Mshauri wa afya Petro
NakujaliSanaNakupendaSana. karibu katika program yangu ya 90dys ERASE P.I.D,U.T.I & Hormone imbalance
28/07/2026
Mshauri Wa Afya Petro
Mimba za watoto wa afu2000 hazitaki udongo na tofari ni kuku, chipsi na mirinda nyeusi na mishenyento mpaka siku ya kwenda Lebanon....
Tuna safari ndefu ๐
01/07/2026
Mshauri Wa Afya Petro
Habari za leo akina mama na wadada...
Leo tuzungumze kidogo kwa uwazi kuhusu changamoto ya PID (Pelvic Inflammatory Disease). Najua wengi wenu mmekuwa mkiipuuza au kuitibu nusu nusu, lakini nataka niwaambie ukweli k**a Mshauri wenu: PID ni adui mkubwa wa ndoto yako ya kuitwa 'Mama'.
๐๐๐ญ๐ข๐ณ๐จ ๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ฅ๐ข๐ฌ๐ข๐ฉ๐จ๐ญ๐ข๐๐ข๐ฐ๐ kisawasawa, huacha makovu kwenye mirija ya uzazi. Hii inakuweka kwenye hatari mbili kubwa:
1. ๐๐ฎ๐ค๐จ๐ฌ๐ ๐ฎ๐ฃ๐๐ฎ๐ณ๐ข๐ญ๐จ (๐๐ ๐ฎ๐ฆ๐๐): Mirija ikiziba, mbegu na yai haziwezi kukutana.
2. ๐๐ข๐ฆ๐๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฆ๐ข๐ซ๐ข๐ฃ๐ (Ectopic): Hii ni hali ya hatari sana inayoweza kuhatarisha maisha yako.
Nimeona vilio vingi vya kina mama, na ndio maana nimekuletea suluhisho la asili ambalo limesaidia wengi. Ni ๐ฉ๐ซ๐จ๐ ๐ซ๐๐ฆ ya siku 30 pekee inayolenga kuweka sawa afya ya mirija yako, kuondoa uvimbe, na kusafisha njia ili mwili uwe tayari kubeba ujauzito salama.
Usisubiri mpaka hali iwe mbaya, afya yako ya uzazi ndio furaha yako."
๐๐๐ฆ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ก๐ข๐ญ๐๐ฃ๐ข ๐ก๐ข๐ฅ๐ข ๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐จ.๐๐ง๐๐ข๐ค๐ "๐๐๐๐๐๐๐๐"...
0745 449 093
18/06/2026
SABABU KUU ZINAZOWEZA KUMFANYA MWANAMKE KUSHINDWA KUPATA UJAUZITO.
1๏ธโฃ Tatizo la mayai ya uzazi (Ovulation)
๐Mayai kutotolewa kila mwezi.
๐ Homoni kutokuwa sawa mwilini (mfano PCOS).
2๏ธโฃ Kuziba kwa mirija ya uzazi
๐Maambukizi ya zamani k**a PID.
๐Historia ya mimba kuharibika au kufanyiwa upasuaji.
3๏ธโฃ Matatizo ya mfuko wa uzazi
๐Uwepo wa uvimbe (Fibroids).
๐ Matatizo kwenye ukuta wa mfuko wa uzazi.
4๏ธโฃ Maambukizi ya sehemu za siri
๐ Fangasi sugu au maambukizi ya bakteria.
๐ Magonjwa ya zinaa (STIs).
5๏ธโฃ Mzunguko wa hedhi usioeleweka
๐ Kutokuwa sawa kwa homoni (Hormonal imbalance).
๐ Kutokwa na damu nyeusi au yenye mabonge wakati wa hedhi.
๐ Piga simu: +255745449093
18/04/2026
K**A WEWE NI MWANAMKE NA UPO KWENYE MAHUSIANO AU NDOA ZAIDI YA MIAKA MITATU NA HUJAWAHI KUSHIKA UJAUZITO NA HUJUI UFANYE NINI ACHA KUSUBIRI Bus ๐ AIRPORT UTAACHWA..
