Tiens Tanzania

Tiens Tanzania

Share

Tiens Group Co. Ltd (hereby shortened as Tiens Group), was founded in 1995 by Mr.

Li Jinyuan in Tianjin China, began its march into the international market in 1997. Today Tiens Group has become a multinational conglomerate, boasting of industrial capital, trading capital and financial capital. Its businesses cover fields like biotechnology, health management, hotel and tourism industry, educational training, e-commerce, finance investment and real estate, etc. And with its bus

24/05/2016

Hello Tiensians

Photos from Tiens Tanzania's post 14/01/2016

Wonders of Tiens

Photos from Tiens Tanzania's post 03/11/2015

November promotion. ... jipatie pesa na ukuze mtandao wako. ...

Photos from Tiens Tanzania's post 19/09/2015

Semina kubwa iliyofanyika ukumbi wa Cenema Nairobi/Kenya iliyofanyika leo tarehe 19 /09/2015 kwa ajili ya kuwakaribisha watu waliotoka China na wale waliojishindia magari, karibu Tiens upate afya na utajiri. .. Chagua Tiens upate maisha bora.

Photos from Tiens Tanzania's post 19/09/2015
Photos from Tiens Tanzania's post 19/09/2015

Wagavi wakiwa wametunukiwa vyeti baada ya kufuzu mafunzo. ..

Photos from Tiens Tanzania's post 19/09/2015

O.P.P na N.D.O kwa pamoja zikifanyika chini ya mkufunzi Mr. Mahendeka na Mr. Musila, better Tiens better life.

02/03/2015

MARCH PROMOTION 2015
1. Buy one multifunctional head care apparatus and get one grape vine free.
2. Buy one aura stone energy and get one antilipemic tea.
3. Buy one blood pressure comb and get one zinc free.
4. Buy one circulatory massager and get one free.
5. Buy one fruit and vegetable clearner and get one free..

This promotion is for all people, members and non member.. we wish you a lovely month..

07/08/2014

TIENS AFRIKA
PROMOSHENI YA AFRIKA
1 .Zawadi:- Gari lenye thamani ya Dola 15,000.
2. Kipindi cha Promosheni hii kuanzia tarehe 26 Juni 2014 hadi 25 Desemba 2014.
3. Sifa :-
Promosheni hii ina husisha nchi ya Afrika Kusini, Zimbambwe, Kenya, Ghana na Uganda tu.
[1] Wagavi waliojiunga mwezi June au baada ya Juni 26, 2014 wanaweza kupanda kufikia Nyota 7*
Na zaidi katika muda wa promosheni , wakati huo Malimbikizo Mapya ya Kundi Binafsi yanafikia
PV 60,000 au zaidi . Mgavi atazawadiwa Gari ya thamani ya Dola 15,000.
[2] Nyota ya 6 au chini, mgavi aliyejiunga mwezi Juni au kabla ya tarehe 25 Juni 2014 na kuweza
Kuwa Nyota ya 7 au zaidi katika kipindi cha promosheni, wakati huo Malimbikizo Mapya ya
Kundi Binafsi yafikie Pv 60,000 au zaidi , mgavi huyo atazawadiwa Gari ya thamani ya Dola 15,000
[3] Nyota ya 7* au zaidi [ambaye hajapata zawadi ya Gari] aliye jiunga Juni au kabla ya 25 Juni 2014
Na kupanda kuwa Nyota 8* au zaidi katika muda wa promosheni na wakati huo Malimbikizo
Mapya ya Kundi Binafsi yafikie Pv 70,000 au zaidi, mgavi huyo atazawadiwa Gari lenye thamani
Ya Dola 15,000.
4. Kanuni na Taratibu:-
[1] Aliye timiza mauzo mapya ya kundi itakokotolewa mara moja kwa Yule aliye karibu kutimiza.
Hakuta ruhusiwa kukokotolewa kwa kudurufu.
[2] Aliye timiza Malimbikizo ya Kundi Binafsi ya Mauzo yatazingatiwa katika mfumo wa takwimu
Katika Idara ya Tehama [ IT]. Sifa za mauzo zina mipaka ya kukokotoa kulingana na utaratibu
kwa kila nchi.
[3] Wagavi waliokwisha zawazidiwa magari katika majimbo/mikutano ya Kimataifa hawata husishwa.
Zawadi haitabadilishwa kwa kupewa pesa au kwa kitu kingine.
[4] Tiens Afrika imetunza haki zote na inaweza kubadilisha Kanuni na Taratibu bila kutoa taarifa.

09/07/2014

NETWORK ELITE CASH REWARD INCENTIVE PLAN
Muda wa promosheni:
26th june 2014 mpaka tarehe 25th july 2014 (july mwezi wa bonus)

