Caro Medics
tunatatua changamoto za kiafya
07/08/2024
07/08/2024
BAWASILI NI NINI ?
Ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kupelekea kuota kinyama eneo la haja kubwa
CHANZO CHA BAWASILI
A) _tabia ya kuketi sehemu kwa muda mrefu
B) _tatizo sugu la kuharisha
C) _uzito mwingi kupita kiasi
D) _ujauzito
E) _kupata choo kigum
DALILI ZA BAWASILI
1._kupata muwasho mkali eneo la haja kubwa
2._kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
3._kutokewa na uvimbe eneo la haja kubwa
4._Choo kigumu au kinaweza ambatana na damu
MADHARA YA BAWASILI
wa damu mwilini
na kinyesi bila kujitambua
nguvu za kiume kwa wanaume
uwezo wa kufanya kazi kutokana na mumivu makali
hamu ya tendo la ndoa
TIBA ZETU NI TIBA LISHE ZENYE VIRUTUBISHO ASILI VYA MIMEA NA TUNATIBU CHANZO CHA TATIZO
Kwa Tiba na ushauri
Piga//whatsup:
0761557266
MIKOAN DELIVERY BUREEE
22/07/2024
TEZI DUME.
Tezi dume ni nini?
Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa mtu mwenye jinsia ya kiume. Tezi hii inakazi ya kutengeneza majimaji meupe mepesi. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa haraka.
Tezi dume ipo wapi kwa mwanaume?.
Tezi dume ipo nyuma ya kibofu cha mkojo pia inazunguka mrija unaounganisha kibofu. Ipo mbele ya utumbo mpana ndani ya mfupa wa nyonga.
VISABABISHI VYA TEZI DUME.
- Umri mkubwa kuanzia miaka 50.
- Nasaba au ukoo wenye historia ya saratani.
- Lishe hatarishi.
- Unene kupita kiasi nk.
DALILI ZA TEZI DUME.
1 Mkojo kuwa dhaifu.
2 Kukojoa mara kwa mara.
3 Damu ndani ya mkojo.
4 Maumivu makali ya kiuno.
5 Kushindwa kumaliza mkojo.
Ukiona dalili hizi basi jua kuwa wewe una tatizo la tezi dume haraka tafuta matibabu maana ukiacha huwa saratani.
Dawa ya tezi du0683947266
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Website
Address
Arusha
