Mshauri wa afya Petro

Mshauri wa afya Petro

Share

NakujaliSanaNakupendaSana. karibu katika program yangu ya 90dys ERASE P.I.D,U.T.I & Hormone imbalance

28/07/2026

Mshauri Wa Afya Petro
Mimba za watoto wa afu2000 hazitaki udongo na tofari ni kuku, chipsi na mirinda nyeusi na mishenyento mpaka siku ya kwenda Lebanon....

Tuna safari ndefu ๐Ÿ˜€

01/07/2026

Mshauri Wa Afya Petro
Habari za leo akina mama na wadada...

Leo tuzungumze kidogo kwa uwazi kuhusu changamoto ya PID (Pelvic Inflammatory Disease). Najua wengi wenu mmekuwa mkiipuuza au kuitibu nusu nusu, lakini nataka niwaambie ukweli k**a Mshauri wenu: PID ni adui mkubwa wa ndoto yako ya kuitwa 'Mama'.

๐“๐š๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ข๐ฉ๐จ๐ญ๐ข๐›๐ข๐ฐ๐š kisawasawa, huacha makovu kwenye mirija ya uzazi. Hii inakuweka kwenye hatari mbili kubwa:

1. ๐Š๐ฎ๐ค๐จ๐ฌ๐š ๐ฎ๐ฃ๐š๐ฎ๐ณ๐ข๐ญ๐จ (๐”๐ ๐ฎ๐ฆ๐›๐š): Mirija ikiziba, mbegu na yai haziwezi kukutana.

2. ๐Œ๐ข๐ฆ๐›๐š ๐ค๐ฐ๐ž๐ง๐ฒ๐ž ๐ฆ๐ข๐ซ๐ข๐ฃ๐š (Ectopic): Hii ni hali ya hatari sana inayoweza kuhatarisha maisha yako.

Nimeona vilio vingi vya kina mama, na ndio maana nimekuletea suluhisho la asili ambalo limesaidia wengi. Ni ๐ฉ๐ซ๐จ๐ ๐ซ๐š๐ฆ ya siku 30 pekee inayolenga kuweka sawa afya ya mirija yako, kuondoa uvimbe, na kusafisha njia ili mwili uwe tayari kubeba ujauzito salama.
Usisubiri mpaka hali iwe mbaya, afya yako ya uzazi ndio furaha yako."

๐Š๐š๐ฆ๐š ๐ฎ๐ง๐š๐ก๐ข๐ญ๐š๐ฃ๐ข ๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐จ.๐š๐ง๐๐ข๐ค๐š "๐๐€๐‡๐ˆ๐“๐€๐‰๐ˆ"...
0745 449 093

18/06/2026

SABABU KUU ZINAZOWEZA KUMFANYA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO.

1๏ธโƒฃ Tatizo la mayai ya uzazi (Ovulation)
๐Ÿ‘‰Mayai kutotolewa kila mwezi.
๐Ÿ‘‰ Homoni kutokuwa sawa mwilini (mfano PCOS).

2๏ธโƒฃ Kuziba kwa mirija ya uzazi
๐Ÿ‘‰Maambukizi ya zamani k**a PID.
๐Ÿ‘‰Historia ya mimba kuharibika au kufanyiwa upasuaji.

3๏ธโƒฃ Matatizo ya mfuko wa uzazi
๐Ÿ‘‰Uwepo wa uvimbe (Fibroids).
๐Ÿ‘‰ Matatizo kwenye ukuta wa mfuko wa uzazi.

4๏ธโƒฃ Maambukizi ya sehemu za siri
๐Ÿ‘‰ Fangasi sugu au maambukizi ya bakteria.
๐Ÿ‘‰ Magonjwa ya zinaa (STIs).

5๏ธโƒฃ Mzunguko wa hedhi usioeleweka
๐Ÿ‘‰ Kutokuwa sawa kwa homoni (Hormonal imbalance).
๐Ÿ‘‰ Kutokwa na damu nyeusi au yenye mabonge wakati wa hedhi.

๐Ÿ“ž Piga simu: +255745449093

18/04/2026

K**A WEWE NI MWANAMKE NA UPO KWENYE MAHUSIANO AU NDOA ZAIDI YA MIAKA MITATU NA HUJAWAHI KUSHIKA UJAUZITO NA HUJUI UFANYE NINI ACHA KUSUBIRI Bus ๐ŸšŒ AIRPORT UTAACHWA..

