VIPODOZI NA HAMIS

VIPODOZI NA HAMIS

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from VIPODOZI NA HAMIS, Beauty, cosmetic & personal care, arusha, Arusha.

05/02/2020

Reishi coffee ni kahawa nzuri sana na ni tiba lishe inasaidia kuondoa sumu💉💊 kwenye ini na figo pia inasaidia kuboresha kinga za mwili k**a mwili kuuma, tumbo kuunguruma⛈, maumivu ya viungo mzunguko wa damu mwili pamoja na kuimarisha mwili💪🏽💪🏽💪🏽

Photos from VIPODOZI NA HAMIS's post 05/07/2019

ZINDUKA OOOOOO

Vitu viwili pekee vinaweza kukufanya uangalie simu yako na kusmile hivi.

1.Offers babkubwa
2.Vingine vingine tu mfano ujumbe wa upendo kutoka kwa flani😂😄😀

🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀🤸🏻‍♀
Ni furaha niliyonayo nikiona watu ninaofanya nao biashara k**a wanafamilia wanafurahia matunda ya kuijua hii biashara..
Hii inanipa hamasa ya kukwambia na wewe pia ujiunge na timu yangu.

NDIO WEWE👉🏼
Tutabasamu pamoja😁
Huku ukienjoy offers Babkubwa,faida ya pesa na furaha tukijituma pamoja.
K**a umependa sema NDIO kwenye comment.

Vitu k**a hivi vinaondoa hali yoyote ile mfano kujisikia vibaya,kichwa kuuma,stress n.k😁😁😁😁

JIBU NI NDIO?

Photos from VIPODOZI NA HAMIS's post 25/06/2019

Unapenda lipsticks kavu au za mafuta au hupendi kabisa lips ziwe na rangi rangi ila ziwe soft zisibabuke/kuwa na weusi usio wa kawaida? Njoo tuongee kuna offer maalum leo kwa watwhatsappsend?phone 0743792153

Offer ya weekend.

Photos from VIPODOZI NA HAMIS's post 17/06/2019

KING SHOE

KARIBU UJIPATIE VIATU YA K**E NA VYAKIUME SIMPLE ZASHANGA NA ZISIZO NA SHANGA KWA BEI NAFUU WAI OFAA 👜👜 👡👡👡👡

KING STUDIO FOLLOW ME👇👇👇TELEGRAM LINK KWENYE BIO YANGU
KWA MOVIES NA SERIES KALI NA MPYA KWA BEI POA FIKA OFFICEN KWETU NA LINK PIA TUNATUMA KARIBU NA BAR MPYA💻💿💰ARUSHA📱🔚 0743792153 🎬🎥👺🚨PIA FUNDI MADISHI📡📡 AINA ZOTE UMEME ⚡⚡ ANAPATIKANA @ Arusha, Tanzania @ Kwa morombo

Photos from VIPODOZI NA HAMIS's post 11/06/2019

KING STUDIO HD 🎬 MOVIES🎥🎥
KWA MOVIES NA SERIES KALI NA MPYA AMBAZO AZIJATAFSIRIWA KISWAILI 😎KWA BEI POA FIKA OFFICEN KWETU NA LINK PI
https://t.me/kingstudiohdmovies

Photos from VIPODOZI NA HAMIS's post 25/03/2019

Wakati mwingine meno huuma tu sio kwamba hatusafishi vizuri bali tunatumia dawa za meno ambazo hazina ulinzi thabiti kwa meno yetu.
Chukua hiyo tube ya dawa yako ya meno kwa chini angalia kuna alama flani hivi imechorwa.
JE UNAJUA INAMAANISHA NINI KWA MENO YAKO?
▪Huwa kuna
❤Nyekundu
•Nyeusi
💙Blue
💚Kijani

TUBE YAKO INA RANGI GANI?
Ukiona alama nyeusi maana yake dawa yako ya meno ina kemikali tupu

❤ukiona nyekundu ina kemikali na ni natural

💙Blue ina vitu asilia /natural pamoja na dawa

💚kijani ni asilia/natural tupu.
Unatumia dawa ya meno yenye alama gani?
Je ni salama kwa ulinzi wa meno yako?

YANGU INA ALAMA YA BLUE..

Photos from VIPODOZI NA HAMIS's post 10/01/2019

❣ JINSI YA KUTUNZA NYAYO ZAKO❣

Hii unaweza kujifanyia Mara moja kwa wiki...
Jaribu hata nyumbani kwako..
Ni rahisi.
📌Unaweza kuipa ngozi yako ya miguu treatment hata ukiwa nyumbani...

*Mahitaji*
▪Maji ya uvuguvugu
▪mafuta asilia k**a ya n**i, olive oil/wonder oil
▪Brush/cha kusugulia miguu
▪cream ya miguu.
▪foot mask

👉Anza kwa kusafisha miguu yako vizuri kwa brush/wengine wamezoea vijiwe ni sawa , Suuza na ikaushe.

📌Paka *Foot mask*
Hii ina kazi kubwa sana ya kuipa ngozi ya miguu unyevuvyevu, tena kwa mtu mwenye miguu mikavu hii ni super amazing., Kaa na foot mask kwa dakika 15..suuza miguu vizuri kabisa....
📌Weka maji yako ya uvuguvugu kwenye beseni,weka mafuta asilia matone hata 5 kadiria tu kidogo loweka miguu yako humo kwa dk 15 mpaka 30...Relax kabisa....

