Afya kwetu
Nawasaidia Watu wote wenye changamoto za uzazi bila Gharama yoyote ile.
17/04/2025
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI
0755-490708
Viashiria hivi huweza kuwekwa katika makundi kutegemeana na aina ya kisukari:
a) KISUKARI KINACHOTEGEMEA INSULINI
🍁Kurithi katika familia
🍁Magonjwa ya kongosho (k**a saratani au uambukizo) ambayo huweza kuua
seli zinazotengeneza kichocheo cha insulini
🍁Mtoto kupewa maziwa mbadala (ya kopo au ya wanyama) au kumnyonyesha
mtoto kwa muda mfupi
🍁Mtoto akizaliwa na uzito mkubwa kupita kiasi
🍁 Unene au uzito mkubwa utotoni.
b) KISUKARI KISICHOTEGEMEA INSULINI
🍁 Uzito uliozidi na unene uliokithiri
🍁Shinikizo kubwa la damu
🍁Mtindo wa maisha usiofaa hususan kutokufanya mazoezi, ulaji wa vyakula
vyenye mafuta mengi na uvutaji sigara na bidhaa nyingine za tumbaku
🍁Kuwepo kwa historia ya kisukari katika familia
🍁Umri zaidi ya miaka 45.
🍁Kutokana na mabadiliko ya mtindo wa maisha, vijana wengi wamekuwa na uzito
mkubwa pamoja na kutofanya mazoezi hali ambayo inafanya tatizo hili
kuongezeka katika umri mdogo.
c) KISUKARI CHA MIMBA
KUWEPO NA HISTORIA YA KUWA NA KISUKARI KATIKA FAMILIA
🍁Kuwahi kujifungua mtoto mwenye uzito mkubwa;
🍁Mimba kuharibika mara kwa mara;
🍁 Historia ya kisukari cha mimba;
🍁 Mkojo kuwa na sukari mara kwa mara;
🍁Kuzaa mtoto mwenye ulemavu (congenital anomalies)
🍁Kuzaa mtoto mfu;
🍁Uzito au unene uliokithiri
🍁Shinikizo kubwa la damu la muda mrefu;
🍁Umri zaidi ya miaka 35.
DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI
0755-490708
Dalili za ugonjwa wa kisukari ni pamoja na:
🍀Kukojoa mara kwa mara
🍀Kuhisi kiu sana;
🍀Kuhisi njaa sana
🍀Kuhisi uchovu wa mwili na kukosa nguvu bila ya kufanya kazi
🍀Kupungua kwa uzito wa mwili, na kuwa mdhaifu
🍀Kutoona vizuri
🍀Kuhisi kizunguzungu
🍀Kuwa na maambukizi ya ngozi na vidonda visivyopona haraka
🍀Baadhi ya viungo vya mwili k**a vidole vya miguu na mikono kufa ganzi.
🍀Wanawake kuwashwa ukeni
🍀Kupungua nguvu za kiume/Hamu ya kujamiana kwa wanawake
🍀Miguu kuoza, vidonda au majeraha yasiyopona haraka.
🍀Majipu mwilini.
K**a una dalili hizi unapaswa kupima Kisukari.
0755-490708
KUTANA NA MADAKTARI WA MAGONJWA SUGU KUTOKA CHINA.
Niwabobezi katika kutibu magonjwa sugu yasiyo ambukizwa kupitia virutubisho lishe. Tiba hii imekuwa msaada mkubwa kwa watu waliokata tamaa baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu na maradhi bila kupona, lakini walipofika kwenye taasisi ya Eternal na kutumia tiba zetu walipona kabisa.
Katika kutoa huduma zetu, tunapima mwili mzima kwa Ofa ya Shilingi 20,000/=
Tunapima na kutibu magonjwa yote sugu na yanayojirudia mara kwa mara kwa tiba asili (VIRUTUBISHO LISHE) k**a vile;
👉 Matatizo ya Figo
👉 Matatizo ya Moyo
👉 Mifupa
👉 Tezi Dume
👉 Stroke
👉 Uzazi kwa Wanawake
👉 Uzazi kwa Wanaume
👉 PID
👉 Vidonda vya Tumbo
👉 Bawasili n.k
Unaweza kuwasiliana nasi kwa namba 0755-490708.
Au unaweza kuwasiliana nasi kupitia link ya WhatsApp hapa chini kuongea na Daktari moja kwa moja.
https://www.whatsapp.com/business/
Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa kubonyeza hii button ya WhatsApp hapa chini.
KUMBUKA: Huna sababu ya kuwaza ni wapi unaweza pata matibabu ya tatizo lako. Karibu ETERNAL tukuhudumie.
KARIBU SANA SANA.
28/08/2024
K**A UNA CHANGAMOTO YOYOTE YA AFYA SOMA HII 👇👇👇 ITAKUSAIDIA
JE? UNASUMBULIWA NA MARADHI KWA MUDA MREFU NA HUJAPATA MATIBABU YA UHAKIKA?
JE ? UMETUMIA DAWA NYINGI ZA MAUMIVU KUTIBU MARADHI SUGU BILA MAFANIKIO?
Kutana na Wataalamu waliobobea kwenye Masuala ya Matibabu Kutoka China. Tunafanya Vipimo vya Mfumo Mzima wa Mwili yaani.
🍒 Mfumo wa Damu.
🍒 Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula.
🍒 Mfumo wa Utoaji Takamwili.
🍒 Mfumo wa Uzazi.
🍒 Mfumo wa Fahamu.
Pia Tuna Huduma ya Matibabu Kwa Changamoto za
✓ Uzazi Kwa wanaume na Wanawake
√ Vidonda vya Tumbo na Typhoid
√ Mifupi na Ganzi. Na Meno
√ Stroke au Palalaizi
√ Magonjwa ya Moyo na Figo
√ Bawasiri na Tezidume
√ Ngiri na Uvimbe aina zote.
√ Matatizo ya Ngozi
√ KISUKARI na Presha ( BP)
Je! Ungependa kufahamu Jinsi gani Tumeweza Kuwasaidia watu wengi Kutibu Maradhi hayo Kwa Kutumia Vyakula na Matunda?
Bonyeza Alama ya vna na Daktar Bingwa Moja kwa moja. https://wa.me/message/2RHZRZNLDE6FF1
Au Tupigie. +255755490708
22/06/2024
*DALILI ZA KUZIDI KWA ACID TUMBONI (ACID REFLUX)*
• Mchomo au maumivu katika tumbo, 1-4 masaa baada ya mlo
• maumivu ya kifua
• Kiungulia cha Muda mrefu
• Uvimbe katika kifua
• Kuhisi njaa mara kwa mara
• Daima maumivu katika tumbo la juu
• Kucheua
• Kichefuchefu
• Kuona Uchungu ladha katika kinywa
• Kupoteza hamu ya kula
• Kutapika
• Kukohoa
• Sauti ya mabadiliko na malezi ya kidonda katika umio (tube kuunganisha kinywa na tumbo)
• Maumivu ya sehemu za misuli ya mwili
• Maumivu katika masikio
*Lisawa Nutrition tunakutibu na Mungu anakuponya*
0755490708
https://wa.me/message/2RHZRZNLDE6FF1
Click here to claim your Sponsored Listing.
Category
Telephone
Address
Dar Es Salaam
Opening Hours
| Monday | 08:00 - 17:30 |
