Wanawake Na Suluhisho

Wanawake Na Suluhisho

Share

Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Wanawake Na Suluhisho, Health/Beauty, makumbusho, Dar es Salaam.

Nawasaidia Wanawake Kuondokana Na Changamoto Zinazowakabili Katika Mfumo Wao Wa Uzazi Na Magonjwa Yanayowakabili K**a Vile Fangas, P.I.D, U.T.I, Kushindwa Kubeba Ujauzito, Mimba Kutoka Mara Kwa Mara, Uchafu Na Harufu Mbaya Ukeni n.k

31/05/2026

K**a ulikosa hii basi usikose ijayo tarehe 27/06/2026
Hakuna Kiingilio, unatakiwa kujisajili tu kwa kutuma neno NITAHUDHURIA SEMINA YA TAREHE 27/06/2026 kwenda namba 0716778844
Au bonyeza link hapo chini ili ujisajili

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
http://wa.me/+255716778844

Ukishaingia kwenye usajili ya hii namba ya whatsapp andika neno NITAHUDHURIA SEMINA YA TAREHE 27/06/2026

Mahali : Makumbusho stendi dar es salaam

Muda : Kuanzia saa 3 asubuhi

HAKUNA KIINGILIO. HAKUNA KIINGILIO. KUJISAJILI NI BURE KABISA...

Tutafungua kinywa pamoja.. kwahiyo suala la chai ya nguvu tuachie sisi, wewe jisajili tu...
Ukisikia hii mwambie na mwenzako... ruksa kuja na marafiki zako wa k**e ili wajifunza zaidi

Semina hizi ni muhimu kwa wanawake maana mnapata mafunzo 3 bure kabisa

1.Mafunzo ya mahusiano

2.Mafunzo ya biashara

3.Mafunzo ya afya
Usikose mafunzo k**a haya maana ni nadra sana kuyapata tena bure kabisa k**a hivi yanavyotolewa.

γ‚š

31/05/2026

K**a ulikosa hii basi usikose ijayo tarehe 27/06/2026
Hakuna Kiingilio, unatakiwa kujisajili tu kwa kutuma neno NITAHUDHURIA SEMINA YA TAREHE 27/06/2026 kwenda namba 0716778844
Au bonyeza link hapo chini

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
http://wa.me/+255716778844

Mahali : Makumbusho stendi dar es salaam

Muda : Kuanzia saa 3 asubuhi
Tutafungua kinywa pamoja.. kwahiyo suala la chai ya nguvu tuachie sisi, wewe jisajili tu...
Ukisikia hii mwambie na mwenzako... ruksa kuja na marafiki zako wa k**e ili wajifunza zaidi

Semina hizi ni muhimu kwa wanawake maana mnapata mafunzo 3 bure kabisa

1.Mafunzo ya mahusiano

2.Mafunzo ya biashara

3.Mafunzo ya afya
Usikose mafunzo k**a haya maana no nadra sana kuyapata tena bure kabisa k**a hivi yanavyotolewa.

γ‚š

31/05/2026

K**a ulikosa hii basi usikose ijayo tarehe 27/06/2026
Hakuna Kiingilio, unatakiwa kujisajili tu kwa kutuma neno NITAHUDHURIA SEMINA YA TAREHE 27/06/2026 kwenda namba 0716778844
Au bonyeza link hapo chini

πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
http://wa.me/+255716778844

Mahali : Makumbusho stendi dar es salaam

Muda : Kuanzia saa 3 asubuhi
Tutafungua kinywa pamoja.. kwahiyo suala la chai ya nguvu tuachie sisi, wewe jisajili tu...
Ukisikia hii mwambie na mwenzako... ruksa kuja na marafiki zako wa k**e ili wajifunza zaidi

Semina hizi ni muhimu kwa wanawake maana mnapata mafunzo 3 bure kabisa

1.Mafunzo ya mahusiano

2.Mafunzo ya biashara

3.Mafunzo ya afya
Usikose mafunzo k**a haya maana no nadra sana kuyapata tena bure kabisa k**a hivi yanavyotolewa.

γ‚š

30/05/2026

Karibuni tena mwezi ujao..

Semina hizi ni muhimu kwa wanawake maana mnapata mafunzo 3 bure kabisa

1.Mafunzo ya mahusiano

2.Mafunzo ya biashara

3.Mafunzo ya afya
Usikose mafunzo k**a haya maana no nadra sana kuyapata tena bure kabisa k**a hivi yanavyotolewa.

Simu/whatsapp : +255716778844


γ‚š

29/05/2026

Uchafu Ukeni Una Rangi Tofauti… Je Unajua Maana Yake?

Sio kila discharge ni ugonjwa, lakini baadhi yake ni ishara ya maambukizi au matatizo ya afya.
Fahamu tofauti hizi πŸ‘‡

1️⃣ Clear Discharge

Uchafu mweupe wa maji na kuvutika k**a yai bichi πŸ₯š

➑ Mara nyingi ni wa kawaida kipindi cha ovulation/fertility

2️⃣ White Discharge

Mweupe mzito k**a maziwa au mtindi

➑ Ukiwa bila harufu unaweza kuwa kawaida.