WANAWAKE WENGI HAWAPATI UJAUZITO KWA SABABU MBALIMBALI NA WENGI WAO HUWA HAWAJUI WAPI WATAPATA USHAURI NA TIBA YA UHAKIKA K**A WEWE NI MMOJA WA WATU WANAOTAFUTA MTOTO KWA MDA MREFU BILA MAFANIKIO NAOMBA CHUKUA SIMU YAKO TUPIGIE KABLA MAMBO HAYAJAWA MAGUMU..
ZIPO SABBU NYINGI SANAA ZINAZOPELEKEA MWANAMKE ASHINDWE KUBEBA UJAUZITO.. HIZI HAPA NI BAADHI๐๐
๐- hormones imbalance (kuvurugika kwa homon)
๐-Magonjwa sugu k**a vile PID, UTI SUGU NA FANGASI
๐- Mirija ya uzazi kuziba na kujaa maji
๐- Uvimbe kwenye kizazi (fibroid) pia hupelekea mwanamke kukosa uwezo wa kubeba mimba
๐- Endometriosis pamoja na ovarian cyst pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kushindwa kupata mimba
Na mambo mengine mengi kwa maelezo zaidi njoo tutakusaidia.
๐-WATAG RAFIKI ZAKO UNAOWAJUA KUWA WANASHIDA NA KUPATA MTOTO ILA WAMEKAA TU.
Prepared by Dr Petro +255745449093 whatssap and Normal ,dawa zipo popote tunatuma mikoani kote.
03/02/2026
Wanaume msiache kukagua korodani zenu , itasaidia kugundua mabadiliko yoyote yanayotokea, mfano uvimbe (Unaweza kuwa uvimbe wa kawaida au saratani)
Cha kufanya :
Kwanza kabisa oga maji ya vuguvugu ili ngozi inayobeba korodani (Sc***um) ilegee, iwe rahisi kufanya uchunguzi
Zungusha vidole vyako na kagua korodani moja baada ya nyingine kwa kugusa gusa na kuhisi k**a kuna uvimbe wowote au hali isiyo ya kawaida
Unatakiwa ujue kuna mshipa mnene kiasi unaolala juu ya kila korodani tunaita epididymis (Unaohifadhi mbegu, hii ni kawaida usije kudhani ni uvimbe hapana
Fanya uchunguzi mara kwa mara ili ujue utofauti wowote unaotokea . Korodani moja kuwa kubwa kidogo kuliko nyingine ni kawaida usishangae
Zoezi hili unaweza kusaidia na mke wako, hii kazi wanawake wanaipenda sana na wanaiweza ๐๐ kwahiyo mwachie akusaidie ila ndo hivo tena baada ya uchunguzi lolote linaweza kutokea
Kwa changamoto yoyote usisite kuwasiliana nasi BURE kupitia WhatsApp namba ๐
+255745449093
02/02/2026
SI LAZIMA KULA ASUBUHI โ MWILI HAUJALAZIMISHWA NA SAA.
Watu wengi wanaamini usipokula asubuhi afya inaharibika. Ukweli ni kwamba mwili hauangalii saa, unaangalia njaa halisi na hali ya homoni.
โ Asubuhi mwili bado uko kwenye hali ya kutumia akiba ya mafuta (fat burning mode)
โ Homoni ya cortisol huwa juu asubuhi, inasaidia nguvu hata bila kula
โ Ukila bila kuwa na njaa, unaongeza sukari na insulini bila sababu.
Faida za kutokula mapema asubuhi ,au kutokula kabisa (kwa mtu anayefaa):
โ Husaidia mwili kuchoma mafuta (kupunguza kitambi)
โ Huboresha usikivu wa insulini (msaada kwa kisukari cha aina ya pili)
โ Hupunguza kula kupita kiasi siku nzima
โ Hupa mfumo wa chakula muda wa kupumzika
Lakini si kwa kila mtu โ ๏ธ
Hupaswi kuruka kifungua kinywa k**a una:๐๐
โ Kisukari kinachotumia dawa au insulin
โ Vidonda vya tumbo vinavyosumbua sana
โ Uzito mdogo kupita kiasi
โ Mjamzito au anayenyonyesha
โ Kizunguzungu au kushuka sana presha usipokula.
