Aisha Health consultant

Aisha Health consultant

Share

Tatua Changamoto za Kiafya kwa wanawake

30/03/2023

TATUA TATIZO LA BAWASIRI BILA UPASUAJI

Moja ya mambo ya nayopelekea bawasiri ni choo kigumu kwa kuwa choo kigumu hupelekea mishipa ya haja kubwa kupasuka nakupelekea bawasiri ya ndani au ya nje .

SABABU ZINGINE ZA BAWASIRI NI

Kukaa kitako kwa muda mrefu

Magonjwa ya moyo na Figo

Uzito kupita kiasi

Kufanya mapenzi kinyume na maumbile

Matumizi ya choo cha kukaa

DALILI ZA BAWASIRI NI HIZI

Kuwashwa maeneo ya tundu la haja kubwa

Maumivu makali wakati wa kujisaidia na kuketi

Kutoka damu wakati wa haja kubwa

Kujitokeza kinyama katika eneo la tundu la haja kubwa

MADHARA YA BAWASIRI NI HAYA .

Saratani ya utumbo mpana

Kushindwa kuhimili choo

Upungu wa nguvu za kiume

Chunusi zisizo isha

Kupata upungufu wa damu

Kuathirika kisaikolojia

TIBA NA SULUHISHO LA KUDUMU
Huitajiki upasuaji kwa kuwa sio suluhisho la kudumu

Ili kutatu tatizo hilo nilazima utumie tiba lishe maalumu ambayo itagusa chanzo cha tatizo hilo na kukusaidia kuondoa choo kigumu kwa muda mfupi sana

Wasiliana nasi kwa namba 0627738130
Piga kwa usaidizi wa haraka zaidi

21/02/2023
08/02/2023

KULA MAYAI BADALA YA CHAPATI ASUBUHI UPUNGUE ZAIDI

Badala ya kula chapati wakati wa breakfast andaa mayai kwani yatakusaidia sana kupungua. Mayai yana protini kwa wingi ambayo humsaidia mlaji kuhisi kushiba kwa muda mrefu, kutumia mayai asubuhi ni vizuri zaidi kwasababu itakusaidia kula kiwango kidogo cha chakula kwa siku nzima. Unaweza kuongeza matunda mazuri k**a papai na tango kwenye breakfast yako pia.

Je chakula gani kingine si kizuri ikiwa mtu anataka kupungua? Tuambie kwenye comments.

06/02/2023

GESI TUMBONI
Ni hali inayotokea Tumboni na kusababisha Tumbo kujaa bila kula kitu chochote,pia huambatana na kubeua,kuhisi kutapika au kuhisi kiungulia.Hali hii husababisha Tumbo kujaa,kuvimbiwa na mtu hutoa gesi kwa njia ya ushuzi na kubeua.

SABABU ZINAZOPELEKEA GESI KUJAA TUMBONI.
.Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali
.Mazoea ya kula kupita kiasi
.Kuisha kwa bacteria walinzi tumboni

DALILI ZA KUJAA GESI TUMBONI
.kuhisi maumivu ya Tumbo
.Tumbo kunguruma sana mara kwa mara
.kuhisi kiungulia juu ya Tumbo
.kukosa hamu ya kula
.kula kidogo na kuhisi kushiba
.Magonjwa K**a vile vidonda vya Tumbo,mawe kwenye figo,kuvimba kwa kongosho,saratani ya utumbo,utumbo kuziba lkn pia hii ni dalili ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula kuwa mbovu/kuwa na matatizo.
.kutojisikia raha na Amani.

06/02/2023

Zifahamu faida 7 za kula Fenesi kwa afya yako:-

Fenesi ni moja ya tunda ambalo mti wake ni mkubwa na wenye majani ya kijani kibichi, ndani ya tunda la fenesi huwa kuna mbegu .

Tunda hili hupatikana sana katika maeneo ya Asia na ni mojawapo ya matunda yenye virutubisho vingi kiafya.