⚠ Ukiambatana na muwasho unaweza kuwa fangasi (fungal infection)

3️⃣ Light Yellow Discharge (Njano hafifu)

➑ K**a unatokwa uchafu huu wa njano ambao haujakolea sana na hauna harufu kali wala maumivu basi ni kawaida ila k**a unawasha, maumivu, harufu na unatoka mara kwa mara basi hayo ni maambukizi ya bacteria, magonjwa ya zinaa k**a PID nk

4️⃣ Dark Yellow Discharge (Njano iliyokolea)

⚠ Inaweza kuashiria maambukizi, uchafu mwingi mwilini au dehydration

5️⃣ Green / Yellow-Green Discharge
(Kijani au njano ya kijani)

⚠ Mara nyingi huashiria infection au STI, hasa k**a kuna harufu kali, maumivu au muwasho

6️⃣ Gray Discharge (Kijivu)

Mara nyingi huwa na harufu ya samaki

⚠ Hii ni dalili ya uwiano mbaya wa bacteria yaani bacterial vaginosis (BV)

7️⃣ Red or Brown Discharge
(Nyekundu au kahawia)

➑ Inaweza kuwa damu ya hedhi iliyobaki

⚠ Ikiwa inatokea bila hedhi au mara kwa mara, ni muhimu kupima afya.


πŸ“Œ Ukiona discharge yenye:

❌ Harufu kali
❌ Kuwasha
❌ Maumivu
❌ Rangi isiyo ya kawaida
❌ Kuungua wakati wa kukojoa

Ni vizuri kuwahi hospitali kwa uchunguzi mapema.
K**a una changamoto ya miwasho, fangas na harufu mbaya basi unaweza kupata Cleanser yetu kwa ajili ya kuondoa hizo changamoto.. pia tumia mtindi usiokuwa na sukari au virutubisho vya probiotics utakuja kunishukuru. Na k**a una PID sugu, fangas sugu basi usisite kuwasiliana nami nikusaidie

Simu/whatsapp : +255716778844

γ‚š

26/05/2026

JUMAMOSI HII DADA MARIAM MBANO MTAALAM WA MAMBO YA WANAWAKE ATAKUA MAKUMBUSHO KWA AJILI YA SEMINA BORA KABISA YA WANAWAKE

Hii ni zawadi kwa kila mwanamke mwenye ndoto na anataka kukua..Tumeamua kuandaa semina hii ili kubadilisha mitazamo ya wanawake wengi maana dunia ishabadilika sasa..

SITOMCHAJI MWANAMKE YOYOTE ATAKAE HUDHURIA ILA ANATAKIWA AJISAJILI KUPITIA NAMBA YANGU YA WHATSAPP

Bonyeza hapa chini
πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ
wa.me/255716778844

Tutakunywa chai pamoja na kuzugumza.MARIAM atatoa SEMINA YA NGUVU na pia tutajifunza NAMNA YA KUANZA BIASHARA KWA MTAJI MDOGO

Pia tutaongelea namna ya kutatua matatizo ya kiafya ya wanawake PIA TUTAKUA NA SUMMARY FUPI YA kitabu CHA MARIAM MBANO cha MAZUNGUMZO YA K**E kwa yoyote atakae Nunua

MWANAMKE JISAJILI KWA KUANDIKA SEMINA YA WANAWAKE MIMI NA TIMU YANGU TUTAKUPIGIA ILI TUKUSAJILI

πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ
JISAJILI

πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ ANDIKA SEMINA YA MWANAMKE

πŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏπŸ‘‡πŸΏ AU WANAWAKE SEMINA

wa.me/255716778844

09/05/2026

β€œWatu Wengi Wanachanganya Ugonjwa Wa Acid Reflux Na Vidonda Vya Tumbo…

Kumbe haya ni matatizo mawili tofauti!”

πŸ’’ Acid reflux hutokea pale tindikali ya tumboni inapopanda kwenda kwenye umio na kusababisha kiungulia au moto kifuani

Mara nyingi huchochewa na vyakula, uzito mkubwa, kulala baada ya kula au udhaifu wa valve ya tumbo

πŸ’’ Lakini Vidonda vya tumbo vyenyewe hutokea pale ukuta wa tumbo unapopata vidonda, mara nyingi kutokana na bacteria aina ya H. pylori au matumizi ya muda mrefu ya baadhi ya dawa za maumivu

Dalili zinaweza kufanana, lakini chanzo na tatizo lake ni tofauti
K**a umekua unasumbuka na vidonda vya tumbo au acid reflux usisite kuwasiliana nami ili nikusaidie kuondokana na tatizo lako hilo
Simu/whatsapp : +255716778844

09/05/2026

β€œMsongo Wa Mawazo Ni Adui Mkubwa Wa Acid Reflux!”

Unapokuwa na stress nyingi, mwili unaweza kuongeza uzalishaji wa tindikali tumboni na kufanya dalili za acid reflux kuwa kali zaidi.

Pia msongo wa mawazo unaweza kuharibu mfumo wa usingizi na mmeng’enyo wa chakula, hali inayoweza kuongeza kiungulia na maumivu ya tumbo

Wakati mwingine sio chakula pekee kinachochochea acid reflux… hata mawazo yanaweza kuchangia
K**a wewe ni mmoja wa watu wanaosumbuka na tatizo la acid reflux basi usisite kuwasiliana nami ili nikusaidie kuondokana na tatizo hilo
Simu/whatsapp : +255716778844

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Makumbusho
Dar Es Salaam