WANAWAKE WENGI HAWAPATI UJAUZITO KWA SABABU MBALIMBALI NA WENGI WAO HUWA HAWAJUI WAPI WATAPATA USHAURI NA TIBA YA UHAKIKA K**A WEWE NI MMOJA WA WATU WANAOTAFUTA MTOTO KWA MDA MREFU BILA MAFANIKIO NAOMBA CHUKUA SIMU YAKO TUPIGIE KABLA MAMBO HAYAJAWA MAGUMU..

ZIPO SABBU NYINGI SANAA ZINAZOPELEKEA MWANAMKE ASHINDWE KUBEBA UJAUZITO.. HIZI HAPA NI BAADHI๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

๐Ÿ‘Œ- hormones imbalance (kuvurugika kwa homon)

๐Ÿ‘Œ-Magonjwa sugu k**a vile PID, UTI SUGU NA FANGASI

๐Ÿ‘Œ- Mirija ya uzazi kuziba na kujaa maji

๐Ÿ‘Œ- Uvimbe kwenye kizazi (fibroid) pia hupelekea mwanamke kukosa uwezo wa kubeba mimba

๐Ÿ‘Œ- Endometriosis pamoja na ovarian cyst pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kushindwa kupata mimba

Na mambo mengine mengi kwa maelezo zaidi njoo tutakusaidia.

๐Ÿ‘Œ-WATAG RAFIKI ZAKO UNAOWAJUA KUWA WANASHIDA NA KUPATA MTOTO ILA WAMEKAA TU.

Prepared by Dr Petro +255745449093 whatssap and Normal ,dawa zipo popote tunatuma mikoani kote.

03/02/2026

Wanaume msiache kukagua korodani zenu , itasaidia kugundua mabadiliko yoyote yanayotokea, mfano uvimbe (Unaweza kuwa uvimbe wa kawaida au saratani)

Cha kufanya :
Kwanza kabisa oga maji ya vuguvugu ili ngozi inayobeba korodani (Sc***um) ilegee, iwe rahisi kufanya uchunguzi

Zungusha vidole vyako na kagua korodani moja baada ya nyingine kwa kugusa gusa na kuhisi k**a kuna uvimbe wowote au hali isiyo ya kawaida

Unatakiwa ujue kuna mshipa mnene kiasi unaolala juu ya kila korodani tunaita epididymis (Unaohifadhi mbegu, hii ni kawaida usije kudhani ni uvimbe hapana

Fanya uchunguzi mara kwa mara ili ujue utofauti wowote unaotokea . Korodani moja kuwa kubwa kidogo kuliko nyingine ni kawaida usishangae

Zoezi hili unaweza kusaidia na mke wako, hii kazi wanawake wanaipenda sana na wanaiweza ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ kwahiyo mwachie akusaidie ila ndo hivo tena baada ya uchunguzi lolote linaweza kutokea

Kwa changamoto yoyote usisite kuwasiliana nasi BURE kupitia WhatsApp namba ๐Ÿ‘‡
+255745449093

02/02/2026

SI LAZIMA KULA ASUBUHI โ€“ MWILI HAUJALAZIMISHWA NA SAA.

Watu wengi wanaamini usipokula asubuhi afya inaharibika. Ukweli ni kwamba mwili hauangalii saa, unaangalia njaa halisi na hali ya homoni.
โ€” Asubuhi mwili bado uko kwenye hali ya kutumia akiba ya mafuta (fat burning mode)
โ€” Homoni ya cortisol huwa juu asubuhi, inasaidia nguvu hata bila kula
โ€” Ukila bila kuwa na njaa, unaongeza sukari na insulini bila sababu.

Faida za kutokula mapema asubuhi ,au kutokula kabisa (kwa mtu anayefaa):
โ€” Husaidia mwili kuchoma mafuta (kupunguza kitambi)
โ€” Huboresha usikivu wa insulini (msaada kwa kisukari cha aina ya pili)
โ€” Hupunguza kula kupita kiasi siku nzima
โ€” Hupa mfumo wa chakula muda wa kupumzika

Lakini si kwa kila mtu โš ๏ธ

Hupaswi kuruka kifungua kinywa k**a una:๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

โ€” Kisukari kinachotumia dawa au insulin
โ€” Vidonda vya tumbo vinavyosumbua sana
โ€” Uzito mdogo kupita kiasi
โ€” Mjamzito au anayenyonyesha
โ€” Kizunguzungu au kushuka sana presha usipokula.

