Wanawake Na Suluhisho
Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Wanawake Na Suluhisho, Health/Beauty, makumbusho, Dar es Salaam.
Nawasaidia Wanawake Kuondokana Na Changamoto Zinazowakabili Katika Mfumo Wao Wa Uzazi Na Magonjwa Yanayowakabili K**a Vile Fangas, P.I.D, U.T.I, Kushindwa Kubeba Ujauzito, Mimba Kutoka Mara Kwa Mara, Uchafu Na Harufu Mbaya Ukeni n.k
K**a ulikosa hii basi usikose ijayo tarehe 27/06/2026
Hakuna Kiingilio, unatakiwa kujisajili tu kwa kutuma neno NITAHUDHURIA SEMINA YA TAREHE 27/06/2026 kwenda namba 0716778844
Au bonyeza link hapo chini ili ujisajili
πππππππππ
http://wa.me/+255716778844
Ukishaingia kwenye usajili ya hii namba ya whatsapp andika neno NITAHUDHURIA SEMINA YA TAREHE 27/06/2026
Mahali : Makumbusho stendi dar es salaam
Muda : Kuanzia saa 3 asubuhi
HAKUNA KIINGILIO. HAKUNA KIINGILIO. KUJISAJILI NI BURE KABISA...
Tutafungua kinywa pamoja.. kwahiyo suala la chai ya nguvu tuachie sisi, wewe jisajili tu...
Ukisikia hii mwambie na mwenzako... ruksa kuja na marafiki zako wa k**e ili wajifunza zaidi
Semina hizi ni muhimu kwa wanawake maana mnapata mafunzo 3 bure kabisa
1.Mafunzo ya mahusiano
2.Mafunzo ya biashara
3.Mafunzo ya afya
Usikose mafunzo k**a haya maana ni nadra sana kuyapata tena bure kabisa k**a hivi yanavyotolewa.
γ
K**a ulikosa hii basi usikose ijayo tarehe 27/06/2026
Hakuna Kiingilio, unatakiwa kujisajili tu kwa kutuma neno NITAHUDHURIA SEMINA YA TAREHE 27/06/2026 kwenda namba 0716778844
Au bonyeza link hapo chini
πππππππππ
http://wa.me/+255716778844
Mahali : Makumbusho stendi dar es salaam
Muda : Kuanzia saa 3 asubuhi
Tutafungua kinywa pamoja.. kwahiyo suala la chai ya nguvu tuachie sisi, wewe jisajili tu...
Ukisikia hii mwambie na mwenzako... ruksa kuja na marafiki zako wa k**e ili wajifunza zaidi
Semina hizi ni muhimu kwa wanawake maana mnapata mafunzo 3 bure kabisa
1.Mafunzo ya mahusiano
2.Mafunzo ya biashara
3.Mafunzo ya afya
Usikose mafunzo k**a haya maana no nadra sana kuyapata tena bure kabisa k**a hivi yanavyotolewa.
γ
K**a ulikosa hii basi usikose ijayo tarehe 27/06/2026
Hakuna Kiingilio, unatakiwa kujisajili tu kwa kutuma neno NITAHUDHURIA SEMINA YA TAREHE 27/06/2026 kwenda namba 0716778844
Au bonyeza link hapo chini
πππππππππ
http://wa.me/+255716778844
Mahali : Makumbusho stendi dar es salaam
Muda : Kuanzia saa 3 asubuhi
Tutafungua kinywa pamoja.. kwahiyo suala la chai ya nguvu tuachie sisi, wewe jisajili tu...
Ukisikia hii mwambie na mwenzako... ruksa kuja na marafiki zako wa k**e ili wajifunza zaidi
Semina hizi ni muhimu kwa wanawake maana mnapata mafunzo 3 bure kabisa
1.Mafunzo ya mahusiano
2.Mafunzo ya biashara
3.Mafunzo ya afya
Usikose mafunzo k**a haya maana no nadra sana kuyapata tena bure kabisa k**a hivi yanavyotolewa.
γ
Karibuni tena mwezi ujao..
Semina hizi ni muhimu kwa wanawake maana mnapata mafunzo 3 bure kabisa
1.Mafunzo ya mahusiano
2.Mafunzo ya biashara
3.Mafunzo ya afya
Usikose mafunzo k**a haya maana no nadra sana kuyapata tena bure kabisa k**a hivi yanavyotolewa.
Simu/whatsapp : +255716778844
γ
29/05/2026
Uchafu Ukeni Una Rangi Tofauti⦠Je Unajua Maana Yake?
Sio kila discharge ni ugonjwa, lakini baadhi yake ni ishara ya maambukizi au matatizo ya afya.
Fahamu tofauti hizi π
1οΈβ£ Clear Discharge
Uchafu mweupe wa maji na kuvutika k**a yai bichi π₯
β‘ Mara nyingi ni wa kawaida kipindi cha ovulation/fertility
2οΈβ£ White Discharge
Mweupe mzito k**a maziwa au mtindi
β‘ Ukiwa bila harufu unaweza kuwa kawaida.