Ndani ya fenesi kuna virutubisho k**a vile vitamin A, C na B6 pamoja na madini ya potassium na calcium sambamba na madini ya chuma na magnesium.

✔️ Tunda hili ni chanzo kizuri cha nyuzinyuzi yaani 'fiber' ambazo ni muhimu kwa upande wa umeng'enyaji wa chakula na hivyo kumsaidia mhusika kuepukana na shida ya kukosa choo mara kwa mara.

✔️ Moja ya kazi nzuri ya fenesi ni pamoja na kuimarisha kinga za mwili, lakini pia tunda hili huongeza vitamin C mwilini ambayo piahusaidia kusaidia seli za damu kufanya kazi vizuri.

✔️ K**a utakuwa na ngozi mabayo si nzuri labda huenda itakuwa na mikunjo mikunjo basi ni vyema ukaanza kutumia fenesi leo kwani litakusaidia kuondosha hali ya mikunjo kwenye ngozi na kuondosha ukavu wa ngozi.

✔️ Kwa wale wenye shida ya upungufu wa damu yaani anemia tunda hili ni zuri pia kwao kutokana na kuwa na madini ya chuma 'iron' ambayokwa kiasi kikubwa husaidia uzalishaji wa seli nyekundu za damu mwilini.

✔️ Aidha, tunda hili la fenesi pia husaidia sana kwa wale wenye tatizo la presha ya kushuka,

Hii ni kwa sababu ndani ya tunda hili kuna madini ya potassium ambayo hurekebisha kiwango sodium mwilini jambo ambalo huchangia kuongeza kwa kiwango cha msukumo wa damu mwilini,

lakini pia madini hayo ya potassium husaidia kuimarisha na kusimamia mishipa ya moyo

✔️ Matumizi ya tunda hili pia husaidia kuongeza uoni mzuri kutokana na kuwa na vitamin A anbayo ni muhimu sana kwa afya ya macho.

✔️ Lakini pia fenesi husaidia kuimarisha afya ya mifupa kutokana na kuwa na madini ya magnesium.

-
Faida ipi umeipenda zaidi kukufanya ufikirie Kuanza kulila Tunda ili kuanzia Sasa😋,

Tuambie mara ya mwisho kula tunda ili ni lini? Na ulikuwa unafahamu faida zake?!

02/02/2023

PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA BAWASIRI YA {NDANI NA NJE}*

*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE)*
➖ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa
*CHANZO CHA BAWASIRI*
➖ Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
➖ Tatizo sugu la kuharisha
➖ Ujauzito
➖ Uzito wa mwili kupita kiasi
➖ Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
➖ Kupata haja kubwa ngumu
➖ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
➖ Kunywa pombe
➖ Kula sana nyama nyekundu
➖ Vidonda vya tumbo
➖ Ngiri(Chango/Hernia
➖ Kula sana pilipili
➖ Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI*
➖ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
➖ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
➖ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
➖ Kupata kinyesi chenye damu
➖ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
➖ Uume kusinyaa (unapoteza urefu na ukak**avu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
➖ Upungufu wa damu mwilini
➖Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
➖ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
➖ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
➖ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
➖ Kupata tatizo la
kisaikolojia
➖ Kutopata ujauzito
➖ Mimba kuharibika
Kwa msaada na ushauri +255627738130

Photos from Aisha Health consultant 's post 23/01/2023

Je! Umekuwa miongoni mwa wanaosumbuliwa na bawasili? Umejaribu kutibu Mara kwa Mara lakini inarudi tena? Na unatamani uondokane na tatizo hili...?

Karibu ujipatie matibabu ya bawasiri bila upasuaji wowote wala maumivu.

Tuna dawa inayotibu chanzo cha tayizo mpaka lilipofikia tatizo. Iwe bawasili ya ndani au ya nnje dawa yetu inatibu na kurudisha hari yako k**a ilivyokuwa.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Website

Address


Ilala Boma
Dar Es Salaam
000000