📌Toa miguu yako..jisugue taratibu na brush.Suuza. Kausha miguu na paka cream ya miguu./wonder oil/Olive oil/Ya n**i

📌Na hivyo ndivyo utakuwa umeitunza ngozi yako ya miguu...Fanya walau mara moja kwa wiki...utaifurahia miguu yako zaidi.Itakua laini..hutapata magaga..na haitatoa harufu(tunaoshindia viatu vya kufunika)

PIA.
✔Kwenye maji unaweza kamulia ndimu kidogo au kuikatia k**a pichani..
✔unaweza tupia chumvi kidogo ..
👉ni kinga ya Fungus..& sugu kutokana na viatu..etc.
▪Ni rahisi na unawenza kumfanyia mwenza wako,mkaboresha mahusiano❣
✔Vitu hivi vidogo hujenga memory nzurii..

Tuwajali watu tuwapendao.

Pia unaweza mfanyia mama mjamzito.
Hasa wale wanaovimba miguu..utakua umemsaidia..
Wakati wa kupaka mafuta nyayo..paka k**a unafanya massage..

Mzungushe kwenye ankle..na nyosha vidole..
✔Utasaidia mzunguko wa damu vyema zaidi
✔ni tiba nzuri kwa wanaopataga ganzi miguuni
✔miguu /nyayo itakua lainii.

17/12/2018

Hello rafiki zangu wake kwa waume ni vigumu sana kwangu kumfahamu kila mwanamke iwe ni ndani ya Tanzania au nje ya nchi.
Lakini kupitia wewe ambae tumefahamiana tayari unaweza ukawa msaada kwake kwa kushea nae habari njema kuhusu bidhaa hii inaitwa Feminelle ambayo inatukinga sisi wanawake na miwasho ukeni,harufu mbaya,UTI,Fungus na matatizo yote ya kina mama naamini kina mama mnanipata vizuri zaidi..
Kizuri zaidi ni kwamba kwa kila mwanamke utakaemjulisha kuhusu hii bidhaa na akawa tayari kuinunua basi wewe utapata faida ya kuanzia sh 6000 kwa kila bidhaa moja..Kwahiyo ukishea na kuwauzia wengi zaidi unapata faida zaidi.
Utakua umemsaidia sana kuondokana na kero ambazo zinamsumbua lakini utakua umepata faida ya pesa pia ambayo inaweza kukusaidia kwa matumizi yako mbalimbali.
JE UPO TAYARI?

Photos from VIPODOZI NA HAMIS's post 24/09/2018

*MICHIRIZI*

▪MICHIRIZI ni sehemu ya ngozi iliyokufa..k**a kovu vile.

👉🏼Ngozi ikifa hata seli za ngozi zinapozalisha ngozi mpya pale inashindwa kuonekana maana tayari ile iliyokufa iko pale....na ndio maana tunashauri mtu mwenye michirizi afanye body scrub mara kwa mara atleast mara mbili kwa wiki na hii ni kwa sababu

👉🏼 SCRUB kazi yake kubwa ni kuondoa ngozi iliyokufa ..na baada ya kuscrub paka mafuta yenye vitamin E kwa wingi na virutubisho vingine ili irudishie ile sehemu ya ngozi unyevunyevu na ulaini.mara nyingi tunasema mtu atumie MILK AND HONEY SUGAR SCRUB NA WONDER OIL.

▪Sio kitu cha siku moja kuondoa michirizi..inachukua muda.

▪Mfano michirizi iliyodumu miaka 3 mteja anataka iishe ndani ya wiki🙅‍♂

▪Endelea kutumia bidhaa zetu asilia...sabuni ya milk honey mafuta ya wonder oil...

✔Michirizi itafifia then itaisha..

Vitu asilia hufanya kazi kwa polepole ila ni suluhisho LA kudumu.

Pia kwa wale ambao hawana...tumia wonder oil kujikinga usipate...sabuni ya kipande tumia milk & Honey...

💃🏾Scrub at least Mara 2 kwa wiki na scrub yetu amazing.

Photos from VIPODOZI NA HAMIS's post 30/08/2018

Usikimbizane na mtoto muda wa kuswaki...Mnunulie Optifresh kwa meno imara na yasiyouma..
Ila uwe unaificha maana anaweza kuimaliza siku hiyo hiyo ni tamu sana.

18/08/2018

*LOVING CARE SHOWER CREAM*
🔺Ni sabuni nzuri sana ya Maji ya kuogea iliyotengenezwa.kwa ajili ya familia nzima.

🔺Ina harufu nzuri sana ukiogea...imepoa (mild) inawafaa hata watoto.

🔺Inatakatisha ngozi yako ya mwili inakua safi na yenye mvuto bila kuharibu rangi ya asili.

🔺Ni kubwa..750 mls..unaweza kukaa nayo zaidi ya miezi mitatu..
~Hivyo uka save hela yako ya kununua sabuni Mara kwa Mara...
42,000 mteja
32,000 mwanachama.
Kuwa mwanachama ni sh elfu kumi tu na utaweza kupata kila bidhaa utakayohitaji kwa punguzo la 23%.
Tuwasiliane kufahamu jinsi ya kuipata na maelekezo zaidi.0743792153

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Telephone

Website

Address


Arusha
Arusha
0624010912

Opening Hours

Monday 09:00 - 18:07
Tuesday 09:00 - 18:00
Wednesday 09:00 - 18:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 18:00
Saturday 09:00 - 18:00