Chuchu Beauty&Collection

Chuchu Beauty&Collection

Share

JJ BEAUTY Jj Beuty ni ukurasa wa matangazo na biashara ya bidhaa halisi kabisa za urembo na vipodozi . Tunakuletea bidhaa zote zinazofanya vizuri sokoni .

Photos from Chuchu Beauty&Collection's post 24/04/2026

Stretch Marks Removal Gel ipo dukani kwa tshs 30,000 tu

24/04/2026

Stretch Marks Removal Gel ipo dukani kwa tshs 30,000 tu

22/04/2026

Back in stock 🚨

22/04/2026

Back in stock alert ‼️

Photos from Chuchu Beauty&Collection's post 28/03/2026

Hii ni Belle Glow. Faida zake kwa ngozi ni hizi: +7
1. Husaidia kung’arisha ngozi
Ina Vitamin C ambayo husaidia kufanya ngozi ionekane bright na yenye glow.
2. Hupunguza mabaka na dark spots
Husaidia kupunguza madoa ya jua, mabaka na sehemu zilizo na rangi tofauti kwenye ngozi.
3. Hufanya ngozi iwe laini
Huipa ngozi unyevu na ulaini, hivyo ngozi haikauki.
4. Husaidia kusawazisha rangi ya ngozi
Hufanya ngozi iwe na rangi moja (even skin tone).
5. Husaidia kupunguza dalili za kuzeeka
Vitamin C husaidia kufanya ngozi ionekane fresh na yenye afya.
6. Inaweza kutumika sehemu nyingi za mwili
Inaweza kupakwa usoni, shingoni, mikononi na mwilini.

Kwa tshs 60,000
Oil kwa TSHS 35,000

10/03/2026
Photos from Chuchu Beauty&Collection's post 06/03/2026

ALOVERA GEL

🤍Husafisha tumbo
🤍Huimarisha kinga ya mwili
🤍Husaidia afya ya ngozi
🤍Aloe Vera Gel ya kunywa ni suluhisho asilia
Detox ya mwili
🤍Huongeza nguvu
🤍Afya bora kila siku
🤍Afya bora huanza tumboni
🤍Aloe Vera Gel ya kunywa
🤍Inaboresha mmeng’enyo wa chakula
🤍Inafaa kwa matumizi ya kila siku
Nicheki ujipatie yako

Tupo stendi ndogo duka no 277
Wasiliana nasi kupitia 0788195192

Karibuni sana

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Arusha?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


STENDI NDOGO (LIMPOPO)
Arusha