Uchaguzi/options:
1. Ndani ya mwezi mmoja wa bonus mgavi (distributor) atazawadiwa dola 80 iwapo:
i. Mgavi tadhamini watu wapya wanne(4) na hao watu wafike nyota ya tatu(3 star)
ii. na kati ya hao watu wagavi wa moja kwa moja wasipungue wawili (2) (at leas two people are direct down lines)
iii. na mgavi atatakiwa kutimiza vigezo na masharti.
2. Ndani ya mwezi mmoja wa bonus mgavi (distributor) atazawadiwa dola 150 iwapo:
i. Mgavi atadhamini watu wapya watano (5) na hao watu wafike nyota ya tatu
ii. na kati ya hao, wagavi wa moja kwa moja wasipungue wawili (2)(at least two people are direct down lines)
iii. Na mgavi atatakiwa kutimiza vigezo na mashart
3. i. Mgavi atadhamini watu wapya wanane (8) na hao watu wafike nyota ya tatu
ii. na hao wagavi wa moja kwa moja wasipungue wawili (2) (at least two people are direct down lines)
iv. Na mgavi atatakiwa kutimiza vigezo na mashart.
Ilani : kwa maelezo zaidi , angalia mashart ya namba 5:
Masharti na vigezo:
1. Mshiriki anatakiwa awe nyota ya tatu na zaidi kufikia mwisho wa mwezi wa bonus, na kwa kuongezea washiriki ambao wako nyota ya tano na chini ya nyota ya tano (nyota zitategemea na bonus za mwezi huo)watatakiwa wafunge mwezi kwa pv 50 au zaidi, na kwa washiriki ambao wapo nyota ya sita na zaidi (nyota zitategemea na bonus ya mwezi huo) watatakiwa kufunga mwezi k**a mpango wa masoko wa tiens unavyosema.
2. Hii promosheni ni kwa wote, wagavi wapya na wa zamani ambao wapo nchi za africa k**a, Afrika ya kusini, Mozambiki, Jamuhuri ya kongo, Angola,Benini (Cote d’lvoire), Ghana, Kenya, Ethiopia, Uganda, Namibia and Sudan Branch.
3. Ushiriki huu unakubaliwa kwa wagavi wapya wa tiens ambao watakuwa wamesajiliwa na kufika nyota ya tatu ndani ya mwezi huo wa bonus. Na wagavi wengine wa zamani ambao ni nyota ya kwanza na ya pili ambao watafika nyota ya tatu katika mwezi huo wa promosheni hawatahesabika k**a nyota ya tatu wapya waliosajiliwa.
4. Ushiriki huu utahesabika kwa tawi la kampuni mgavi aliloko, kwa mfano mgavi bonus zake huwa anachukulia kenya, akienda kuunga watu kwenye tawi la Uganda ofisi haitatambua k**a amefanya promosheni. Usajili wa mauzo yatakayotoka kwenye tawi lingine hayatahesabika.
5. Ndani ya mwezi mmoja wa bonus, k**a utatimiza mahitaji na idadi ya watu wapya wa nyota ya tatu utakaowasajili basi:
5.1 Pungufu ya watu wanane (8) ambao ni wagavi wapya wa nyota ya tatu, utapata pesa taslim kulingana na sehemu za vigezo.
Kwa mfano: bonus ya mwezi wa saba umesajili watu saba (7) ambao ni nyota ya tatu wapya na kati ya hao, wawili ni wa moja kwa moja (direct down line) na wakati huo ukiwa umetimiza vigezo na masharti utapata zawadi ya pesa taslim dola 150.
5.2 Kati ya watu 8 mpaka 15 utazawadiwa dola 400.
Kwa mfano: katika mwezi wa saba (7) wa bonus umesajili watu kumi na tatu (13) wapya ambao ni nyota ya tatu na kati ya hao wawili wakiwa ni wa moja kwa moja (direct down line) na ukatimiza masharti na vigezo, utazawadiwa pesa taslim dola 400.
5.3 Kati ya watu 16 mpaka 23 utazawadiwa dola 800.
Kwa mfano: katika mwezi wa saba wa bonus umesajili watu ishirini (20) ambao ni nyota ya tatu wapya na kati ya hao wanne wakawa chini yako yaani (direct down line) na wakati huo ukatimiza vigezo na masharti utazawadiwa pesa taslim dola 800.
5.4 Watu 24 na zaidi, utazawadiwa dola 1200 (zawadi ambayo ni kubwa ya pesa taslim katika promosheni hii dola 1200)
Kwa mfano: katika mwezi wa saba wa bonus, umesajili watu therathini na mbili (32) ambao ni nyota ya tatu wapya na kati ya hao watu wanane wakawa chini yako yaani (direct down line) na wakati huo ukawa umetimiza vigezo na masharti, utazawadiwa pesa taslim dola 1200.
6. Mgavi mpya anaweza kuwa wa moja kwa moja (direct down line) wa mshiriki aliyeshiriki au mshiriki anaweza kuwa mdhamini wa moja kwa moja au replacement wa mgavi mpya. Hata hivyo, taarifa za placement inabidi zijazwe vizuri katika fomu ya usajili au kuwasilisha taarifa zako k**a replacement sponsor.
7. Katika kipindi cha promosheni, taarifa za placement wote ambao watakuwa wamesajili watu wapya zitatakiwa kuhakikishwa na kuwekwa kwenye compyuta (system) katika mwezi huo, tafadhani nukuu, taarifa za kuleta mwishoni hazitahitajika, na taarifa zote za placement ambazo hazitawekwa kwenye system hazitahesabika. Na mwisho, taarifa zitakazokuwa zimewekwa kwenye kompyuta system, ndizo zitakazo hesabiwa.
8. Taarifa za washindi na zawadi zitahesabiwa baada ya kufunga mwezi katika makao makuu ya africa idara ya mahesabu. Zawadi zitatolewa mwezi utakaofuata bonus zikitoka za mwezi wa saba.
9. Tiens africa itahifadhi haki katika hayo yaliyotajwa katika kampeini na kubadilisha vigezo na masharti kabla ya nukuu.

Want your business to be the top-listed Beauty Salon in Dar es Salaam?
Click here to claim your Sponsored Listing.

Category

Telephone

Address


Dar Es Salaam