulindaj wa ngoz.
spf ....... inakua Ni number ambazo huanzia 1 adi 100 kila no inavoongezeka ndio inaongeza uezo wa kulinda ngoz
kutokana na UVB, sunscreen yenye spf 30 Ina uwezo mdogo wa kuilinda ngoz yako ukilinganisha na spf 50
Unaponunua sunscreen hakikisha una spf kuanzia 30 chin ya hapo itakua na uezo mdogo San wa kutunza ngoz yako
PA +++
Sunscreen zingine hasa zilizotengenzwa Korea Zina hii alama hii nayo Ni protection grade ya UVA
Na kila + alama hizi zikiongezeka ndo inaongeza uezo wa kulinda ngoz
Faida za sunscreen
✨Suncreen inasaidia ngoz isizeeke mapema
✨inasaidia ngoz isungue na jua
✨asilimia 90 ya matatz ya ngoz yote yanatibika kwa kupaka SUNSCREN kila s*k
✨ sunscreen inazuia ngoz isipate cancer ya ngoz
✨ suncreen inasaidia kupata glowing skin
K**a umeanza saafari ya utunzaji wa ngoz na hauna sunscreen jua unapoteza mda
Hakuna ngoz itakua nzur bila yakutumia SUNSCREN
06/10/2022
LAVERLY oil
Carrot and almond oil
🍀 - inafanya ngozi isiwe na makunyanzi
🍀 - inaondoa weusi wa aina yoyote mwilini na kukupa ngozi nzuri
🍀 - ni moisturizer nzuri kwangozi zote
🍀 - inaondoa taka za kwenye ngozi
🍀 - inakupa kutereza mwili mzima na kukupa ngozi nyororo kabisa
🍀 - inaondoa kuungua kwa jua na cream Kari coz ina spf 50
🍀 - ina ongeza rangi yangozi ya inakupa ranging asiri kabisa uliyo zaliwa nayo na ina vitamin c na vitamin e
🕯️- chupa ni mls 1000
🕯️- tunapima kwanzia mls 250
Tunapatikana Arusha
Na tunatuma mikoa yote
WhatsApp number 0719975087
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Arusha
255
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 19:30 |
| Tuesday | 09:00 - 19:30 |
| Wednesday | 09:00 - 16:00 |
| Thursday | 09:00 - 19:30 |
| Friday | 09:00 - 19:30 |
| Saturday | 09:00 - 19:30 |