Muhimu zaidi kuliko โsaa ya kulaโ ni:
โ Kula ukiwa na njaa ya kweli๐
โ Kula chakula chenye virutubisho, si sukari tu๐
โ Usile usiku sana halafu utegemee breakfast isahihishe๐
Hitimisho:
Breakfast ni chaguo, si sheria ya afya. Wengine mwili wao unafanya vizuri zaidi wakianza kula mchana โ na hilo ni sawa kabisa.
k**a unachangamoto yoyote ya Kiafya karibu nikuhudumie.
0745 449 093
30/01/2026
Je, mwanamke unakumbana na changamoto yoyote kati ya hizi?
๐น Harufu mbaya kutoka ukeni
๐น Ngozi ya sehemu za siri kuwa laini kupita kawaida
๐น Kuwashwa, maumivu au moto ukeni wakati wa tendo la ndoa
๐น Kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa (ikiwa hauko kwenye hedhi).
๐น Kupata hedhi mara zaidi ya mbili kwa mwezi.
๐น Kukosa hedhi kwa miezi kadhaa bila ujauzito.
๐น Dalili za ujauzito bila kuwa mjamzito.
๐น Hedhi yenye mabonge mabonge au nzito kupita kawaida.
๐น Kutokwa na maji maji yasiyo ya kawaida ukeni.
๐น Hedhi inayodumu chini ya siku 3 au zaidi ya siku 7
๐น Fangasi, UTI, au PID sugu
๐น Changamoto za kushika mimba
๐น Mimba kuharibika mara kwa mara.
Usihangaike tena! Suluhisho thabiti lipo kwa ajili yako. Wasiliana nami sasa kwa msaada wa haraka!
0745 449 093
28/01/2026
FAHAMU HAYA KUHUSU HEDHI YAKO
๐ฅMzunguko wa hedhi wakawaida na usiokuwa na tatizo ni kati ya siku 21-35, ukiwa unapata chini ya hapo au juu ya hapo hilo nitatizo, jiulize hedhi yako ikoje?
๐ฅDamu ya hedhi yako inatakiwa itoke kati ya siku 2-7 tu, na isiwe na maumivu makali, damu nzito na ya madonge, wala yenye harufu kali, nje ya hapo nitatizo, je unapataje wewe??
๐ฅKuanzia umri wa miaka 40 na kuendelea kupata hedhi ya kubadilika badilika kitalaamu huwa inatokea na muda mwingine sio tatizo!!
๐ฅWewe unayetumia sindano, kijiti, vidonge, kukumbwa na mabadiliko ya hedhi ya kila mwezi nikawaida baada ya kutumia uzazi wampango, ila hali ikiwa mbaya zaidi onana na daktari kwa ushauri
Nb:Ukiwa nanafasi nzurii zaa mapema, kadri umri unavyokwenda na sifa za kuzaa zinapunguaa, mayai yanapungua na ubora wa mayai unapungua!
NB: Je unapata hedhi yenye mtiririko sahihi?? Hedhi salama??
0745 449 093
25/01/2026
Unaweza ukawa na Majigambo mengi mbele ya vijana wenzako lakini ukiwa chumbani na mwanamke unawahi kufika kileleni hadi Unakosa Kujiamini ๐
Yaani kila ukijaribu kujizuia inashindikana Alafu Baada ya kukojoa kimoja mwili mzima unakufa ganzi unashindwa kurudi mchezoni kwa haraka hadi unahaibika.
Usiendelee kuhaibika!
Karibu upate msaada wa haraka na wa uhakika. ๐ค
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Contact the business
Telephone
Website
Address
Dar Es Salaam
255