β Ukiambatana na muwasho unaweza kuwa fangasi (fungal infection)
3οΈβ£ Light Yellow Discharge (Njano hafifu)
β‘ K**a unatokwa uchafu huu wa njano ambao haujakolea sana na hauna harufu kali wala maumivu basi ni kawaida ila k**a unawasha, maumivu, harufu na unatoka mara kwa mara basi hayo ni maambukizi ya bacteria, magonjwa ya zinaa k**a PID nk
4οΈβ£ Dark Yellow Discharge (Njano iliyokolea)
β Inaweza kuashiria maambukizi, uchafu mwingi mwilini au dehydration
5οΈβ£ Green / Yellow-Green Discharge
(Kijani au njano ya kijani)
β Mara nyingi huashiria infection au STI, hasa k**a kuna harufu kali, maumivu au muwasho
6οΈβ£ Gray Discharge (Kijivu)
Mara nyingi huwa na harufu ya samaki
β Hii ni dalili ya uwiano mbaya wa bacteria yaani bacterial vaginosis (BV)
7οΈβ£ Red or Brown Discharge
(Nyekundu au kahawia)
β‘ Inaweza kuwa damu ya hedhi iliyobaki
β Ikiwa inatokea bila hedhi au mara kwa mara, ni muhimu kupima afya.
π Ukiona discharge yenye:
β Harufu kali
β Kuwasha
β Maumivu
β Rangi isiyo ya kawaida
β Kuungua wakati wa kukojoa
Ni vizuri kuwahi hospitali kwa uchunguzi mapema.
K**a una changamoto ya miwasho, fangas na harufu mbaya basi unaweza kupata Cleanser yetu kwa ajili ya kuondoa hizo changamoto.. pia tumia mtindi usiokuwa na sukari au virutubisho vya probiotics utakuja kunishukuru. Na k**a una PID sugu, fangas sugu basi usisite kuwasiliana nami nikusaidie
Simu/whatsapp : +255716778844
γ
26/05/2026
JUMAMOSI HII DADA MARIAM MBANO MTAALAM WA MAMBO YA WANAWAKE ATAKUA MAKUMBUSHO KWA AJILI YA SEMINA BORA KABISA YA WANAWAKE
Hii ni zawadi kwa kila mwanamke mwenye ndoto na anataka kukua..Tumeamua kuandaa semina hii ili kubadilisha mitazamo ya wanawake wengi maana dunia ishabadilika sasa..
SITOMCHAJI MWANAMKE YOYOTE ATAKAE HUDHURIA ILA ANATAKIWA AJISAJILI KUPITIA NAMBA YANGU YA WHATSAPP
Bonyeza hapa chini
ππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏ
wa.me/255716778844
Tutakunywa chai pamoja na kuzugumza.MARIAM atatoa SEMINA YA NGUVU na pia tutajifunza NAMNA YA KUANZA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO
Pia tutaongelea namna ya kutatua matatizo ya kiafya ya wanawake PIA TUTAKUA NA SUMMARY FUPI YA kitabu CHA MARIAM MBANO cha MAZUNGUMZO YA K**E kwa yoyote atakae Nunua
MWANAMKE JISAJILI KWA KUANDIKA SEMINA YA WANAWAKE MIMI NA TIMU YANGU TUTAKUPIGIA ILI TUKUSAJILI
ππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏ
JISAJILI
ππΏππΏππΏππΏππΏ ANDIKA SEMINA YA MWANAMKE
ππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏ AU WANAWAKE SEMINA
wa.me/255716778844
βWatu Wengi Wanachanganya Ugonjwa Wa Acid Reflux Na Vidonda Vya Tumboβ¦
Kumbe haya ni matatizo mawili tofauti!β
π’ Acid reflux hutokea pale tindikali ya tumboni inapopanda kwenda kwenye umio na kusababisha kiungulia au moto kifuani
Mara nyingi huchochewa na vyakula, uzito mkubwa, kulala baada ya kula au udhaifu wa valve ya tumbo
π’ Lakini Vidonda vya tumbo vyenyewe hutokea pale ukuta wa tumbo unapopata vidonda, mara nyingi kutokana na bacteria aina ya H. pylori au matumizi ya muda mrefu ya baadhi ya dawa za maumivu
Dalili zinaweza kufanana, lakini chanzo na tatizo lake ni tofauti
K**a umekua unasumbuka na vidonda vya tumbo au acid reflux usisite kuwasiliana nami ili nikusaidie kuondokana na tatizo lako hilo
Simu/whatsapp : +255716778844
βMsongo Wa Mawazo Ni Adui Mkubwa Wa Acid Reflux!β
Unapokuwa na stress nyingi, mwili unaweza kuongeza uzalishaji wa tindikali tumboni na kufanya dalili za acid reflux kuwa kali zaidi.
Pia msongo wa mawazo unaweza kuharibu mfumo wa usingizi na mmengβenyo wa chakula, hali inayoweza kuongeza kiungulia na maumivu ya tumbo
Wakati mwingine sio chakula pekee kinachochochea acid reflux⦠hata mawazo yanaweza kuchangia
K**a wewe ni mmoja wa watu wanaosumbuka na tatizo la acid reflux basi usisite kuwasiliana nami ili nikusaidie kuondokana na tatizo hilo
Simu/whatsapp : +255716778844
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Makumbusho
Dar Es Salaam
