Tibu Chanzo Care
International Accredited Clinical Dietitian 🥗🥗
PIGA +255750229626
#WeOfferSolutionsWorldWide
13/06/2026
05/06/2026
30/05/2026
5 HEALTHY EATING HABITS FOR BETTER YOU!
21/05/2026
Imeelezwa kuwa kwasasa gharama za kupandikiza figo nchini kupitia Hospitali ya Benjamin Mkapa ni shilingi milioni 75 lakini nje ya nchi ni kati ya shilingi milioni 130 hadi 140.
Wakati huo gharama za kupandikiza Uloto kwa wagonjwa wa Sikoseli au Selimundu hapa nchini ni shilingi milioni 40 huku nje ya nchi ikiwa ni milioni 70 hadi 80.
Hadi sasa wagonjwa 50 wa Sikoseli na wagonjwa 50 wa Figo wanasubiri matibabu ndani ya Hospitali ya Benjamin Mkapa, huku wakiwa hawana uwezo wa kugharamia matibabu hayo.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), Prof. Abel Makubi leo jijini Dar es Salaam wakati akitoa taarifa ya miaka 10 ya Hospitali hiyo iliyoanzishwa mwaka 2015.
Usisubiri hali iwe mbaya, tembelea store yetu ijipatie SUPPLEMENTS kwa ajili ya kuboresha FIGO ZAKO
https://www.fukanghealthcare.shop/
10/05/2026
https://www.fukanghealthcare.shop/blog/vitamins-and-supplements
Fukang Healthcare - Premium Health & Food Supplements Worldwide Premium health and food supplements delivered worldwide. Trusted natural supplements for wellness and vitality.
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 09:00 - 17:00 |
| Tuesday | 09:00 - 17:00 |
| Wednesday | 09:00 - 17:00 |
| Thursday | 09:00 - 17:00 |
| Friday | 09:00 - 17:00 |

21/05/2026
21/05/2026