Muhimu zaidi kuliko โ€œsaa ya kulaโ€ ni:
โ€” Kula ukiwa na njaa ya kweli๐Ÿ“Œ
โ€” Kula chakula chenye virutubisho, si sukari tu๐Ÿ“Œ
โ€” Usile usiku sana halafu utegemee breakfast isahihishe๐Ÿ“Œ

Hitimisho:
Breakfast ni chaguo, si sheria ya afya. Wengine mwili wao unafanya vizuri zaidi wakianza kula mchana โ€” na hilo ni sawa kabisa.

k**a unachangamoto yoyote ya Kiafya karibu nikuhudumie.
0745 449 093

30/01/2026

Je, mwanamke unakumbana na changamoto yoyote kati ya hizi?

๐Ÿ”น Harufu mbaya kutoka ukeni
๐Ÿ”น Ngozi ya sehemu za siri kuwa laini kupita kawaida
๐Ÿ”น Kuwashwa, maumivu au moto ukeni wakati wa tendo la ndoa
๐Ÿ”น Kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa (ikiwa hauko kwenye hedhi).
๐Ÿ”น Kupata hedhi mara zaidi ya mbili kwa mwezi.
๐Ÿ”น Kukosa hedhi kwa miezi kadhaa bila ujauzito.
๐Ÿ”น Dalili za ujauzito bila kuwa mjamzito.
๐Ÿ”น Hedhi yenye mabonge mabonge au nzito kupita kawaida.
๐Ÿ”น Kutokwa na maji maji yasiyo ya kawaida ukeni.
๐Ÿ”น Hedhi inayodumu chini ya siku 3 au zaidi ya siku 7
๐Ÿ”น Fangasi, UTI, au PID sugu
๐Ÿ”น Changamoto za kushika mimba
๐Ÿ”น Mimba kuharibika mara kwa mara.

Usihangaike tena! Suluhisho thabiti lipo kwa ajili yako. Wasiliana nami sasa kwa msaada wa haraka!
0745 449 093

28/01/2026

FAHAMU HAYA KUHUSU HEDHI YAKO

๐Ÿฅ•Mzunguko wa hedhi wakawaida na usiokuwa na tatizo ni kati ya siku 21-35, ukiwa unapata chini ya hapo au juu ya hapo hilo nitatizo, jiulize hedhi yako ikoje?

๐Ÿฅ•Damu ya hedhi yako inatakiwa itoke kati ya siku 2-7 tu, na isiwe na maumivu makali, damu nzito na ya madonge, wala yenye harufu kali, nje ya hapo nitatizo, je unapataje wewe??

๐Ÿฅ•Kuanzia umri wa miaka 40 na kuendelea kupata hedhi ya kubadilika badilika kitalaamu huwa inatokea na muda mwingine sio tatizo!!

๐Ÿฅ•Wewe unayetumia sindano, kijiti, vidonge, kukumbwa na mabadiliko ya hedhi ya kila mwezi nikawaida baada ya kutumia uzazi wampango, ila hali ikiwa mbaya zaidi onana na daktari kwa ushauri

Nb:Ukiwa nanafasi nzurii zaa mapema, kadri umri unavyokwenda na sifa za kuzaa zinapunguaa, mayai yanapungua na ubora wa mayai unapungua!

NB: Je unapata hedhi yenye mtiririko sahihi?? Hedhi salama??

0745 449 093

25/01/2026

Unaweza ukawa na Majigambo mengi mbele ya vijana wenzako lakini ukiwa chumbani na mwanamke unawahi kufika kileleni hadi Unakosa Kujiamini ๐Ÿ˜”

Yaani kila ukijaribu kujizuia inashindikana Alafu Baada ya kukojoa kimoja mwili mzima unakufa ganzi unashindwa kurudi mchezoni kwa haraka hadi unahaibika.

Usiendelee kuhaibika!
Karibu upate msaada wa haraka na wa uhakika. ๐Ÿค

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam
255